Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭
.mm nilikuwa nimejifungua kiukweli mtt wa kike ambae sasa Anamosa 2 lakini kipindi yuko na miezi 2 kipindi namnyonyesha nikaota nyoka kumbwa sana limetanda chumbani jeusi kipindi namnyonyesha likarefusha shingo lake akamginga mwanangu kwenye paji la uso nikapiga kelele akapotelea dalini hapo tulikuwa tumepanga maana yake nini
Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke
Ukiota nyoka mkubwa mweusi amekatwa kichwa ila ananifuata na nikamuwekea stick kifuan kwake pia nikaota nyoka wawili wakijani wawili wadogo wananizunguka katika ndoto hiyo na ghafla nikastuka
Sheikh mimi niliota yani kama kausingizi kamenipitia kidogo tu,naona naona nyoka wawili weusi umoja amenipita kwenye katikati ya mapaja na tumbo yani katikati Ingine imenipita haraka kwenye mkono wangu wakulia alafu akapanda ju ya ukuta kibambazi penye nalala nikashtuka haraka kama vile naona kweli nyoka mbili nyeusi zinapita hapa sasa mbona sizioni najuwa nashanga mwenyewe tu,ila yote nimemkabizi Allah ndiye mjuzi yeye ndiye anaona cha siri na cha zahiri.
Mm niliota nakmbizwa na nyoka mkubwa mno mwenye rangi nyeusi na nyeupe na tulikuwa wengi lkn akawa ananifata mm tu namkimbia namchenga kbsa lkn ananiona Tena lkn hakunidhuru nn maana yake
Kuna mtu kaniotea mm nimeviringishwa na nyoka mkubwa mweusi na ninahangaika kumkata na kisu lkn kisu nilicho nacho ni kibutu sikuweza kumkata ,, hii inamaana gani ??
Asante kwa darsa hili ni juzi tu nimemuona nyoka mweusi mdogo anatembea mbele yangu anakuja kunizuru lakiniakuwai kunizuru nikaamka yarabii niepushe na uadui huo😭
Suhana Allah mungu.tusaidie jaman waja wako.Alla.tunakuomba tusaidie
Asante sanaa mim naotaga napambana na nyoka so mara moja naoyoga tu kila siku asant sanaa
Ni kweli ndoto za nyoka zimenisumbua sana mwisho wa siku nikamfuma mme wangu
🙏 🙏 🙏 Asante sana kwa tafuziri sa ndoto...
Mimi mmoja sheikh yani hamalizi mwezi basi ndoto Kali za nyoka wakubwa sana sheikh
Sasa hii yangu ni ng'ani niliota, nimeshika nyoka nikaikata nikaipika na nikaikula nyama ya nyoka 😢😢😢
Mm Huwa naota mume wangu ananisaidia kuua nyoka
Nimeota Nyoka alikuwa mkubwa sana ila amekatwa katwa vipande vipande ila haikudhulu mtu
Asante sana sheikh
Ramadhani mussa
Nime ota ndoto nyoka ipo kitandani pamoja na mserebani yani mjusikafie nyokaiyo imekua nyeupe sijuwimana ake😢
Nyoka ni roho zamizimu nawe😅😅
Habar mm huwa naota mmewangu akitoka namwanamke mwingne naakinitishia kuniacha inamaana gani🙏
Sheikh wangu mimi nimeota joka amekaa tu
Nimeota nilikuwa natembea nikakutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakakimbia xana
Nifanyeje kujua mume kama wangu anamwanamke wa nje
Unacho kitafuta utakipata.
@@habibisimba5081 😂😂
Nikweli shekhe nimewahi kumuota nyoka sema nilimuua
Hongera
Jamani mimi nimeota napita barabarani nikakuta nyoka mrefu sana alafu ni mwembaba kakatisha barabarani alafu mweupe nikamwangukia kila nikitaka kunyeyuka nashindwa akaning'ata kichwani nikamtupa inamaana gani
Mom nimeota nimekutana na nyoka wawili weusi wamebebana nilivopiga kelele wakaanza kukimbia wote
Asanteee umetafsiri vizurii sanaa.....
