JINSI MTOTO ALIVYOUAWA ROMBO BAADA FAMILIA YAKE KUSHINDWA KUTUMA MILIONI 6 KWA WATEKAJI.
Вставка
- Опубліковано 9 жов 2024
- JINSI MTOTO ALIVYOUAWA ROMBO BAADA FAMILIA YAKE KUSHINDWA KUTUMA MILIONI 6 KWA WATEKAJI.
Kufuatia tukio la mwanafunzi aliyetambulika kwa jina la Nasri Ally Kitali (17) mkazi wa kijiji cha Masho wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro kudaiwa aliuawa na watekaji waliotaka kutumiwa milioni sita, familia imeomba msaada kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa madai kuwa baada ya watuhimiwa kukamatwa tukio hilo limegubikwa na sintofahamu kubwa licha ya vyombo vya usalama kukamilisha uchunguzi wake. #breakingnews #lifestyle #trendingshorts #like #livestream #live #trendingvideo
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
Taifa letu linaangamia jamani,jamani jamani tuliozaa tuombe tuombe mungu shuka baba mkono wako ni mrefu sana kuliko kitu chochote.
Yani mpaka hawa wauwaji wanaona sifa kwa vile hakuna wanalo fanywa lakini yupo Allah hakimu wa haki 😢
Hakika allah ndo kila kituy ukiuw kwa upanga na wao watauwao kwa upanga wallah
Wameamua kujitawala tu mana jeshi la police kazi yao ni kufuatilia na kuweka vitisho kwa watu nanaotaka kuandamana kwa amani
Tunapozidisha lawama kwa jesho la polisi ndio tunazidi kuwapa wauwaji cheo mnauhakika wanaoteka watu na luwauwa ni polisi? Tujitafakari kuliko lawama za upande mmoja.@@meshacknyandongo577
@@meshacknyandongo577 mungu anatosha kwa haya machozi ya wanyonge 😭
@@omanoman2044 ndio mana kuna watu wanakufa vifo vibaya humu kwa sababu ya dhulma 🥹
Alafu linatokea jinga Moja linasema Tanzania ni salama
ndo hapo sasa yaan kwa sasa tanzania imegeuka uwanja wa vita
Usalama upo kwao sisi tumekuwa kama mbwa kukuta maiti ya mtu imekuwa kama kitu cha kawaida yani tunaumia kiasi kwamba mbka machozi yamekuwa kiywaji chetu 😭😭😭💔💔
Mipumbavu ya ccm hovyo kabisa
Mungu atusaidie kwalipi pumbavu zetu kilasiku munguatusaidie badala yakupambania kukataa ujinga tumebaki mungu nyelele asinge pambana angesema mungu mungu leo tungekua bado tunauzwa kama mbuz
Mwanangu kweli kabisa
Jamani wanauliwa wasiokua hata na hatia mungu naomba hao wauwaji usiwaache mungu😭😭😭
Mungu wangu jamanii,mtoto anaonekana mstaarabi,eee Mungu nyoosha mkono wako😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
1. Askari aliyepokea 400k yuko wapi?
2. Mtoto anapigwaje mikononi mwa Polisi
3. Kuua bila kukusudia Ilihali umemshikilia /Teka mtu na kumpiga kwa makusudi. Tena ukiwa umetaarifu familia wasipotoa fedha unamuua?
Familia mmefanya vema kwenda kwenye vyombo vya habari, hata km mtoto hatarudi, haki itapindishwa lkn dunia inajua unyama uliopo na Mungu atalipa
@@ednalugano2906 Alafu umemskia ati anaumba Story kuwa alikimbia akaingia nyumba ya watu ati wakamteka uongo mtupu. Hao ni watu wake dhahiri wanajaribu kupindisha pindisha Story. Kusema ukweli kwenye Jeshi la Polisi ni kama limeingiliwa kuna ambao wanataka kuishi maisha ya juu hivyo wamegeuka wezi wa mali za raia au wakimkamata raia wanamgeuza mtaji wao.
@@ednalugano2906 Amen
Yaani Wewe pamoja na upolisi WAKO ni muongo HATA SHETANI anakishangaa BILA kukusidia kweli Wewe polisi muuaji ipo siku
police waliingiwa na tamaa baada ya kupata hiyo 400k ndo mana wakabaki na mmoja na kuomba hiyo 6M
Yaaaan hawa police ndo majambaz
Kila kona watu wanatekwa wanauawa eeh Mungu tuhurumie Watanzania.
