Ewe Mwenyezi Mungu Tuongoze ktk njia Yako.Utulinde na fedheha na utusitiri duniani na Akhera.Yaa Rabbi
Mimi nashukuru Mungu ajamuua, mana mmmh dunia hii saivi
Jaman jaman
Yeye mwenyewe teyari kaishakubali kweli kafanya lkn utasikia police mpaka wachunguze
Km alikunywa pombe mbona hakuchukua wanaojiuza barabran huko ucku 😢😢juma raibu nakuaminia👏🏾👏🏾
Nikisikia sauti tu ya Diwani huyu najua jambo litafuatiliwa ,Diwani fanyeni uchunguzi kwa huyu nimchezo wake wapo nawengine mungu ameamua kumfichua kwa kupitia huyu binti.
We subiri miaka 30 ndani AISEE 😮😮😮
Huyo utaratibu wake ndo huo ili pesa ziendelee kuongezeka ( masheriti) sasa Nguvu za shetani haziwezi shinda nguvu za Mungu hapo ndo mwisho wake.
Wanaotumia Pombe naona hawataki kabisa Tukio lihusishwe na Pombe 😂😂😂
Mbwa mkubwa,ukamfungia cku xote hixo 3 pombe haiishi? tena umamlisha mandaxi & soda cku xote 3.Mbwa mkuwa huyo mtoto c mjukuu kwako? Pombe cku 3 umelewa tuu? Lifungwe maisha.Asante Baba cmamia haki.
Wachaga wana sound uwiiii😂😂😂😂😂kamateni huyoo naye apigwee dulingaaa
Tumechoka,huu mchezo unaendelea sasa,kwakweli ianze kufunga maisha,mchezo unaendelea huu,nchi imekuwa Kama shamba la Bibi,mnchafua Raisi wetu kipindi chake hiki,sheria ni kufungwa maisha,ili tueshimiane
Sasa kama mnajua pombe sio nzur vipi mnainya?
Da inauma sana angefanyiwa mtt wako ujisikiaje eti na kichang unaongea huna hay mtu mzima ovyoo
Mmmm jamani kibosho mnatisha sasa ... Mungu atusaidie.
Wabakai hawafai Kabisa kuishi Ata naona miaka 30 jela pia haimfai wanafa tu kuuliwa moja kwa moja ama wakatwe tu hizo nyeti zao 😢
Yan uyu chizi pombe utembee namjukuu mkibosho wapi huyu kuweni makini sana kumulinda huyo mtoto wasije wakapoteza ushahidi dunia imeharibika mungu tulindie watoto wetu sisi hatuwezi
Yanikatika washenzi uyumzee nimshenzi sanaa,tunataka kujuwa je?alishakamtwaa??
Mimi nikiskie taarifa za ubakaji huko tanganyika zinanishangaza sana.nakuombeni mnisaidie,mtu afanyeje ili awe kabaka? mana kila nikija uko nawaona watoto wadogo wanafanya uzinifu na watu wazima na jamii inafaham wala hawasemi kitu?
Pombe mmm na bangi pia. Nenda ukaozee jela. Na uzee ukukute jela.
Serialised tunaomba mlichukulie hatua hili jambo mkimsamehe mnatuvunja motor wananchi saana
Iviii kwa nn huyu mtoto hajapiga kelele mda ambao alkuwa hayupo jaman sku 3 uwiii
Acha uwongo wkwahiyo pombe siku 3
Bado umelewa
Pombe siku 3 mfulilizo ingekuwa siku moja ungeisingizia pombe ila siku 3 nzima umeionea pombe
Sijaelewa alibaka ni Mboro au Olomi?
Maendeleo yakanda yanakuja navingi
Miaka 30 hiyo ..
Da jamani hajkuna Cha ulevi Wala nn tamaa tu acha kutuaibisha wachang
Jamaniiii
Ongeza sauti kubwa kabisa mtetezi wa watoto kuna mijitu haiwezi kukaa sawa bila sheria kali
Wachaga wamekuwa wabakaji now days yani kila ukisikia ubakaji unasikia jina la kichaga
Ukakufe huko jela shetani ww kumhabibia mtoto maisha na kuhofia shida utakayo ipata jela
Sasa hapo kwa polis uchunguzi ni wa nini????
Naombeni kuuliza swali jaman hivi huwaga mtuhumiwa akitozwa faini nani anapewa ama inaenda serekalini ?
Bado hajakamatwa had sasa kweli.
