Historia ya OSCAR KAMBONA Rafiki Wa NYERERE Aliyegeuka Adui Hadi NYERERE Kutomzika

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 бер 2023
  • #HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #nyerere #oscarkambona
    Ahsante kwa kuendelea kufuatilia, please Subscribe!
    If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories!
    ___________________________________________________________________________
    MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
    MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
    MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
    For brand, partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com

КОМЕНТАРІ • 232

  • @charleskombe
    @charleskombe  Рік тому +30

    Asante sana kwa kuendelea kufuatilia channel hii. Please subscribe!

    • @anithadavid5668
      @anithadavid5668 Рік тому +7

      Unapaswa upewe pongezi kwa jhud ulzofny

    • @henrywambura7753
      @henrywambura7753 11 місяців тому

      Kulingana na maelezo niliyoyasikiliza Osca kambona ilikuwa na tamaa ya ya kuwa RAISI WA NCHI HOI

    • @user-qk4lx4hg7g
      @user-qk4lx4hg7g 8 днів тому

      Wee unayesema mwalimu Alikuwa mbaya kwa lipi na wakati kambona Alikuwa na tamaa yakutska kumpindua ili awe raisi yeye siku zote taamaa mbaya Nyerere apewe sifa kututoa utumwani bila kumwaga damu yanmtanzania

  • @111dudi
    @111dudi 21 день тому +3

    Nyerere hakutaka fikra zaidi ya fikra zake. Mpaka anatoka aloiacja Tanzania masikini sana. Mungu amrehem Mwinyi aliyeleta ruksa, nchi ikaanza kuendelea.

  • @zainabmkwepu5498
    @zainabmkwepu5498 16 днів тому +4

    Asante kwa history ya kambona aliwahi kuja nyumbani kwetu mwaka 1994 yeye na chipaka mwenyez mungu amrehemu

  • @isaacmashauri
    @isaacmashauri Рік тому +27

    Asante kwa historia ya Kambona. Yote yatapita lakini neno la Yehova Mungu halitapita. Naitakia Amani TANZANIA kwa jina la Yesu

  • @lessomwinyimkuu1268
    @lessomwinyimkuu1268 Рік тому +20

    Never outshine the Master....

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Рік тому +6

      Mwalim huo ujinga kauanza yeye na ndio karithisha ma CCM wenzake hadi Leo hii wao hawataki kupingwa wanayoyataka wao yawe......hii ndio ujinga wa nchi kuongozwa na ideas za mtu mmoja

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Місяць тому +3

    Napenda nyerere ❤kwni asigekuwa makini leo tungekuwa kama wa cocomani

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Рік тому +11

    Makala hii unasimulia vizur Sana hongera kwa kazi nzuri.

  • @ernoldmligo110
    @ernoldmligo110 7 місяців тому +6

    Asante kwa taarifa. Nyerere alikufa akiwa hana mali yo yote nchini wala nje ya nchi. Hakuwa na tamaa ya utajiri kama Oscar Kambona.

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 7 днів тому +2

    Nyerere hakutaka mtu yeyote amzidi akili😂😂

  • @frankotembo
    @frankotembo Рік тому +9

    Charles kombe unaitaji support na nguvu katika kazi yako nzuri sana,inatufikia vizuri sana apa UNITED KINGDOM
    MUNGU AKUBARIKI SANA

    • @charleskombe
      @charleskombe  Рік тому

      Shukran sana Frank kwa kufuatilia na kwa maoni yako yenye kutia nguvu. Barikiwa pia

    • @jerryalfredngailo6106
      @jerryalfredngailo6106 9 місяців тому

      Ilikuwa si rahisi kukaa na MTU huyu wa Musoma. Alipenda kuonekana yeye tu

    • @user-fd7vi4xv5x
      @user-fd7vi4xv5x 7 місяців тому

      ​@@jerryalfredngailo6106 Mzee alikua dikteta sana ila hakujidhihirisha, pia hakua focused kwenye maendeleo ya nchi..

