TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.

КОМЕНТАРІ • 303

  • @focuspolitics4622
    @focuspolitics4622 5 років тому +64

    Safi kabisaaa hicho ndicho kiswahili anachokipigia debe mhe.magufuli kinakua duniani kote

  • @shabanichaye8255
    @shabanichaye8255 5 років тому +53

    Kama umesikia jina la Rais Magufuri gonga like

  • @mwajumakoshuma5417
    @mwajumakoshuma5417 5 років тому +17

    Manshallah Aisha. So amefunga hata hajavaa shungi. Maskin mdogo2 ataweza uislam. Nimependa Aisha kuwa muislam

  • @queengee988
    @queengee988 5 років тому +94

    Safi sana yan halaf unakut mtz anajifany hajui kiswahili washenzi kbs

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 5 років тому +2

      Yaan wagen wanasamin lugha milimbuken sasa ikiwa ugenn hatakiswahl hawaongei

    • @queengee988
      @queengee988 5 років тому +2

      @@butondodavid2105 yana jifanya kizungu mbele shwain yan huw nakerek bac tu na ndo maan rais wa chin hat akiend nchi yyt anaongea lugha yake na si nyingn asa Tz yet sas majanga😂😂😂

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 5 років тому

      @@queengee988
      Wapuuzi

    • @jacksonmathayo6510
      @jacksonmathayo6510 4 роки тому

      Huwa wana niboa kiukweli bhasi tu Mamy 😱

    • @hajjiqasim5977
      @hajjiqasim5977 4 роки тому +1

      😁😁😁love you tz love you kiswahili

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 5 років тому +15

    Maasha Allah Aisha muislam😘

  • @hersheymoge1232
    @hersheymoge1232 5 років тому +11

    Wow Tanzania is very famous in China 🇨🇳

  • @issaathumani4682
    @issaathumani4682 5 років тому +9

    Hahahaaa!
    Hiki kiswahili ni nomaaaa! Nimefurahi sana

  • @onefineday7613
    @onefineday7613 5 років тому +4

    Jamani tuwachangie ticket za kwenda Tanzania...mchina bwana..hongerini sana. Wafanya kazi as Ubalozini wanafaa kuwa tembelea😊

  • @rodicostantino7278
    @rodicostantino7278 5 років тому +36

    arie Sikiaa anapika kuku samaki firigisi like zangu

  • @boniphacenyamhanga9395
    @boniphacenyamhanga9395 5 років тому +9

    Napenda Ayo tv, sana hongereni sana

  • @mukhsinsalum9871
    @mukhsinsalum9871 5 років тому +16

    Duuu kajifunza kiswahil hata kufika ajafika ongera sanaaaa

  • @mmlove9127
    @mmlove9127 4 роки тому +5

    Huyu Demu akikaa bongo wiki mbili tu ataongea kiswahili zaidi ya profesor kabudi....

  • @santegotoronto5803
    @santegotoronto5803 5 років тому +81

    Safi kama umesikia Kuku kinyenzi Gonga like twende sawa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 5 років тому +16

    AISHA UKO VIZURI KWENYE KISWAHILI

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 5 років тому +53

    Mtangazaji unapomuhoji mtu kama huyo uwe unaongea taratibu sana ili akuelewe na ajifunze zaidi kutoka kwako.

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 8 місяців тому

    MUNGU nisaidie siku Moja ikukupendeza niende hii nchi ya china MUNGU nisaidie Mimi🙏🙏🙏🙏

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 років тому +3

    Safi friend of tz mnatia moyo nchi nzuli sio kupenda vita na maandamano ovyo badae maisha yanakua magumu

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 років тому +31

    Mimi pia funga hamna kula

    • @aidarousshaban9580
      @aidarousshaban9580 4 роки тому +1

      Hamdulillah nimeipenda sana mimi funga hamna kula halafu wewe mzaliwa kwenye uislamu unakula mchana wa ramadhan bila udhuru wowote unazidiwa na aisha mchina huoni haya?

    • @saidhamisi2795
      @saidhamisi2795 3 роки тому

      😂😂

  • @Sangoyamboka
    @Sangoyamboka 4 роки тому +1

    Chinese are really very cool. We call it inculturation. They speak african language and eat african food cooked in african way. Waouh! Bravo. Welcome to Afrika.

