Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha
amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja
Swahili to the world...
Tanzania flag to the world.....
Ahsante.......
Yaaaah
Jack
Tunapeperusha bendera!!
@@claysonjulius6520 pamojaaaa
Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa
Justin Magotti q
Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi
Ee ase!
Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
Nassor Khatib chiiii
Good.
I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽
Dah mchina anabonga kiswahili wakati baadhi ya wabongo mafara wnajifanya wazungu# hongera Aisha
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha
Yaani huyu anafaa apewe uraia kabisa maan na ameutangazia ulimwengu kuhusu tamaduni za ki kwetu
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂
Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣
englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha
millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi
Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Aisha Kiswahili Hatareeee.
Asante sana wachina wote tunawapenda pia najivunia kuwa Mtanzania.
Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌
Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari
I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...
Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew
Yupo na mumuwe . acha kukurupa
Mashaallah ❤
Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo
apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪
uwiiii wewe utanivunja mbavu mwaya duh!
Nimechekaaa uwiiiii
.
😁😁😁😁
Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB
Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri
Wow wow....
Am sri lanka 🇱🇰
Kalu 💓
Agoshi vizuri sana bro umepiga boonge la atua enzi ya ilala hakuna aliekuzania ivi cku 1.. Good
Mashaallah .
Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina
Nime ingia china kama nime kuzidi umri lakini sasa nakiUngumza... sasa takriban miaka miwili nimekuwa huku...
Unayo nafasi..🇰🇪🇹🇿
Teachingtruth Missionafrica Kichina kigumuu bhna 😂😂😂
Haha ua point killed me
😂😂😂😂😀
😂😂😂😂😂
Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤
Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake
hlo zege lake mashallah😋😋😋😋😋
Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂Umeonaaaa
😂😂😂😂😂
@@muniraabdul205 😳😳😳
🤣🤣🤣🤣🤣
Aisha miss u mom soon I'll be here
Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.
hongera dada mchina
Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea
Waoooooooh Aisha
Hongera sis
Mashallah Aisha
Good job hongera Aisha
Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha
Nimempenda huyu dada,Aisha aniajiri mm niwe nawapelekea wateja vyakula walipo
MimiNimeipendaHyoSuruariYakakaYanjanoooo😃😃😃😃
Uwiii Agosh hatar sana ,Agosh mwenyewe mpishi huyo ni hatareee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻,Mchina mbele ya hela anaweza chocolate
Saaafi Kiswahili hicho
Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu
Hongera sana Aisha karb Tz
My name piga kazi safii sana
Duu! Hatari sana
Hongera sana Aisha
mko juu hongeren
Hatari fire
Well done, Kaka sulu
Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂
Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄
Wow😍😍
chips mayai yake inaonekana hatari!!
Umewaza Kama mimi
Mashaallah
Aisha karibu sana Tanzania😀
😍😍wow
Good
Nice
Safi sana👌
Safi sana Bibi AISHA
Maashaallah
Afro dj anawaigizaga sauti sana
Hongera AISHA
😂😂😂kiukweli nimempenda
Mchina ashindwi
Nimepata kitu kutoka kwa Aisha asante millardayo
Nice inapendeza kuona Tanzania ipo juu mpaka china
Adiraha jamani mungu ajalie Aisha kiwasaidia watanzania huko
Safi sana Mllard
Safi sana Bi Aisha
Namjua huyu nachakula chao nimekula sana
Nimekummiss mbaya Aisha
Hongera sana
Tanzania😍😍😝😋😗😙😘
Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha
😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili
Hongera Sana Mjasilia Mali Aisha
Kazi Kazi
Duh sawa sawa 😂❤️🤗
Aisha wangu nakupenda
asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee
miladi mfanyie mpango wa viza uyo mtoto aje bongo kula bata
Duuuh safi saana
Nani aliesikia lafudh ya kichina kwa mtangazaj gonga like twende sawa
Hatari Fire
Ahahahahah
Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura
😂😂😂😂😂hutaki ujinga
Njoo China uone kama hutokula
Ninakula mbogamboga basi, na maharage
Hongora aisha
Anaongea haraka hatariiiiiiii
Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA
aje hangzoue uyo tunapata tabu sana!
Safi sana Aisha
I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣
Daaah aishaa
Hyo chips yai konki
upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi
Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?
amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja
aisha mchina
Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao
Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana
Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja
Hapo kwenye polisi sijaelewa. Kwani hawana vibali vya biashara? Kama serikali inafunga watapata wapi mapato?
Chips yai Kama lote
Aysha mchina vs Juma sharobaro
Ha ha haaa ingependeza sana!
Ha ha haaa ingependeza sana!