TUMEONYESHWA KILA HATUA, WANAVYOTUMA MIZIGO CHINA- TANZANIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • Silent Ocen ni Kampuni ya Kitanzania inayofanya kazi ya kusafirisha mizigo kutoka China kwenda Afrika ikiwemo Tanzania.

КОМЕНТАРІ • 200

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 5 років тому +38

    Millard Ayo mko vizuri sana kwenye kupromote wabongo waishio nje.. Hongereni sana 👏👏👏

  • @deniskaijage1857
    @deniskaijage1857 5 років тому +21

    Kitu kimoja kinawafamya muwe bora zaidi ni kutoa habari za ukweli wala siyo uzushi uzushi

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 років тому +20

    Huwa naitumia saana hii kampuni ys Silent Ocean kunisafirishia mizigo yangu
    Big Up saaana S,Ocean👏🏼

    • @hajikhatib8840
      @hajikhatib8840 5 років тому +2

      Khalid naona comment yko hapa !! But plzz naomba tuwasiliane nitafute kwa hii nomber plzz +974 30170668 plzz

    • @khalidballeth5957
      @khalidballeth5957 5 років тому

      Haji Khatib sawa mkuu

    • @ghalibmansour7857
      @ghalibmansour7857 5 років тому +1

      Khalid huwa wanachaji kiasi gani kwa cbm moja ? Au kwa kg ? Garama yote mpaka Tz inacost vp?

    • @khalidballeth5957
      @khalidballeth5957 5 років тому +2

      Ghalib Mansour huwa wanachaj 380 na kitu Usd kwa CBM moja
      Yaani almost 400$usd kwa cbm moja

    • @ghalibmansour7857
      @ghalibmansour7857 5 років тому +1

      @@khalidballeth5957 Khalid mm cbm siifahamu ukubwa wake ... unaweza nifahamisha ukubwa labda au ni mfano wa kg ngapi tuseme

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 4 роки тому +3

    Mungu nijalie niende china n mm

  • @beijoozessence1048
    @beijoozessence1048 5 років тому +3

    Dahhh haah ukweli nimefuraishwa sana kwa kweli silent.oceAn mkombozi wa Mtanzania akiwa china ivi mbona muna moyo mzuri ivooioooo""live longggg

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 5 років тому +8

    Habar kaka nimeipenda xana kazi na huduma ya Silent ocean na huwa nafatilia, naomba kujua kama wanahusika na kutuma bidhaa zingne kama Poultry cages coz hapo naona tu ni nguo

    • @eminentmnzavas4463
      @eminentmnzavas4463 3 роки тому

      Cheki video ya kwanza kuna phone number zao na web site yao

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 5 років тому +5

    Kweli mnakiu ya habr hongereni sanaaaaa Kwa investment yenu

  • @zanzibaronetv988
    @zanzibaronetv988 5 років тому +2

    Licha yakua mnafanya kazi kujipatia Riski lkn pia hongereni na Ahsante kwa juhudi mnazozifanya Ahsante sanaaaa

  • @josephinekimenye2192
    @josephinekimenye2192 4 роки тому +1

    kwa kweli mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri.
    kwa mfano akitaka kuagiza mzigo toka china na hajui aanzie wapi mnamsaidiaje

  • @sendeesupriydewoochiagaliy7474
    @sendeesupriydewoochiagaliy7474 5 років тому +2

    great a lot research wa tanzania Tuige kwa wenzetu

  • @nalyismail9915
    @nalyismail9915 4 роки тому +3

    Nipo kwenye groups za kuagiza mizigo China na huwa tunatumia silent ocean kiukwel wapoo vzr Ila natamani Sana Mungu anipe uwezo siku moja na mm niwe mfanyabiashara mkubwa hata niende mwenyewe kufuata mizigo inshallah

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 5 років тому +3

    Hakuna kama silent ocean na ijumaaa wananipakilia mzigo wangu thanks we support you

