Mungu aninusuru na mwanaume aina ya professor ,watu sample hi wanauzi sana hivi huwa wanahisia kweliii!😒 mana jitu gumu halishauriki haliambiliki akaaa!
Pongeze Kwa eva maana wanawake kama Wewe walikufa tangu Enzi za kinjeketile na majina yao yalisombwa na kimbunga Hidaya... Haya na Wewe Anna hiv moyo wako una vyumba vinne kama Sisi mbona napata wasiwasi wamekushinda wanyakyusa utawaweza Hao watoto wa mjini 😂😂😂😂😂
Anna Anna kujifanya kutompenda devis kumbe ndio likuw umeshampenda hadi kumuonea wivu tyr umeenda hadi kununua mawig kisa kamsifia maria..naona hivi ukijichora nalo hilo wigi lako..mana vivian anakusubir
Sasa Anna Mazengo hata miaka yako na akina maria inakataa vitu vingine ni vya aibu Devis alisema ukweli aliposema Wacha kujichanganya nyinyi ni partners si lovers 😅
Eva umetisha na hongera kuwa jasiri
Atleast Eva maskini umepumzika moyo mpira sasa Kwa Bill tuone kama kweli anakupenda🎉🎉
We kuweza😂
Na juma nae ataiweka was sura yke
@@fatumambaruku963 Ela hatakunya kabisaa🤣🤣
@@fatumambaruku963juma hajaathirika anaogopa tu majibu ila ni mzm
@@STUMAIKALELE😂
Biri naeva nawapenda sana 😢jmn❤❤❤❤❤❤❤
Annah ataend na hlo wigi lake na hatosifiwa kwa ninavomjua davis atamchek kwa kejel😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Ilo Fumbo la Diva 😂😂😂😂😂😂😂
Huo ndukweli acha achekwe sasa😂😂😂😂
Uyo ndio Anna
Anita nmrembo mashalla
Eva pole ht waginjwa nao wanahaki yakumpenda mtu tusiwanyanyapae
Jua kali bhana unaweza lia na unacheka jamn😂😂😂anna
Anna master of the game nakupenda inaonyesha hali halisi ya Mapenzi siku hizi pamoja na Maria
Jamani maria hayo macho na baba kijacho wako wakweli😂😂😂😂😂
Anna hatukuelewi ujue x unaondoa x watakaawigi upendwe Weye Larkin ujue x maria ana nyota yake
Hii sauti mbona
🤣🤣🤣🤣🤣ila anna ni kichwa maji jmn inàmaana keshajiona anapendwa na Davis mungu wangu ngoja naisubri zarau
Dj hapo sawa
Sophia sophia sophia mwenzio atakuchoresha pole aisee 😢😂😂
Asante dj
Bill na Eva mnaniumiza sana😢😢
Anitha wa Juakali me hua nakupenda bure
Mm jaman Eva umetia huruma Bill pls mstiri Eva ila kilanga cha Sofia atajua mwenyewe Fala huyo
Kupendwa raha maria weeee😂😂
Maria mwenyew sasa atahajali 😂😂😂
Lakin Viviani Mie sikuwezii😂😂😂
Anna anamtafuta wa kumlipizia kisasi kwa Diba
Itakua
Ht mimba sidhani km anayo
😂😂😂Ila anna nimechekaa😅 jmni devis anaenda kukuchukulia wew😢 Eva kanitia huruma na Kaniliza mwwee😢😢😢
Sofia nyege mbayaa khaaa unahangaikia nn jmn mbn ulimpenda vzr idi kabla.hajakuoa
Umeonaeee
Yaan apo mwsho wa siku atafumaniwa na talaka yake juu .
Madevu huo mdomo kama umeramba ukwaju😅
Anna kanunua wigi😅😅😂😂
kwan anti zai shida ako nn kama atadanganywa😅😅😅 wivu mbaya adi kwa mwanao
Roho mbayaa tu ananikela mm na visirani vyake😢
Mmenikosha na haka ka wimbo ka kiheheeeee😂😂😂
😂😂😂
Kikubwa nimeona jua Kali mengine me sijui DJ Maua yako❤❤
Mungu aninusuru na mwanaume aina ya professor ,watu sample hi wanauzi sana hivi huwa wanahisia kweliii!😒 mana jitu gumu halishauriki haliambiliki akaaa!
😂😂
Ana ndo staring wa hii Tamthilia na Maria watazamaji wengine hamjui burudan tu. Haya ndo mambo halisi Dunian sasa kwa vijana wetu
Kimeumana uku ana ameshapenda tena mtoto wamtu kamsahau bobo na dibaaa
Anna nichizi
Anna sijui yuataka Nini ndipo.hajui apende nani kwenye maisha yake.mapenzi yanamchanganya
Awe Vivian anajua banaaa
Hahahahaaaa ana umeyakanyanga
Eva wangu pôle sana kwa kweli 😢😢
Anna crazy love😂😂
Ann anajichqnganya kweli 😂😂😂
Yaan sjui kapatwa na nn mm ananikela kwl
Dah Anna,aibu naona mm 😂
Ata mm nimeona aibu vo watamsemaj mfano
Huyu aty zai ingekua mm evaa namjibu natoka kuliwa😂😂😂 kufatilianatu
😂😂😂
Yaani sauti Iko juu kama kwaya !!!
