Hongera sana mh Kwa kazi nzuri ya taasisi yako ya mwanammke lakini pia Kwa upambanaji wako wa kuona kuwa unatekeza yale yote anayoyataka Mh Raisi wetu mpendwa Dr Samia Suluhu kazi zinaonekana .
Usijali mtoto,kuhusu mama yake,wamtukane Tu Mimi binafsi Nampenfa sana Mama Samia tunaona kazi anazofanya. Duniani awawezi kukupenda wote.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
asante sana Kikete kwa interview inzuri. tunaomba nyingine utamuliza; a) anabalance vp muda wake na familia yake? Mana mume wake ni kutwa kukimbia na kazi etc b). malezi yao: mama alikuwa mtu wa ainagani wakati wanakuwa. c) kaka zake je Wanu are thy protective of her? d). ana watt wangapi kwa sasa? e).
Mashaallah mashaallah mashaallah it is amazing amazing amazing high high high class beautiful beautiful beautiful queen queen queen angel angel angel cute cute cute gorgeous gorgeous gorgeous mashaallah nice high beautiful mashaallah
Safi sana, mtoto wa mama yangu mpenwa, nampend sana mama samia natamani hata siku moja nifanye kazi nae manake anafanya vile mimi nilivyokua nawaza kichwani mwangu. Jamanii mwambie mama yako nampenda sana yena sana natamani siku moja nikutane nae nikae nae kama mwanae mpndwa
Nimependa kusikia ata nyumba za bati ilikuwa azipo leo zipo kingine maendele uko mashindano sehemu na sehemu safi sana shida hapo itakuja akitoka madarakani wasani mawazri kila mtu anayekimbili leo uko amtawaona tena wataamia kwa raisi atakaye kuwa madarakani akijenga kwao
Huyu dada anahofu ya Mungu, hongera sana. Unafaa kuwa mshauri wa rais,tumia nafasi yako vizuri kwa maslahi ya taifa zima. Kumbuka mam atamaliza mda wake ww unasafari ndefu ishi vizuri na watu.
Hata chato imekua si ndio zenu,sasa munashangaa nini na hapo kuna marais wa wili kikeke umeaza kuwa munafiki kizimkazi ingekua bila rais kutokea hapo😂😂😂
Kikeke leo anasikiliza majibu mpaka muulizwaji amalize kujibu. Pia, maswali ni aiseee....! Namwona mbali Sana Kikeke kama Sehemu ya Serikali hii the coming days.
MAONI YANGU KILA MTU MWENYE WADHIFA HUTUKANWA . PIA TOFAUTISHA MAMA NA RAIS. Mama kama mama HAWEZI TUKANWA.. ILA RAIS NI SERIKALI NA SERIKALI KUTUKANWA KAWAIDA. maana Uelewa wa watu na mifumo kwa ujumla kuna Muda vinawapanikisha watu
Ondoa sufuri ni skuli moja tu hasnu makame na kwa vile ni boding ila tunaomba kuna skuli mfano kusini secondary, kajengwa secondary, na mmakunduchi secondary pia ziwe boding school km hasnu makame, watoto wapate chakula skuli Hapo tutatoboa
Mwambie mama akazane sana Tanzania inamuhitaji sana ila mbwa wapumbavu bado wanabwekea ndege ya maendeleo asishangae kenge kuwepo kwenye msafara wa mamba hii ni kawaida sana kupata wajinga wachache kwenye maendeleo ata kwetu wapo
Yanu Rais Samia kutengeneza Kwao Kizimkazi ni shida,, lkn Hayati Magu alipokuwa akiitengeneza Mwanza ilikuwa ni fresh tu,, hamna shida wala tatizo llte,, na hamkuwa mkisema kitu
Yaani hata ukiwa mtoto Wa Mchungaji ,shehe n,k watasema baba yako anakula sadaka cha msingi ni kumuomba Mungu na kutenda kile ambacho chaweza kuwa sahihi Kwa unawaongoza ,na Kwa Mungu lawama hazikwepeki
Watanzania, wenye maalifa tunapenda uongozi wa Mama Yako, Kwa baadae Tunapenda aje mtoto wa Samia Suluhu Hassan awe Rais,. Jamani tunampenda Mama Yako..
