Fahamu vipengele vyenye ukakasi Sheria ya Usalama wa Taifa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • #ijuesheria #bungeni
    Wakili Livino Ngalimitumba akichambua muswada wa marekebisho wa sheria ya idara ya usalama wa taifa kwenye studio za Wakili TV ambao serikali iko mbioni kuwasilisha bungeni.

КОМЕНТАРІ • 16

  • @thomasjoseph9540
    @thomasjoseph9540 12 днів тому

    Safi kabisa. Tupeni maarifa!

  • @IsaacElias-ww4vv
    @IsaacElias-ww4vv 3 місяці тому +1

    Safi mkuu kwa maelezo mazuri.nina kesi niko Shinyanga mjini mawasiliano yako yanapatikana wapi

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 5 місяців тому +1

    uko sahihi ,maana huyo huyo polisi anaweza kuwa ni afisa usalama ,kwahiyo akienda usalama direct kulinda sio shida

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Рік тому +2

    Baba Ahsante sana Kwa elimu hiyo

  • @tegemeantenga102
    @tegemeantenga102 2 місяці тому +1

    Hongera ndugu Livino Haule ,, product of Malangali high school

    • @livinohaule8442
      @livinohaule8442 Місяць тому

      Ahsante Boss. Yes hii ni Malangali Sekondari 😅

  • @nicelaizer9854
    @nicelaizer9854 9 місяців тому +1

    Livano ngalimtumba jibu swali hili

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Рік тому +3

    MWalimu wangu wa sheria .

  • @zakayocharles2328
    @zakayocharles2328 2 місяці тому +1

    19:50 ❤❤❤❤❤

  • @nicelaizer9854
    @nicelaizer9854 9 місяців тому +1

    Hivi cag Ludovic ottu kwa sasa kwa nafasi aliyonayo kwa sasa si kutumia umma kama ni mkuu wa chuo au mjumbe wa bodi?

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 11 місяців тому +1

    Salute

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Рік тому +2

    Kaka but i kaka

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому +1

      tunachoitaji zaidi ni mipaka kati ya police na siasa utakuta police ana elemia kwenye cha kimoja kama ccm