MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024
  • MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 39

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 11 днів тому +18

    Bro Makonda, nikwambie neno moja tu, mwenyezi mungu azidi kukulinda, ameen 🤲

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 11 днів тому +6

    Kaka wewe mungu akulinde sanaa ktk kazi hii uliyolisi kutoka kwa babayetu magu

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda3502 11 днів тому +4

    Muheshiwa Makonda Mungu akutie nguvu na akulinde kwa k unachapa kazi kuwasaidia Watanzani Mkoani Arusha

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 11 днів тому +4

    Mungu akutie nguvu na akulinde mheshimiwa! Nimelia machozi kumusikia huyu mama akizungumzia hili tukio😭

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 11 днів тому +6

    Mungu akulinde Makonda

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 10 днів тому +1

    Uozo mwingi sana tanzania.. Huu ni unyama gani.. Kama hao watu wafungwe maisha.. Pole sana mama

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 11 днів тому +7

    Wallah haya matukio ya ubakaji yamekuwa tishio kwa Taifa zima Mungu atunusuru na vizazi vyetu. Halafu wabakaji hawachukuliwi hatua wapo tu

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z 11 днів тому +4

    Aiseee uyo brother ni hatari

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 9 днів тому

    The guy is very humble, respectively and so on.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 11 днів тому +1

    Mungu awe nawe makonda nakukubali Sanaa toka kwa magu🙏🙏🙏🙏piga virungu wara rushwa

  • @JudetyMbila
    @JudetyMbila 9 днів тому

    Mungu akulinde,uendelee kusaidia wanyonge

  • @dativachuwa3566
    @dativachuwa3566 10 днів тому

    Mh!Mungu akubariki mno chochote kinachotumwa juu yako hakina mamlaka katika Jina la Yesu

  • @JosephAnangisye
    @JosephAnangisye 11 днів тому +3

    Mkuu wa wilaya wanamlalamkia ni tatzo anakul kodi zetu tu

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z 11 днів тому +4

    Oyaaaa makonda nirushie nomber Yako nikupe gifti

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 8 днів тому +1

    Siamini kama ni Tanzania😢 Police ndiyo chanzo cha matatizo yote haya hawafannyi kazi zao😢 😢

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 10 днів тому

    Safi Baba kigani mungu akulinde siku Zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 11 днів тому +2

    Sidhani kuna nchi raia wake wanadhulumiwa kama Tanzania, ukitoa nchi zilizo vitani.

  • @husseinmrisho8601
    @husseinmrisho8601 11 днів тому

    Mungu akulinde umekuwa faraja kwa wengi

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 11 днів тому +1

    Huyo Dc aangaliwe vizuri hayuko nawewe huyo ,akiwa nawe nimwema lakini akiwa nawengine niadui huyo,

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 10 днів тому

    Laanahtullah hao n kua tu, wamekula utamu saa mkono wamemkata ynn,

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 11 днів тому +2

    Jesus

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 11 днів тому

    Jembe!

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 8 днів тому

    Nchi haina hata haki za binadamu shem on Tanzania

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m 11 днів тому +1

    Tanzania munasema hakuna vita kuna vita zaidi ya kuonewa. Nyinyi maoga tu

    • @CholoFaizaan
      @CholoFaizaan 11 днів тому

      Niwatanganyika hao cci wazanzibar hatutaki huo ujinga

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 11 днів тому +2

    Makonda tatizo lako unapenda kujisifu mwenyewe acha watu wakusifu bhana

    • @cyliruta5021
      @cyliruta5021 11 днів тому

      Rubbish 😊

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 11 днів тому +1

      Kwaiyo apo kajisifu wap?

    • @dativachuwa3566
      @dativachuwa3566 10 днів тому

      Wewe hayajakukuta kwa familia yako laiti ungejua huyu mama alivyoteseka selina hospital ya Ngaramton

    • @user-uc6fd9md2q
      @user-uc6fd9md2q 10 днів тому

      Amejifu nn hapo.ukimchikia mtu mchukie kwa sababu zako binafs.sio kumponda

    • @MariamJames-b5x
      @MariamJames-b5x 10 днів тому

      Hapo kajisivu nini au nawewe niwalewale

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 11 днів тому

    Hilo nitatizo lakitaifa yapo mengi sana

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p 10 днів тому

    2025 tunahitaj Rais yani akitoa saut au agizo linafanyiwa kaz kwa mda huo R.lp pombe tutakukumbuka

  • @beneginoboniface
    @beneginoboniface 11 днів тому

    Hivi Sheria ya maadili inajulikana kweli haya mambo Ili yaweze kuisha ni lazima kutimiza Sheria ya maadili MTU akibaka ni lazima sehemu aliyotumia kubakia kukatwa
    MTU akiua ni lazima auawe hiyo Sheria inahitajika kuwekwa wazi

    • @beneginoboniface
      @beneginoboniface 11 днів тому

      Akiua kwa makusudi ni lazima auawe kwa namna Ile ile

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 11 днів тому +1

    NAKUKUBALI MUESHIMIWA MAKONDA UBALIKIWE KWA UMAKINI WAKO ❤❤❤

  • @user-di3lr4xb9c
    @user-di3lr4xb9c 11 днів тому

    Mungu akutangulie kwa kila jambo