PROPHET IPM AMWAGA UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 вер 2024
  • PROPHET IPM AMWAGA UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA

КОМЕНТАРІ • 58

  • @MichaelMagige
    @MichaelMagige 2 години тому +4

    Cku za mwisho,maovu yataaongezeka,kwa hiyo ukimuona mtu ana maisha mazuri,makubwa muache Kama alivyo,Na umshukuru Mungu kwa kile ulichonacho!

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 4 години тому +2

    Nguvu za shetani zina mipaka,ila Mungu hazina mipaka,Mungu ana nguvu kuliko shetani,na shetani ana kiri katika Ayubu moja.Ana nguvu kwako kama ukimchagua,kama huja mchagua hana nguvu,ndo maana hata hao masons lazima wakuingize kwa kanuni zao kwanza.Mwanadamu kapewa uhuru amchague anayetaka mtumikia.Kama ana nguvu kwa nini anaenda motoni?nguvu zake zina mipaka na ni lazima umchague kwanza.Au Mungu amruhusu.Shida umemchagua nani?Ukiwa umefuga mbuzi 200 na wewe ni komando unajua sana lenga shabaha na una bunduki nyingi ukamwona simba anakuja kamata mbuzi wako utamwacha?Ndivyo ulinzi wa Mungu kwa mwanadamu.ulivyo

  • @sweeteaglepower4773
    @sweeteaglepower4773 6 годин тому +3

    Sana lpm mi nakukubari sana

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika 3 години тому +1

    IPM anafanana na ROMA sana na mimi nampenda sana Roma na IPM

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 2 години тому +1

    Hata wa tazani wasani wote wako chini ya shetani

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 Годину тому +2

    Wasani wote ni gurupu la shetani

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 3 години тому +1

    Mi namshukuru mungu kanipa jicho la mbali naziada naiyona niwambiejitu luge joseph kusaga na THT yao namidiyazao hao nishida wamesoma ulaya ila odayao nikuuza uafrikawetu natabia zakishenz nyie chjnguze nahizi tim zao niuongomtupu wote laomoja

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 години тому +1

    Eti mara paaa Piddy huyu hapa😅😅😅

  • @emanuelpeter2489
    @emanuelpeter2489 4 години тому +1

    Nabii asiyebagua shout out

  • @simeontwiyogohe2727
    @simeontwiyogohe2727 3 години тому +1

    Jiongelee wewe. Uliwahi kuingia mioyoni mwa maaskofu ukaona wanadunda kusikia muziki wa kidunia. Maana yake hata wewe unadunda ikisikia miziki ya wasanii iliyojaa matusi

    • @GaspercomedyTv
      @GaspercomedyTv 2 години тому

      Wewe mjinga sana, Io nyimbo ni ya utetezi na uzarendo Kwa taiga
      Shida yenu mkiokoka mnakuwa kama mashoga na upako

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 3 години тому +1

    IPM MWANA HIP HOP😅😅😅

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 37 хвилин тому

    Kukitoka kwenye uislam hakuna deniingine.. jua umepotea na kilampotevu ni. Motoni😢 Allah atuonyeshe kwenyehaki. Tumludie yeye lnshaallah🤲

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 31 хвилина тому

    Nakukubali sana prophet, MUNGU atupe uzima nitafika hapo

  • @PendoSamwel-xo5zk
    @PendoSamwel-xo5zk 3 години тому +1

    😂😂😂😂

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 3 години тому +1

    Oder ya Freemasson kwa Didy

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 години тому

      Tupunguze ujuaji

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 3 години тому

    Warumi 10 : 10 usimpe utukufu au ananguvu kwako.

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 3 години тому

    Nahawa watu kunamtandao wafedha wanaingiziwa maana hatamchana hatuyaon ila milimba wanayo

  • @joharikasuwi6973
    @joharikasuwi6973 3 хвилини тому

    Sasa ndo naona kwanini katika dini yangi ya kiislam mziki ni haramu.