    • @user-ki4kh5ub4h
      @user-ki4kh5ub4h 7 днів тому

      Ameni

  • @erycah
    @erycah Рік тому +6

    Watanzania tusingekua na fitina tungekua mbali sana

  • @fulgencekanuti2622
    @fulgencekanuti2622 3 місяці тому +2

    Asante sana Bwana Kombe

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 20 днів тому +3

    Nyerere Alikua Mtu Mwema Sana Alijua Kutujenga Pamoja Kuondoa Ukabila Na Mungu Alipanga Iwe Ivo Hao Wengineo Na Elimu Zao Tz Ingekuwa Kama Mataifa Mengine Ya Changu Ni Changu Na Chako Kitakua Changu Iwe Isiwe Lakini Mungu Alijua Kumfanya Nyerere Kuwa Baba Wa Taifa Kwa Ukombozi Wa Ukabila Kuondoa Uchafu Wa Ukabila Kwaivo Izi Habari Zisiwe Sababu Ya Muona Habari Kutukana Mwili Wa Nyerere Ukiwa Unajua Amani Yako Apo Ulipo Ulipozungukwa Na Makabila Kama Sita Lakini Uko Na Amani Iweje Useme Nyerere Alikua Afai Anajipenda Yeye Hi Sio Sawa Kwako Izi Kumbukumbu Za Kale Ubaya Wake Wewe Ujaujua Zaidi Ya Kusoma Sifa2

    • @sebastianmoshi7200
      @sebastianmoshi7200 16 днів тому

      Kwani Zambia hawana amani?, Zambia hawana makabila?, Zambia kulikuwa na Nyerere?, Zimbabwe hakuna amani?, Zimbabwe kulikuwa na Nyerere?, Wewe hizo propaganda umekaririshwa ni upuuzi tu, huyo mtu alikuwa mshenzi sana.

    • @awadhrajabu1403
      @awadhrajabu1403 15 днів тому

      @@sebastianmoshi7200 Siku Zote Usipende Kuusemea Moyo Wa Mtu Ambae Kama Alikua Mwema Mema Uonekana Na Aujifichi Ukiona Anatajwa Nyerere Ujue Alifanya Kazi Kubwa Sio Kupigana Bali Hata Iyo Nchi Unayotajwa Wewe Wamegundua Kama Nyerere Pia Aliona Mbali Apa Niliko Nimezungukwa Na Makabila Kama Sita Tunaishi Kwa Fulaa Unazani Kenya Kinachowatafuna Nini Wanajua Kabila Fulani Likiwa Ndani Basi Viongozi Wengi Watatokea Uko Sasa Viongozi Walioko Ndani Wataona Asala Kukuza Ajenda Mambo Kuwa Moto Wakichunguza Watajua Kama Ukabila Unawatafuna Namsifu Nyerere Amekuza Ujamaa Umoja Angekuwa Mwema Uyo Angelindwa Na Mungu Na Usingepata Tabu Kusaka Habari Zake Jitahidi Kuacha Isitoriya Hata Kwa Familia Yako Mana Hata Ndani Ya Nyumba Baba Kiongozi Pia Ukiwa Mzembe Hata Wosia Wako Unatupwa Kapuni Na Watoto Wako Kwanini Asilimia Bado Kwa Vichwa Vya Watoto

    • @FrankMyenjwa-ms5fr
      @FrankMyenjwa-ms5fr День тому

      Mzeee angewachekea tungekua Kama Congo kwa akina mabutu wa zabanga

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Місяць тому +2

    Nyerere kwa kambona alikua hawez kitu vingine propaganda ila kambona alikua genious sana

  • @haggairaywer7002
    @haggairaywer7002 Рік тому +3

    Shukran kwa kutujulisha yaliyowatofautisha Mwalimu Nyerere na Oscar Kambona

  • @user-ys3kp8nn3g
    @user-ys3kp8nn3g 9 місяців тому +2

    Asante kwa historia za viongozi wetu waliopita tunajifunza kitu

  • @raymondonyona.2736
    @raymondonyona.2736 Рік тому +8

    Kwa stori ya Nyerere na Kambona, nakubaliana na Sera ya nje ya Marekani kuwa," Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu."

  • @ibrahimasambyasaleh4027
    @ibrahimasambyasaleh4027 10 місяців тому +2

    Kwakweli uadui haukuanza Leo na kila siku marafiki ndiyo maranyingi wanakuja kuwa maadui hatuwezi jua kati ya Nyerere na kambona yupi alikuwa mkweli kwa mwenzie Ila Mwenyezi Mungu peke yake ndiye alijuwa lakini kwa sasa wote hawapo tena Duniani kile wailicho kifanya watajibu mbele za Muumba

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Рік тому +4

    Umemchambua vizuri sana

  • @stephennditi
    @stephennditi Рік тому +1

    Asante bro. Life goes on ila hatujui mwisho wetu.

