UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 269

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 років тому +59

    Swahili to the world...
    Tanzania flag to the world.....
    Ahsante.......

  • @nassorkhatib8645
    @nassorkhatib8645 5 років тому +32

    Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus9599 5 років тому +2

    Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha

  • @justinmagotti
    @justinmagotti 5 років тому +80

    Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania

    • @kagirisamson9221
      @kagirisamson9221 5 років тому +1

      Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa

    • @mwajumasaidi5236
      @mwajumasaidi5236 5 років тому

      Justin Magotti q

    • @alikiba9960
      @alikiba9960 5 років тому

      Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi

    • @paulofesto4948
      @paulofesto4948 5 років тому

      Ee ase!

    • @muhammadnnacho7425
      @muhammadnnacho7425 5 років тому

      Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago

  • @ramadhannasibu7753
    @ramadhannasibu7753 5 років тому +14

    Good.
    I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 5 років тому +8

    Dah mchina anabonga kiswahili wakati baadhi ya wabongo mafara wnajifanya wazungu# hongera Aisha

  • @michaelkiumba6015
    @michaelkiumba6015 5 років тому +3

    millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi

  • @talibally842
    @talibally842 5 років тому +4

    Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 років тому +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Aisha Kiswahili Hatareeee.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 років тому +74

    Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga

    • @pasquallungwa3517
      @pasquallungwa3517 5 років тому +1

      Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo

    • @rehemahramadhani3428
      @rehemahramadhani3428 5 років тому +1

      inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew

    • @zuwenadavid856
      @zuwenadavid856 5 років тому +1

      Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂

    • @theophilotheodosy5565
      @theophilotheodosy5565 5 років тому

      Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣

    • @rasterwangu9708
      @rasterwangu9708 5 років тому +1

      englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha

  • @maezadam5492
    @maezadam5492 5 років тому +30

    Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 5 років тому +6

    Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew

    • @emaneez
      @emaneez 5 років тому +2

      Yupo na mumuwe . acha kukurupa

  • @ratwifamajid3383
    @ratwifamajid3383 5 років тому +13

    apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 5 років тому +5

    Asante sana wachina wote tunawapenda pia najivunia kuwa Mtanzania.

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 5 років тому +7

    Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌

  • @salamoman9375
    @salamoman9375 2 роки тому +2

    Mashaallah ❤

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 7 місяців тому

    Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 років тому +2

    Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri

  • @teachingtruthmissionafrica9998
    @teachingtruthmissionafrica9998 5 років тому +20

    Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 5 років тому +15

    Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 5 років тому +1

    Agoshi vizuri sana bro umepiga boonge la atua enzi ya ilala hakuna aliekuzania ivi cku 1.. Good

  • @williamalex4792
    @williamalex4792 5 років тому +11

    Yaani huyu anafaa apewe uraia kabisa maan na ameutangazia ulimwengu kuhusu tamaduni za ki kwetu

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 5 років тому +2

    Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.

  • @kassimayoub5586
    @kassimayoub5586 5 років тому

    Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha

  • @KaluperumaSL
    @KaluperumaSL 5 років тому

    Wow wow....
    Am sri lanka 🇱🇰
    Kalu 💓

  • @a.856
    @a.856 5 років тому +6

    Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 5 років тому +1

    Aysha mchina vs Juma sharobaro

    • @lilyrose4066
      @lilyrose4066 5 років тому

      Ha ha haaa ingependeza sana!

    • @lilyrose4066
      @lilyrose4066 5 років тому

      Ha ha haaa ingependeza sana!

  • @jocelinejohn7294
    @jocelinejohn7294 5 років тому

    Uwiii Agosh hatar sana ,Agosh mwenyewe mpishi huyo ni hatareee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻,Mchina mbele ya hela anaweza chocolate

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 2 роки тому

    Duh sawa sawa 😂❤️🤗

  • @abdulisimba6035
    @abdulisimba6035 5 років тому +5

    I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...

  • @ummydaudi4940
    @ummydaudi4940 5 років тому +2

    hlo zege lake mashallah😋😋😋😋😋

  • @brinahminja8256
    @brinahminja8256 5 років тому +1

    Aisha miss u mom soon I'll be here

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 5 років тому

    Good job hongera Aisha

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 роки тому

    Saaafi Kiswahili hicho

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 5 років тому

    Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha

  • @najma3268
    @najma3268 5 років тому +3

    Nimempenda huyu dada,Aisha aniajiri mm niwe nawapelekea wateja vyakula walipo

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 3 роки тому

      MimiNimeipendaHyoSuruariYakakaYanjanoooo😃😃😃😃

  • @mirajifikirini6949
    @mirajifikirini6949 5 років тому

    Safi sana Mllard

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 5 років тому +3

    Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 років тому +2

    Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄

  • @hamisaferuzi4648
    @hamisaferuzi4648 3 роки тому

    Waoooooooh Aisha

  • @narmyheart2021
    @narmyheart2021 4 роки тому

    I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣

  • @josephshayo6641
    @josephshayo6641 5 років тому +1

    Nani aliesikia lafudh ya kichina kwa mtangazaj gonga like twende sawa

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 5 років тому +3

    Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo

  • @marthaminjaminja261
    @marthaminjaminja261 5 років тому

    Hongera sana Aisha karb Tz

  • @ramadhanjuma5046
    @ramadhanjuma5046 4 роки тому

    Good

  • @valerieshinia8526
    @valerieshinia8526 4 роки тому +1

    Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂

  • @badaral6167
    @badaral6167 2 роки тому

    Mashallah Aisha

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 5 років тому +12

    Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB

  • @bintkirunga4274
    @bintkirunga4274 5 років тому

    My name piga kazi safii sana

  • @CreatorAccent
    @CreatorAccent 4 роки тому

    Afro dj anawaigizaga sauti sana

  • @rukkyayub2438
    @rukkyayub2438 5 років тому +3

    Aisha karibu sana Tanzania😀

  • @جزجزشكطا
    @جزجزشكطا 5 років тому +4

    mko juu hongeren

  • @superiorsucces5388
    @superiorsucces5388 5 років тому +1

    hongera dada mchina

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 5 років тому

    Duu! Hatari sana
    Hongera sana Aisha

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 5 років тому +3

    Mashaallah .