#MunguIlindeTanzania
Huyu hajatekwa sikiliza A_Z
Binadamu kwa nini mnakuwa wakatili hivi jaman😭😭😭😭😭😭😭😭mnaua kijana wa watu mzuri hivi😭😭😭😭😭😭😭alikosa nn
Maandamano
Jaman mimi naona tuwe makini hawa waalifu ukute wanatumia kujiita police au usalama au wako wachache wanaharibu jeshi letu
Asante jpm wetu lala salama jpm tunakukumbuka sana
Kwahiyo ulitakaje maana unatueleza ujinga serikali ime fail
Toka zako..police majengo waliingiaje huko kituo cha Polisi?
@@kwisa4899mm nasema ukweli wangu serekali imefeli wakati wa magufuli hapakuwepo na utekaji wa namna hii na ubakaji na hayahaya ndio yalio tokea geita wananchi wakafanya fujo ili waingie wauwe tunamkumbuka magufuli alikua rais wa kweli na alikua anaogopewa
Ushaambiwa walikuwa kituo Cha police kabla na mmja akatolewa dhamana mwingine aliachwa
elimu ndogo sanaa rudi shule
Inauma sana poleni sana family.
Inauma sana jmn 😢kijana mdogo kakatishwa uhai wake pasina hatia eeh tanzania imeharibika mnooo 😭💔😭
Yaan kwa sasa bora kutumia njia ya kumuachia Mungu police na serikali ndio majambazi wakuu kwa sasa ivyo hata ukipeleka kesi hamna kitu kitafanyika😢😢
Mtt mzuri mstarabu kabisa taifa la kesho washamzulumu Ya Allah yoyote alihusika na kumzulumu huyu mtt tunakuomba uwahukumu ww mola wetu tupo kwenye uonevu mkubwa inaumiza sn 😢😢
Amiin
Dad said You will remember me
Tutawapata na tunafikiri tunawafahamu wanaofanya upumbavu huu, sisi ni jumuia ya Watanzania walio nje na tunafanya kazi na watu walio hapo hapo ndani ya nchi yetu, haya mambo ni aibu na tutawaweka wote hadharani, hatujali kama ni kiongozi muhimu au mtu wa kawaida, wote watawekwa, kisha kujulikana duniani, na watajuta kufanya ujinga. Siku zao zimeisha na watanzania tukae kwa amani na raha💯💯
Amen Mungu awatangulie🙏
Safi
Daaa! Familia polen. Inauma sana walichokifanya hao maaskar Mungu yupo ila wawajibishwe ipasavyo Kwan wanajulika😭😭😭😭
Mama nchi imekushinda achia ngazi
Imemshinda kabisa uyu mama nchi imemshinda
Mungu atamlaan akingangania
Kwa kweli
Kweli kaka inhumane sanaa
Kenge ww stupid unatafuta shida k ww
Yaan me nikiona hta askar asiye na hatia roho inaniuma nawachukia hawa watu mm Mungu tenda baba😢😢😢😢
Tatizo kuwahukimu askari wote, hakuna kipimo cha imani, wapo walio ajiriwa lkn wamejawa na roho chafu, hapo ndiyo walobaki huku mitaani na ni hatari sana wenzie,majambazi na ni wauaji. Tuisaidie serekali kwa kuwataja mbona tunaishi nao.
Sio wote hapo yenyewe ukivamiwa unawatafuta 😂
@@modestusndunguru7183 hata ukivamia hawajitokezi wao michongo ya wezio wote wanaijua,Leo wataenda mtaa gani hata ukipiga cm hawaji hadi watakapo maliza mambo yao ndio utaona wanajitokeza
Hunizidi😌😌
Askari ana kosa gani wakati wauwaji watu wanawajua na hawawataji
Ni shida kama maigizo kumbe ndio lilipo fikia taifa letu alafu utasikia ni matukio ya kawaida tuu inaumiza sanaa😢😢😢
Yani hii tanzania kwa kweli mtihani
Innah lillah Wainnah iley Rajioon
Subhana Allah 😭. Nchi yetu imekithiri mauaji jamani (inauma sana
Jamani Tanzania tuandamane
Duh mungu atulinde 🙏
RIP HAMZA BONGO BADO NYOSO TULIOWAPA MAJUKUMU YA KUTULINDA WAMEAMUA KUTUMALIZA😞😞😭😭
Innalillah wa innaillah rajiun apumzike kwa aman kijana mzuri jamn
Innalilaah waina ilaih rajiun 😭😭 pole kwa familia daaainauma sana aisee
Familia polen sana.
Hivi hawa tcra wanashindwa kweli kuwabaini wahusika kwa kufatilia namba zao?
Ccm must go
Awe polisi ama usalama wa Taifa,kuomba na kuomba tuungane bila kujali vyama vyetu twebde mbele za mungu kwa moyo wa Toba mungu atajibu.