  • @dbarrik4108
    @dbarrik4108 9 днів тому

    Asante sana. Tuletee Historia ya Field Marshal Joseph Okelo

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Рік тому +6

    Nyerere , , mtu mwenye busara, , na hekima

    • @denistoyi3926
      @denistoyi3926 Рік тому

      Habarinyelele

    • @Kimware-kb1yb
      @Kimware-kb1yb 8 днів тому

      Hakuna na baya na binadamu ila 2 ni wenye wevu ndo wanarudxha nchi nyuma

  • @mohamedallyrajabu205
    @mohamedallyrajabu205 Рік тому +2

    Ninavyo jua hakuna nchi duniani ambayo haija fanya mabaya, katika kuakikisha mafanikio ya dhati na hayo yote hutokea sababu anaekua na nafasi ya uongozi wakati huo anakua na wasiwasi na kuto kujua nani wa kumuamini na nani wa kuto kumuamini, kwaiyo aliyo yafanya Nyerere wakati wake ni kile alicho amini ni kizuri kwa taifa na ile ilikua starting point ya taifa letu kutoka kwa watu weupe, si rahisi na haikua rahisi sababu binadamu tuna chuki na tamaa hivyo sio wote watakupenda au kukueshimu, maoni yangu tujiulize saizi tunaenda wapi na kila mwenye nafasi yakutetea hili taifa kwa namna yake afanye, sababu waliopita wamefanya kwa kiasi chao.

  • @ObediMeyan-j8c
    @ObediMeyan-j8c 9 днів тому

    Hongera Sana kwa kutuandalia xtori tamu Kam hii

  • @IbrahimMakame-oi7wn
    @IbrahimMakame-oi7wn Рік тому +1

    Asante kwa historia nxuri

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 Рік тому +19

    Gonga lyk kama unaamin Tz tunaish kwa vsasi.

  • @ibrahimmaxmillan1430
    @ibrahimmaxmillan1430 Рік тому +3

    Mwanangu unasound vizuri sanaaaaa

  • @mohammedputta5821
    @mohammedputta5821 Рік тому +6

    Kambona alijiuma Nyerere akimaliza miaka 10 angehombea yeye urais lakin Nyerere alikuwa hataki Wasomi kipindi chake wengi TU aliwaweka kizuizini ila Kambona alikuwa smart

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 Рік тому +7

    Sema kambona alioa miss Tanganyika kipindi iko

  • @thabitbatenga1775
    @thabitbatenga1775 Рік тому +5

    Inauma sana kwa marafiki kuitilafiana

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 4 місяці тому +4

    Nyerere alichangia nchi hii kuwa maskini

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 Місяць тому

      Kachawi afu tukaaminishwa ndo baba wa taifa na lichama lake la kifisad

  • @faizahalidi7084
    @faizahalidi7084 Рік тому +1

    Interesting thank you

  • @mohammedjafar7242
    @mohammedjafar7242 Рік тому +12

    Nimejifunza hii ichi maraisi wote watu wa visasi

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Рік тому +2

      Ndio fitna zetu Tanzania na Nyerere ndio muanzilishi wa hayo na CCM wa Sasa ndio wanaendeleza tu

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Рік тому +1

    Napenda sana makala zako

    • @charleskombe
      @charleskombe  Рік тому +1

      Shukran sana Pius. Nashukuru kwa kuendelea kufuatilia channel hii.

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 6 місяців тому +1

    Maneno ya kurushiana kati ya Mwalim Nyerere na Oscar Kambona ni siasa tu, ila ukweli unabaki kuwa tumenyimwa na haki ya kumjua mtu muhimu katika historia ya n'nchi yetu. Inasikitisha hata sanamu la kumbu'kumbu hana, ila mchango wake ni mkubwa sana katika historia ya n'nchi yetu.

