Historia ya OSCAR KAMBONA Rafiki Wa NYERERE Aliyegeuka Adui Hadi NYERERE Kutomzika
Вставка
- Опубліковано 30 бер 2023
- #HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #nyerere #oscarkambona
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia, please Subscribe!
If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories!
___________________________________________________________________________
MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
For brand, partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com
Asante sana kwa kuendelea kufuatilia channel hii. Please subscribe!
Unapaswa upewe pongezi kwa jhud ulzofny
Kulingana na maelezo niliyoyasikiliza Osca kambona ilikuwa na tamaa ya ya kuwa RAISI WA NCHI HOI
Wee unayesema mwalimu Alikuwa mbaya kwa lipi na wakati kambona Alikuwa na tamaa yakutska kumpindua ili awe raisi yeye siku zote taamaa mbaya Nyerere apewe sifa kututoa utumwani bila kumwaga damu yanmtanzania
Nyerere hakutaka fikra zaidi ya fikra zake. Mpaka anatoka aloiacja Tanzania masikini sana. Mungu amrehem Mwinyi aliyeleta ruksa, nchi ikaanza kuendelea.
Asante kwa history ya kambona aliwahi kuja nyumbani kwetu mwaka 1994 yeye na chipaka mwenyez mungu amrehemu
Ameni
Asante kwa historia ya Kambona. Yote yatapita lakini neno la Yehova Mungu halitapita. Naitakia Amani TANZANIA kwa jina la Yesu
ameni ameni ameni
Never outshine the Master....
Mwalim huo ujinga kauanza yeye na ndio karithisha ma CCM wenzake hadi Leo hii wao hawataki kupingwa wanayoyataka wao yawe......hii ndio ujinga wa nchi kuongozwa na ideas za mtu mmoja
Napenda nyerere ❤kwni asigekuwa makini leo tungekuwa kama wa cocomani
Makala hii unasimulia vizur Sana hongera kwa kazi nzuri.
Shukran sana kwa kufuatilia
Asante kwa taarifa. Nyerere alikufa akiwa hana mali yo yote nchini wala nje ya nchi. Hakuwa na tamaa ya utajiri kama Oscar Kambona.
Unauwakika
😂😂😂😂
Nyerere hakutaka mtu yeyote amzidi akili😂😂
Charles kombe unaitaji support na nguvu katika kazi yako nzuri sana,inatufikia vizuri sana apa UNITED KINGDOM
MUNGU AKUBARIKI SANA
Shukran sana Frank kwa kufuatilia na kwa maoni yako yenye kutia nguvu. Barikiwa pia
Ilikuwa si rahisi kukaa na MTU huyu wa Musoma. Alipenda kuonekana yeye tu
@@jerryalfredngailo6106 Mzee alikua dikteta sana ila hakujidhihirisha, pia hakua focused kwenye maendeleo ya nchi..
Ameni
Watanzania tusingekua na fitina tungekua mbali sana
Asante sana Bwana Kombe
Nyerere Alikua Mtu Mwema Sana Alijua Kutujenga Pamoja Kuondoa Ukabila Na Mungu Alipanga Iwe Ivo Hao Wengineo Na Elimu Zao Tz Ingekuwa Kama Mataifa Mengine Ya Changu Ni Changu Na Chako Kitakua Changu Iwe Isiwe Lakini Mungu Alijua Kumfanya Nyerere Kuwa Baba Wa Taifa Kwa Ukombozi Wa Ukabila Kuondoa Uchafu Wa Ukabila Kwaivo Izi Habari Zisiwe Sababu Ya Muona Habari Kutukana Mwili Wa Nyerere Ukiwa Unajua Amani Yako Apo Ulipo Ulipozungukwa Na Makabila Kama Sita Lakini Uko Na Amani Iweje Useme Nyerere Alikua Afai Anajipenda Yeye Hi Sio Sawa Kwako Izi Kumbukumbu Za Kale Ubaya Wake Wewe Ujaujua Zaidi Ya Kusoma Sifa2
Kwani Zambia hawana amani?, Zambia hawana makabila?, Zambia kulikuwa na Nyerere?, Zimbabwe hakuna amani?, Zimbabwe kulikuwa na Nyerere?, Wewe hizo propaganda umekaririshwa ni upuuzi tu, huyo mtu alikuwa mshenzi sana.