  • @jeremiakaridushi7974
    @jeremiakaridushi7974 4 роки тому

    Mtangazaji uko vizuri sana mana watu wengi huwa wanakiona kiswahili hakina diri umeona wakina aisha wamejifuza kiswahili wana piga helatu

  • @bananatz4216
    @bananatz4216 4 роки тому +6

    Maashaallah Muslim 🙏🙏

  • @musahussein3206
    @musahussein3206 5 років тому +6

    Kama umesikia dona sembe napika gonga like

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 4 роки тому +1

    NIMEWAPENDA SANA HAWA WA WATU WAPO VIZURI SANA NINGEKUWA NA UWEZO WA KUFIKA CHINA NINGEKWENDA NIONJE MAPISHI YAO NIMEFURAHI SANA KUONA WANAONGEA KISWAHILI VIZURI SANA NA HAWAJAWAHI KUFIKA TANZANIA I LOVE YOU ALL CHINESE PEOPLE SO MUCH WELCOME TO TANZANIA MWUAAAAAAAA!

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 4 роки тому +2

    maa shaa Allah nimeipenda sana Tz juuu

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 роки тому

    Daa nime penda ucheshi wa dd Aisha safi Sana mungu aku zidi shie

  • @gretamaheri8437
    @gretamaheri8437 5 років тому +6

    Kaka angu unajikaza kucheka sana 😂😂😂😂

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 5 років тому +1

    Safi sana hawa watu wanajitahidi kujifunza lugha yetu kweli nimeamini wana upendo wa kweli

  • @magrethelias1961
    @magrethelias1961 5 років тому +4

    TANZANIA juu hapana chezea

  • @kevincray5591
    @kevincray5591 5 років тому +2

    hongera sana AISHA nimekukubari sana

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому

    Ayo tv mko mbali xana duuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @wilsondomisian9807
    @wilsondomisian9807 5 років тому +4

    Bradha miradi ayo unapamba kwelkwel unaitangaza kaz yako hongeraa sanaa

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Рік тому +1

    Ooh my god swahiili China 💖💖💖💖💖💖💖🙏🇹🇿🇨🇳👏👏🇴🇲

  • @mubanduvuai7876
    @mubanduvuai7876 2 роки тому

    It soo awesame....

  • @husnanetto4154
    @husnanetto4154 3 роки тому +1

    Aki yamung Tanzania nchi pendwa

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 5 років тому +2

    Kwa vile anamjua jina rais MAGUFULI
    Kwa heshima hii rais magu engemualika huyu Aisha tz.
    Ni heshima kubwa walilolipatia taifa hili la TZ mpaka kumjua jina rais.
    MUHESHIMIWA RAIS NAOMBA HUYU MAMA WENGEMSAIDIA KUKANYAGA TZ
    NA PIA KUWA MGENI WAKO NA WATZ WOTE KWA JUMLA

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 роки тому

    Aisha uko vizuri hongera dada kwa kujuwa kiswahili

  • @DrSanai
    @DrSanai 5 років тому +1

    Aisee, tujifunzeni kichina....kinasaidia sana ukikijua.

  • @MtilahBlog
    @MtilahBlog 5 років тому +6

    Safar hii nikifika China nitawatembelea Hawa jamaa.

  • @gracecharles1244
    @gracecharles1244 4 роки тому

    China bado wanatumia Rambo 🤔🤔🤗😂😂Toto mbili mume n.a. mke...hongeraa sana aisha

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu5941 5 років тому +5

    Vizur sana hii story ni exposure nzur

  • @aminamgunga6270
    @aminamgunga6270 5 років тому +7

    Iyo kari khaaaa 😂😂mchina kavunja rekodi

  • @zakaliajoseph7705
    @zakaliajoseph7705 Рік тому

    Nmewapenda mnoo pia kwa sababu wanapika vyakula vzuri syo vinyoka nyoka hapana

  • @najma3268
    @najma3268 5 років тому +4

    Watanzania mnakwama wapi wanaume kupsaidiana na mke kupika mama tilie , mko radhi mkae vijiweni kupiga swaga mchana ukifika unaenda kwenye banda la mkewako kula tena ukikuta hata wateja ww ndo unataka uhudumiwe haraka wakati hulipi

    • @elizabethjoseph2116
      @elizabethjoseph2116 5 років тому +1

      Wanaudhi sio Sir ujanja wa kipuuzi tuuu msaada hakuna pumbu zao hao

    • @najma3268
      @najma3268 5 років тому +2

      Elizabeth Joseph haswa

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому

    Tuache uvivu tufanye kazi fulsa zipo nyingi bongo,vijana mnachagua kazi mnachotaka ni kubofya bofya simu zenu na kuzurura ovyo alafu mdondoshewe pesa tutachelewa xana,Enx ayo tv kwa kutuletea mambo mazuri

