Nguvu za shetani zina mipaka,ila Mungu hazina mipaka,Mungu ana nguvu kuliko shetani,na shetani ana kiri katika Ayubu moja.Ana nguvu kwako kama ukimchagua,kama huja mchagua hana nguvu,ndo maana hata hao masons lazima wakuingize kwa kanuni zao kwanza.Mwanadamu kapewa uhuru amchague anayetaka mtumikia.Kama ana nguvu kwa nini anaenda motoni?nguvu zake zina mipaka na ni lazima umchague kwanza.Au Mungu amruhusu.Shida umemchagua nani?Ukiwa umefuga mbuzi 200 na wewe ni komando unajua sana lenga shabaha na una bunduki nyingi ukamwona simba anakuja kamata mbuzi wako utamwacha?Ndivyo ulinzi wa Mungu kwa mwanadamu.ulivyo
Mi namshukuru mungu kanipa jicho la mbali naziada naiyona niwambiejitu luge joseph kusaga na THT yao namidiyazao hao nishida wamesoma ulaya ila odayao nikuuza uafrikawetu natabia zakishenz nyie chjnguze nahizi tim zao niuongomtupu wote laomoja
Jiongelee wewe. Uliwahi kuingia mioyoni mwa maaskofu ukaona wanadunda kusikia muziki wa kidunia. Maana yake hata wewe unadunda ikisikia miziki ya wasanii iliyojaa matusi
Hatakama haumwamini mjumbe wa Neno, basi skia anachokiongea atakama unatatizo lakiufahamu wewe skiatu kuna kitu utapata, Binafsi nakushukuru sana Prophet IPM Mungu akulinde na kukujalia Afya njema yenye Hekima na Maarifa zaidi.
Mbinguni sio simple ndugu zangu, maneno kama haya yanaeapumbaza watu waendelee kujiachia na ulimwengu lakin mwisho n mauti ya milele.. Tushtuke kwa kusoma Biblia sio kusikiliza porojo za watu
mnaenda mbali kuna kijana mwingine hapa tanzania anasema ana waonganisha vina kwenye jicho latatu mwanadamu anamacho mawili hilo latatu mnalijua kueni makini mtauza nikira zenu kwa shetani jicho la tatu tigoo mtaisha kwa tamaaa
Cku za mwisho,maovu yataaongezeka,kwa hiyo ukimuona mtu ana maisha mazuri,makubwa muache Kama alivyo,Na umshukuru Mungu kwa kile ulichonacho!
Nguvu za shetani zina mipaka,ila Mungu hazina mipaka,Mungu ana nguvu kuliko shetani,na shetani ana kiri katika Ayubu moja.Ana nguvu kwako kama ukimchagua,kama huja mchagua hana nguvu,ndo maana hata hao masons lazima wakuingize kwa kanuni zao kwanza.Mwanadamu kapewa uhuru amchague anayetaka mtumikia.Kama ana nguvu kwa nini anaenda motoni?nguvu zake zina mipaka na ni lazima umchague kwanza.Au Mungu amruhusu.Shida umemchagua nani?Ukiwa umefuga mbuzi 200 na wewe ni komando unajua sana lenga shabaha na una bunduki nyingi ukamwona simba anakuja kamata mbuzi wako utamwacha?Ndivyo ulinzi wa Mungu kwa mwanadamu.ulivyo
Sana lpm mi nakukubari sana
IPM anafanana na ROMA sana na mimi nampenda sana Roma na IPM
Hata wa tazani wasani wote wako chini ya shetani
Wasani wote ni gurupu la shetani
Sana
Mi namshukuru mungu kanipa jicho la mbali naziada naiyona niwambiejitu luge joseph kusaga na THT yao namidiyazao hao nishida wamesoma ulaya ila odayao nikuuza uafrikawetu natabia zakishenz nyie chjnguze nahizi tim zao niuongomtupu wote laomoja
Yess your right my meen
Eti mara paaa Piddy huyu hapa😅😅😅
Nabii asiyebagua shout out
Jiongelee wewe. Uliwahi kuingia mioyoni mwa maaskofu ukaona wanadunda kusikia muziki wa kidunia. Maana yake hata wewe unadunda ikisikia miziki ya wasanii iliyojaa matusi
Wewe mjinga sana, Io nyimbo ni ya utetezi na uzarendo Kwa taiga
Shida yenu mkiokoka mnakuwa kama mashoga na upako
IPM MWANA HIP HOP😅😅😅
Kukitoka kwenye uislam hakuna deniingine.. jua umepotea na kilampotevu ni. Motoni😢 Allah atuonyeshe kwenyehaki. Tumludie yeye lnshaallah🤲
Nakukubali sana prophet, MUNGU atupe uzima nitafika hapo
😂😂😂😂
Oder ya Freemasson kwa Didy
Tupunguze ujuaji
Warumi 10 : 10 usimpe utukufu au ananguvu kwako.
Nahawa watu kunamtandao wafedha wanaingiziwa maana hatamchana hatuyaon ila milimba wanayo
Sasa ndo naona kwanini katika dini yangi ya kiislam mziki ni haramu.
Wewe umeona wapi?moto wa kiume akatoboa pua na kuvaa vikuku miguuni.
Anamzungumzia nikki mbishi mtangazaji anachanganya mafile
Host umekosea anamaanisha nick mbishi unganisha dots na stirio
Broo huo mlio wa kinanda ingekuwa vyema uwe unautoa
Mbona mtangazaji huna maswali ya msingi????
Host anapewa maelekezo na Guest😂😂
Lakini msaraba nialama ya shetani
Sio Nick wa pili... Ni Nick mbishi
Asantee baba ushauri mzuri sana
😂😂😂😂 tamaaa ya umarufu mbele Giza
Nakukubali sana Baba..mtu wa watu
Unapenda sana hip hop
Wasituchoshe 😂😂❤❤
Kumbe ww ni mwanasiasa
Nikki ni mrefu😂😂
Hatakama haumwamini mjumbe wa Neno, basi skia anachokiongea atakama unatatizo lakiufahamu wewe skiatu kuna kitu utapata, Binafsi nakushukuru sana Prophet IPM Mungu akulinde na kukujalia Afya njema yenye Hekima na Maarifa zaidi.
Mbinguni sio simple ndugu zangu, maneno kama haya yanaeapumbaza watu waendelee kujiachia na ulimwengu lakin mwisho n
mauti ya milele.. Tushtuke kwa kusoma Biblia sio kusikiliza porojo za watu
Nikweli kabsa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwamposa
Hata kwetu mpanda tulikuwa nae p Diddy wetu
Ashadead p Diddy wetu
Facts
AY VPI😂
mnaenda mbali kuna kijana mwingine hapa tanzania anasema ana waonganisha vina kwenye jicho latatu mwanadamu anamacho mawili hilo latatu mnalijua kueni makini mtauza nikira zenu kwa shetani jicho la tatu tigoo mtaisha kwa tamaaa
Unawaza uovu mwingi
Anajiita chif
Mwamposaaa nayeye nikatka kundi la mashetaniiiii piaaaaa
Jibu hilo
Hata ww ndugu, si una jini lako
Kweli ipm phet
Prophet ipm mbona afanana sana na j plus jimi mponda alie act misukosuko na expector seba uyu jamaa saut sura mwili vile vile na J plus
Ipman umefanana na jpulus au jimy mponda
Rudi Kwenye Uislamu Hakikisha Unakufa Ndani Ya Uislamu
Kuna mafuta ya upako na kuna mafuta ya Piddy😂
Ipm nakubali sana hupndi unafki. Ww umenyoka sana