@@sebastianmoshi7200 Siku Zote Usipende Kuusemea Moyo Wa Mtu Ambae Kama Alikua Mwema Mema Uonekana Na Aujifichi Ukiona Anatajwa Nyerere Ujue Alifanya Kazi Kubwa Sio Kupigana Bali Hata Iyo Nchi Unayotajwa Wewe Wamegundua Kama Nyerere Pia Aliona Mbali Apa Niliko Nimezungukwa Na Makabila Kama Sita Tunaishi Kwa Fulaa Unazani Kenya Kinachowatafuna Nini Wanajua Kabila Fulani Likiwa Ndani Basi Viongozi Wengi Watatokea Uko Sasa Viongozi Walioko Ndani Wataona Asala Kukuza Ajenda Mambo Kuwa Moto Wakichunguza Watajua Kama Ukabila Unawatafuna Namsifu Nyerere Amekuza Ujamaa Umoja Angekuwa Mwema Uyo Angelindwa Na Mungu Na Usingepata Tabu Kusaka Habari Zake Jitahidi Kuacha Isitoriya Hata Kwa Familia Yako Mana Hata Ndani Ya Nyumba Baba Kiongozi Pia Ukiwa Mzembe Hata Wosia Wako Unatupwa Kapuni Na Watoto Wako Kwanini Asilimia Bado Kwa Vichwa Vya Watoto
Mzeee angewachekea tungekua Kama Congo kwa akina mabutu wa zabanga
Nyerere kwa kambona alikua hawez kitu vingine propaganda ila kambona alikua genious sana
Shukran kwa kutujulisha yaliyowatofautisha Mwalimu Nyerere na Oscar Kambona
Asante sana kwa kufuatilia
Asante kwa historia za viongozi wetu waliopita tunajifunza kitu
Kwa stori ya Nyerere na Kambona, nakubaliana na Sera ya nje ya Marekani kuwa," Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu."
Mbowe na slaa
Kwakweli uadui haukuanza Leo na kila siku marafiki ndiyo maranyingi wanakuja kuwa maadui hatuwezi jua kati ya Nyerere na kambona yupi alikuwa mkweli kwa mwenzie Ila Mwenyezi Mungu peke yake ndiye alijuwa lakini kwa sasa wote hawapo tena Duniani kile wailicho kifanya watajibu mbele za Muumba
Umemchambua vizuri sana
Asante bro. Life goes on ila hatujui mwisho wetu.
Asante sana. Tuletee Historia ya Field Marshal Joseph Okelo
Nyerere , , mtu mwenye busara, , na hekima
Habarinyelele
Hakuna na baya na binadamu ila 2 ni wenye wevu ndo wanarudxha nchi nyuma
Ninavyo jua hakuna nchi duniani ambayo haija fanya mabaya, katika kuakikisha mafanikio ya dhati na hayo yote hutokea sababu anaekua na nafasi ya uongozi wakati huo anakua na wasiwasi na kuto kujua nani wa kumuamini na nani wa kuto kumuamini, kwaiyo aliyo yafanya Nyerere wakati wake ni kile alicho amini ni kizuri kwa taifa na ile ilikua starting point ya taifa letu kutoka kwa watu weupe, si rahisi na haikua rahisi sababu binadamu tuna chuki na tamaa hivyo sio wote watakupenda au kukueshimu, maoni yangu tujiulize saizi tunaenda wapi na kila mwenye nafasi yakutetea hili taifa kwa namna yake afanye, sababu waliopita wamefanya kwa kiasi chao.
Hongera Sana kwa kutuandalia xtori tamu Kam hii
Shukran sana
Asante kwa historia nxuri
Gonga lyk kama unaamin Tz tunaish kwa vsasi.
Mwanangu unasound vizuri sanaaaaa
Kambona alijiuma Nyerere akimaliza miaka 10 angehombea yeye urais lakin Nyerere alikuwa hataki Wasomi kipindi chake wengi TU aliwaweka kizuizini ila Kambona alikuwa smart
Acha uwongo
Hata saivi wasomi kaka wanapingwa sana
Sema kambona alioa miss Tanganyika kipindi iko
Inauma sana kwa marafiki kuitilafiana
Ndio inavyokua
Nyerere alichangia nchi hii kuwa maskini
Kachawi afu tukaaminishwa ndo baba wa taifa na lichama lake la kifisad
Interesting thank you
Nimejifunza hii ichi maraisi wote watu wa visasi
Ndio fitna zetu Tanzania na Nyerere ndio muanzilishi wa hayo na CCM wa Sasa ndio wanaendeleza tu
Napenda sana makala zako
Shukran sana Pius. Nashukuru kwa kuendelea kufuatilia channel hii.