  • @kriegerfrieden
    @kriegerfrieden 5 років тому +5

    Nice sanaaa milad
    Endelea kutufunza vitu vizur

  • @sellah4603
    @sellah4603 5 років тому +5

    Millard Ayo kama uko nayee chin mwambie anifanyie mpango w canon uko nibei chee awake kwenye begi nitakuja mpoke 🤝

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 5 років тому +2

    Hongereni sana vijana mliopo pande za China nimejikuta nikivutiwa sana na kuingia katika Biashara hii kwani nitaweza kununua biashara yangu China, kuisafisha kwa kutumia agent wa uhakika mpaka unafika Tanzania kisha naenda kuufuata kwenye Godown lao kwa mara ya mwisho.

  • @ahmadiakili261
    @ahmadiakili261 5 років тому +9

    MillardAyo itabaki kuwa juu

  • @djmossikahayodjmossikahayo8537

    Good News millard tv

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 10 місяців тому

    Hongereni saana kwakuturaisishia usafirishaji

  • @OmarBaabdeTz
    @OmarBaabdeTz 5 років тому +5

    Silent Ocean itabaki Kuwa Juu Kama Kamaida Tunakimbizaaaaa Mgaddam Mgaddam Nakuona Generally ukitoa Survey Unatishaaaaa

  • @elizabethkayinga1149
    @elizabethkayinga1149 5 років тому +1

    Duh hamjauliza hata bei labda tungepata ujasiri wa kwenda kuchukua mzigo China waandishi wengine bhana

  • @DumperClassic
    @DumperClassic 2 місяці тому

    Safi sanaa

  • @MavaziClothing
    @MavaziClothing 5 років тому +2

    Wageuzieni kibao hao Jamaa ndiyo mtakuwa juu bongonians.
    Mkifuata maneno yangu mtakuja kunishukuru baadae.

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben1446 3 роки тому

    Safiiii mnatupatia vitu vizur

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew8309 5 років тому +1

    Safi sna Millard Ayo

  • @salumsalum2901
    @salumsalum2901 5 років тому

    Hongereni sana silent Je kama niko zanzibar upo uwezekano wakunifikisha mzigo wangu hadi zanzibar

    • @ringotv4918
      @ringotv4918 5 років тому

      Salum Salum upo uwezekano mm mwenyewe naishi zanzibar naletea

    • @salumsalum2901
      @salumsalum2901 5 років тому

      @@ringotv4918 hapa zanzibar office ya Silent iko wapi?

    • @ringotv4918
      @ringotv4918 5 років тому

      Unafuata bandarini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 роки тому

    Hakika mmetusaidia sana kwenye hili safi sana. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 5 років тому +2

    Jaribu kumuuliza kama wanahusika na bidhaa katika sector ya kilimo na mifugo pleaz

  • @deking96
    @deking96 5 років тому +14

    Je? Naweza kuagiza mzgo bila kwenda uko na nikaupata mzgo

    • @romzget1892
      @romzget1892 5 років тому +1

      yes you can do without to go china

    • @pastorjacobgasper4645
      @pastorjacobgasper4645 5 років тому +1

      Romzget how?

    • @romzget1892
      @romzget1892 5 років тому

      @@pastorjacobgasper4645 0713089612 call or tsap for more bro

    • @hamzamussa8727
      @hamzamussa8727 5 років тому +1

      @@romzget1892 wewe unahusika silent ocean? ..nahitaji kuagiza mzigo

    • @romzget1892
      @romzget1892 5 років тому +1

      @@hamzamussa8727 No siusiki silent ocean sema uwaga nanunuaga vitu online mala kwa mala

  • @zuuothman9170
    @zuuothman9170 4 роки тому +1

    Tuleteen na huku oman tunapata tabu sana tunaibiwa mizigo yetu haifik salama

    • @romzget1892
      @romzget1892 4 роки тому

      mdada nakutafuta vepe whatsap ckupati ume change whatsap number me n jackson umenipata?