Acheni wivu toka zamani wazanzibar mnatuchukulia poa ila Saiv hamuamini macho yenu kwanza acha Makasiriko ww hujampigia kura Raisi ni Mungu2 kampatia nafasi ilooooo tulia kama moja tuachie Mamaetu
So softly spoken. Chapa kazi usisikilize maneno ya wazushi. Keep your energy burning... Viva❤
Nakupenda sana, na usiache kijihifadhi ni heshima yetu wanawake,,unapendeza sana,,nampenda Mama yako ndiò Mama yangu ndio mama yetu ❤
@@mwajohari4385
Ni vyema sana Mashaa Allah!
We kweli bwabwa
Mashallah ♥️♥️♥️♥️
Unafki tuu hamna lolote 😢😢
HONGERA SANA MHE.WANU HAKIKA MIF imekuwa Mkombozi Kwa Watoto / Mabinti Wa Kike na Wanawake Kwa Ujumla.BIG UP Keep it UP
Hongera sana mh Kwa kazi nzuri ya taasisi yako ya mwanammke lakini pia Kwa upambanaji wako wa kuona kuwa unatekeza yale yote anayoyataka Mh Raisi wetu mpendwa Dr Samia Suluhu kazi zinaonekana .
@@alyakida5262
Kazi iendeleeeee!
Mungu akulinde Wanu na familia yako❤
@@mwanahawanyambi9440
Ameen Yaa Rabby
asante mama na mtoto kwa kazi nzuri yakuijenga zanzibar
mitano tena kwa mama.
@@Allybinamour
Na'am. Haipingwi hiyooooo!!
Safi sana mjenge kwenu marais wote walijenga kwao
@@Kabwela776
Ni kweli kabisa. Mtu kwao!
Hongera dada wanu chapa kazi binadamu hawezi kupendwa na wote,kwani pesa ndo zinapendwa na wote.
@@mwijagenurdin6135 Hapo umesema. 😂😂😂 pesa tuu ndio zinapendwa na watu wote. Binaadam ni chuki, wivu na hasada.
Wew fala kaakimya
@@mwijagenurdin6135
Haipingwi hiyooooo!!
Mh wanu Asante sana sie tunakujuwa ulivyo mungu akuzidishieni afya
@@BimkubwaJuma-ew5dg
Ameen
Yaani hapa ni mama kabisa. Nimekupenda!
@@lightnesselirehema1464
Mama na mwana Mashaa Allah!
Hongera SANA Da. WANU chapa kazi....
Usijali mtoto,kuhusu mama yake,wamtukane Tu Mimi binafsi Nampenfa sana Mama Samia tunaona kazi anazofanya. Duniani awawezi kukupenda wote.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Pia kuchukiwa na wengi lazm ujitathmini…
@@AminaMkumba-u3z
Wanga na wachawi lazima watakuwepo kwani hasidi hana sababu, Subhana Allah!
Wengi hao wako wapi kilimanjaro na mbeya ndio wengi acha ujinga hata uko mbeya na kilimanjaro wengi wanampenda mama..!@@tumainimayala8187
Kikeke noma sana mzee adi kwa mtt wa raisi
yupo vizur
interview zake hazichoshi kuangalia
Mashallaah kazi nzuri mnayo ifanya mungu awa bariki❤❤❤
@@SalimKombo-xo4pq
Allahumma Ameen
She's so smart may almighty Allah protect And bless you sister ❤🙏
Safi kabisa mitano tena kwa mamaaaaaa
Nampenda sana Mama ….Allah amlinde kila hasada ….aaaamin
amiin
@@Safreenfeen
Allahumma Ameen
Jamani tunampenda Mama Samia Suluhu,..
Tunampenda sanaaaaaaaa.
@@danielshimora5315
Hakika hiyooooo. Long live mama SSH !!
Hata mm nampenda kwakua matendo yake ya utekaji napenda
I like the interview, the content, and the way she is calm.
@@yassinuddi
She is as calm as water in the pot, Mashaa Allah!
Like her mom ❤
@@alwatansharyf9294
Mashaa Allah!
