Kiukweli hii simulizi imeisha nautamu wake na imeisha vizuri kweli kweli, hongera sana Herry kwa kitu hiki cha ❤ Na kaka D'oen kwa kusimulia vyema. Nawapenda nyote kwaajili ya Allah Subhan wa Taallah 🥰
Natoa saluti 🫡🫡🫡🫡kwa mtaalamu wetu kaka yetu DESOUZER kwa kutukosha nafsi zetu kupitiya hii simulizi mungu akupe ulinzi,ujuzi na hekima kama ilivyo kuwa kweye hii simulizi kama tulivyo achiwa maneno na mababu zetu kila kizuri chajihuza na kila kibaya chajitembeza
Oooh alhamdullah 🙏🏽 Mungu n mwema kwa kuitimisha simulizi yetu tamu na yenye mafunzo kem kem herry mwenye Moyo wa kipekee hakuna kamwe leo hii mwenye moyo Safi na wa huruma shukran za dhati kwa mtunzi silent killer na simulizi wote kwa ujumla big up my pple ❤u so much
😢😢😢jamanieee msicheze na hisia za watu kwan moyo ukichoka hayo ndo madhara yake😭😭😭mapenzi yanauwa asikwambie mtu.Thanks soo much Mr.silent killer na director wetu pmoja na wadau 🫡🫡🫡🫡🫡🫡love u all🫰🫰🫰🫰🫰
Asante sana kaka OEN kwa kufikiya mwisho wa simulizi yetu ila nangoja movie yake Kama ulivyo tuhahidi mwanzoni mwasimulizi hii mimi mpaka sasa niko kama nahihota kupenda huku kutatupeleka kwa herry na candy ❤❤❤❤kuwa damu kwa damu.😂😂😂😂
Waaaah!! Kina balsa jamani wamemaliza na uchungu kweli ..ila usidharau mtu yeyote kwani hujui kesho yake ..congrats desauza..shukuran Director hii ilikua extremely awesome ..mafunzo kede kede..❤❤
Mapenzi yanauma nyie 😢😢 sikia tu hivi anasimulia D oen ila usiombe yakukute .hapo Ndio utajua kuwa bora usingkuwepo dunian .pia huwa nawaza hivi mapenzi ni kitu gn lakini mpaka Sasa sijapata jibu.Asante San kheri Disous kwa simulizi Nzuri Big up 🫡🫡
Kiukweli hii simulizi imeisha nautamu wake na imeisha vizuri kweli kweli, hongera sana Herry kwa kitu hiki cha ❤ Na kaka D'oen kwa kusimulia vyema. Nawapenda nyote kwaajili ya Allah Subhan wa Taallah 🥰
Natoa saluti 🫡🫡🫡🫡kwa mtaalamu wetu kaka yetu DESOUZER kwa kutukosha nafsi zetu kupitiya hii simulizi mungu akupe ulinzi,ujuzi na hekima kama ilivyo kuwa kweye hii simulizi kama tulivyo achiwa maneno na mababu zetu kila kizuri chajihuza na kila kibaya chajitembeza
Ninamkubaki sana mwandishi Herry maana ujuzi na matendo ni uhalisia wa maisha ya wanadamu tangu kuumbwa Kwa ulimwengu mpaka sasa Mungu aturehemu
ASANTE SANA TUNAZIDI KUSONGAMBELE 🎉🎉🎉❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
Asante sana kwa simulizi nzur
Mh yani jana nimeisubiri kinyama Yani🔥🔥🔥🔥🔥
Ndan ya mjengo director nyuma ya 🎤 wadauuuuuuuuuuuuuuuuuuu njooon tujue hatma ya Herry na Candy mambo ni moto🔥
Sister we skiliza tuu utakuja kunihadithiaa sawa😂
Aaaaaa wapiiiiii😅 weee sikiliza
Unataka niliee ety😌😁
Takufuta machoz kipenz chang🥰
Hakika hakuna rafiki wa kweli l,v u D,oen,pamoja sna mwamba 🎉
Duuu hii simulizi nimeipenda sana nakuona kitu nimejifunza dharau sio nzuri
