IMEFICHUKA: MANENO YA MWISHO YA MEMBE/AHUSISHWA NA UJASUSI/ KIKWETE ATAJWA/SIKU CHACHE KABLA YA KIFO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Membe #Dar24Media

КОМЕНТАРІ • 17

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 Рік тому +2

    Interview nzuri, hongereni mmemtendea haki BM

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Рік тому +2

    Hakuna kitu upuuzi alifrai juu ya kifo cha magufuli ivo inakua kama ivo

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Рік тому +2

    Ngoja niangalie maana ya ujasusi..

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Рік тому +1

    Alimchafua jembe sana uyo kachelo hio ndo tanzania

  • @user-bo7zj5qn3m
    @user-bo7zj5qn3m Рік тому

    Umeshindwa kueleza nn maana ya foreist na jamaa alikuwa anabebwa na kikwete ,na ndiyo maana JPMalimupiga chini

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Рік тому

    Mwandishi pendelea kutumia Neno, napenda kusikia ukisema juu ya .... Au una mtazamo gani kwa..., Na sio kuamuru NATAKA ..!

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Рік тому +1

    Umaarufu wamutu hapa.duniani hujichorayenyewe kufuatana najamiihusika inayomzunguka ameifanyianini haisambazwi namtummojammoja asiyeeleweka.hayo yanahusulkulu na mamboyaulinnzi hapohamunakazi yakufanya.

  • @nicholaschalle8288
    @nicholaschalle8288 Рік тому

    MUNGU wa Mbinguni atupatie akina MEMBE WENGI kwaajili ya TAIFA

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 Рік тому +2

    Yeriko na dupe , miamia

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Рік тому +1

    Kwaiyo membe alikua ni jasusi?

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Рік тому

    Hivi ni nani alie wahi kusema BAHARI IMETULIA? sasa naiona BAHARI kuchafuka

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Рік тому

    Mwenzenu alikua kazini😀 nyie mnajua ni interest binafsi 😅

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Рік тому +1

    Kama Kuna aliyefurahi au kuchangia Kifo cha Magufuli anakumbushwa njia ni moja na sio mbili. Kwani Magufuli alitangulia tuu naye atafuata.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Рік тому

    Huo mfumo wa shule maalumu ni muhimu dunia nzima zipo shule Kwa wanafunzi wenye vipaji ndio hao wanaogundua mambo makubwa ya technology na wanapewa support kubwa lakini mshaanza changanya na wehu shule zinakosa sifa .za kutoa watu muhimu ktk nchi

  • @marxmusntambala7996
    @marxmusntambala7996 Рік тому

    Hii ndio Tanzania

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo Рік тому

    Hayo hayaruhusu kamwe

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo Рік тому

    Hayo yanakuja wewe kwa sasa haitusaidii