BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
Вставка
- Опубліковано 9 кві 2017
- Kutoka Bungeni DODOMA, leo April 10, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe alisimama kuomba kutoa taarifa kwa Naibu Spika wa Bunge akitaka Bunge lisimamishe shughuli za kawaida na kuanza kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea nchini.
Bashe amesema yeye pia ameshatumiwa ujumbe wa vitisho wakimwambia kuna watu 11 akiwemo yeye watafanyiwa vitendo vibaya popote watakapokuwa, hivyo analiomba Bunge lijadili suala hilo kwa dharula kwasababu sio sawa kukaa kimya. - Розваги
Hii imekuwa serious issue. Mungu ibariki Tanzania
Hata mm ningekuwa ktk list ningeshindwa kkuvumilia .... Asante bashe kw kuogopa kututangulia
Bashe you are da best.. hujaenda bungeni kulala mkuuu.. Mungu na akulinde...
Shikamoo Bashee MUNGU awaongezee ulinzi awatume malaika wake walinzi ili hawa mashetani weusi waanze kuteketea kuanzia hapa dunia mpaka jehanamu
saruti bashe penda Sana wewe.
safi sana Dada tulia unajua sana hongera sana,kweli sheria inaweza kuyafanyia kazi baana,hatuna haja kamati za bunge kwani nazo zikiundwa si zitaenda kukusanya taarifa polisi,kwa wahussika na familia za wahanga ambacho naamin na polisi ndo wanakifanya...then au bashe anahisi polisi wamekaa tu noo...wanafanya kazi pamoja na matatizo yote hasa ya rushwa walio nayo
Yan wew mwanamkeeee kwelii unfnya kazi yako ilokufnya uletwe hapooo xaxa naomba Mungu naww familia yako itekwe
Kwel bashee you are smart in ur heard big up nzega they are luck
Bashe & Sugu pamoja sana.
Waziri wa mambo ya ndani hajui au hana alifanyalo. Ningemshauri ajiuzulu kulinda heshima yake(kama anayo).
Nashukulu sana kwa hojaja nzuri muheshimiwa bashe
Bashe is a gentleman indeed. ... Tanzania tunakoelekea siko na huu utamaduni haukuepo
Bashe ni akili kubwa sana
sina imani na naibu spika Tulia, yaani kazi yake imekuwa kutuliza tu hoja, huwa simwelewi kabisaa
geof beka kumbuka kuwa ni mteule wa rais kama mbunge na alimpa huo ubunge ili akawe naibu spika nadhani picha unayo
kaka Bashe me nimekbali I like your chain na ntaifuata kaka I have future
Hatar sanaa
geof beka sio naibu tu ata spika mwenyew ndo ivy ivy
Hilo swara linatuumiza wananchi ila huyo special pamaja navigogo wakuu wanalijua kuwa wakimchukia tu mtu ndio wanamuazibu hichonikikulacho kinguoani mwako
Bashe rafiki yangu mungu atakulinda kwasababu unaongea ukweli na huyo rais wenu anasema msema ukweli ni mpenzi wa mungu
Your the best in speech the government have to work on this
Mwendazake alaaniwe huko aliko alikua farao mkubwa
Yani mtu anaongelea issue ya uhai wetu unamwambia akae chini??????????
Yaani acha ninyamaze tu maana hasira nayo ni dhambi
Mungu akulinde bashe
Shikamoooo mwanamke wa shoka twakupenda je 2020 wewe ni waziri yaani una watuliza kama kitenesi💪💪💪💪
Bashe mungu akulinde witete watanzania we nyonge
huyu ni mbunge wa watanzania na sio mbunge wa chama cha mapinduzi nakukubari sana bashe
big up basheeeeeee
Bashe na wew utaambiwa umechochea unatangaza kua nchi hakuna aman!?
Asantee bashe.
safi sanaa
Mashallah you are good
yaan naibu spika Uko vizuri sana ahsante sana kwa majibu yako
"there's no hope kutoka serikalini" so true ...naombeni mkopo nihame nchi 😢😢😢
jamani mbona
wah. Bashe na Sugu bora mmekuwapo mjengoni...coz watu twaishi kwa mashaka sasa
Wewe acha uwongo sugu sio mwana siasa mwenyewe ni vta tuu
Unakua na mashaka we naye una nn wakuteke sasa. kuna anayekujua huko zombi kweli
Safiii
bashe, Sijui upewe kitengo gani? tupiganie baba
huyu tulia huyuuuuu ooooooh
it's trueeeee😢😢😢😭😭 there is no hope in serikali basheeeee oyèeeeeeeeee tutetee jmn😢😢😢😢
Bashe, nakukubal xna kaka. inapobid kuzungumza ukweli, we have to say xo.
God bless mh bashe
shukurani mheshimiwe bashe
2020 bubu ataongea
mwiguru amini hujafa hujaumbika najua ww ni mcha Mungu sana naomba kwa kauli yako uwasaidie Watanzania ili wawe ktk hali ya amani.
