MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
    Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, amemuuliza waziri mkuu Bungeni kuhusiana na madai ya serikali kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa vya upinzani nchini..
    #BUNGENIDODOMA
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co....
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 102

  • @AnorldBelton
    @AnorldBelton 8 місяців тому +4

    Mda ukifika hakuna nafasi yakuuliza maswali mungu hafanyi vitu kwakubahatidha Mimi naamin mda haujafika Wa Tz kuwa na uhulu huo tuutakao hawa watu wachache wanao pambana kwaajili yetu watatuacha sisi nasisi tutawaacha wengine kikubea nikuomba mungu2 mipango yake juu yataifa hili yawe

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 4 роки тому +7

    Tume ipoo huru makada wenu wakina Nape walikujaa na maneno ya jukwaan na kwa kejeli na majigamboo kuwa wamepigaa bao la mkono leo unasema kuna Tume huru sasa kama ww Wazir mkuu unajibu hv ki wepes wepes hao wakuu wa mikoa na mawazr inakuajee duuu kazi tunayooo

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 роки тому +4

    Mh Waziri mkuu tunakupenda sana tena sana ila muogope mungu kwa kutudanganya kua tume tulionayo sasa ni huru hapana sio kweli maana tume huru gani inayoteuliwa na Raisi?iyo danganya toto Mh Waziri Mkuu

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 4 роки тому +9

    Maswal mazito na ya msingi ww unajibu kiwepesi wepesi kazi tunayooo

  • @JoshwaaMollelMwangii
    @JoshwaaMollelMwangii 6 місяців тому +2

    Mungu akawape uwongozi boraa 🤝💯

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 4 роки тому +5

    Hivi wanaoshangilia wanajielewa kweli!!!! Mungu tunusuru waja wako.

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 3 роки тому +2

    Mbowe Alkaeli Freeman the Legend

  • @GataGesimba
    @GataGesimba 7 місяців тому +1

    Asante sana wazilimkuu majibu yako yameiva vizuli sana awasikii

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 Рік тому

    Nafurahishwa sana na nidham ya Mh. Warizi Mkuu wetu Kassim Majaliwa

  • @BoniphacePeter-ih2st
    @BoniphacePeter-ih2st 6 місяців тому

    Swali lililojaa mitego ya Hali ya juu na liliulizwa kwa ufanisi mkubwa xn hongera mzee mbowe

  • @SimeliMollel
    @SimeliMollel 4 місяці тому

    Mungu utupe uongozi bora jamni

  • @jahrean-tc8561
    @jahrean-tc8561 4 роки тому +5

    Uenezi na kazi tufanye SAA ngapi

  • @tonganekwizayo9642
    @tonganekwizayo9642 4 роки тому +18

    Kama na wewe umeona waziri mkuu kajichanganya kasema nchi inaongozwa kibabe like hapa👇🏻👇🏻

  • @CholoNassor-h8r
    @CholoNassor-h8r 3 місяці тому

    Kweli kamanda mbowe tunaongozwa kibabe ila yatapita ipo siku itakula kwao kiukweli chini ni kugumu tumepgika sanat Mungu ndo anajuwa kesho yetu

  • @WilliamAbraham-xb2or
    @WilliamAbraham-xb2or 4 місяці тому

    Mungu ibarki Tanzania

  • @chugawoodpictures2587
    @chugawoodpictures2587 4 роки тому +2

    Fire 🔥

  • @adventureguidertanzania2331
    @adventureguidertanzania2331 4 роки тому +4

    Kweli mbowe Ni kichwa,maswali yako Ni mazito Sana,

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo Місяць тому

    Mama samia afie mbali

  • @shulestuff
    @shulestuff 4 роки тому +3

    Serikali ya TZ)zinanikumbusha Kenya ya Moi - 1990s, upinzani ikinyanyaswa

  • @johnnisilenisile1990
    @johnnisilenisile1990 4 роки тому +7

    Hana majibu sahihi yaan majibu yake mepesi Sana hy

    • @chachamaheri7785
      @chachamaheri7785 4 роки тому

      Hata hvyo sweli lenyewe ni jpesi mno

    • @MarthaChuwa-o6b
      @MarthaChuwa-o6b 10 днів тому

      Majibu laini laini Yani kiwepesiwepesi dadeki inapandisha nyongo mbaya ila MUNGU atusimamie hashindwi jambo

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga5231 4 роки тому +1

    Hawa jmaa wanajiamini cjui kwa nn wanajibu majibu kirahis rahis kwel inauma sana utawala huu Mambo yanavyoenda

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 4 роки тому +4

    11.03 WEWEEE

  • @echuku9905
    @echuku9905 Рік тому

    Hiyo kweli mbowe

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 роки тому +2

    Nakumbuka Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi 2015 aliondolewa dakika za mwisho kabisa jeee iyo imekaaje labda Kama sio kuingiliwa?

