HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
Вставка
- Опубліковано 20 чер 2018
- HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:
/ globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
uko vizuri Heche nakuelewa sana watanzania wanahitaji watu kama wewe
yaani nataka kukunyanyua zaidi mungu akulinde
well done,Mr heche u'll never never be forgotten
Mbunge wangu nakukubali sanaaa, piga kazi jembeeee
Hii Mashine huwa naielewa mbaya,BigUp Heche,
Hon.Heche big up!..Tel'em da truth
Nchi yetu bado tupo gizani wanaitajika wabunge kama hawa wanaoweza kutoa mwanga iweze kuwanganza hongera sana Mkuu tuko pamoja
Tarime hatuchagui mabwege!!!! Heche 2020 hakuna mpinzani kwako tata!!!!!!
safi sana kamanda heche hawa maccm tumewachoka na hadithi zao
Mh. Heche upo vizuri endeleza mapambano zidi ya ufisadii
Duuu, Yeke Muraaa Tisha sanaaaa...
Safi sana mh heche
Safi sana kiongozi wangu unaongeo point sana
mb zikikata najaza tena mzee wangu endelea kuunguruma
Saf safi mh heche upo vizur mbunge
Upo sawa Kamanda
Safi sana umeeleweka
Saluti heche
Sijawahi jutia Mb zangu kwako kaka, I wish maneno yako yangewekwa km kumbukumbu ili kizazi kijacho kijue kuwa uliyasema hayo!
Bigup heche! Uko makin