  • @JoakimuOmpeshi
    @JoakimuOmpeshi 37 хвилин тому

    Wewe umeona wapi?moto wa kiume akatoboa pua na kuvaa vikuku miguuni.

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 Годину тому

    Anamzungumzia nikki mbishi mtangazaji anachanganya mafile

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 2 години тому

    Host umekosea anamaanisha nick mbishi unganisha dots na stirio

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 3 години тому

    Broo huo mlio wa kinanda ingekuwa vyema uwe unautoa

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 години тому

    Mbona mtangazaji huna maswali ya msingi????

  • @Shimbamedia
    @Shimbamedia Годину тому

    Host anapewa maelekezo na Guest😂😂

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 44 хвилини тому

    Lakini msaraba nialama ya shetani

  • @mtokambali6186
    @mtokambali6186 Годину тому

    Sio Nick wa pili... Ni Nick mbishi

  • @veroniquepeter643
    @veroniquepeter643 Годину тому

    Asantee baba ushauri mzuri sana

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 3 години тому

    😂😂😂😂 tamaaa ya umarufu mbele Giza

  • @hildakitime8518
    @hildakitime8518 4 години тому

    Nakukubali sana Baba..mtu wa watu

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 години тому

    Unapenda sana hip hop

  • @King_David2.
    @King_David2. 3 години тому

    Wasituchoshe 😂😂❤❤

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 години тому

    Kumbe ww ni mwanasiasa

  • @b26online
    @b26online 2 години тому

    Nikki ni mrefu😂😂

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard189 Годину тому +2

    Hatakama haumwamini mjumbe wa Neno, basi skia anachokiongea atakama unatatizo lakiufahamu wewe skiatu kuna kitu utapata, Binafsi nakushukuru sana Prophet IPM Mungu akulinde na kukujalia Afya njema yenye Hekima na Maarifa zaidi.

  • @johnmnyawi5718
    @johnmnyawi5718 3 години тому +2

    Mbinguni sio simple ndugu zangu, maneno kama haya yanaeapumbaza watu waendelee kujiachia na ulimwengu lakin mwisho n
    mauti ya milele.. Tushtuke kwa kusoma Biblia sio kusikiliza porojo za watu

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 3 години тому

    Nikweli kabsa

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Годину тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rashidmilanzi253
    @rashidmilanzi253 Годину тому

    Mwamposa

  • @rajabhussein-e3f
    @rajabhussein-e3f 3 години тому

    Hata kwetu mpanda tulikuwa nae p Diddy wetu

    • @d-media
      @d-media 3 години тому

      Ashadead p Diddy wetu

  • @fadybeatsPro
    @fadybeatsPro 2 години тому

    Facts

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 години тому

    AY VPI😂

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 3 години тому

    mnaenda mbali kuna kijana mwingine hapa tanzania anasema ana waonganisha vina kwenye jicho latatu mwanadamu anamacho mawili hilo latatu mnalijua kueni makini mtauza nikira zenu kwa shetani jicho la tatu tigoo mtaisha kwa tamaaa

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman Годину тому

    Mwamposaaa nayeye nikatka kundi la mashetaniiiii piaaaaa

  • @NassorKhamis-l6r
    @NassorKhamis-l6r 59 хвилин тому

    Kweli ipm phet

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 37 хвилин тому

      Prophet ipm mbona afanana sana na j plus jimi mponda alie act misukosuko na expector seba uyu jamaa saut sura mwili vile vile na J plus

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 4 години тому +1

    Ipman umefanana na jpulus au jimy mponda

  • @golden_Thinkerz
    @golden_Thinkerz 33 хвилини тому

    Rudi Kwenye Uislamu Hakikisha Unakufa Ndani Ya Uislamu

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 години тому

    Kuna mafuta ya upako na kuna mafuta ya Piddy😂

  • @NuruMbilinyi-oe1nr
    @NuruMbilinyi-oe1nr 4 години тому

    Ipm nakubali sana hupndi unafki. Ww umenyoka sana