Wapili 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Oooh alhamdullah 🙏🏽 Mungu n mwema kwa kuitimisha simulizi yetu tamu na yenye mafunzo kem kem herry mwenye Moyo wa kipekee hakuna kamwe leo hii mwenye moyo Safi na wa huruma shukran za dhati kwa mtunzi silent killer na simulizi wote kwa ujumla big up my pple ❤u so much
😆😆😆😆😆😆😆😆hatimae herry kapewa tamuuuuuuuuu kapona kabisaaaaa ama kweli shikamoo mapenz marahaba hisia hapana chezea msambaaa
❤❤❤❤
Hiii simulizi nitamu sana na mzuli aikutakiwa kuisha alaka ivyi ilitakiwa iendelee
Nimekua wa kwanza leo🎉🎉🎉🎉❤
Shukran saaanaaaa❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉ilove this story
😢😢😢jamanieee msicheze na hisia za watu kwan moyo ukichoka hayo ndo madhara yake😭😭😭mapenzi yanauwa asikwambie mtu.Thanks soo much Mr.silent killer na director wetu pmoja na wadau 🫡🫡🫡🫡🫡🫡love u all🫰🫰🫰🫰🫰
Wawooooooooowadau munakuwa murara umu kwa Oen awo? Nintarudi badaye ninuucu wagusikieiza mwisho wa Herr
Salute kwako engineer herry santoc desauza 👮🏾♀️🫡
Asantee sn kwa kutupa vitu vzr
Nimependa inafundisha Sana
❤❤❤❤ this is soul of love 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Sema mm simlaumu baisa yot ni sababu ya mapenz.
Pamoja sn❤❤
🔥🔥🔥
😢m naogopa kuskiliza hii s.o.l bhn ntaliaaa😭
Asante sana kaka OEN kwa kufikiya mwisho wa simulizi yetu ila nangoja movie yake Kama ulivyo tuhahidi mwanzoni mwasimulizi hii mimi mpaka sasa niko kama nahihota kupenda huku kutatupeleka kwa herry na candy ❤❤❤❤kuwa damu kwa damu.😂😂😂😂
Waaaah!! Kina balsa jamani wamemaliza na uchungu kweli ..ila usidharau mtu yeyote kwani hujui kesho yake ..congrats desauza..shukuran Director hii ilikua extremely awesome ..mafunzo kede kede..❤❤
❤❤❤❤❤
Dah! Machoz yamenitok, ni mbaya san kufanya maamuzi bila kuchunguza kiundan.
❤❤❤❤❤
Fiz um short do espirro que só vem quando o Sol aparece
Wakwanza Leo ngoja tuitimixhe
Eeeee kusimamishwaa kwaupendoo hadi mtu akazaliwaa anaitwa baisaa😁😁😁😁😁😁😁😁😁wale wamatawii yajuuu yotee wako chini mpka wanakuja kuoshe yule walimuiita mashamba nayy huyo huyoo ndoamempa mtajii siku zote usizarau usiemjua
Nmelia hapa mtoto wa qher na cand quitwa jina baiser😭😭😭
Yani hapa adi nimetoa machozi imenikumbusha miaka kumi iliopita yalinitokea km heri 😢
Yaan simulizi za heri haziniachagi salama jamanii lazma niliee 😭😭😔
Mapenzi yanauma nyie 😢😢 sikia tu hivi anasimulia D oen ila usiombe yakukute .hapo Ndio utajua kuwa bora usingkuwepo dunian .pia huwa nawaza hivi mapenzi ni kitu gn lakini mpaka Sasa sijapata jibu.Asante San kheri Disous kwa simulizi Nzuri Big up 🫡🫡
Wewe tena yalikusibu yapi😂😂😂 mwaya
@@swabrarashidi1082 umesahau ulivonichukulia mume Wang 😂😂😂😭😭😭😭
@@AnnaMelikion mume wa konyo utakufa we jitie unajua kupenda tu😅😅😅
@@swabrarashidi1082 najua kupenda Sasa Ndio umuibe mume Wang Jmn 😂
@@AnnaMelikion toka apa kwanza mumeo mwenyewe siyo hensamu
Lugoko lugoko lugiko......nimekuita marangp😢
😂😂
Salute kwako engineer herry santoc desauza 👮🏾♀️🫡