MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, amemuuliza waziri mkuu Bungeni kuhusiana na madai ya serikali kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa vya upinzani nchini..
#BUNGENIDODOMA
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co....
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltv...
Mda ukifika hakuna nafasi yakuuliza maswali mungu hafanyi vitu kwakubahatidha Mimi naamin mda haujafika Wa Tz kuwa na uhulu huo tuutakao hawa watu wachache wanao pambana kwaajili yetu watatuacha sisi nasisi tutawaacha wengine kikubea nikuomba mungu2 mipango yake juu yataifa hili yawe
Tume ipoo huru makada wenu wakina Nape walikujaa na maneno ya jukwaan na kwa kejeli na majigamboo kuwa wamepigaa bao la mkono leo unasema kuna Tume huru sasa kama ww Wazir mkuu unajibu hv ki wepes wepes hao wakuu wa mikoa na mawazr inakuajee duuu kazi tunayooo
Mh Waziri mkuu tunakupenda sana tena sana ila muogope mungu kwa kutudanganya kua tume tulionayo sasa ni huru hapana sio kweli maana tume huru gani inayoteuliwa na Raisi?iyo danganya toto Mh Waziri Mkuu
Maswal mazito na ya msingi ww unajibu kiwepesi wepesi kazi tunayooo
Mungu akawape uwongozi boraa 🤝💯
Hivi wanaoshangilia wanajielewa kweli!!!! Mungu tunusuru waja wako.
@@sahimm4767 nia ma house Girl
Ulijua tangu lin
Mmmmh matahira TU yanatetea chama lao
Mbowe Alkaeli Freeman the Legend
Asante sana wazilimkuu majibu yako yameiva vizuli sana awasikii
Mpumbavu wewe
Nafurahishwa sana na nidham ya Mh. Warizi Mkuu wetu Kassim Majaliwa
Swali lililojaa mitego ya Hali ya juu na liliulizwa kwa ufanisi mkubwa xn hongera mzee mbowe
Mungu utupe uongozi bora jamni
Uenezi na kazi tufanye SAA ngapi
Kama na wewe umeona waziri mkuu kajichanganya kasema nchi inaongozwa kibabe like hapa👇🏻👇🏻
Kweli kamanda mbowe tunaongozwa kibabe ila yatapita ipo siku itakula kwao kiukweli chini ni kugumu tumepgika sanat Mungu ndo anajuwa kesho yetu
Mungu ibarki Tanzania
Fire 🔥
Kweli mbowe Ni kichwa,maswali yako Ni mazito Sana,
Mama samia afie mbali
Serikali ya TZ)zinanikumbusha Kenya ya Moi - 1990s, upinzani ikinyanyaswa
Hana majibu sahihi yaan majibu yake mepesi Sana hy
Hata hvyo sweli lenyewe ni jpesi mno
Majibu laini laini Yani kiwepesiwepesi dadeki inapandisha nyongo mbaya ila MUNGU atusimamie hashindwi jambo
Hawa jmaa wanajiamini cjui kwa nn wanajibu majibu kirahis rahis kwel inauma sana utawala huu Mambo yanavyoenda
11.03 WEWEEE
Hiyo kweli mbowe
Nakumbuka Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi 2015 aliondolewa dakika za mwisho kabisa jeee iyo imekaaje labda Kama sio kuingiliwa?
Waziri mku nae ana tetea nafasi yake na atetei haki
Wewe tetea haki basi
waziri mkuu ameonda OP
Majibu hayo, ya Waziri Mkuu Hayaridhshi hata kidogo.
Kumbe neno "huru" linaweza likawa na maana tofauti eeeh 😧😧😧
Weweee
Waziri Mkuu hana namna nyingine ya kujibu,nkutokana na Katiba iliyopo. Ndo maana amekwenda ktk vifungu. Mngepambania Katiba mpya LAKINI mkienda na Katiba iliyopo mambo ni yale yale.
Mpanda Kuna shida ya kuzuiwa mikutano ya MBUNGE RODA KUNCHERA na wakati taarifa wanao na kibali wametoa tatizo Viongozi wa MKOA
Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya
Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya
huyo waziri alivyosisimama sasa kama yupo kaunta ya BAA
tutaelelewana tu
Siokweli mzee muogopemungu
Yaani ccm hamuonagi hata Aibu, Katiba iliyotungwa mwaka 1977 Kipindi kulikua na chama kimoja ndio itumike leo kuunda tume kwa miaka hii ya 2020 kipindi kuna vyama vingi. RUBBISH, Kipindi katiba iliyopo sasa mwaka 1977 kulikua na chama kimoja so tume ni huru kama kungekua na chama kimoja, Bali kwa sasa Hii tume sio Huru kwasababu kwa sasa kuna vyama vingi inahitajika Katiba mpya ambayo itaunda tume huru kwasababu kwasasa kuna vyama vingi kwahio katiba iliyopo imepitwa na wakati na tume si huru.