Dhu jaman!!!! Sisi wote niwakupita tuache visasi ili cku moja tuuone ufalme wa mungu
Hivi serikali yetu kama ingekua sio makini na kutegemea wa bunge kupanga maendeleo yetu tungekua hali mbaya sana
duuuuh!!! hata na nyie wamewageukia
Bashite Aende Jeratu Wananchi TunaumiaTunakuea Nahofu Nanchi Yetu Hatunaamani Jamani Tunaenda Wapi Sasa Jamani Hatupo Sudani TupoTanzania Nchiyenye Amani"
Johnson Kuziwa wee kilaza kweli umeelewa alichokisema sasa aende jela kwa kipi we pumba kweli
Aisha Hussein tena pumba asie jielewa kabisa
Johnson Kuziwa Wew chizi kweli aende jera kwa kosa gani alilolifanya?? kwani yeye ndo anayewateka? unapotaka kukoment uwe unafikilia kwanza muone na kichwa km vile zombi..
Mariam Marco ha ha hahahaa kwani kichwa cha zombi kiko vpi? umenifurahisha sana ndugu yngu; ila c mbya umempa maneno ya kweli mana kitu kikitokea majibu yanakuja c mwingine bali makonda
mbwa wewe ,,,,,,kusoma mwenyewe hujui ,,,uelewa nako zero
Bashe marry me
hahahaaa
hahaha
Yes he deserve to marry you.
i wll
nakupongeza
hawa wote kina jenista wanahemewa kisogoni
Duu hatari sana sasa kama mnaogopa kiasi hiki je na kwa walio hali ya chini wanao potea wanasaidiwaje
Yan nchi kama somalia banaa
Bunge bado halipo na haki ya kutetea raia na ndio hao wanaotumia kukamata watu kimykimy shenzi kabisa sugu na bashe nawakubali sana
Bashe Mungu akuzidixhie uwezo na nguvu na uwe imara kusema ukweli na kutetea wtz na siyo kutetea ugali kama wenzako was ccm hakika Bashe ww ni mfano tosha kwa wanaccm wenye akili kukuunga mkono
Jamani naomba , lissu, sugu, zitto nawengine warudi bungeni siku hizi bunge limekala sana.
Speaker is toothless now,nothing can't do.
Basheee your very bright
bashe umenena vizuri
H
Bashe ukovizuri,hongera kaka
love u bashe
bashe kweli ni mwanaharakati.....
mwiguru umekaatu aseee
Uko vizuri bashe wenzio wa
ccm wanaogopa kusema ukweli wanaogopa
Dah nimasikitiko makubwa kwa nchi hii jamani
huyu naibu spika daaa ...sijui na yy ana ubashite.....
MUNGU awe pamoja nawe Bashe umeongea vizuri
duh
Bashite bungeni
njoo ukawa kuna mdee lemma nassari, kama wew
KAMA CHOMBO TUNACHOKITEGEMEA NI HIKI, KISHA MAAMUZI YA WASIMAMIZI WAKUU NDIO HAYA MAJIBU TUMEYASIKIA , TUSUBIRI NEEMA YA M/MUNGU. siku akifanyiwa anayewagusa LABDA UMUHIMU UTAJULIKANA , MAANA MALIPO HUWA NI HAPAHAPA.
Bashe mwamba wao
bashe the great
Tulia anajua kutuliza,Majina mengine banaa!
duuh ni shidaaaaaa
Sawa ila kunawengine hpo niwatata angalien msje mkapgana na chupa
Ahsante sugu
Kwanini habari za utekaji ziko awamu wa tano tu🤷♀️
sana bashe
Seen
naibu spka kawekwa jamani kwahyo Hana nguvu yeyote
Very brave Bashe,wh
Kweli kabisa haiwezekani tukose uhuru
MWIJAGE JOHN
mama wee 😲😲😲😩😩😩
ndiye naibu spika... dk tulia ... tutegemee mabadiliko baada ya miaka 10000
Duh
Tanzania 🙏🙏🙏🙏
Big up: Bashe.
Big up. Bashe.
duuh ...I hope speak Ndugai...will do something.. naibu speaker is useless..God bless u Sir Mh Bashe n Sir Mh Sugu
Tutafute katiba yenye usawa maana naibu spika mjinga mjinga kama tulia niwakuponda mawe
Mhh Nchi imekwisha tuliipofika Mungu atusaidie
Ayub Nsajigwa Ameen In sha Allah kwa uwezo wake Allah ninaimani tutaishi kwa Amani.
Jamn bashe ubarikiwe kwa ukweli wako
Waambie bna nchi yetu yaa Amani hatutaki kuipoteza hii Amani
BASHE NI JEMBE LA KUIGWA NA WATANZANIA
Ukweli bashe unachosema wasipo fuata maneno yako inamaana wanajuwa watekaji na wanawabeba
Bashe sugu mpaka kieleweke yani watu tuwweke kichwani mwaka,,2020watuambia
m.mungu amlindeee
Jeremia Johaziel hatar hii
Sasaiv ni utopolo tu
true
Upon vizuli
MALAIKA wakulinde bashe
Bshe yupo saw kbxaaa mna
Bashe nakukubali sana ndio uongoz huo shida chama chako hakitaki ukweli sio kila kitu siasa
Sema japo inauma, ukweli wa mungu ndo huo.
Ngoja nifanye ivi🤐🤐
Ally kessy
bashe
Dr. Tulia anasitahikuwa spika wa mbuge na sio naibu
Hapo spika hamna kitu...ngoja atekww mumeo na kundi usilolijuaa.. ndio utakaa kwa pattern. Saiz sio dharula kwasababu watekaji unawajua
jmn huy sugu hatar