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 Рік тому +6

    Laki 8 kwa mdahuo nisawa na bilion 8 kwasasa

  • @oduorevans3493
    @oduorevans3493 2 місяці тому +2

    Nyerere husifiwa lakini alikua dictator sana

  • @kenMakokha-od4tp
    @kenMakokha-od4tp Рік тому +1

    Story interestinge

  • @BekaBiz
    @BekaBiz 20 днів тому

    Ama kweli rafiki wa kweli anaweza badilika akawa adui sababu ya wazfa au maslahi 😢

  • @jastinkanjost4454
    @jastinkanjost4454 Рік тому

    Kambona kuwa mhaya huwa inatokana na nn👏👏

  • @jamesmilanzi3336
    @jamesmilanzi3336 2 місяці тому

    Nimejifunza kwamba madaraka yanalevya always

  • @bettingmastertz
    @bettingmastertz Рік тому

    🔥🔥🔥

  • @kashebojassonyrwezaula7402
    @kashebojassonyrwezaula7402 11 місяців тому +2

    kweli urafiki wa kisiasa hauna maana

  • @davidcurtis175
    @davidcurtis175 Рік тому +14

    Inasikitisha sana jamaa aliambiwa si mtanzania, jamaa ndio pekee alikuwa anapinga hoja za Nyerere tena bungeni na kitwa muasi inasikitisha sana, nchi yetu kipindi hicho haikutaka wasomi maana tuliamishwa kwa njozi zaidi kuliko kwa fact, nimeota muvua itanyesha hvi karibuni kumbe ni habari za hewa duniani na wakati huo kumiliki redio ya mbao wewe ni bilionea, Huyu kambona alikuwa alikuwa akisikilizwa sana sana na wanajeshi hivyo ilikuwa hofu kubwa kwa mwalimu maana alikuwa anapinga hoja zake waziwazi.

    • @omarikinyory5785
      @omarikinyory5785 Рік тому +2

      Uyu ni babu yangu mzaa baba kambona😭💔

    • @ireneaurelian907
      @ireneaurelian907 Рік тому +2

      @@omarikinyory5785 haya kambona pole jmn

    • @omarikinyory5785
      @omarikinyory5785 Рік тому +2

      Sema sikuwai kumuwona nime ishiwa pewa istory2 tena juzi juzi ndio tuna juzwa kikubwa duwa2 innalilahi wahina lilahi rajun

    • @seifismail6041
      @seifismail6041 Рік тому +1

      @@omarikinyory5785 VP na ww unawanyoosha uko shule

    • @joycemosha1898
      @joycemosha1898 Рік тому +1

      Kampong ni wa kwanzza kutangaza kiswahili London laakini wanatnga salimkke na zuhura yunusi tena walipigania uhuru na nyryr mpaka kulala chumba kimoja huko London

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil Рік тому +27

    Nyerere julias alikuwa mnafiki sana tena mtuu mmbaya ni iletu watanzania hamjui historia kuhusu uyo Nyerere

  • @SimonMagija
    @SimonMagija Місяць тому

    Tuwache hao walio tanguli mbele za haki yupo mwe nyewe aliye wapa kipaji hicho atawahukumu mwenyewe na sisi tupambane tuivushe nchi wametuachia, vyama viko vingi tuingie tupambane kama mpina anavyopambana

  • @DawnMurcas-pz4uq
    @DawnMurcas-pz4uq 4 місяці тому +1

    Kambona commander

  • @Husenimuddi
    @Husenimuddi 10 місяців тому +3

    Nikweli kambona alikua anatumika kisiasa na captalism block

    • @HaleluyaKalalu
      @HaleluyaKalalu 9 місяців тому

      Bila capitalism usingeshika hata thumuni wewe mpakachupi ungevaa ya kitenge

  • @sauljotam115
    @sauljotam115 Рік тому +3

    Kweli hii nchi kumbe ilikuwa ngumu tokea ilipopata uhuru🥲🥲

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Рік тому

      Kabisaaa kaka....Kuna mengi Mwalim kayaficha mabaya yake.......katufanya tuamini mema yake tu

  • @mbaroukothman3626
    @mbaroukothman3626 Рік тому +2

    wakati nasomewa makala hii (mimi sijui kusoma) kama msomaji hakutia yake nimegundua kuogopwa kwa mfumo wa serikali 3 Tanzania ni kuenzi fikra za baba wa Taifa na pia chuki hazikuwa kwa kambona peke yake kwa wote watakaojulikana wana ukambonakambona

  • @user-mz4ry1sl8l
    @user-mz4ry1sl8l 10 місяців тому +1

    Hv kwa matukio kama hya unawezaje kusema Nyerere alkuwa mtakatifu wkt alkuwa na element za udikteta