Kama kisimkazi mnaish Kwa amani na sisi watu wangorongoro tunaitaji kwa na maendeleo na amani hii nchi mnataka kula wenyewe sio sahihi
Wewe utakuwa ni mwanga au malaya
Hayati Magu alivokuwa akiitengeneza Mwanza ulikuwa humuoni ama??
Ninyi mnakutaka ngorongoro ili muwe vivutio vya uatalii nendeni Kilindi na handeni acheni siasa
Kwhy ww mpumbavu umeiyona ngorongoro tu bwege ww
Kabisa ndugu yangu
❤❤❤ mtoto mama mkwe
Anafanana sana na mama Samia
@geofreymalekana8000
Like mum like daughter !
asante sana Kikete kwa interview inzuri. tunaomba nyingine utamuliza; a) anabalance vp muda wake na familia yake? Mana mume wake ni kutwa kukimbia na kazi etc b). malezi yao: mama alikuwa mtu wa ainagani wakati wanakuwa. c) kaka zake je Wanu are thy protective of her? d). ana watt wangapi kwa sasa? e).
Jamani tuacheni hasada Mja ukiwa huoni Neema basi utaukuta Una nakama kaeni na nyiye pahala paa BiSamiya kama rahisi tuacheni majunguu
@@FatimaMohamed-n5h comment yako ni tofauti na nilichongelea.
yupo vizur kikeke mashallah
Dada umefanana sana na mama mashaallah
Mpk kuongea kwa mikono
kweli kabisa
Wallahi,masha Allah mma samia kajizaa mwenyewe,copy right,utadhani sura ya mma ilichukuliwa akawekewa mtto❤❤🎉
@@MaulidAbdullah-nw9wu
As mum as daughter Mashaa Allah!
@@nurumwinyi796
Mashaa Allah!
I say Very Very true I can't Believe Samia has British Education ✌️
Mashaallah mashaallah mashaallah it is amazing amazing amazing high high high class beautiful beautiful beautiful queen queen queen angel angel angel cute cute cute gorgeous gorgeous gorgeous mashaallah nice high beautiful mashaallah
Chawa
@@abdulazizjeizan-vx1mc
Mashaa Allah wa Tabarak Allah!
Safi sana, mtoto wa mama yangu mpenwa, nampend sana mama samia natamani hata siku moja nifanye kazi nae manake anafanya vile mimi nilivyokua nawaza kichwani mwangu. Jamanii mwambie mama yako nampenda sana yena sana natamani siku moja nikutane nae nikae nae kama mwanae mpndwa
😅😅😅😅😅
Masha Allah..
Hongereni
Mashaallah mashaallah mashaallah amazing amazing high high high beautiful beautiful queen queen queen angel angel angel pretty pretty per pretty cute cute cute khuub suurat khuub suurat bohot bohot khuub suurat
Safiiiiiii manshaalaah
Take courage my dear ❤
❤
Uko mzuri kwer❤❤🎉🎉🎉
Muke ya mchengerwa ❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Jamani nawapenda nawapenda sana natamani siku moja nimshike mkono rahis wangu kwa kazi kubwa anayo fanya,
@@irenejoh1242 malaya wewe huwezi kuelewa kwakuwa umeshazoea kudanga
@@walidmgonja3644 malaya wewe na mamaako
@@walidmgonja3644 malaya unaefilwa
Sioni tatizo kwa mtoto wa rais kushughulika na shughuli mbali mbali za maendeleo ya nchi.
Kafanana nae sana
Sio watu wa bara bali hapa Tz tunabaguana sana kidini chini kwa chini
Sio ubaguzi ukifanya vizul utapendwa nawengi mfano maguful alipendwa nawengi alichukiwa na wachache
Pole sana shemu,pole sana dada.Wanu.Coz wanadamu ndio tulivyo.Hauwezi kusifiwa ukiwa hai,so mama afande kazi tu maana ya binadamu nimengi sana
Nimependa kusikia ata nyumba za bati ilikuwa azipo leo zipo kingine maendele uko mashindano sehemu na sehemu safi sana shida hapo itakuja akitoka madarakani wasani mawazri kila mtu anayekimbili leo uko amtawaona tena wataamia kwa raisi atakaye kuwa madarakani akijenga kwao
Hongera dada wngu wanu
👏👏👏💯
Kazi iendelee
Ushambatu
Huyu dada anahofu ya Mungu, hongera sana. Unafaa kuwa mshauri wa rais,tumia nafasi yako vizuri kwa maslahi ya taifa zima. Kumbuka mam atamaliza mda wake ww unasafari ndefu ishi vizuri na watu.