Ameshatubu,,,msameheni
Hv we umezaaa? Unaujuw uchngu was mtt we ach kuropokwa hb kit kinaumz hv unsm hvy wee nmkushngaa san
Kibmaking ni kosaa eeeh la kumteka mtuu
😢😢uyo ndio atatufanya wanaume wengine tuonekane tuna tabia mbovu
Kwani lazima kunywa?? Mmezidi ulevi... hao wote walevi.... #pombe sio maji
Ndio maana dini inapinga unywaji wa pombe. Hata madaktari pia wanasema ni madhara tu pombe
Hhamna chocho afungwa asij8babaishe kusema shetani hakuna shetani wa kubaka kwan8 ni wazim
Wewe kimbia utafungwa 30 kimbia uza kila kitu..broo acha kubwmbeleza kitu hiyo ni noma ... mno ..lipa kwa gharama yeyote utembeee
Huyu ni mbakaji achukuliwe hatuwa kubwa iwe fundisho kwa wengine
Na mimba ongezea hapo Hon Diwani
Bwana mboro
Eti jina la ukoo,mlikosa majina mpaka mtumie hilo, yanayotokea sasa na jina la ukoo hayana utofauti kabisa. Aya sasa mboroo imefanyakaz kwenye ukoo😂😂
Mboro si jina la ukoo ni mwanaume wa kichaga hasa wanatumia wamachame na zaidi ni wa ukoo wa akina muro
@@lucypatrick7830Kwa upande wa kwetu Ni ukoo , tunaitwa mboro (mremi)
Mboro kaza mpaka mwisho...This is too much to compromise
Mbwa sana huyo mbakaji mfungeni maisha
Hizi mambo mbona zimezidi aisee
Huyu mbwa mbona Kama mnamchelewesha sana
Pombe isiwe kisingizio asee
Huyu mshenzi ataludia akisamehewa apelekwe jela pumbavu zake
Juma hebu simamia hii ishu mkuu
Hapo wakiyamaliza nyumbani ataendelea naye bora mno wa sheria ufanye kazi lakini sasa pesa za uendeshaj wa kesi wanazo
Pombe siku tatu ? Mshenzi huyo sheria ifuate mkondo wake
Anyongwe huyo mbwaa
Huyu baba ni fara sana. Kama ingekuwa mwanae ingekuwaje? Kamata huyo mbwa mshenzi huyo
Huyummbwa kenge mjusi shetani wakimkamata kwanza wamkabizi kwa wananchi wampe kipigo kitakatifu
Kumbe likitu likubwa hivi ndo limemvuwa mtoto?Eeee Mungu wetu watoto wetu tuko hatarini
Shule salama iwafikie hii jamii lakini jeshi la polisi fanyeni kazi
Siku tatu zote uongo kwann uliendelea ck hizo zote.
Binadam aliekosea jambo" mbn hujalala na mwanao
Daa
Ujue jamaa anafungwa hivi hivi!!!!
Mbakaji ni bwegeee la mtozeni maana ananyoosha maneno kabisa kama jinga akafungwe miaka 300
Huyo mtoto Alikubali vipi
Kubabako unafanya usenge halafu unasingizia pombe
Mie ningemsamehe Uyo Mtu Masamaha Wake Unatoka Moyoni Mungu Atupe Moyo Wa Kusamehe
Nakuombea na wakwako abakwe ili uone kama ni rahisi kusamehe unaleta mzaa mbele ya mtoto oooooooooo
@@TumainiSaweeSIYO kwake,NAMUOMBEA KINA NYUNDO WENGINE 5 WATOKEE,WAMLAWITI YEYE,HALAFU ASAMEHE😢😢😢😢
@@TumainiSaweeunavyosema mwanae abakwe wacha nikuambie nina watoto namuomba MUNGU ayafute maneno yako hakuna litakalompata mtoto wake hata mmoja ....usifkiri neno msamaha ni neno dogo anavyosema angesamehe msamaha ni zaidi ya kuua msamaha ni zaidi ya kulipiza maana yake humfungii mtu kwenye moyo wako ili usiathirike wewe then MUNGU anashughulka nae ...kama hujui kazi ya msamaha nyamaza tu
Ulipanga inaonekana ndio tabia yake, ndio maana anasema hata yeye anashangaa imejulikana daa nimeumia sana, hata watu wazima na akili zao timamu unafanya kitu kama hiki kweli, kama angekuwa mwanae amefanyiwa ivi siangekuwa ameshika panga.
Afungwe MIAKA 60 ya kibaka.miaka 30 kumteka mtu..MIAKA 20 udhalilishaji. Pumbavu zake
Eeeeee mwenyezi Mungu uturehemu sisi na vizazi vyetu
Haki ya mtoto mwanafunzi inaeleweka chukueni hatua sheria zipo 3:28 3:30 3:33 3:34
Bado yuko huru na hajakamatwa? Kweli Tanzania imekuwa nchi ya wabakaji watoto.
Bado.mdogo sana jamani akuna cha tamaa apo
Nikumsweka ndani tu.
Siku tatu zote ulikuwa umelewa? Afungwe huyo
Huyu jamaa anapaswa kwanza kumuhasi awe maksai ili iwe funzo wa watu wa Dizain hii
Wachaga hata hapa kazin tunao Yan wanajikutaga wajuaji sana wanajiamin had kwenye mambo ya hovyo
Uyo ni mshirikina ameshakiri afungwe na fain juu
Kocha mboro😢
Mtetezi nakuomba umsimamie huyo mtoto mpaka apate haki yake,na Mungu akubariki usikubali kurubuniwa. Mtuhumia anazinhizia pombe ; mimi haiingii akilini, kwani kama kweli ni pombe asubuhi angemwachia na hata kwenda kuomba msamaha huo anaodidai kuomba. Lakinihiyo pombe ilikaa kichwani mpaka siku tatu? Huyo alikusudia kumwaribi mwenzake mtoto. Afunge miaka yake 30 tena na fidia juu yakumtibu mtoto
Nimesikia anamuita hujamaa junaganitena😂😂😂
Nacheka km mazuri unajua mboroo mzee😅
Huyu afungwe jela tena afanwe hanisi
Lione libaba lizima lione
Siku 3 ulevi,alikusudia
Sisi wachaga Mboro ni ukoo😂😂
Kama ni pombe ungeanguka kama pombe imezidi ili mateja wakulambe wewe alafu utangaze kua wametomba pombe sio wewe pumbavu kwani huko serikali haipo naona ishakua udalali hapo wakati kuna kesi ya ubakaji.
Wabakaji wanajiona wako sahihi sikiliza anavyoongea utasema kaiba kuku tu kumbe kafanya ushetani wa hali ya juu
Kumbe hata kituoni alishafika
JITU ZIMA OVYOO FYUUUUU
Sasa ifungwe pombe au afungwe yeye.
Hii pombe mbona kama anaisingizia, siku tatu zote alikuwa mlevi . Mungu atunusuru na watoto wetu maana hali imekuwa mbaya jmn😢
sku Tatu kalewa😳😳