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Місяць тому +1

    Nyerere mnafik sana simpend mm

  • @davidowino3022
    @davidowino3022 Рік тому +2

    Very interesting story

  • @destosolomoni8544
    @destosolomoni8544 Рік тому +4

    Me na kambona dam dam yaan hili n jabali kwel 😂😂😂😂

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo 15 днів тому

    Kiboko ya Nyerereka

  • @suitbertmaro6690
    @suitbertmaro6690 Рік тому +1

    Mkuu Leta story ya Dossa Azizi

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 22 дні тому

    Nimejifunza tuwena upendo duniani ni mapitio,pamoja machifu yao yote majigambo wote hawapo duniani.Pendo na kusameheana kwa kila jambo nikitu chema hapa duniani.

  • @hasankawanje4279
    @hasankawanje4279 Рік тому +2

    Saf sana

  • @dededshud7047
    @dededshud7047 7 днів тому

    Historia ya uwongo iyo

  • @NgomaMbago-dk3gp
    @NgomaMbago-dk3gp 11 місяців тому +1

    Nimejifunza kumbe rafiki kipenzi anaweza kuwa msaliti na adui mkubwa kwako

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 місяці тому

    👊✌👍.

  • @mansourlikamba6289
    @mansourlikamba6289 Рік тому +2

    Laki 8 ya enzi zetu ni kama Bilioni 80 ya sasa hv

  • @raymonddeodatuskyara
    @raymonddeodatuskyara Рік тому +1

    Tumetoka mbali sana.

  • @georgerichard6706
    @georgerichard6706 Рік тому +4

    Kumbe yanayo endelea hata sasa sii mapya

  • @michaelmkisi6999
    @michaelmkisi6999 Рік тому +1

    It's fine hakuna binadamu asiye na adui

  • @KamugishaSperatus-qx5kt
    @KamugishaSperatus-qx5kt Рік тому +6

    Kambona angelishirilian na nyerer nchi ingelifika mbali lakin tatizo ni elimu ya ulaya aliyoipata ,

    • @elisantenyange8751
      @elisantenyange8751 Рік тому

      Wote walikuwa na elimu ya ulaya.

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Рік тому

      Kwani Mwalim hakua na elimu ya ulaya?.........Mzee alikua na roho mbaya alitaka awe yeye tu Nyerere, wengine wote wasionekane

  • @user-gl6iq3oe1c
    @user-gl6iq3oe1c 9 місяців тому +1

    Mnafiki sana nyerere

  • @shekhkitambi414
    @shekhkitambi414 Рік тому +2

    Kumbe tungekuwa na rais mwamke Toka enzi hizo duh! Na Hawa viongozi wengine waacc kama akina kambona mbona hawana cku Yao ya kukumbukwa ingesaidia watu hata watoto wetu kujua historian hizi

  • @LazarokisiaNyakamande
    @LazarokisiaNyakamande Місяць тому

    sio kisasi Nyerere uko sawa ukiwa mnafiki mwishowake ndo huo

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 29 днів тому

    TUNDU LISSU alisema Nyerere sio mungu...
    Nyerere alisema kwamba ccm sio mama yake

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 12 годин тому

    Rafiki yako, ndiye adui yako

  • @MkulaElfrida
    @MkulaElfrida 7 місяців тому +1

    Alikua mkorofi tu mbona wala Nyerere hajashindana nae

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj 28 днів тому

    Si kila rafiki ni rafiki isipokuwa huwazi au huna fikra kinyume na snachofikiria yeye.

  • @user-qz6vn5mo3w
    @user-qz6vn5mo3w Місяць тому +1

    Nyerere alikuwa mpigania uhuru wa wa Efrica kambona alikuwa na Ilimu ya kuwahi angepata mpaka Leo tusingekuwa na ardhi.

    • @user-qz6vn5mo3w
      @user-qz6vn5mo3w Місяць тому

      Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako

  • @hashimmussa1057
    @hashimmussa1057 11 місяців тому +1

    Kijiji cha kwambe kiko Wilaya ya Nyasa kwasasa, na sio Wilaya ya Mbinga.

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 24 дні тому +1

    Hata katiba tuliyinayo Nyerere ilimlinda naweza kusema alijitengenezea

  • @lawrencemapunda3666
    @lawrencemapunda3666 Рік тому +1

    Shule ya kati aliyosoma haiitwi Mt. Barnabas bali iliitwa Mt. Paul.