😂😂😂😂
hahahahaha
Jaman ana aibu naona mm
Kwan anah anawivu kiasi,gani😂😂acha tuone kwa ofs itakuaje hpo ni kicheko,tu
Pongeze Kwa eva maana wanawake kama Wewe walikufa tangu Enzi za kinjeketile na majina yao yalisombwa na kimbunga Hidaya... Haya na Wewe Anna hiv moyo wako una vyumba vinne kama Sisi mbona napata wasiwasi wamekushinda wanyakyusa utawaweza Hao watoto wa mjini 😂😂😂😂😂
Hatimae maria tumesha mzoea 😅😅😅
Mpak anakela
Any way kahaba mxoefu au sio.
Nimengi ninayo taka kuongea bt acha niseme jua kali hoyeeeeee❤❤❤❤❤❤❤
Mbona ana simuelewi Yani kanunua wigi kama la malia au aliona devidi alivyo msifia Malia kua yeyé uwa anapenda mwana mke anaesuka
Kumbe jibu unalo😂😂😂😂
Tupo na Anna bega kwa bega mpaka pale atakapo aibika kwa devis 😂😂
Mi naomba apate ukichaa tena maana Anna na Maria hawana utofauti kbs
@@pikanaauntzuu1466 😂😂watakuja kufa vby hawa
Jmn Anna hapana kavurugwa hyu dada 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Kazi nzur dj🎉🎉🎉🎉❤❤ 17:19
Lianti zayi linakera balaaa
Anna Anna kujifanya kutompenda devis kumbe ndio likuw umeshampenda hadi kumuonea wivu tyr umeenda hadi kununua mawig kisa kamsifia maria..naona hivi ukijichora nalo hilo wigi lako..mana vivian anakusubir
Ila umalaya unamtasa ana mpaka nacoka ninavyo muangaliya iyi sini ya ana inamtiyani hum
Ila Ana akili zako unazijua mwenyew 😂😂😂😂😂maan ni mpofu wa mapenzi 😂😂
Anna kujifanya mgumuu kote kumbe hana lolote keshapenda teari.
Sasa Anna Mazengo hata miaka yako na akina maria inakataa vitu vingine ni vya aibu Devis alisema ukweli aliposema Wacha kujichanganya nyinyi ni partners si lovers 😅
Hahaa kma naona wigi la anah litakavyo vumuliwa kazin na kuanguka hili hahaa
Napenda sana nyumbani kwa iddy nipamoto
Ya leo ni moto jmn. Moja kwa moja kwa semeni ananyoosha miguu ya mme we akiva suruwari 😂😂
Ivi huyu Anna anamatatizo gani😂😂😂😂😂
Anna tumuache kama alivyo Yaan 😅😅
feel free
Kwahiyo bill na Eva ndo wameamua kutuliza eee😭😭
Mroho wa cake nimebaki mdomo wazi😢😢😢
Eva wangu jmn😢😢😢😢😢Jmn
Ila uyu aunty zai anaboa sikuhizi aaah
Umeonaeee
kawa mama mwenye nyumba
Viviani hodar
Sophie kacanganyikiwa na mapenzi ya shemeji😂😂😂
Kijana wetu Fure,ipo siku jua litamuwakia sana
Mwache aburuzwe matukio yote hajielewi
Kipind kile aliparalais awamu hii ni kifooo
Jmn ntacheka mimi wigi livutwe alafu lianguke hahaha
Mnakesha huku Guys😂😂😂😂😂🎉🎉🎉haya
Kazi nzuri sana. Eva. KWakumuereza ukweri. Bri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante
❤❤❤❤❤
Kwan anti zai unataka mwanao bill akupelekee moto wewe au
❤❤❤❤
Kama wanawake wa aina ya sofia tupo aisee izi nyege ni MBAYA ana nyege msenge uyo khaa
😂😂😂😂
Hahhhhaahaaahah we dad weweeee umenishinda tabia
Jamani sipo mda humu Anna na diba waliishiaje
Vivian mama usipitwe...
Anna bora angebaki na low cut yake😂😂
Anna ni kichaa
Dah ila frenk ni zuzu kah😮
Anna Anna anado ndo huyu sasa😂😂
🤣🤣🤣
Aunt zai amekuwaje jamani anafoka foka tu
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Eva nimekuelewa sana jaman
Ma mdogo aunty huyu ni kiboko!!!!noma maria
Adi nimelia bil wew nimwanaume❤❤❤❤
Pole sana eva wangu 😢😢😢
anna ata mshipa wa aibuu hana ata kidg😂😂😂
Anna bwana kisa maria alisifiwa nayy anataka device akamsifie🤣🤣
Kuna uwezekano Eva asiachike kwa bill nyie
Ana jmn khaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂 Tomas ilo jicho
JUA NI KALI HASWAAA
Aki Thomas n Maria mwanibamba😂😂🎉🎉🎉
Eva na Bill mnaniumiza sana jamani
Anna wewe nimzuri tu achana na Hilo wingi 😅😅😅😅
Move tamu mno
Uyu anna anataka nini kwenye maisha yake jamani😮
Aunt zai ana wivu anataka aliwe yete
Nyie kwahiyo juma kaukwaa 🙆🏻♀️🥹🥹
Wapili leo😂😂😂
Tomas na anita hua mwachekesha
Ila annah saikolojia yake ipo pambee😂😂