  • @amzamrid3571
    @amzamrid3571 3 роки тому

    Safi sana nimeipenda

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 4 роки тому

    Moja mme moja mke, safi sana. Nimeipenda

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 років тому +25

    Harafu eti vijidada huku vinajifanya havijui kiswahili

  • @yassirkipemba7889
    @yassirkipemba7889 5 років тому +9

    hamsinyii😂😂😂😂

  • @queengee988
    @queengee988 5 років тому +16

    Daah wanaume kam huyu mme wa aisha wa kusaidiana kaz hiv tz hawapo yan daaaahh🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 5 років тому +3

    Aisha nimekupenda ujawai kifika tz lakin unsongea kiswahili vizr wadada wa tz wenyewe wanakwambia kiswahili awakijui yan wanaboa kwel uko ndy mkataa kwao mtumwa

    • @babuallyabdallah2964
      @babuallyabdallah2964 4 роки тому

      Wapigaji tu hao
      Wanajifanya kizungu kwa wiiiiingi!!!
      Ukizubaa imekula kwako

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 4 роки тому +1

    Dah nmefurahi sana ajawai kufika tz lakini anajuwa vizuri kiswahili

  • @batromeombogo7131
    @batromeombogo7131 5 років тому +9

    Huo uguli uwe mgumu basi maana kuna wasukuma huku wakija huko kama ugali laini watamaliza sufuria nzima walai

  • @badaral6167
    @badaral6167 Рік тому

    Mashallah mashallah mashallah mashallah Aisha

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 років тому +1

    Magufuli ana julikana hadi China

  • @mubanduvuai7876
    @mubanduvuai7876 2 роки тому

    I like the way she talks

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 роки тому +1

    Aisha anaongea kama masai!

  • @officialsalmazayn2938
    @officialsalmazayn2938 5 років тому +4

    Unamuliz A anajibu H 😂😂😂😂Watangazaj poleni

  • @aminamadenge8598
    @aminamadenge8598 Рік тому

    Ayo naomba mm nifike uko niwasaidie tufike mbali kwenye bishara jaman

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 5 років тому +2

    Mashaa Allah muislam dah

  • @PowerPower-ms3bs
    @PowerPower-ms3bs 4 роки тому +1

    Safi sana mchina

  • @selemanikapara1972
    @selemanikapara1972 5 років тому +6

    ila nilicho jifunza wenzetu huwa hawaachi fursa. aisha huyo kama ni huku kwetu huyu ni mama ntile kabisaaa wa kitaa, lkn kajiongeza kaenda kusoma kiswahili ili ahudumie wateja wake lkn kwetu huku anaye jifunza kichina ni tour guide lkn kwa mama ntile kibongo bongo bado sanaaaaa japo kuwa wachina wako kibao wanafanya shughuli za ujenzi. watanzania tujifunze kitu kutoka kwa AISHA kujiongeza ni kitu muhimu sanaaaa

    • @mosimba467
      @mosimba467 3 роки тому

      Kweli kabisa ndg yangu

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 4 роки тому +1

    shikamoo kiswahili, mi nilidhani kawahi kukaa mbagala maana anatiririka kiswahili hadi raha.

  • @faridaothman
    @faridaothman 5 років тому +2

    Safi sanaaa

  • @ambrosekituyi2199
    @ambrosekituyi2199 5 років тому +1

    Kwa kasi hii wachina wameshaiteka dunia nzima. The future is exciting.

    • @jp1780
      @jp1780 5 років тому +1

      Ambrose Kituyi wamesha taker over dunia American hawajajuwa tu ila soon they will see most countries will start using the dollar and that will be the end of it

  • @mcnjovu3525
    @mcnjovu3525 4 роки тому

    Big up sana milard ayo wachina saizi wamekua kwa rugha

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 3 роки тому

    Unazaliwa chikundi huko alf kesho ukihojiwa unafnya hujui kiswahili aiseeee 😂 bongo n kwikwi jmn mweeeew

