UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 кві 2019

КОМЕНТАРІ • 267

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 років тому +58

    Swahili to the world...
    Tanzania flag to the world.....
    Ahsante.......

  • @justinmagotti
    @justinmagotti 5 років тому +79

    Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania

    • @kagirisamson9221
      @kagirisamson9221 5 років тому +1

      Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa

    • @mwajumasaidi5236
      @mwajumasaidi5236 5 років тому

      Justin Magotti q

    • @alikiba9960
      @alikiba9960 5 років тому

      Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi

    • @paulofesto4948
      @paulofesto4948 5 років тому

      Ee ase!

    • @muhammadnnacho7425
      @muhammadnnacho7425 5 років тому

      Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago

  • @nassorkhatib8645
    @nassorkhatib8645 5 років тому +31

    Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘

  • @ramadhannasibu7753
    @ramadhannasibu7753 5 років тому +14

    Good.
    I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 5 років тому +7

    Dah mchina anabonga kiswahili wakati baadhi ya wabongo mafara wnajifanya wazungu# hongera Aisha

  • @talibally842
    @talibally842 5 років тому +4

    Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus9599 5 років тому +2

    Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha

  • @williamalex4792
    @williamalex4792 5 років тому +11

    Yaani huyu anafaa apewe uraia kabisa maan na ameutangazia ulimwengu kuhusu tamaduni za ki kwetu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 років тому +73

    Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga

    • @pasquallungwa3517
      @pasquallungwa3517 5 років тому +1

      Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo

    • @rehemahramadhani3428
      @rehemahramadhani3428 5 років тому +1

      inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew

    • @zuwenadavid856
      @zuwenadavid856 5 років тому +1

      Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂

    • @theophilotheodosy5565
      @theophilotheodosy5565 5 років тому

      Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣

    • @rasterwangu9708
      @rasterwangu9708 5 років тому +1

      englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha

  • @michaelkiumba6015
    @michaelkiumba6015 5 років тому +3

    millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi

  • @maezadam5492
    @maezadam5492 5 років тому +30

    Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 років тому +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Aisha Kiswahili Hatareeee.

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 5 років тому +4

    Asante sana wachina wote tunawapenda pia najivunia kuwa Mtanzania.

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 5 років тому +7

    Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌

  • @a.856
    @a.856 5 років тому +6

    Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari

  • @abdulisimba6035
    @abdulisimba6035 5 років тому +5

    I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 5 років тому +6

    Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew

    • @emaneez
      @emaneez 5 років тому +2

      Yupo na mumuwe . acha kukurupa

  • @salamoman9375
    @salamoman9375 Рік тому +2

    Mashaallah ❤

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 5 років тому +3

    Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo

  • @ratwifamajid3383
    @ratwifamajid3383 5 років тому +13

    apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 5 років тому +12

    Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 років тому +2

    Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri

  • @KaluperumaSL
    @KaluperumaSL 4 роки тому

    Wow wow....
    Am sri lanka 🇱🇰
    Kalu 💓

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 5 років тому +1

    Agoshi vizuri sana bro umepiga boonge la atua enzi ya ilala hakuna aliekuzania ivi cku 1.. Good

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 років тому +3

    Mashaallah .

  • @teachingtruthmissionafrica9998
    @teachingtruthmissionafrica9998 5 років тому +20

    Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Місяць тому

    Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤

  • @adamsilumbe2764
    @adamsilumbe2764 5 років тому +5

    Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake

  • @ummydaudi4940
    @ummydaudi4940 5 років тому +2

    hlo zege lake mashallah😋😋😋😋😋

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 5 років тому +15

    Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂

  • @brinahminja8256
    @brinahminja8256 5 років тому +1

    Aisha miss u mom soon I'll be here

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 5 років тому +2

    Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.

  • @superiorsucces5388
    @superiorsucces5388 5 років тому +1

    hongera dada mchina

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 5 років тому +3

    Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea

  • @hamisaferuzi4648
    @hamisaferuzi4648 2 роки тому

    Waoooooooh Aisha

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat6449 5 років тому +1

    Hongera sis

  • @badaral6167
    @badaral6167 Рік тому

    Mashallah Aisha

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 5 років тому

    Good job hongera Aisha

  • @kassimayoub5586
    @kassimayoub5586 5 років тому

    Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha

  • @najma3268
    @najma3268 5 років тому +3

    Nimempenda huyu dada,Aisha aniajiri mm niwe nawapelekea wateja vyakula walipo

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 роки тому

      MimiNimeipendaHyoSuruariYakakaYanjanoooo😃😃😃😃

  • @jocelinejohn7294
    @jocelinejohn7294 5 років тому

    Uwiii Agosh hatar sana ,Agosh mwenyewe mpishi huyo ni hatareee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻,Mchina mbele ya hela anaweza chocolate

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 роки тому

    Saaafi Kiswahili hicho

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
    @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538 5 років тому +3

    Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu

  • @marthaminjaminja261
    @marthaminjaminja261 5 років тому

    Hongera sana Aisha karb Tz

  • @bintkirunga4274
    @bintkirunga4274 5 років тому

    My name piga kazi safii sana

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 5 років тому

    Duu! Hatari sana
    Hongera sana Aisha

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c 5 років тому +4

    mko juu hongeren

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
    @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538 5 років тому

    Well done, Kaka sulu

  • @valerieshinia8526
    @valerieshinia8526 4 роки тому +1

    Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 років тому +2

    Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄

  • @faustinelukozi4458
    @faustinelukozi4458 5 років тому

    Wow😍😍

  • @austinkennedy9870
    @austinkennedy9870 5 років тому +19

    chips mayai yake inaonekana hatari!!