Hata hao wakoloni hawakuyafanya hayo muafrika unauwa muafrika mwenzio malipo duniani akhera hesabu
Lisu akisema muanza kubisha
Afande kweli Mungu anakuona ongea ukweli usifiche ukweli nani kaua hao ni Askari wako wafungwe tu usifiche .Kwa kauli yako inaonyesha umeuma ukweli hujasema wazi .Naomba Wanasheria msaidie hii Familia hii maskini wanaonewa sikiliza huyu anauma maneno.
Ee Mungu TUSAIDIE 🙏🏾🙏🏾😢😢
Mungu tusaidie tusiingie kwenye mikono ya hao watu.
Ni kweli HATA Mimi MTOTOWANGU kauawa na POLISI wa KILWALOD Kwa madai kua kibaka BILA ushahidi BILA HATA kumfikisha mahakamani hii nchi wanyonge tunakufa kama panyatu hakuna HATA kesi hapo
@@StellaKaluwa
Pole sana ndg..
Ila msaada wetu wanadam u ktk Bwana yeye aliyeziumba mbingu na nchi.! Likufikapo usoliweza,lipeleke kwa Mungu we2,anashglka chap!
@@StellaKaluwapole sana
Hatari sana hatupo salama tuneshaingia sana. Inauma damu za waliotangulia zinaendelea kudai Mungu tunaonba toba nchi inadamu zinazokia @@StellaKaluwa
Sio kweli mkuu. alikusudia mpaka wanaomba laki 4 ,mara laki ,6 walikusudia huo ndio ukweli na muwe makini wainchi ndio ajira. Yenu
Samia must go
Poleni sana kwa tukio hilo baya.Mungu asiwaache salama
asiwaache salama wauaji hao
Walikimbizwa na Police na kukamatwa alafu imegeuka na kua Kosa la kuua bila kukusudia?? Na walidai pesa kwakua hawakupewa ndipo wakaua ,kwani hivi ndivyo kesi zinavyoendeshwa ama ndivyo washtakiwa wanavyotendewa??
Haya mambo ni tishio naomba mungu tusaidie naumia mpaka basi
😢😢😢 kesho kwa mungu kutadamshi
Haki ya Mungu nimeumia moyo sana ingekuwa nimwanangu wamemfanyia hivyo yani ningejua chakuwafanya wahusika wote waliohusika Ningeenda nao kuzimu wote shenzzz
Fanya mpango watoto wote ni wetu
Hii utekaji imefunguliwa njia na police wenyewe, unaweza kuzuia utekaji wkt utekaji umeanzishwa na watu wa usalama wenyewe,
😢😢😢😢😢😢😢😢eeeh Mungu simama mwenyewe
Ehhh Mungu simama na sisi
Kuliko mtoto wangu polisi bora abaki nyumbani aoshe vyombo hii no laana polisi mnajitafutia ndiyo maana mkistaafu hamna maisha.
Kabisa Bora aoshe vyombo hii kazi nilaana😭😭
Ni kweli.
Kabisa,wanakua kama machoko🙌
Jamani jamani subhannallah uwiiiiii
Hyo damu watailipa mpaka kizazi cha nne yupo mungu anayejibu kwa moto tena usiozimika
Kweli mama must go
Mnyonge hanahaki ila MUNGU atalipa 😭😭😭😭😭😭😭😭👏👏👏😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
Duh😢😢😢😢😢 tunaelekea wap jamn sis watu wa munguu
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Mbona huyu mtoto ni mdogo sialitakiwA achapwe viboko tu kumwelimisha
Inasikitisha sana jaman😢😢
MWe Mungu tuhurumie tunakutaka Bwana na Nguvj zako
😢😢😢😢😢😢😢😢raisi wangu
16/09/2024
Mithali 29:2.wenye haki wakiwa kw mamlaka Watu hufuraiii zaidi bali Mtu muovu atawalapo watu wanahumia
Siyo kweli
Magufuru angekuwepo🙏🙏😭😭😭
MUNGU ijalie Amani Tanzanian 🇹🇿
Aisee
😢😢😢😢😢mungu jamani tuliendie watoto wetu😢😢😢😢😢
Ngachoka choki , ngachoooooka, Ee Mungu utusikie maombi yetu .
Yaani
..si kuchoka tu mpendwa na kuumizwa pia😊
Uchunguzi wa kina ufanyike ili kawabaini waliohusika kumuua huyo kijana,pole sana mwalimu kalisti na ndugu jamaa na marafiki
Yani ukipata janga kwenye hii bora kumuachia Mungu kuliko kwenda police utaongeza uchungu na kupoteza muda na pesa yani wengi wao awana uruma wapo kazini kusubili pesa tu za alamu watenda haki niwachache sana
Mungu tunakuomba saidia Kizazi chetu🙏😇🥰
Very Sad indeed 😢💔
Pesa zimeenda namtoto kauliwa du aisee tanzania inaogopesha😢😢 watoto wetu
Mtihani
Hizi ni nyakati za mwisho 😢
Wewe umesema tumuombe mungu
Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil
Huyo ni kiongozi wa polisi anameza meza maneno...
