Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa chama hicho, amekinukisha bungeni baada ya kusimama na kupinga kwa nguvu zote ripoti za kamati mbili za madini zilizoundwa na mheshimiwa rais huku akienda mbali zaidi na kusema kuwa zimejaa uchafu.
    Lissu amefunguka kwamba uamuzi wa bunge kumpongeza mheshimiwa rais, si wa wabunge wote bali ni wa wabunge wa CCM kumpongeza mwenyekiti wao.
    Akaendelea kwamba wajibu wa bunge ni kuishauri serikali na si kuisifia na kuiimbia mapambio, na kwamba ripoti ya kamati hizo mbili hazipaswi kusifiwa kwa sababu kabla yake, rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliunda kamati ambazo zilikuwa na mapendekezo bora zaidi.
    Maneno makali ya Tundu Lissu, yaliamsha hasira kwa wabunge wa CCM ambao mara kwa mara walikuwa wakimzoea, hali iliyomfanya mwenyekiti wa bunge, Mhe Zungu awe na kazi ya ziada ya kutuliza hali ya hewa bungeni ambayo ilishachafuka.
    Lissu amesema kwamba mpaka sasa, sheria zote zilizolifikisha taifa hapa lilipo, kuhusu madini, hakuna hata moja iliyorekebishwa ambapo kiwango kikubwa cha madini kinasafirishwa moja kwa moja kutoka kwenye migodi, jambo alilolifananisha na kuzuia mapanki wakati minofu inasafirishwa.
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishe...
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers

КОМЕНТАРІ • 441

  • @gidiuskato7722
    @gidiuskato7722 4 місяці тому +20

    Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅

  • @edmundisospeter7837
    @edmundisospeter7837 4 роки тому +74

    Kama sisi sio wanafiki tugonge like

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 11 місяців тому +10

    WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 років тому +9

    Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 місяці тому +2

    Tundu Lissu ni chumaaaa

  • @juliuskizito8929
    @juliuskizito8929 7 років тому +63

    Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!

    • @selestinefrancis8473
      @selestinefrancis8473 6 років тому

      Ndiyoooo

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 роки тому +2

      Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio

    • @sanyamwita1853
      @sanyamwita1853 4 роки тому

      lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa

    • @steamnature
      @steamnature 3 роки тому

      @@luluamri370 Ndio hayo hayo

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid2331 7 років тому +56

    huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo636 4 роки тому +18

    Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....

  • @chamlilemhando7478
    @chamlilemhando7478 7 років тому +60

    viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 7 років тому +2

      Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo

    • @kitabwana9741
      @kitabwana9741 5 років тому +2

      Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 3 роки тому +1

      Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 2 роки тому

      @@nyawawawanyawawa935 shoga wew

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Рік тому +2

    Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 роки тому +10

    Tutakupenda daima mungu akupe nguvu

  • @amosmerama3680
    @amosmerama3680 4 роки тому +15

    I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 11 місяців тому +5

    MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 6 років тому +6

    Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!

  • @delebm543
    @delebm543 7 років тому +37

    mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana

  • @kelvinalex5644
    @kelvinalex5644 7 років тому +85

    hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale

    • @tecnof1232
      @tecnof1232 5 років тому +1

      Dadaktaa!

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 4 роки тому

      Kabisaa hakunaa

    • @husenijryahya5232
      @husenijryahya5232 4 роки тому

      Haipingiki mkuu

    • @shanelisessoa6319
      @shanelisessoa6319 4 роки тому

      Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz

  • @habarinamichezo6427
    @habarinamichezo6427 5 років тому +23

    Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako
    ...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 4 роки тому

      Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Рік тому

      Sio mlemavu wa akili kama wwe

  • @vanessagoodluck7176
    @vanessagoodluck7176 6 років тому +46

    Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.

    • @hilaliissa5056
      @hilaliissa5056 5 років тому

      Ki r0 .

    • @hilaliissa5056
      @hilaliissa5056 5 років тому

      -

    • @ibrahimgwasma235
      @ibrahimgwasma235 4 роки тому

      Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 4 роки тому

      @@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 4 роки тому

      @@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani

  • @nasibumatutera786
    @nasibumatutera786 2 роки тому +5

    Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.

