Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa chama hicho, amekinukisha bungeni baada ya kusimama na kupinga kwa nguvu zote ripoti za kamati mbili za madini zilizoundwa na mheshimiwa rais huku akienda mbali zaidi na kusema kuwa zimejaa uchafu.
Lissu amefunguka kwamba uamuzi wa bunge kumpongeza mheshimiwa rais, si wa wabunge wote bali ni wa wabunge wa CCM kumpongeza mwenyekiti wao.
Akaendelea kwamba wajibu wa bunge ni kuishauri serikali na si kuisifia na kuiimbia mapambio, na kwamba ripoti ya kamati hizo mbili hazipaswi kusifiwa kwa sababu kabla yake, rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliunda kamati ambazo zilikuwa na mapendekezo bora zaidi.
Maneno makali ya Tundu Lissu, yaliamsha hasira kwa wabunge wa CCM ambao mara kwa mara walikuwa wakimzoea, hali iliyomfanya mwenyekiti wa bunge, Mhe Zungu awe na kazi ya ziada ya kutuliza hali ya hewa bungeni ambayo ilishachafuka.
Lissu amesema kwamba mpaka sasa, sheria zote zilizolifikisha taifa hapa lilipo, kuhusu madini, hakuna hata moja iliyorekebishwa ambapo kiwango kikubwa cha madini kinasafirishwa moja kwa moja kutoka kwenye migodi, jambo alilolifananisha na kuzuia mapanki wakati minofu inasafirishwa.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅
Kama sisi sio wanafiki tugonge like
Ee baba
WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA
Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali
Tundu Lissu ni chumaaaa
Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!
Ndiyoooo
Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio
lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa
@@luluamri370 Ndio hayo hayo
huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly
Nassor Said sure
William Ruto
Kweli kabsaa
Mbona unaugovi na magufuri
Ndio,
Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....
.
viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana
Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo
Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana
Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅
@@nyawawawanyawawa935 shoga wew
Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo
Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri
Tutakupenda daima mungu akupe nguvu
I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele
Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu
MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻
Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!
SEMA risu mwanasheriamkuuuu sioweee
mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana
Dele BM
hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale
Dadaktaa!
Kabisaa hakunaa
Haipingiki mkuu
Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz
Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako
...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.
Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?
Sio mlemavu wa akili kama wwe
Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.
Ki r0 .
-
Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani
@@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.
@@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani
Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.
We miss you TUNDU LISSU 😭😭
Mbona tena leo anawatetea wezi
Amewatetea kwa lipi kaka
Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri
Yaani magufuri angempa nafasi huyu jamaa
Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty
Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu
Dah MAGUFULI alimkosea huyu
Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.
Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!!
Wewe ni mkweli aiseeee!!!
Favourite speech ever
Hapo ni wapi amepingaa?
Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.
Daah yaani wabunge wanamkejeli mtu ambae anapambania taifa
Hongera kwa ujasiri
Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww
🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna watu wanabusara sanaaa yaaan ww mwenyekit saf sana
Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa
Hahaha gonga like kwa lisu
Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.
Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.
Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma
Mungu ndoo anajua
Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!
jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?
Tundu ni baba lao
jamaa anajua kujenga hoja
Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani
hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.
We we acha uwongo
Yuko sawa lisu
Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo
Genius Lissu
i miss this stuff
safi sana km list uno vizur
lissu anajua sana my role modal
Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa
Asante
Nakukubali sana lissu ingawa m niko ccm aise big up sana
Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo
Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu
Hongereni singida mashariki
Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????
Message sent.
mbona kama nimeskia "mfanyeni kiwete huyo!"
Naam
Duh
tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu
Mashine ya kazi👏👏👏👏
Aaaaah aaaaah Lissu ni noma aseeee...
Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa
Sure
We miss you
Kweli
Nakuubari mh lisuu
2020 LIKE HAPA
We miss you brother
Nikipitia hizi bunge kukuangalia rais lissu mtarajiwa naingiwa na imani sana utatuvusha salama na wewe ndio itakae kuwa rais wa wanyonge
yani kuna mda huwa naona wabunge wa ccm hawajielew
Kabisa
We miss him
uyu jamaa ana akili nyingi ,,ujue simpendi uyu mbunge anaeomba taarifa kwanza sauti lake baya
Big uko
Lisu ni bingwa wa mabashite
Vipi bado unamkubali? JPM kashinda au lah?
Yap waambie kazi kuchukua posho tu
Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana
Umewahi kuangalia bunge la Kenya 😂😂
Huyu ndy mwakilishi mkazi wa Waizi wa madini na rasilimali Tanzania. Bwana Mashavu PUMBAV KWELI
Mungu ametupa zawad
Uyu mwana ume niadhina ya taifaaa.
Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana
Lissu anaongea kwa hasira kwani anaona mambo sio mazuryanayofanyika
Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa
mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima
Uko sawa kabisa unamachungu na ichi Yako mungu akupe maisha malefu
Kweli kabisa
Chuma kisicho shika kutu! Ee Jehovah mnusuru mja wako huyu na hila za mwanadamu asiependa ukweli.
Pombeeeeei tunataka mdahaloooo na Tundu LISSU
Na cccmmmmm
RUSHENI HOTUBA ZA MIKATABA ZA WA BUNGE WA CCM MAVI NA CHADEMA NGUVU TUONE
Lisu hana hadhi ya kukaa na jpm sehwm moja. Saiz yake ni katambi.
mtakuja kumkumbuka uyo lisu kwani mushamzomea mara ngapi ,pamoja na zito mwisho munajishuku wenyewe?
Angekua ndugaiii
Mda wake umeisha vzr sana
Ukiona mpaka anashambuliwa basi ujue wameshindwa hoja... hoja za huyu jamaa zimekuwa zinawatesa....
huyo ndo lusu
Rudi mwanaharakati...mchango wako ni mkubwa na mhimu ktk nchi...hii n nchi yetu ote
Tundu lissu amesemaje
leo
nakukubali sana baba 3:03
lisu anaakili sana ilawenye vichwa kama ukwaju hawazi kumualewa
Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi
Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote
Tundu namkubali san anaongea point
katiba wanapitisha wao kisha wanazomea awa vp
N uwongo uwongo uwongo 😂😂
Wewe unajuwa Nini Apo apo
Vingi tu hadi Mama ako namjua
@@haidaryjoe5546 🤣😂🤣
@@haidaryjoe5546 duuuu!!!
Waeleze bb ukweli
Shikamoo Lissu
Ww ndo Rais wa kweli wa Moyo wangu.