MAPYA YAIBUKA KIFO CHA MEMBE: USALAMA WA TAIFA WATAJWA/ ALITAMANI MAKUBWA/ NI HATARI TUNAKOKWENDA!
Вставка
- Опубліковано 17 тра 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#nyerere #membe #tanzania
Zamani Ujasusi ulifanyika kisiri sana,wala haukuwahi kuwaletea hofu watanzania Bali usalama ulikua mkubwa kwasababu uovu ulithibitiwa kabla ya kutekelezwa waivu walitiwa nguvuni. Kila idara na mkusanyiko,makazini, palikua na jasusi. Leo hii ujasusi umekua tishio,uko kisiasa zaidi, unatumika kukomoa watu kwa itikadi zao,au mawazo mbadala badala ya kuzuia biashara haramu,ugeni haramu,na kulinda usalama wa ndani ya nchi!
Sio kweli, basi utakuwa haujui kuhusu ujasusi. Kama ujasusi ungekuwa umepoteza dira yake basi hata nchi isingekuwepo tena. Hakuna nchi inaweza kuendelea kuwepo na kutawalika kama hakuna ujasusi au umepoteza, hakuna mtu anajua kuhusu ujasusi wa nchi hata jasusi mwenyewe hakuna anachojua nje ya kile anachoagizwa kufanya na kazi yake.
Uko vizuri kaka.
Ck hz vijana weng usalama wa taifa hupenda sifa,,hii n shida sana
Ndugu zangu tupeane vyeo kindugu kila sehemu ila Usalama wa taifa tuogope sana ila kulinda sera za chama tawala na wananchi. 😢
So kweli.
💪
Mbona huyu anafanana na Hayati Nyerere?
Nakukubali sana bullaza
Bullaza 😅😅😅
Maswala ya kiusalama si vema kuyaweka wazi kwa sababu mtu anapokufahamu siyo rahisi kukupa tarifa za kihalifu au kiuhatalishi katika nchi pia watu hawatakuwa marafiki na hawatakupa taarifa pia kujiweka wazi kunahatarisha usalama wa mtoa taarifa na mpokea taarifa .pia combo cha usalama nibora kiwajibike kisiri na uwazi
Upo sahihi kabisaaa. It's confidential
Ni kweli wa Hindi ni wabinifu wa Biashara.
Haka kajamaa kako vizuri kwa kuelezea
Mmmmh
Imeisha hiyo vijana wa sasa wanasema
Muda ni shahidi mwaminifu
Aende2
Huyu jamaa kweli anafahamu sana masuala ya kijasusi, anafafanua hasa Kwa wasiojua masuala haya!
Poleni
Du wanadamu wanadamu tu subili histolia itaongea hata kama hatutakuwepo sote kwa hili mungu yu juu ya yote mweza Wa yote
Umesau krimu inayo aminika GPM
Yaani Kwanza Nicheke tu..😅😅yaani Intelligent kujianika..hivi hivi..? Maadili ya wapi haya labda huko dunia ya 30...
Jaman me nataman Chama pizani wachukuwe nchi jamaniiiiiiiiii
Damu ni nzito kuliko maji; hujui hilo?
huyu jamaa muongo muongo snaa😅😅😅
Hhhhh kwann
Sana
Hahahahahaha
Kweli alikua mtaalamu hasa mazungumzo ya kijasusi
Hii umaajabu wa membe uko wapi jamani
RIP MEMBE MTAALAM WA MIKAKATI. AKA JASUSI
Mtangazaji huulizi maswali Bali unapiga soga maneno meeengi.
Hatuwezi kuepuka mageuzi.
Sasa unataka kutuambia wewe una elimu hiyo ya usalama??
wanazengo huyu jamaa ni mjukuu wa hayat mwalimu nyerere?au ndio hivo tena binadam tuna kufanana.
Hana uhusiano wowote na Mwalimu kindugu
Yericko Mbinguni na Ahera unapajua wewe?😀😃😄, acha basi kusimulia kama wale matranslator wa video za vibanda umiza🤣😂, hatahivyo, nafurahia masimulizi na uchambuzi wako👋