Vizuri sana ila maendeleo.ya3nde pnde zote za zanzibar
imagine huyu awe mke wangu mtoto wa rais itakuwa kazi yangu napiga zoezi sana nahakikisha napeleka moto vilivyo 😂😂
Weweeee toka hapa ushaanza kuuona umariooo tuuuu nyoooo😂 ka mserereko siyo
Watu mna upeo mdogo sana wa kufikilia
Wanaume wenye akili ya umaskini utawajua tu Mambo Yao n kutongoza tu na kufanya ngono ila kufikiri kukuza uchumi wao n shida
Astaghafiru Allah
Wao wakipenda wasipende ilo lishapangwa na Mungu awe rais
Mwambie mamako hii NCHI sio ya kwenu ...😢😢😢
Niyakwenu wewe
Kamwambie weye unaogopa nini na weye mwamba?
@@firdaus7428😂😂😂
😂😂😂😂 Na hao walokuwa wakisema kwao wako wapi sasa hivi ???? Si washakufa basi ujuwe wewe pia siyo kwenu….
Ni ya nani au ya manara?
Kikeke
Kikeke kikeke
Mashallah nakupenda sana natamani siku nionane na wewe nipige na wewe japo picha.
Mtoto wa RAIS hana juwa kujibu kwa umakini sana
NAMPENDA SANA RAIS NA MAMA SAMIA. ❤❤KAZI IMEENDELEA BILA WOGA
Hii familia ya watu wenye akili mama Samia ana akili sana
Mnatekeleza Zanzibar au?
Jaman dada mm nimefurah kusikia unavyopenda kujichanganya na watu wa kawaida kama ss bas naomba msaada wako nichangie chochote mtoto wangu aende shule
😂 Kwani yeye sio binadam wa kawaida
Ndo hapo tumuulize, binadamu tuuu kama wengine labda tumezidiana mafanikio tuu 😅😅😅😅😅😅😅
Na kukubali ufate nyao za mama. Unaeleza kila jambo kwa ufasaha zaidi. Naomba contact
🎉🎉🎉 SAMIA APEWE MAUA YAKE.
Bboyo Wacha Kuropokwa Chagua Maneno Ya Kuongea Kama Huna La Kuongea Nyamaza Nyie Ndio Wale Mnavuta Bangi Na Njaa Mnaropoka Hovyo Busy Wee
Yani africa kila kiongozi ana fanya maendeleo kijijini kwao
@@ilynpayne7491
Kabisa kwani "Mtu kwaoooo!!"
Wanafurahi
Hamna jinsi mama ni mvumilivu na ww vumiliq yatapita mama nam🎉🎉🎉
Ndoto ya kila kijana mwenye maisha magumu
Hata chato imekua si ndio zenu,sasa munashangaa nini na hapo kuna marais wa wili kikeke umeaza kuwa munafiki kizimkazi ingekua bila rais kutokea hapo😂😂😂
Kikeke leo anasikiliza majibu mpaka muulizwaji amalize kujibu. Pia, maswali ni aiseee....! Namwona mbali Sana Kikeke kama Sehemu ya Serikali hii the coming days.
MAONI YANGU KILA MTU MWENYE WADHIFA HUTUKANWA . PIA TOFAUTISHA MAMA NA RAIS. Mama kama mama HAWEZI TUKANWA.. ILA RAIS NI SERIKALI NA SERIKALI KUTUKANWA KAWAIDA. maana Uelewa wa watu na mifumo kwa ujumla kuna Muda vinawapanikisha watu
Walimwengu hatuishiwi maneno. Nampenda mama samia. Napenda chama cha mapinduzi
Ondoa sufuri ni skuli moja tu hasnu makame na kwa vile ni boding ila tunaomba kuna skuli mfano kusini secondary, kajengwa secondary, na mmakunduchi secondary pia ziwe boding school km hasnu makame, watoto wapate chakula skuli Hapo tutatoboa
Nafurahia Amani iliopo katika tanzania chini ya Dr. SAMIA
Mwambie mama akazane sana Tanzania inamuhitaji sana ila mbwa wapumbavu bado wanabwekea ndege ya maendeleo asishangae kenge kuwepo kwenye msafara wa mamba hii ni kawaida sana kupata wajinga wachache kwenye maendeleo ata kwetu wapo
@@AbedKirway-tr5wx
Na'am ni kweli kabisa kwani Penye riziki hapakosi fitina!!