She ukipewa taraka ya hira za kichawi unaswii
nimeota nyoka ana mkia nusu anaingia ndan nandan yuko mkewangu
Mimi huwa naota nacheza na nyoka mwekundu na rangi nyingi tofauti na Wala hawanizuru
Nimeota nimelala na mbuzi yaani mtu lakini alibadilika kuwa mbuzi
.mm nilikuwa nimejifungua kiukweli mtt wa kike ambae sasa Anamosa 2 lakini kipindi yuko na miezi 2 kipindi namnyonyesha nikaota nyoka kumbwa sana limetanda chumbani jeusi kipindi namnyonyesha likarefusha shingo lake akamginga mwanangu kwenye paji la uso nikapiga kelele akapotelea dalini hapo tulikuwa tumepanga maana yake nini
Asalm alykoum mimi nimeshaota nyoka mweuc mara 2 napigana nae ila mara y kwanza nilisoma sana dua akpotea mara ya pili nmepgana nae hdi nikamchoma n moto nn maana yke
Mimi nimeota nyoka nyeusi kwa mlango,
Ukiota nyoka mkubwa mweusi amekatwa kichwa ila ananifuata na nikamuwekea stick kifuan kwake pia nikaota nyoka wawili wakijani wawili wadogo wananizunguka katika ndoto hiyo na ghafla nikastuka
Salam alykum shaikh mda sasa hatuoni program zako
Nataka number
Sheikh mimi niliota yani kama kausingizi kamenipitia kidogo tu,naona naona nyoka wawili weusi umoja amenipita kwenye katikati ya mapaja na tumbo yani katikati Ingine imenipita haraka kwenye mkono wangu wakulia alafu akapanda ju ya ukuta kibambazi penye nalala nikashtuka haraka kama vile naona kweli nyoka mbili nyeusi zinapita hapa sasa mbona sizioni najuwa nashanga mwenyewe tu,ila yote nimemkabizi Allah ndiye mjuzi yeye ndiye anaona cha siri na cha zahiri.
Mimi naota nyoka was rangi mbili nyoka mwdusi au kijani lakini nikiamka sku aishi nawAona ndani ya fensi
Naota
Magali yananikimbiza mpaka kwenye njia za milima nikishuka galinalo linashuka
Mimi nimeota natembea na tumbo naninasipidi kutwa nashindana na magal
Mim naota nyoka anatoka shimoni mblele yangu halafu ananifukuza lkn hanikamati
Niliota nyaka nyeusi akiwa kwasimo maanake nini
Assalam aleykum...nimeota nyoka mweusi lkn nikiwa na rafiki yangu kipenzi...na akamshika tulipotoka nje akamponyoka lkn akamwagia mafuta taa akamuawasha moto lkn aliwaka huku akikimbia....naomba tafsiri tafadhali
Mm niliota nakmbizwa na nyoka mkubwa mno mwenye rangi nyeusi na nyeupe na tulikuwa wengi lkn akawa ananifata mm tu namkimbia namchenga kbsa lkn ananiona Tena lkn hakunidhuru nn maana yake
Niliota pia
Nyoka sio dalili mbaya yategemea umemuota vipi
Vip ukiota nyoka anabadilika rangi kutoka nyeusi kuwa nyeupe???
Me nimeota nakimbizwa nakanyoka kadogo tu karangi yagoldi imeng'aa sana nimekimbia Sana lkn kakanifkia nakuning'ata
utapata Mali dada ni ndoto njema
Mnaswali kwanza, hamdokoi dokoi mali za mayatima au viakiba vya watu mlivyoaminiwa muvieke???
Kuna mtu kaniotea mm nimeviringishwa na nyoka mkubwa mweusi na ninahangaika kumkata na kisu lkn kisu nilicho nacho ni kibutu sikuweza kumkata ,, hii inamaana gani ??
Salam alaykum mimi nieota nampika nyoka mweusi kwenye sufuria ndoto hii ina maana gani shekh
Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi
Kwa ninavyofahamu umeushinda uadui lakin zaid ufanye udadisi
Tatzo hawajbu msj hapo ndio wanafeli wanatoa clip tunawauliza maswali hawajbu wakitoa namba ukiwapigia hawapokei wala msj hawajibu jmn
Ukiota una mahusiano ya kimapenzi na nyoka maaana yake nn
Jinne
M
Mmh huyo ni jini mahaba jini nyoka nenda ukafanyiwe dua my dear
Mimi nimeota nyoka ameanguka toka juu na anataka kummeza mwanangu wa kiume mm nikampiga mkiani yule nyoka akapotea ghafla nn maana ya ndoto hii
Mimi nimeota nyoka mwekundu na mweusina mweusi anamoto midomoni nawakaondoka wakifoka
Nimeota mtu kashika nyoka mdg wang anakimbiza
Mara nying naota joka kubwa lkn nikimuona anatoondoka
Namuota mweuse
@@angelinafranky8958 dragoni hao
I dream somebody try to put the black snake inside my body mean what
I can say it's mean kind of cheating with your man