  • @am12ghh37
    @am12ghh37 4 роки тому

    Mashallah she is very nice lady ❤👌💕💕

  • @priscalameck8700
    @priscalameck8700 4 роки тому

    😀😀kiswahili kinachanja mbuga duuh

  • @fettyameir4514
    @fettyameir4514 5 років тому +3

    Nic

  • @jumaramadhan3380
    @jumaramadhan3380 4 роки тому +2

    Aisha kiswahili chako cha privet kwelii 😂😂😂gonga like nyingi nyingi kwa Aisha

  • @africanbeautyx4128
    @africanbeautyx4128 4 роки тому

    Huyu mchina kanifurahisha sana anmjua hadi muheshimiwa rais Magufuli

  • @frankassey5971
    @frankassey5971 5 років тому +2

    Kumbe kuku wa kienyeji wapo

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 4 роки тому

    Watanzania mwe macho.Mtapikiwa Mbwa na Nyoka

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 5 років тому

    nimefungua miaka bili hapa..hihihihiiii umejitahid aisha

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 4 роки тому

    Nimekupenda cn aisha

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 5 років тому +2

    Nimetaman dona hilo jmn😋😋😋

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 роки тому +3

    Kama na wewe umeliona dona hilo china hebu gonga like twende sawa😁

  • @mwanadamtz1298
    @mwanadamtz1298 5 років тому

    Amazing nilicho jifunza kutumia fulsa

  • @michelletv5648
    @michelletv5648 3 роки тому

    Nasikia Raha Sana💕💕💕💕💕💕

  • @wilsonmaduhu5610
    @wilsonmaduhu5610 5 років тому +1

    Safi sana Aisha

  • @faridaothman
    @faridaothman 5 років тому +1

    Meini mombe jaman

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 5 років тому

    karibu sana kwenye dini yako ya asili Msalimie sana kaka Jet lee

    • @mrholela7906
      @mrholela7906 5 років тому

      Haha hahahaha ....mnachekesha sana

  • @e.b.m.y.c.b4848
    @e.b.m.y.c.b4848 5 років тому +1

    Mchina ametisha sanaa

  • @nicksape6598
    @nicksape6598 4 роки тому +1

    Ugali samaki 50000,chips mayai elfu 60000, endelea kusema 2000, n bei

    • @kijanamatata7135
      @kijanamatata7135 4 роки тому

      Sio elfu 50, ni Yuan 50 ni ya kichina sio elfu50 ya kitanzania kaka.

  • @bilalihamis1975
    @bilalihamis1975 4 роки тому

    Tian tian jina langu la kichina

  • @veronicadickson1859
    @veronicadickson1859 4 роки тому

    safi Sana, Sasa unawakuta watanzania wajifanya hawajui kiswahili eti aonekane kingereza kimemuathiri hovyo 😂😂

  • @ramsojimmykelly3379
    @ramsojimmykelly3379 5 років тому +3

    Aisha umetisha sana

  • @najmanassoro308
    @najmanassoro308 2 роки тому

    Mashallah

  • @estherdeo1858
    @estherdeo1858 3 роки тому

    Good job

  • @hawasaleh504
    @hawasaleh504 4 роки тому +1

    Hamshinyi Hhhhh nmeshjua kmbe kichna

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 5 років тому

    Njoo Tzania Aisha upige pesa sasa huko tafuta beki tatu wa kibongo ww uje Tzania miaka miwili tu usipomiliki kiwanda

  • @josephmatonyi1802
    @josephmatonyi1802 4 роки тому

    Wewe eeeeeeeeeeeee gooooooooooood China

  • @mgendimussa7224
    @mgendimussa7224 4 роки тому

    Kama umesikia meni baada ya maini gonga like twend sawa

  • @zakayomusa9933
    @zakayomusa9933 4 роки тому

    Hongera Aisha

  • @hancy_boy255
    @hancy_boy255 4 роки тому

    Ebwa hii ni ya ukweli lazima nikienda tena China lazima niende

  • @giftnyakipande1253
    @giftnyakipande1253 4 роки тому +1

    Wow

  • @celinelihaka2362
    @celinelihaka2362 4 роки тому

    Good luck Aisha

  • @zaidishabani5745
    @zaidishabani5745 5 років тому +2

    Kwel Sasa ubunifu unaonesha matunda yake sio kila siku wasanii embu tujifunze km hivi

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 роки тому

    Jitahidi mama uyo tanzania magufuli wamjua

  • @shuaybukitwanga7644
    @shuaybukitwanga7644 4 роки тому

    Mashallaaaaaah Aisha