MAPYA YAIBUKA KIFO CHA MEMBE: USALAMA WA TAIFA WATAJWA/ ALITAMANI MAKUBWA/ NI HATARI TUNAKOKWENDA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 тра 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #nyerere #membe #tanzania

КОМЕНТАРІ • 37

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Рік тому +8

    Zamani Ujasusi ulifanyika kisiri sana,wala haukuwahi kuwaletea hofu watanzania Bali usalama ulikua mkubwa kwasababu uovu ulithibitiwa kabla ya kutekelezwa waivu walitiwa nguvuni. Kila idara na mkusanyiko,makazini, palikua na jasusi. Leo hii ujasusi umekua tishio,uko kisiasa zaidi, unatumika kukomoa watu kwa itikadi zao,au mawazo mbadala badala ya kuzuia biashara haramu,ugeni haramu,na kulinda usalama wa ndani ya nchi!

    • @miye2215
      @miye2215 Рік тому +1

      Sio kweli, basi utakuwa haujui kuhusu ujasusi. Kama ujasusi ungekuwa umepoteza dira yake basi hata nchi isingekuwepo tena. Hakuna nchi inaweza kuendelea kuwepo na kutawalika kama hakuna ujasusi au umepoteza, hakuna mtu anajua kuhusu ujasusi wa nchi hata jasusi mwenyewe hakuna anachojua nje ya kile anachoagizwa kufanya na kazi yake.

  • @Tango696
    @Tango696 Рік тому +2

    Uko vizuri kaka.

  • @andrewlimbe-vo8tg
    @andrewlimbe-vo8tg Рік тому +4

    Ck hz vijana weng usalama wa taifa hupenda sifa,,hii n shida sana

  • @Baso1968
    @Baso1968 Рік тому +2

    Ndugu zangu tupeane vyeo kindugu kila sehemu ila Usalama wa taifa tuogope sana ila kulinda sera za chama tawala na wananchi. 😢

  • @khajiussi6588
    @khajiussi6588 Рік тому +1

    So kweli.

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Рік тому +1

    💪

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Рік тому +5

    Mbona huyu anafanana na Hayati Nyerere?

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Рік тому +1

    Nakukubali sana bullaza

  • @sjosephmashany-eu6rf
    @sjosephmashany-eu6rf Рік тому +4

    Maswala ya kiusalama si vema kuyaweka wazi kwa sababu mtu anapokufahamu siyo rahisi kukupa tarifa za kihalifu au kiuhatalishi katika nchi pia watu hawatakuwa marafiki na hawatakupa taarifa pia kujiweka wazi kunahatarisha usalama wa mtoa taarifa na mpokea taarifa .pia combo cha usalama nibora kiwajibike kisiri na uwazi

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Рік тому

      Upo sahihi kabisaaa. It's confidential

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 3 місяці тому

    Ni kweli wa Hindi ni wabinifu wa Biashara.

  • @zamberimturi5593
    @zamberimturi5593 Рік тому +2

    Haka kajamaa kako vizuri kwa kuelezea

  • @BetreceTimoth-dd7lw
    @BetreceTimoth-dd7lw Рік тому +1

    Mmmmh

  • @anytime5685
    @anytime5685 Рік тому +1

    Imeisha hiyo vijana wa sasa wanasema
    Muda ni shahidi mwaminifu

  • @bizmangwimo5823
    @bizmangwimo5823 Рік тому +1

    Aende2

  • @meshackbinde1944
    @meshackbinde1944 Рік тому +3

    Huyu jamaa kweli anafahamu sana masuala ya kijasusi, anafafanua hasa Kwa wasiojua masuala haya!

  • @amenmushi5945
    @amenmushi5945 Рік тому +2

    Poleni

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Рік тому +1

    Du wanadamu wanadamu tu subili histolia itaongea hata kama hatutakuwepo sote kwa hili mungu yu juu ya yote mweza Wa yote

  • @honestlebisa1373
    @honestlebisa1373 Рік тому +1

    Umesau krimu inayo aminika GPM

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Рік тому +1

    Yaani Kwanza Nicheke tu..😅😅yaani Intelligent kujianika..hivi hivi..? Maadili ya wapi haya labda huko dunia ya 30...

  • @ramlaibrahimu-zw5hr
    @ramlaibrahimu-zw5hr Рік тому

    Jaman me nataman Chama pizani wachukuwe nchi jamaniiiiiiiiii

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Рік тому +1

    Damu ni nzito kuliko maji; hujui hilo?

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому +4

    huyu jamaa muongo muongo snaa😅😅😅

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Рік тому +2

    Kweli alikua mtaalamu hasa mazungumzo ya kijasusi

  • @nestor384
    @nestor384 Рік тому +1

    Hii umaajabu wa membe uko wapi jamani

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Рік тому +1

    RIP MEMBE MTAALAM WA MIKAKATI. AKA JASUSI

  • @mamachacha6478
    @mamachacha6478 Рік тому +2

    Mtangazaji huulizi maswali Bali unapiga soga maneno meeengi.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 3 місяці тому

    Hatuwezi kuepuka mageuzi.

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Рік тому

    Sasa unataka kutuambia wewe una elimu hiyo ya usalama??

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Рік тому +1

    wanazengo huyu jamaa ni mjukuu wa hayat mwalimu nyerere?au ndio hivo tena binadam tuna kufanana.

  • @yazidusaidi8843
    @yazidusaidi8843 Рік тому +4

    Yericko Mbinguni na Ahera unapajua wewe?😀😃😄, acha basi kusimulia kama wale matranslator wa video za vibanda umiza🤣😂, hatahivyo, nafurahia masimulizi na uchambuzi wako👋