Maneno ya kurushiana kati ya Mwalim Nyerere na Oscar Kambona ni siasa tu, ila ukweli unabaki kuwa tumenyimwa na haki ya kumjua mtu muhimu katika historia ya n'nchi yetu. Inasikitisha hata sanamu la kumbu'kumbu hana, ila mchango wake ni mkubwa sana katika historia ya n'nchi yetu.
Laki 8 kwa mdahuo nisawa na bilion 8 kwasasa
Nyerere husifiwa lakini alikua dictator sana
Story interestinge
Ama kweli rafiki wa kweli anaweza badilika akawa adui sababu ya wazfa au maslahi 😢
Kambona kuwa mhaya huwa inatokana na nn👏👏
Nimejifunza kwamba madaraka yanalevya always
🔥🔥🔥
kweli urafiki wa kisiasa hauna maana
Inasikitisha sana jamaa aliambiwa si mtanzania, jamaa ndio pekee alikuwa anapinga hoja za Nyerere tena bungeni na kitwa muasi inasikitisha sana, nchi yetu kipindi hicho haikutaka wasomi maana tuliamishwa kwa njozi zaidi kuliko kwa fact, nimeota muvua itanyesha hvi karibuni kumbe ni habari za hewa duniani na wakati huo kumiliki redio ya mbao wewe ni bilionea, Huyu kambona alikuwa alikuwa akisikilizwa sana sana na wanajeshi hivyo ilikuwa hofu kubwa kwa mwalimu maana alikuwa anapinga hoja zake waziwazi.
Uyu ni babu yangu mzaa baba kambona😭💔
@@omarikinyory5785 haya kambona pole jmn
Sema sikuwai kumuwona nime ishiwa pewa istory2 tena juzi juzi ndio tuna juzwa kikubwa duwa2 innalilahi wahina lilahi rajun
@@omarikinyory5785 VP na ww unawanyoosha uko shule
Kampong ni wa kwanzza kutangaza kiswahili London laakini wanatnga salimkke na zuhura yunusi tena walipigania uhuru na nyryr mpaka kulala chumba kimoja huko London
Nyerere julias alikuwa mnafiki sana tena mtuu mmbaya ni iletu watanzania hamjui historia kuhusu uyo Nyerere
Tuletee hy historia y nyerr kuw alkuw mnafk😂😂😳💃
@@halima1798 😂😂😂 na mimi nasubiri kuisikiliza
Kweli
Kuwa makini nakauli zako
Ok
Tuwache hao walio tanguli mbele za haki yupo mwe nyewe aliye wapa kipaji hicho atawahukumu mwenyewe na sisi tupambane tuivushe nchi wametuachia, vyama viko vingi tuingie tupambane kama mpina anavyopambana
Kambona commander
Nikweli kambona alikua anatumika kisiasa na captalism block
Bila capitalism usingeshika hata thumuni wewe mpakachupi ungevaa ya kitenge
Kweli hii nchi kumbe ilikuwa ngumu tokea ilipopata uhuru🥲🥲
Kabisaaa kaka....Kuna mengi Mwalim kayaficha mabaya yake.......katufanya tuamini mema yake tu
wakati nasomewa makala hii (mimi sijui kusoma) kama msomaji hakutia yake nimegundua kuogopwa kwa mfumo wa serikali 3 Tanzania ni kuenzi fikra za baba wa Taifa na pia chuki hazikuwa kwa kambona peke yake kwa wote watakaojulikana wana ukambonakambona
Hv kwa matukio kama hya unawezaje kusema Nyerere alkuwa mtakatifu wkt alkuwa na element za udikteta
Nyerere mnafik sana simpend mm
Mpende baba yako
Umpende, usimpende, ni baba wa Taifa. Hakuna mwingine kama yeye.
Very interesting story
Me na kambona dam dam yaan hili n jabali kwel 😂😂😂😂
Kiboko ya Nyerereka
Mkuu Leta story ya Dossa Azizi
Nimejifunza tuwena upendo duniani ni mapitio,pamoja machifu yao yote majigambo wote hawapo duniani.Pendo na kusameheana kwa kila jambo nikitu chema hapa duniani.
Saf sana
Historia ya uwongo iyo
Nimejifunza kumbe rafiki kipenzi anaweza kuwa msaliti na adui mkubwa kwako
👊✌👍.
Laki 8 ya enzi zetu ni kama Bilioni 80 ya sasa hv
Tumetoka mbali sana.