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 5 років тому

    Mashaallah

  • @rukkyayub2438
    @rukkyayub2438 5 років тому +3

    Aisha karibu sana Tanzania😀

  • @3li_minnahtemba955
    @3li_minnahtemba955 5 років тому

    😍😍wow

  • @ramadhanjuma5046
    @ramadhanjuma5046 3 роки тому

    Good

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee9852 5 років тому

    Nice

  • @gm7045
    @gm7045 5 років тому

    Safi sana👌

  • @abrahimali3628
    @abrahimali3628 5 років тому

    Safi sana Bibi AISHA

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 2 роки тому

    Maashaallah

  • @PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc
    @PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc 4 роки тому

    Afro dj anawaigizaga sauti sana

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma5150 5 років тому

    Hongera AISHA

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 5 років тому

    😂😂😂kiukweli nimempenda

  • @lukundomalunga3233
    @lukundomalunga3233 5 років тому +3

    Mchina ashindwi

  • @EjazAhmad-cl2fb
    @EjazAhmad-cl2fb 5 років тому +1

    Nimepata kitu kutoka kwa Aisha asante millardayo

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 5 років тому

    Nice inapendeza kuona Tanzania ipo juu mpaka china

  • @nahyasalum8093
    @nahyasalum8093 5 років тому

    Adiraha jamani mungu ajalie Aisha kiwasaidia watanzania huko

  • @mirajifikirini6949
    @mirajifikirini6949 5 років тому

    Safi sana Mllard

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 років тому

    Safi sana Bi Aisha

  • @nurumambovphelman7852
    @nurumambovphelman7852 5 років тому +2

    Namjua huyu nachakula chao nimekula sana

  • @elizabethsimemba5146
    @elizabethsimemba5146 5 років тому

    Nimekummiss mbaya Aisha

  • @lennoxxmarina9364
    @lennoxxmarina9364 5 років тому

    Hongera sana

  • @lufufu_mkandala9428
    @lufufu_mkandala9428 5 років тому

    Tanzania😍😍😝😋😗😙😘

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 5 років тому

    Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha

  • @queenmariana5887
    @queenmariana5887 5 років тому

    😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa882 5 років тому

    Hongera Sana Mjasilia Mali Aisha
    Kazi Kazi

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 2 роки тому

    Duh sawa sawa 😂❤️🤗

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 5 років тому +1

    Aisha wangu nakupenda

  • @gobacktv274
    @gobacktv274 5 років тому

    asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee

  • @mgishakaisi9849
    @mgishakaisi9849 5 років тому +3

    miladi mfanyie mpango wa viza uyo mtoto aje bongo kula bata

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata1237 5 років тому

    Duuuh safi saana

  • @josephshayo6641
    @josephshayo6641 5 років тому +1

    Nani aliesikia lafudh ya kichina kwa mtangazaj gonga like twende sawa

  • @jacquelinechalamila2256
    @jacquelinechalamila2256 5 років тому +2

    Hatari Fire

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 5 років тому +2

    Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura

  • @alimakame8134
    @alimakame8134 5 років тому

    Hongora aisha

  • @watchme5678
    @watchme5678 5 років тому +11

    Anaongea haraka hatariiiiiiii

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 Рік тому

    Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA

  • @callmebanger2062
    @callmebanger2062 5 років тому +1

    aje hangzoue uyo tunapata tabu sana!

  • @thehuntervevothehuntervevo7703
    @thehuntervevothehuntervevo7703 5 років тому

    Safi sana Aisha

  • @narmyheart2021
    @narmyheart2021 3 роки тому

    I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣

  • @loisjackeliakim4339
    @loisjackeliakim4339 5 років тому

    Daaah aishaa

  • @annapeter1128
    @annapeter1128 5 років тому +3

    Hyo chips yai konki

  • @bwwm7914
    @bwwm7914 Рік тому

    upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 5 років тому +1

    Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?

    • @babukasiaka2833
      @babukasiaka2833 5 років тому

      amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja

  • @narxtz
    @narxtz 5 років тому +2

    aisha mchina

  • @philipbiasaf8889
    @philipbiasaf8889 3 роки тому

    Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao

  • @swahiliupdates3051
    @swahiliupdates3051 5 років тому +1

    Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana

    • @amalcsalim-uu7hk
      @amalcsalim-uu7hk 5 років тому

      Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 років тому +3

    Hapo kwenye polisi sijaelewa. Kwani hawana vibali vya biashara? Kama serikali inafunga watapata wapi mapato?

  • @MajaxiFx
    @MajaxiFx 5 років тому +1

    Chips yai Kama lote

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 5 років тому +1

    Aysha mchina vs Juma sharobaro

    • @lilyrose4066
      @lilyrose4066 5 років тому

      Ha ha haaa ingependeza sana!

    • @lilyrose4066
      @lilyrose4066 5 років тому

      Ha ha haaa ingependeza sana!