  • @YonasKatabaz
    @YonasKatabaz 10 днів тому

    Natamani kuwa wakala wa kuuza magari kutoka china mnanisaidiaje

  • @EphraimJoseph-zp1yi
    @EphraimJoseph-zp1yi 3 місяці тому

    Naulizia kwa kontena Moja LA mzigo wanasafirisha kwa shingapi please nisaidie

  • @anoldamarini9788
    @anoldamarini9788 5 років тому +1

    Yupo vizur sana ok

  • @gadafigadafi4464
    @gadafigadafi4464 4 роки тому +1

    Broo tembelea Dubai kujuwa soko lale na urahisi wakazi zake asant

  • @kingjafu7759
    @kingjafu7759 5 років тому +5

    We jamaa Umekula shrimp 🍤

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 років тому

    Ujawauliza bhana kuhusu gharama za malipo ya usafirishaji mzigo kutoka China to Tanzania

  • @adelynemizengo1514
    @adelynemizengo1514 5 років тому

    Safi sana aisee

  • @emyemy2229
    @emyemy2229 4 роки тому

    Duu naipenda hivi bila kwenda inawezekana

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 5 років тому +2

    Yani huduma nzuri sana wallah mm uku Dubai nasumbuka na mizigo mpaka basi Kwanzaa mizigo unafunga mwenyewe usafiri wa kupeleka bandali mwenyewe uandike majina na no yasimu mwenyewe yani

    • @ramadhannasibu7753
      @ramadhannasibu7753 5 років тому

      Silent Ocean na huko Dubai wapo kwa jina la KILIMANJARO CARGO

    • @fatwimamakungu5456
      @fatwimamakungu5456 5 років тому +1

      Ramadhan Nasibu naomba no zao

    • @ramadhannasibu7753
      @ramadhannasibu7753 5 років тому

      +971543478776/+971589399892

    • @fatwimamakungu5456
      @fatwimamakungu5456 5 років тому

      Ramadhan Nasibu shukran

    • @rafaeltem2525
      @rafaeltem2525 5 років тому +1

      Fatwima Makungu ndugu yangu niko Tanzania songea nafanya biashara naomba nisaidie natamani kuja huko

  • @samirasleiman3508
    @samirasleiman3508 Рік тому

    Silent ocean mbona sim zenu hazipatikani?

  • @ماجكموزجوني
    @ماجكموزجوني 4 роки тому

    Okay from China to Dar. But we've only see one part. China. How about the rest. From Ocean to the Port to DAR warehouse to the customer... Needs to follow up not let it hanging on air. That what they call it about that job

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 3 роки тому

    Jee kwawale waliopo Zanzibar wanafaidika vipi nahuduma hizi

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 5 років тому +1

    ooohnimefurahisana

  • @massawejacob
    @massawejacob 4 роки тому +1

    Naomba contact za huyu op manager hapo

  • @jennykwayu7880
    @jennykwayu7880 4 роки тому +1

    One day yes RIP my mother

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 2 роки тому

    👍

  • @zainabusaidi9500
    @zainabusaidi9500 5 років тому

    Kwa dubai mpo sehem gani na gharama zenu ni kiasi gani

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 роки тому

    Air ticket from tz to China Ni dollars ngapi....na jee huduma hii from China to Mombasa Kenya mzigo utafika port ya Mombasa ama itabidili kuupokea mzigo wako nimpaka uufuate dar

  • @heshimabigete3735
    @heshimabigete3735 4 роки тому

    Content

  • @allymohd4884
    @allymohd4884 5 років тому +8

    Mtangazaji sauti inafanan na millard mwenyew au mdog wako

  • @husseinheri4363
    @husseinheri4363 5 років тому

    Nimekubali

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 4 роки тому

    Ningenda kupata no yako manager ahmed tamim pls nitafurahi sana nataka kuanza biashara

  • @stellahmatondwa7168
    @stellahmatondwa7168 4 роки тому

    Ifikie mda na ss tuexport na sio kuemport tu Ni hasara kubwa Kwa Tanzania

  • @secilialyimo6070
    @secilialyimo6070 4 роки тому

    Nicee Ayo

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Рік тому

    Tunaomba namba

  • @samueldavid5208
    @samueldavid5208 5 років тому

    Mbona me sielewi yaan gharama. Zao zipo vipi?