Kwahiyo mweshiwa wazir mkuu sehem ambazo hazina wabunge wa upinzani zenyewe inakuwaje
Chadema msitutishe njaa tu inawasumbua
Wanataka kuzulula, huku wakichangisha fedha kwa watu eti wanaimalisha chama kumbe wanaibia pesa zetu hata ofissi ya maana miaka yote hiyo hakuna hao ndio tuwachague ,watatuzia inchi Yetu hao kwa mabeberu .
It's break time 😄😄
Shida ni kwamba tumejivuruga kikatiba! Ni huru yes kimaandishi but huo uhuru wake unaendeshwa vp na unasimamiwaje! For what we have seen kwa serikali za mitaa, hatuchagui viongozi, tunachaguliwa viongozi!
Mimi naona kama Magufuri nachukua nchi jana muongezeni mda Magufuri jamani wabunge nyie ili nchi hisonge mbele
Maendeleo ya Nchi yanakusaidia nn kenge ww
Mxeeeeeew hadi kichefuchefu
Waw
Maswali ya chuot kikuu, majibu ya nursery
Yusuf Kechbow hatariiii Kabisaaaa
mbowe mbane jamaa
waziri mwnyw anjibu kwa mapoziii alafu mbona ajasisima kwa adabu
amelewa madaraka
Walakini mkubwa huu Majaliwa
Kumbe hata wakubwa huwa wapo waking katika maeneo fulani nilifikili huwa Managua kila jambo au huwa wanajizima data siyo vizuri Hill nitaifa letu sote tusahihisheni tulips Korea tusonge mbele
Sijakuelewa we waziri
Kama nawew umesikiliza robo ukaona haku cha maan gong like
Mwandishi sikuelewi Eet Waziri Mkuu kabanwa! Kwani Uliona Hapumui!? Najua Aliulizwa Maswali na Akayajibu papo!: Acha izo.
tatzo nin mjomba
😂😂😂😂😂
Wazir Hana majibu lakin tusimlaumu alikuwa anamtumikia farao na kwa kuwa farao hayupo naamini waziri atafanya kazi na nchi itasonga mbele Dr.Samia S.H atatuvusha
😮
Swali na majibu hayaendani
Hawa chadema busara ni kidogo na mwaka watachukua nchi ndo itakuwa mwanzo wa machafuko huongea kwa unafikiunafiki
mepesi arafu yana kele hayo......N
We ulitaka ajibu vipi
@@jahrean-tc8561 mie sipo tena uko
@@jahrean-tc8561 mbona amejubu furesh sema uyo mwenzake alikuwa anataka wabishane....😄😄😄😄
Una uhakika??
Video hii inachefua
Mbowe ni kichwa xn majariwa amna ulichojibu
Majaaliwa muongo
Polepole anaridhaa ya nani ?
Wanavyopiga makofi sasa eeh😅
🤣🤣🤣🤣 majibu mepes hayo
Hawa wabunge wanapiga meza kiushabiki tu hawajui lolote wababaishaji tu
Ccm wanazingua😅
Hatuna tume huru. Sio huru
Kila kitizama video hii nauwona uwepesi wa majibu ya mtendaji mkuu wa shughuli za serikali bungeni.
Hahah majibu mepec sanaaa
ana ongea nae sio mbulula ni mtu anaye tumia akili nyingi......Ndio mana ana majibu yake shot😄😄😄
Mbowe yuko sahihi ase
@@bakarilubeleje1167 anatumia hasira arafu mwenzake anatumia akili xaxa hapo unaonekana bwege wakati upo sahihi.....😄😄😄
Majibu mapesi kweli ?
Acheni kushiriki tena muuone ?ccm tunapaa kama kaw
Kama majibu mepesi ongeza mchanga yawe mazito
Tume iko huru???????? Hehehe
Amesema tume huru kwa mujibu wa katiba ya mwaka 1977 kipindi cha chama kumoja, ila kajisahau kwamba sasa kuna mfumo wa vyama vingi so katiba iliyotungwa 1977 kwasasa imepitwa na wakati, so tume sio Huru tena coz kwa sasa kuna vyama vingi
Cheeky hajajisahau. Makusudi
Miaka 61 ccm madarakan na wanainchi maixha bado magum
Upumbavu mtupu akuna tume huru
Talifa kuhusu makonda
Waziri Mkuu yuko yy anajibu kulingana na swali limevyo ulizwa ,tume huru ipi kama si kutuhadaa tu, swali la nyongeza kama si tume Huru wao walishindaje? Wa upinzani wafie mbele wahuni hao.
Skwani lazma mpige makofi
User wewe ni mjinga sana
Lukanda Lukata
Weweeeee