  • @emmanuelymushy1924
    @emmanuelymushy1924 4 роки тому +6

    Waziri mku nae ana tetea nafasi yake na atetei haki

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 4 роки тому +3

    waziri mkuu ameonda OP

  • @MwitaTv
    @MwitaTv 2 місяці тому

    Majibu hayo, ya Waziri Mkuu Hayaridhshi hata kidogo.

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 4 роки тому +4

    Kumbe neno "huru" linaweza likawa na maana tofauti eeeh 😧😧😧

  • @georgeswai7248
    @georgeswai7248 4 роки тому +5

    Weweee

  • @haipo8949
    @haipo8949 4 роки тому +4

    Waziri Mkuu hana namna nyingine ya kujibu,nkutokana na Katiba iliyopo. Ndo maana amekwenda ktk vifungu. Mngepambania Katiba mpya LAKINI mkienda na Katiba iliyopo mambo ni yale yale.

    • @magesachacha602
      @magesachacha602 4 роки тому

      Mpanda Kuna shida ya kuzuiwa mikutano ya MBUNGE RODA KUNCHERA na wakati taarifa wanao na kibali wametoa tatizo Viongozi wa MKOA

    • @adenmayala9298
      @adenmayala9298 4 роки тому

      Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya

    • @adenmayala9298
      @adenmayala9298 4 роки тому

      Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 4 роки тому +3

    huyo waziri alivyosisimama sasa kama yupo kaunta ya BAA

  • @mwidiniharuna9618
    @mwidiniharuna9618 4 роки тому +2

    tutaelelewana tu

  • @ramadhanmanko4614
    @ramadhanmanko4614 4 роки тому +2

    Siokweli mzee muogopemungu

  • @Grandpamotivator
    @Grandpamotivator 4 роки тому +3

    Yaani ccm hamuonagi hata Aibu, Katiba iliyotungwa mwaka 1977 Kipindi kulikua na chama kimoja ndio itumike leo kuunda tume kwa miaka hii ya 2020 kipindi kuna vyama vingi. RUBBISH, Kipindi katiba iliyopo sasa mwaka 1977 kulikua na chama kimoja so tume ni huru kama kungekua na chama kimoja, Bali kwa sasa Hii tume sio Huru kwasababu kwa sasa kuna vyama vingi inahitajika Katiba mpya ambayo itaunda tume huru kwasababu kwasasa kuna vyama vingi kwahio katiba iliyopo imepitwa na wakati na tume si huru.

  • @paulosonda8995
    @paulosonda8995 4 роки тому +2

    Kwahiyo mweshiwa wazir mkuu sehem ambazo hazina wabunge wa upinzani zenyewe inakuwaje

    • @athanaskija529
      @athanaskija529 4 роки тому

      Chadema msitutishe njaa tu inawasumbua

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 4 роки тому +4

    Wanataka kuzulula, huku wakichangisha fedha kwa watu eti wanaimalisha chama kumbe wanaibia pesa zetu hata ofissi ya maana miaka yote hiyo hakuna hao ndio tuwachague ,watatuzia inchi Yetu hao kwa mabeberu .

  • @Obedy-er8ih
    @Obedy-er8ih 3 місяці тому

    It's break time 😄😄

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 4 роки тому +2

    Shida ni kwamba tumejivuruga kikatiba! Ni huru yes kimaandishi but huo uhuru wake unaendeshwa vp na unasimamiwaje! For what we have seen kwa serikali za mitaa, hatuchagui viongozi, tunachaguliwa viongozi!

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 4 роки тому +3

    Mimi naona kama Magufuri nachukua nchi jana muongezeni mda Magufuri jamani wabunge nyie ili nchi hisonge mbele

  • @zayanasudi3731
    @zayanasudi3731 4 роки тому +1

    Mxeeeeeew hadi kichefuchefu

  • @KulwaAmran
    @KulwaAmran 3 місяці тому

    Waw

  • @yusufkechbow8153
    @yusufkechbow8153 4 роки тому +3

    Maswali ya chuot kikuu, majibu ya nursery

  • @peterhayuma6401
    @peterhayuma6401 4 роки тому +1

    mbowe mbane jamaa

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 4 роки тому +3

    waziri mwnyw anjibu kwa mapoziii alafu mbona ajasisima kwa adabu

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 роки тому +2

    Walakini mkubwa huu Majaliwa

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 3 місяці тому

    Kumbe hata wakubwa huwa wapo waking katika maeneo fulani nilifikili huwa Managua kila jambo au huwa wanajizima data siyo vizuri Hill nitaifa letu sote tusahihisheni tulips Korea tusonge mbele

  • @aishashabani2980
    @aishashabani2980 3 роки тому

    Sijakuelewa we waziri

  • @isacktarimo8917
    @isacktarimo8917 4 роки тому +2

    Kama nawew umesikiliza robo ukaona haku cha maan gong like

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 4 роки тому +2

    Mwandishi sikuelewi Eet Waziri Mkuu kabanwa! Kwani Uliona Hapumui!? Najua Aliulizwa Maswali na Akayajibu papo!: Acha izo.