  • @willeydavid2108
    @willeydavid2108 3 роки тому +13

    We miss you TUNDU LISSU 😭😭

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 роки тому +3

    Mbona tena leo anawatetea wezi

  • @athuimansaidi6525
    @athuimansaidi6525 4 роки тому +8

    Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri

  • @edmundisospeter7837
    @edmundisospeter7837 4 роки тому +9

    Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +5

    Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 4 роки тому +5

    Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 7 років тому +10

    Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 роки тому +4

    Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!!
    Wewe ni mkweli aiseeee!!!

  • @gidiuskato7722
    @gidiuskato7722 Місяць тому +1

    Favourite speech ever

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 роки тому +5

    Hapo ni wapi amepingaa?
    Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.

  • @saudatoller642
    @saudatoller642 7 місяців тому +1

    Daah yaani wabunge wanamkejeli mtu ambae anapambania taifa

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 11 місяців тому +1

    Hongera kwa ujasiri

  • @israeleliah7163
    @israeleliah7163 4 роки тому +5

    Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww

  • @sniper93999
    @sniper93999 3 роки тому +2

    Kuna watu wanabusara sanaaa yaaan ww mwenyekit saf sana

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 4 роки тому +3

    Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa

  • @silasfaiwelo4114
    @silasfaiwelo4114 4 роки тому +6

    Hahaha gonga like kwa lisu

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 роки тому +5

    Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.

  • @jessykaelus1579
    @jessykaelus1579 7 років тому +16

    Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.

  • @ericklaizer1696
    @ericklaizer1696 4 роки тому +4

    Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 4 роки тому +3

    Mungu ndoo anajua

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 роки тому +2

    Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 7 років тому +8

    jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?

  • @RashidRashid-on4fh
    @RashidRashid-on4fh 4 роки тому +2

    Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 7 років тому +23

    hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.

  • @abdallahibrahim2264
    @abdallahibrahim2264 7 років тому +12

    Yuko sawa lisu

  • @hamisyahaya9504
    @hamisyahaya9504 4 роки тому +2

    Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Рік тому +2

    i miss this stuff

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 7 років тому +5

    safi sana km list uno vizur

  • @vicentmayanda3935
    @vicentmayanda3935 4 роки тому +3

    lissu anajua sana my role modal

  • @danielernest8588
    @danielernest8588 4 роки тому +9

    Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa

  • @fortunatusphilimon8992
    @fortunatusphilimon8992 2 роки тому +1

    Asante

  • @jumachacha2731
    @jumachacha2731 4 роки тому +3

    Nakukubali sana lissu ingawa m niko ccm aise big up sana

  • @athuimansaidi6525
    @athuimansaidi6525 4 роки тому +3

    Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo

  • @KilusuMigaro
    @KilusuMigaro Рік тому +2

    Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu

  • @helenamapunda5848
    @helenamapunda5848 6 років тому +3

    Hongereni singida mashariki

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 роки тому +12

    Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????

  • @DanielDaniel-ey8th
    @DanielDaniel-ey8th 7 років тому +2

    Message sent.

  • @jocefstephen2475
    @jocefstephen2475 4 роки тому +5

    mbona kama nimeskia "mfanyeni kiwete huyo!"

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 4 роки тому +2

    Duh

  • @renatusvedasto1201
    @renatusvedasto1201 5 років тому +12

    tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu

  • @eliassingoi7565
    @eliassingoi7565 2 роки тому +3

    Mashine ya kazi👏👏👏👏

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 5 років тому +4

    Aaaaah aaaaah Lissu ni noma aseeee...

  • @0685-z3e
    @0685-z3e 4 роки тому +5

    Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 років тому +6

    Sure

  • @jamesharrison1553
    @jamesharrison1553 4 роки тому +8

    We miss you

  • @MatindeMatinde-mn8dc
    @MatindeMatinde-mn8dc 4 місяці тому +1

    Kweli

  • @YustaMwanjela
    @YustaMwanjela 5 місяців тому

    Nakuubari mh lisuu

  • @MchotaOnline
    @MchotaOnline 4 роки тому +8

    2020 LIKE HAPA

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize9848 4 роки тому +4

    We miss you brother

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza2651 4 роки тому +3

    Nikipitia hizi bunge kukuangalia rais lissu mtarajiwa naingiwa na imani sana utatuvusha salama na wewe ndio itakae kuwa rais wa wanyonge

  • @kulwajames4178
    @kulwajames4178 7 років тому +10

    yani kuna mda huwa naona wabunge wa ccm hawajielew

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 роки тому +6

    We miss him

  • @bakariali4026
    @bakariali4026 7 років тому +16

    uyu jamaa ana akili nyingi ,,ujue simpendi uyu mbunge anaeomba taarifa kwanza sauti lake baya

  • @jumaaaley7584
    @jumaaaley7584 7 років тому +13

    Lisu ni bingwa wa mabashite

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 3 роки тому

      Vipi bado unamkubali? JPM kashinda au lah?