  • @user-kw4nf5dv1k
    @user-kw4nf5dv1k Рік тому +5

    Pal

  • @ramrashid7859
    @ramrashid7859 21 день тому

    Inamaana kuna watanzania waliopo gambia na kalibian islands .... Kizazi chake kitakuwa kipo

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 17 днів тому

    Kumbe hitabia ya nyanyasaji nitangu nyerere

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 Місяць тому

    Ilikuaje akawa Balozi London?

  • @alfredymjema5834
    @alfredymjema5834 Рік тому +2

    Kikulacho ki nguoni mwako!!

  • @omary7517
    @omary7517 2 місяці тому +2

    Kambona alikuwa msaliti mkuu

  • @osybethmbangule7652
    @osybethmbangule7652 Рік тому +2

    Duuuh hawa Wazee walifanya dhambi kubwa sana

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Рік тому

      Yamepita mengi sana kaka, mifumo ya Tanzania miguu toka zamani

  • @kiddyadams
    @kiddyadams Рік тому +13

    Kambona, bibi titi, Tewa , sokoine, malima, ally Juma, karume etc … Nyerere aliwapoteza kimtindo 😅bongonyoso Hakuna rais mwema TZ.

    • @charleskombe
      @charleskombe  Рік тому

      Hatari kweli kweli....Historia ya BIBI TITI tayari nishakuwekea brother, waweza itazama ktk channel hii.

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Рік тому

      Nasikia Sokoine alikuwa vizuri katika uongozi, kwa sasa tunaweza kumfananisha na Majaliwa. Wanasema Sokoine aliuawa na Mawaziri wenzake na sio Nyerere.

  • @festoottosimkwayi5597
    @festoottosimkwayi5597 Рік тому +2

    NAAMINI SUALA UFISADI BADO NI HOMA TANZANIA

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo 15 днів тому

    Nyerere alikimbia nchi kajificha 😂😂 pumbav

  • @ndilanhasjeremiah
    @ndilanhasjeremiah День тому

    Mwezi wa nane mvua + Radi wapi na wapi??

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 11 місяців тому

    😂😂😂chija jamn mmh now inebaki story

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb Рік тому

    Nyerere alikua dikteta asietaka kupingwa au kukosolewa kama makufuli

    • @farinhafrank-dm4sg
      @farinhafrank-dm4sg Рік тому

      Hii ndio shida ya waafrika , neno dicteta limeletwa na wakolon ambao mliowafukuza mkidai uhuru sasa sasa mnafikir hao wakolon atawapenda

  • @user-dh1bz9lj1z
    @user-dh1bz9lj1z Рік тому +1

    Faharii wawili hawakai zizi moja

    • @ABSTemu
      @ABSTemu 4 місяці тому

      Wakipigana Ziumiazo Nyasi. Huu mpasuko busara ingewek sawa Taifa lingenufaika zaidi tungekuwa mbali zaidi. It is unfortunate.

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 Місяць тому

    Viongozi hawataki kupingwa mipango yao ni lazima ipite hata kamati mda mwingine huwa ni za kuzuga wananchi

  • @user-wx1or7ny6i
    @user-wx1or7ny6i Місяць тому

    Siyo peter mbwimbo ni Petro Bwimbo

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Рік тому

    Hivi nisahihi kusema "SWAHILI au KISWAHILI"?

  • @harunmanura7900
    @harunmanura7900 Рік тому +10

    Kwa wasiomfatilia nyerere kwenye history wanasema nyerere alikuwa mzarendo na wanaamini kuwa Idiamin ni dictater, kumbe nyerere alikuwa bonge la dictater haku penda kuyasikia mawazo tofauti japo hakuwa msomi wa kiwango kikubwa,

  • @Kresiwabula-mc2dl
    @Kresiwabula-mc2dl Рік тому +4

    Hee jaman ndo ilivyo kuwa hongela yake nyerere

  • @user-hy8ku7xp3r
    @user-hy8ku7xp3r 8 місяців тому

    Ubaya hauna kwao

  • @kinanaomar
    @kinanaomar 11 місяців тому +1

    Siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu

  • @user-bq6we7gw1m
    @user-bq6we7gw1m Рік тому

    Ndiyo tz yetu hii

  • @user-gm5uu3ee8i
    @user-gm5uu3ee8i 6 місяців тому

    Unafki wake wengine hatuujui tusome wapi tufahamu