Kumbe yanayo endelea hata sasa sii mapya
It's fine hakuna binadamu asiye na adui
Kambona angelishirilian na nyerer nchi ingelifika mbali lakin tatizo ni elimu ya ulaya aliyoipata ,
Wote walikuwa na elimu ya ulaya.
Kwani Mwalim hakua na elimu ya ulaya?.........Mzee alikua na roho mbaya alitaka awe yeye tu Nyerere, wengine wote wasionekane
Mnafiki sana nyerere
Kumbe tungekuwa na rais mwamke Toka enzi hizo duh! Na Hawa viongozi wengine waacc kama akina kambona mbona hawana cku Yao ya kukumbukwa ingesaidia watu hata watoto wetu kujua historian hizi
sio kisasi Nyerere uko sawa ukiwa mnafiki mwishowake ndo huo
TUNDU LISSU alisema Nyerere sio mungu...
Nyerere alisema kwamba ccm sio mama yake
Rafiki yako, ndiye adui yako
Alikua mkorofi tu mbona wala Nyerere hajashindana nae
Si kila rafiki ni rafiki isipokuwa huwazi au huna fikra kinyume na snachofikiria yeye.
Nyerere alikuwa mpigania uhuru wa wa Efrica kambona alikuwa na Ilimu ya kuwahi angepata mpaka Leo tusingekuwa na ardhi.
Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako
Kijiji cha kwambe kiko Wilaya ya Nyasa kwasasa, na sio Wilaya ya Mbinga.
Hata katiba tuliyinayo Nyerere ilimlinda naweza kusema alijitengenezea
Ila Kama kweli eti
@@MasumbukoKilunga-mf7sg kweli kaka
Shule ya kati aliyosoma haiitwi Mt. Barnabas bali iliitwa Mt. Paul.
Pal
Inamaana kuna watanzania waliopo gambia na kalibian islands .... Kizazi chake kitakuwa kipo
Kumbe hitabia ya nyanyasaji nitangu nyerere
Ilikuaje akawa Balozi London?
Kikulacho ki nguoni mwako!!
Kambona alikuwa msaliti mkuu
Msaliti mwenye tamaa Sana Angela mamiss wote mjinga
Duuuh hawa Wazee walifanya dhambi kubwa sana
Yamepita mengi sana kaka, mifumo ya Tanzania miguu toka zamani
Kambona, bibi titi, Tewa , sokoine, malima, ally Juma, karume etc … Nyerere aliwapoteza kimtindo 😅bongonyoso Hakuna rais mwema TZ.
Hatari kweli kweli....Historia ya BIBI TITI tayari nishakuwekea brother, waweza itazama ktk channel hii.
Nasikia Sokoine alikuwa vizuri katika uongozi, kwa sasa tunaweza kumfananisha na Majaliwa. Wanasema Sokoine aliuawa na Mawaziri wenzake na sio Nyerere.
NAAMINI SUALA UFISADI BADO NI HOMA TANZANIA
Nyerere alikimbia nchi kajificha 😂😂 pumbav
Mwezi wa nane mvua + Radi wapi na wapi??
😂😂😂chija jamn mmh now inebaki story
Nyerere alikua dikteta asietaka kupingwa au kukosolewa kama makufuli
Hii ndio shida ya waafrika , neno dicteta limeletwa na wakolon ambao mliowafukuza mkidai uhuru sasa sasa mnafikir hao wakolon atawapenda
Faharii wawili hawakai zizi moja
Wakipigana Ziumiazo Nyasi. Huu mpasuko busara ingewek sawa Taifa lingenufaika zaidi tungekuwa mbali zaidi. It is unfortunate.
Viongozi hawataki kupingwa mipango yao ni lazima ipite hata kamati mda mwingine huwa ni za kuzuga wananchi
Siyo peter mbwimbo ni Petro Bwimbo
Hivi nisahihi kusema "SWAHILI au KISWAHILI"?
Kwa wasiomfatilia nyerere kwenye history wanasema nyerere alikuwa mzarendo na wanaamini kuwa Idiamin ni dictater, kumbe nyerere alikuwa bonge la dictater haku penda kuyasikia mawazo tofauti japo hakuwa msomi wa kiwango kikubwa,
😢😢
Hee jaman ndo ilivyo kuwa hongela yake nyerere
Ubaya hauna kwao
Siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu
Ndiyo tz yetu hii
Unafki wake wengine hatuujui tusome wapi tufahamu