Mbona watu mnaumia sana na wewe jenga kwenu hujakatazwa
Bora nisome koment tu 🤭🤭🤭🤭
Jengeni kwenu alafu bara uzeni kila kitu bandari na mbuga zote ziuzeni
@@oyay2821 Mhhhhh
Yanu Rais Samia kutengeneza Kwao Kizimkazi ni shida,, lkn Hayati Magu alipokuwa akiitengeneza Mwanza ilikuwa ni fresh tu,, hamna shida wala tatizo llte,, na hamkuwa mkisema kitu
Acha unafiki wewe Magufuli alijenga kwao Kikwete pia na Mkapa
Wabongo manamatizo sana umechuku kila kitu ZNZ sahivi rais MZanzibar big problem
😂😂😂😂😂
Hongera Salim kwa mahijiano yako, hujaongea neno hata moja la kingereza, lakini unaowahoji ni waingereza wa kubumba
Jamani matusi Kama yote shida Nini kwani Rais wote walio pita hawakuwepo masikini fanyeni kazi kwa bidii mtimize malengo yenu.
Anaongea kwa kujiamini huyo
Binti muangalie zaidi Mama yako kama 'Role model' utafanya makubwa kuliko hata mama yako
Nami nakuja kesho Asubuhi
Hicho chuo Kiko wapi
Asa kama mtoto wa rais ili tufanyeje
Ila kuna watu wana makasiriko kwenye comments. Nyingine zinachekesha😂 na nyingine zinahuzunisha😢.
Mmmm atuache tu nani asie penda kuona anaonekana
Nimekukubali hii kali
Lupaso , msoga , chato , kizimkazi , next ……???
Tusubir tuone
Kizimkazi inajengwa na fedha za wapi ila wamasai waendelee kuhangaika kama ndege mtini haki ipo Kwa allah
Yaani hata ukiwa mtoto Wa Mchungaji ,shehe n,k watasema baba yako anakula sadaka cha msingi ni kumuomba Mungu na kutenda kile ambacho chaweza kuwa sahihi Kwa unawaongoza ,na Kwa Mungu lawama hazikwepeki
Mama kahamishia Mali za tanzania 🇹🇿 Zanzibar 😔
Pigeni pesa Kizimkaz iwe kama Dubai
Mambo mengine usiwe unayafatilia
Mtoto wa Raisi...hafananii na mtoto wa mkulima kule muleba..Hii Nchi wanayoifaidi ni wachache...saana
Watanzania, wenye maalifa tunapenda uongozi wa Mama Yako, Kwa baadae Tunapenda aje mtoto wa Samia Suluhu Hassan awe Rais,. Jamani tunampenda Mama Yako..
Magufuli magufuli magufuli,pumzika kwa amanii,tulipokua tunaelekea tulikua tunaauna saivi sasa da,kilio
dada Kama bado hujaolewa fanya uolewe na m bala tudumishe undugu na mungano sisiwote ni wa TANZANIA
TZ
Nendeni kwenu
Mshauri ajiuzuru urais kama hutak aitukanwe
Naomba siku moja uwaulize watoto wa Tundu Lisu wanajisikiaje kwa baba yao kupigwa risasi
Kizimkazi lazima iwe juu chezea pesa za walipa kodi na mikopo ya kila siku huku masikini huko vijijini maisha ni magumu sana nyinyi mnazidi kuneemeka
Wewe unatakaiwe ndogo ama
Kama chato
Acheni wivu toka zamani wazanzibar mnatuchukulia poa ila Saiv hamuamini macho yenu kwanza acha Makasiriko ww hujampigia kura Raisi ni Mungu2 kampatia nafasi ilooooo tulia kama moja tuachie Mamaetu
Yajayo yanafurahisha