  • @user-rq2vc7uf7s
    @user-rq2vc7uf7s Рік тому

    Watukumbuke na watu wa Egypt hata mara 1 kwa mwaka

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 4 роки тому

    Naomba no za simu zenu pls nataka kuanza biashara

  • @umtweve4501
    @umtweve4501 5 років тому

    Laaa! Mchizi Wa kichina anabonga lugha nimependa hyo

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 3 роки тому

    Niko senegal vipi wanatuma mzigo west africa au east africa tu

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 4 роки тому

    Nimejifunza. iposiku

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 4 роки тому +1

    Wah hij millard ayo naikubali vile wanavyosafiri nchi mbali mbali kwa ajili ya habari kupromote nchi yao kenya kwetu kazi zao ni corruption tu kuongelea serekali badala ya biashara

  • @lidialameck5590
    @lidialameck5590 5 років тому

    Milard Ayo, hao silent ocean hatupati mawasiliano yao, maana hata ukiingia google haipati useful info, please tupe mawasiliano, tunawahitaji sana. Nice job

    • @jumachabai2874
      @jumachabai2874 5 років тому

      Lidia Lameck weka email yako nitakupatia mawasiliano ya wahusika

    • @hajikhatib8840
      @hajikhatib8840 5 років тому

      @@jumachabai2874 plzz me naomba hayo mawasiliano ya wahusika !!! Email.yng ni amour.turbo@gmail.com

    • @lidialameck5590
      @lidialameck5590 5 років тому

      @@jumachabai2874 pklameck@yahoo.com
      Ahsante

    • @hamzamussa8727
      @hamzamussa8727 5 років тому

      @@jumachabai2874 nitumie namba zao kazibureh@gmail.com

    • @fridafungo948
      @fridafungo948 4 роки тому

      Lidia Lameck ingia Instagram silent ocean

  • @nyangipatrick5665
    @nyangipatrick5665 5 років тому

    Naomba kupata namba zako ww mtangazaji mana nahitaj nikuulize vitu kadhaa plz naomba sana

  • @barakahchogo5533
    @barakahchogo5533 4 роки тому

    Je ,wanaweza kumsaidia mtu kumnunulia mzgo

  • @mwananchipress3569
    @mwananchipress3569 3 роки тому

    Kumbe Tabia za makuli zinafanana tuu ahha matumbo wazi

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 5 років тому

    Mashaa Allah yani

  • @muharamkigogo2955
    @muharamkigogo2955 5 років тому

    Hivi miladi ayo tulizie kiasibganinkusafirisha mzigo au garama zao

  • @isackcharles3310
    @isackcharles3310 4 роки тому

    Nitumie no ya mmoja mtz

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 років тому +2

    Huyu anaongea kam ayo

  • @OmarBaabdeTz
    @OmarBaabdeTz 5 років тому +2

    Ndivyow Karibuni Sanaaa Silent Ocean

  • @mywater6796
    @mywater6796 5 років тому +1

    wanatuma na accessories kama simu na laptops tusaidie na address yake au wechat

  • @eligiuselias4469
    @eligiuselias4469 5 років тому

    Jamani nimefurahi sana na ninampango wa kuanza bihashara je nafanyaje ili niweze kuagiza na kupata mzigo bila kuja China?,nisaidie maana nimefurahishwa

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 5 років тому

    Millard Ayo
    tutafutie contact za kuwasiliana na Ahmed Tamim

  • @rukiyahussan4190
    @rukiyahussan4190 5 років тому +3

    Naomba unisaidie namba ya uyo meneja

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 3 роки тому

    no zao

  • @taanimedia6489
    @taanimedia6489 5 років тому

    good work ayo

  • @augustinopanga9622
    @augustinopanga9622 3 роки тому

    Ago ni TABIA GANI HIYO KUTUWEKEA CLIP YAO BILA MAWASILIANO YAO?