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma5150 5 років тому

    Hongera AISHA

  • @alimakame8134
    @alimakame8134 5 років тому

    Hongora aisha

  • @gm7045
    @gm7045 5 років тому

    Safi sana👌

  • @lukundomalunga3233
    @lukundomalunga3233 5 років тому +3

    Mchina ashindwi

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 2 роки тому

    Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 5 років тому

    😂😂😂kiukweli nimempenda

  • @EjazAhmad-cl2fb
    @EjazAhmad-cl2fb 5 років тому +1

    Nimepata kitu kutoka kwa Aisha asante millardayo

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
    @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538 5 років тому +3

    Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 2 роки тому

    Maashaallah

  • @abrahimali3628
    @abrahimali3628 5 років тому

    Safi sana Bibi AISHA

  • @nahyasalum8093
    @nahyasalum8093 5 років тому

    Adiraha jamani mungu ajalie Aisha kiwasaidia watanzania huko

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 5 років тому

    Nice inapendeza kuona Tanzania ipo juu mpaka china

  • @Foodchannel-m7q
    @Foodchannel-m7q 4 роки тому

    huyo aisha anapata taabu kuongea kiswahili 😂😂😂

  • @3li_minnahtemba955
    @3li_minnahtemba955 5 років тому

    😍😍wow

  • @austinkennedy9870
    @austinkennedy9870 5 років тому +19

    chips mayai yake inaonekana hatari!!

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 5 років тому +2

    Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat6449 5 років тому +1

    Hongera sis

  • @jacquelinechalamila2256
    @jacquelinechalamila2256 5 років тому +2

    Hatari Fire

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 років тому

    Safi sana Bi Aisha

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa882 5 років тому

    Hongera Sana Mjasilia Mali Aisha
    Kazi Kazi

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 2 роки тому

    Maishaallah bi Aisha 😂

  • @lufufu_mkandala9428
    @lufufu_mkandala9428 5 років тому

    Tanzania😍😍😝😋😗😙😘

  • @thehuntervevothehuntervevo7703
    @thehuntervevothehuntervevo7703 5 років тому

    Safi sana Aisha

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 5 років тому +1

    Aisha wangu nakupenda

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata1237 5 років тому

    Duuuh safi saana

  • @adamsilumbe2764
    @adamsilumbe2764 5 років тому +5

    Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake

  • @philipbiasaf8889
    @philipbiasaf8889 4 роки тому

    Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao

  • @loisjackeliakim4339
    @loisjackeliakim4339 5 років тому

    Daaah aishaa

  • @nurumambovphelman7852
    @nurumambovphelman7852 5 років тому +2

    Namjua huyu nachakula chao nimekula sana

  • @shamimasalim6912
    @shamimasalim6912 5 років тому +1

    Aboshi mashine imesimama😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂✌

  • @simonjoseph7156
    @simonjoseph7156 Рік тому

    ❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 4 роки тому

    Shikamoo kiswahili saf china

  • @queenmariana5887
    @queenmariana5887 5 років тому

    😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili

  • @swahiliupdates3051
    @swahiliupdates3051 5 років тому +1

    Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana

    • @amalcsalim-uu7hk
      @amalcsalim-uu7hk 5 років тому

      Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 5 років тому

    Kiswahili cha 🇰🇪 Kisha Mombasa ndio kiko Sawa coz wanazungumza vizuri

  • @sierrakamau1510
    @sierrakamau1510 5 років тому

    Kama huwezi fungua restaurant Uchina Kama mtu mweusi anayeishi humo, kwa Nini tunawaruhusu wachina kuanza biashara kwetu, tena wanauza vitu ki bandia bandia???? Sana Sana Kenya wamejaa humo na pia waschana wa shule za secondary wamebeba miimba yao!!! Serikali hata haioni lolote Wala chochote!

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf Рік тому

    Yani nikija lazima nikutafute aisha

  • @HusseinChai-n4g
    @HusseinChai-n4g 3 місяці тому

    Nzuri hii

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee9852 5 років тому

    Nice

  • @gobacktv274
    @gobacktv274 5 років тому

    asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee

  • @elizabethsimemba5146
    @elizabethsimemba5146 5 років тому

    Nimekummiss mbaya Aisha

  • @narxtz
    @narxtz 5 років тому +2

    aisha mchina

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 5 років тому

    Hadi raha jamani

  • @mathnasaeed3806
    @mathnasaeed3806 5 років тому

    semeni kweli yenu watanzania mshawekeza migahawa uko mana watanzania wengi saiv wako china washaweka zizi mnarahisisha huduma ili wakiingia wafrica waingie Tanzania

  • @callmebanger2062
    @callmebanger2062 5 років тому +1

    aje hangzoue uyo tunapata tabu sana!