  • @moseskyaman9323
    @moseskyaman9323 Рік тому

    Wazir Hana majibu lakin tusimlaumu alikuwa anamtumikia farao na kwa kuwa farao hayupo naamini waziri atafanya kazi na nchi itasonga mbele Dr.Samia S.H atatuvusha

  • @MathayoKamakia
    @MathayoKamakia 16 днів тому

    😮

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 4 роки тому +4

    Swali na majibu hayaendani

  • @RAHAARTISTGROUP
    @RAHAARTISTGROUP 3 місяці тому

    Hawa chadema busara ni kidogo na mwaka watachukua nchi ndo itakuwa mwanzo wa machafuko huongea kwa unafikiunafiki

  • @kitunidawooddaulani4185
    @kitunidawooddaulani4185 4 роки тому +3

    mepesi arafu yana kele hayo......N

  • @justinejohn7724
    @justinejohn7724 4 роки тому +2

    Una uhakika??

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 роки тому +1

    Video hii inachefua

  • @BoniphacePeter-ih2st
    @BoniphacePeter-ih2st 6 місяців тому

    Mbowe ni kichwa xn majariwa amna ulichojibu

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 9 місяців тому

    Majaaliwa muongo

  • @luvangaluvanga2322
    @luvangaluvanga2322 4 роки тому +2

    Polepole anaridhaa ya nani ?

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 10 днів тому

    Wanavyopiga makofi sasa eeh😅

  • @hamiskengwa6250
    @hamiskengwa6250 4 роки тому +2

    🤣🤣🤣🤣 majibu mepes hayo

  • @receptionzanbluu3656
    @receptionzanbluu3656 4 роки тому +1

    Hawa wabunge wanapiga meza kiushabiki tu hawajui lolote wababaishaji tu

  • @GeofreySanga-zo2lg
    @GeofreySanga-zo2lg 3 місяці тому

    Ccm wanazingua😅

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 4 роки тому +2

    Hatuna tume huru. Sio huru

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 роки тому +1

    Kila kitizama video hii nauwona uwepesi wa majibu ya mtendaji mkuu wa shughuli za serikali bungeni.

  • @abdulazizi2875
    @abdulazizi2875 4 роки тому +2

    Hahah majibu mepec sanaaa

    • @kitunidawooddaulani4185
      @kitunidawooddaulani4185 4 роки тому

      ana ongea nae sio mbulula ni mtu anaye tumia akili nyingi......Ndio mana ana majibu yake shot😄😄😄

    • @bakarilubeleje1167
      @bakarilubeleje1167 4 роки тому

      Mbowe yuko sahihi ase

    • @kitunidawooddaulani4185
      @kitunidawooddaulani4185 4 роки тому

      @@bakarilubeleje1167 anatumia hasira arafu mwenzake anatumia akili xaxa hapo unaonekana bwege wakati upo sahihi.....😄😄😄

  • @hapickymedia8616
    @hapickymedia8616 4 роки тому +3

    Majibu mapesi kweli ?

  • @batistutacharles9146
    @batistutacharles9146 4 роки тому +2

    Acheni kushiriki tena muuone ?ccm tunapaa kama kaw

  • @lwitikomwakibete7525
    @lwitikomwakibete7525 4 роки тому +2

    Kama majibu mepesi ongeza mchanga yawe mazito

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 роки тому +2

    Tume iko huru???????? Hehehe

    • @Grandpamotivator
      @Grandpamotivator 4 роки тому

      Amesema tume huru kwa mujibu wa katiba ya mwaka 1977 kipindi cha chama kumoja, ila kajisahau kwamba sasa kuna mfumo wa vyama vingi so katiba iliyotungwa 1977 kwasasa imepitwa na wakati, so tume sio Huru tena coz kwa sasa kuna vyama vingi

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 2 роки тому

      Cheeky hajajisahau. Makusudi

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 4 місяці тому

    Miaka 61 ccm madarakan na wanainchi maixha bado magum

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 4 роки тому +5

    Upumbavu mtupu akuna tume huru

  • @TELEZANESTORY
    @TELEZANESTORY Місяць тому

    Talifa kuhusu makonda

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 4 роки тому +2

    Waziri Mkuu yuko yy anajibu kulingana na swali limevyo ulizwa ,tume huru ipi kama si kutuhadaa tu, swali la nyongeza kama si tume Huru wao walishindaje? Wa upinzani wafie mbele wahuni hao.

  • @GrestaKayange
    @GrestaKayange 2 місяці тому

    Skwani lazma mpige makofi

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 4 місяці тому

    User wewe ni mjinga sana

  • @LukandaLukata
    @LukandaLukata 6 місяців тому

    Lukanda Lukata

  • @ramadhanmanko4614
    @ramadhanmanko4614 4 роки тому +3

    Weweeeee