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 5 років тому

    Daah so sad tumeshindwa kushona nguo

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 3 роки тому

    Sasa mmnatamani kufanyahio biashara nahitaji niwenakiasi gani kwaajili hakutuma hela bilayamm kufika namba ya cimu yahuko naomba jamani

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 Рік тому

      Inategemeana na biashara unayo taka kuanza kuiuza na suala la kutuma hela wao silent ocean hawausiki mpka uwasiliane na muuzaji wako kisha ndio atakupa link ya malipo na ww ndio utafanya malipo kisha akutumie mzigo wako Katika ghala za silent ocean

  • @islamubakarpba9561
    @islamubakarpba9561 5 років тому +2

    Huyo meneja ni wawapi mbn anaongea kipemba

  • @davisamark8515
    @davisamark8515 5 років тому +1

    Tunapataje mawasliano ya cm ili tuweze kuwatafuta hiyo kampuni

  • @frankebella6762
    @frankebella6762 5 років тому +1

    Safi lkn mbona muna muiga sauti ya milard hayo

  • @kingaweys
    @kingaweys 3 роки тому

    Kumbe kuna wacheina wabeba mzigo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rajabuhassani4504
    @rajabuhassani4504 4 роки тому

    Ayo bwana we acha 2

  • @burudani9901
    @burudani9901 4 роки тому

    Wanatumia app gan

  • @walterswai6829
    @walterswai6829 5 років тому

    Kama nilivyokwambia

  • @nuhurajai1992
    @nuhurajai1992 5 років тому

    Miladi acha ubaili ongeza bum kule ili Mambo yaende sawa bin sawiya

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 5 років тому +3

    Makuli adi China waapo sio poa

    • @petermarco9559
      @petermarco9559 5 років тому +1

      😁😁😁

    • @wizydeko1496
      @wizydeko1496 5 років тому

      @@petermarco9559 awee acha tu

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 5 років тому

      Njaa iko kila sehemu duniani

    • @OmarBaabdeTz
      @OmarBaabdeTz 5 років тому

      We Unajua China Ndio Yenye Population Nyingi Duniani Asa Hao wote wawe Matajiri Mhhh! 😂

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 5 років тому

      😂😂😂😂😂😂😂 Wizy Deko

  • @stevngota1038
    @stevngota1038 5 років тому +2

    Ujinga tu badala upromote walete viwanda wenyewe uku au hata mzigo walete wenyewe ninyi mnapromote madalali hao Cc uchumi wetu utakuaje yan pesa ya masikin Tanzania tunawapa wenye pesa ujinga mtup

  • @ranger_2134
    @ranger_2134 5 років тому

    Mnipe ata kitengo kam iko Ayo

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 5 років тому

    Ahmedi Tamim niapatie contact yako

  • @ranger_2134
    @ranger_2134 5 років тому

    Nakbal san AyO tv

  • @christianalex341
    @christianalex341 5 років тому

    Itabidi nije huko nitafute kibarua hata cha kusafisha godauni

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 4 роки тому

    Kwann weng walio uko ni waislam

  • @kevoowasanya8675
    @kevoowasanya8675 5 років тому +1

    W umeend lini uko ww na nauli kakupa nani ?

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 років тому

    WHAT ABOUT SENDING TO KENYA

  • @hamadndege9016
    @hamadndege9016 4 роки тому

    Galama za usafirikwenda na kurudi pesa NGAPI za madafu nataman kufika

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 6 місяців тому

      Weka milion tano kwenda juu mbali ya mzg maana tiket huwa inafika mpk milion tatu kupanda na ikate tiketi mapema huwa bei inashuka

  • @yasinhamis7060
    @yasinhamis7060 4 роки тому

    Nivizuli

  • @hamadndege9016
    @hamadndege9016 4 роки тому

    Hoyamirad badojapan

  • @innocentpius8083
    @innocentpius8083 5 років тому

    Asnte kwa elimu hii Millard Ayo