  • @leonardmwita442
    @leonardmwita442 4 роки тому +1

    Yap waambie kazi kuchukua posho tu

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 4 роки тому +2

    Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana

  • @abednego3876
    @abednego3876 4 роки тому +1

    Huyu ndy mwakilishi mkazi wa Waizi wa madini na rasilimali Tanzania. Bwana Mashavu PUMBAV KWELI

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 4 роки тому +4

    Mungu ametupa zawad

  • @samsondecoman983
    @samsondecoman983 6 років тому +9

    Uyu mwana ume niadhina ya taifaaa.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 роки тому

    Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 4 роки тому +1

    Lissu anaongea kwa hasira kwani anaona mambo sio mazuryanayofanyika

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 роки тому +2

    Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa
    mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima

  • @happymboya7697
    @happymboya7697 Рік тому

    Uko sawa kabisa unamachungu na ichi Yako mungu akupe maisha malefu

  • @matumizitonny1841
    @matumizitonny1841 5 років тому +1

    Kweli kabisa

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 роки тому +6

    Chuma kisicho shika kutu! Ee Jehovah mnusuru mja wako huyu na hila za mwanadamu asiependa ukweli.

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 4 роки тому +2

    Pombeeeeei tunataka mdahaloooo na Tundu LISSU
    Na cccmmmmm
    RUSHENI HOTUBA ZA MIKATABA ZA WA BUNGE WA CCM MAVI NA CHADEMA NGUVU TUONE

    • @abednego3876
      @abednego3876 4 роки тому

      Lisu hana hadhi ya kukaa na jpm sehwm moja. Saiz yake ni katambi.

  • @bakariali4026
    @bakariali4026 7 років тому +4

    mtakuja kumkumbuka uyo lisu kwani mushamzomea mara ngapi ,pamoja na zito mwisho munajishuku wenyewe?

  • @dickykagusu686
    @dickykagusu686 3 роки тому

    Angekua ndugaiii

  • @JosiaWmela
    @JosiaWmela 15 днів тому

    Mda wake umeisha vzr sana

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 5 років тому +1

    Ukiona mpaka anashambuliwa basi ujue wameshindwa hoja... hoja za huyu jamaa zimekuwa zinawatesa....

  • @kherysalum638
    @kherysalum638 6 років тому +9

    huyo ndo lusu

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda8209 4 роки тому +5

    Rudi mwanaharakati...mchango wako ni mkubwa na mhimu ktk nchi...hii n nchi yetu ote

  • @HamisSondole-xz1ol
    @HamisSondole-xz1ol 11 місяців тому +1

    Tundu lissu amesemaje
    leo

  • @GodianGamanywa
    @GodianGamanywa 3 місяці тому

    nakukubali sana baba 3:03

  • @shengezayusufu7000
    @shengezayusufu7000 7 років тому +2

    lisu anaakili sana ilawenye vichwa kama ukwaju hawazi kumualewa

  • @richardwamungu2268
    @richardwamungu2268 4 роки тому +2

    Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi

    • @MatikoMichael
      @MatikoMichael 6 місяців тому

      Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote

  • @ndenimasawe7258
    @ndenimasawe7258 2 роки тому

    Tundu namkubali san anaongea point

  • @bakariali4026
    @bakariali4026 7 років тому +6

    katiba wanapitisha wao kisha wanazomea awa vp

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 4 роки тому +4

    N uwongo uwongo uwongo 😂😂

  • @kelvinkiria7852
    @kelvinkiria7852 4 роки тому +1

    Waeleze bb ukweli

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Рік тому

    Shikamoo Lissu
    Ww ndo Rais wa kweli wa Moyo wangu.