Hawa ndio askari polis wa huyu Raisi wenu Samia, raisi ambae yuko busy kupost picha zake alipika dona na tembele!!
wewe yeye ndio aliwaeleka gwaride
Mkuu wa polisi kuna kitu anaficha.. kwa nini hawi muazi kama watuhumiwa wako chini ya ulinzi. Anakwepa kwepa
@@crismtete8837 SI polisi wa chini Wala wakubwa zao, wote ni uozo!!
Kwan anaficha nn mbona hawi muwaz kwenye taarifa yake,hela ya zulma mbaya sana
😂😂😂😂😂
Binadamu sasa hivi sijui tuna roho gani Mungu atusaidie
Inalillah w/raajiun
Allahu akibarr. 😭😭
Eti Mama samiaa.
is it right to keep quiet?hii inakuwaje?amani ipo wapi?
Mimeumia sana daa hii nchi tunaenda wapi RIP JPM pumzika kwa amani baba kesi hizi ulijua kuzifuta😢😢
Poleni sana 😭
Mapolisi Mungu anawaona
Jamani😢😢
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'un .Mbona maiaji ni mengi?
Ewe Mwenyezi Mungu tunaomba utunusuru na majanga,Aamiin Yaa Rabbal Alaamiin
😢😢
Mm huwa najiuriza sana mbona kipindi cha magufuli haikuwepo hiiii tabia ya kuuwana sasa saizi tujui nini au hatuna viongozi
Woote walio husika kwa kifo Cha mtoto huyu eee mungu wafute duniani pamoja na uzao wao wooooteeee😩😩😩
Loooo !!!!Very sad news
Hii nchi inakwenda wapi Mungu ingilia kati tumechoka na haya sisi hatuwezi Mungu tunakuhitaji
Jamani mtoto 😢😢😢😢😢
Huyu mama nchi imemshinda mbona hataki kusarenda aiseee🙌utendaji wa jeshi ni zero kipindi cha IGP Sirro hatukuona haya dah🙌
Watanzania wanafiki, kiongozi akiwa madarakani mbaya, akitoka anasifiwa, Sirro mlikuwa mnamtukana, leo hayupo mnamkumbuka.
@@DudddyWhyCant sio hvyo ila kwa huyu igp wa sasa matukio yamezidi san na polisi inatupiwa lawama na kila jamii sirro pia alikua na mapungufu ila kwa huyu wambura unyama umezidi aiseee
@@DudddyWhyCantSasa kati yako na watanzania mnafiki ni nani? Bila shaka wewe si mtanzania, ya watanzania yanakuhusu nini? Waachie wenye machungu wajipambanie
Nani alikuambia ana mkumbuka huyo siroo?msenge nn wew
Mtazamo wangu naona kuna baadhi ya Askari polisi wanahusika ktk kutia sifa mbaya taifa letu ambalo ktk dunia tz nisehemu salama kulinganisha na nchi jirani
Rakini sirikari ya Tz umeshindwa gupambana na waharifu? ndiyomana Rwanda nichi nzuri sana kunasheria. awe Police awe viongozi mbarimbari. banabapiga mwakamani nakubafunga kabisa
Hii nchi hii nchi amani amani iko wapi jamani mama unge kataa rinhi nilikubwa mambo mengi hakuna pawer spich
Hp akuna kuuwa bl kukusudia, acheni upuuzi msipindishe mambo hapa, mlitaka lk 4 mmepewa mkamuachia 1 mulikua na malengo gn.? Hizi damu zitawarudia mbwa nyie. 😭😭😭
Tena zitawarudia kwekweli....Mungu neno lake huwa haliendi bure...."Kama tadini Tudani" We waache tu.
THIS IS TOO MUCH.. Tufike mahali tuseme imetosha.
Poleni sana wafiwa. Inasikitisha sana kuona kijana mdogo hivyo anauawa na polisi bila kosa. Hata kama alikuwa na makosa kwani mahakama zina kazi gani? Mtt anaonekana ni mtiifu kabisa. RIP😭
Rabby nsataraa Nasr kitali jmn hao n kua tu laanahtullah,
Nchi tena haina aman , kila kukicha utekaji mauaji mbona hakuna hatua zinazo chukuliwa Kwan viongoz wakubwa hawaon hili jmn tutaisha jmn duh
Kweli hakuna amani imejaa hofu na simanzi
Jamani hadi watoto unaedekea wapi
Kijana mzuri maskini polisi sijui wataonea mpaka lini !!
Bila maandamano kuindoa hii serikali itamaliza watu. Acheni kumwita huyu muuaji mama
Kwelio
Sybersecurity office should handle the phone number and track location
Jamani 😢😢😢😢