Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho "Mama hatabiriki" || Pambana na kitu kingine sio Ndugai
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Job Ndugai amejiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kubaki kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa. Katika kipindi chake cha Uspika tunakuletea kauli mbalimbali alizowahi kuzitoa ndani na nje ya Bunge hadi alipofikia kumwomba radhi Rais Samia Suluhu Hassan na baadaye kujiuzulu nafasi yake ya Uspika.
Appreciate this Man....hata kuiongoza familia kunahitaji msimamo na jeuri....huyu ndo kiongozi tumtakaye....2025 niko upande wako mzee wangu........
Msimamo unaomba radhi?
Si Kila msimamo ni hekima. Misimamo mingine ni ujinga na upumbavu mtupu. Huyu ndivyo alivyokuwa na nduguye mwendazake!!
tumshukuru mungu kamaliza kazi bila kumjeruhi mbunge ata mmoja... ameena..
Ndugai haya ni maisha tu anaeyaweza.ni mungu tu nilijua utamaliza vibaya na bado hiyo ni trela
Bila msimamo wa namna hiyo, huwezi kusimamia bunge. Bungeni kuna kanuni, ASA kama mbunge hafat kanuni unataka afanyeje. Alifanya vizur sana, kasoro yake ni kumsalit magufuli bandari ya bagamoyo bas. Alaf ninyi mliotengeneza hii, mnapenda kuponda sana wengine wakt ninyi wenyewe ni makaburi yaliojaa kila aina ya uchafu. Jiangalien na ninyi matendo yenu, yeye ametubu na mungu amemsamehe
Usimtetee Msaliti!
Huo si misimamo,unazuia mishahara ya watu unasema.huo msimamo?
Urudi kumuomba radhi professor Asad kweli bunge dhaifu
Haya Sasa kinyozi umejinyoa! Ulikuwa unajiona nusu mungu kwa kauli zako za vijembe! Na hiyo Covid ulivyochanjwa mbona bado uliendelea kuugua tu. Nimependa ulivyotoka kwenye hiyo nafasi maana inahitaji mtu mzalendo zaidi na powerful brains!
Ata asingejiuzulu angeezuliwa tu kama mzee six ..aliambiwa safari hii tunataka spika m-mama
I just love vichapo vyako. Kwa upole na taratibuuu na kiboko kinakupata...
Uongozi unaweza baba mungu akurinde kiongoziwa mfano wa kuigwa kwataifa iposiku utakuwa wakuheshimiwa
Mnaanza kumtetea baada ya kujiuzulu, acheni unafki
TAARIFA IMEEGEMEA UPANDE.MMOJA.
SAWA SISI NI WA TAMZANIA MWISHO WA SIKU.AMANI UPENDO NA UMOJA WA KITAIFA UTAWALE
Na watanzania walivyokuwa na uelewa mdogo wanaacha kujadili deni kubwa sana na mfumuko wa bei wanahangaika na ndugai
Jamaa Kweli Alitenda Apendavyo
Hongera sana Ndugai Unavuna ulichopanda yote mabaya uliyowafanyia wenzio yanakurudia. ✔️
✔️✔️
HAHAHAH KWA ERUFI KUBWA KAMA BARUA YA KURESIGN
Wewe ndugai utakula jeuri yako na hao wanaoshangiria nyote ni dhaifu na mazuzu kweli yaani wewe babu jeuri kweli sijui hilo juso lako na upara wako utauweka wapi ulifikiria utakaa hapo milele m.mungu anakuhukumu na kiburi chako kitakurudia
Ilove tanzania ilove my nation
Kiburi cha uzima kimemponza, ndio ajue kuwa Dunia ni ya Mungu sio ya wanadamu. Aliwaona wenzake hawana thamani isipokuwa yeye sasa kafika wapi?
Sana tu hakuna kitu kibaya km ukijiona Mungu mtu Kiburi chake kimemrudia mwenyewe!
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika binaadam tumekuwa waungu tunalaani ovyo ovyo
Yaani alijiona kama Bunge kama la babaake vile na kusahau kuwa cheo ni dhamana😏
Nimemkubali Sana jeneral ulimwengu
Na mazuri yake wekeni. Tanzania ifike mahali tuwaheshimu watu kwa mema yao na si kwa kutafuta mabaya tu. Hastahili dhihaka hizi alifanya kwa nafasi yake pia jamani.
Huu ndio uhuru wa habari tunaouliliaga?!Muacheni mzee wa watu jamani.
weka wewe kama unayajua
Yaweke ww hayo mazuri acha kupangia watu cha kuposti
@@davegervas4707 fedheha ikupate
@@madetetv6576 ww ndio unataka kunipangia cha kupost ndio maana ume reply kwangu. Kumbe hata hujielewi!!Ss unatokwa poovu. Huna hata cha kusema bendera tu wewe .
@@davegervas4707 bendera fuata upepo tu wewe
Sentensi ya mwisho ni tamu sana!
Damu ya wengi itawarudia wenyewe twende sasa
Ndugai Lisilowezekana kwa binaadamu kwa Mwenyezimungu litawezekana.leo umeuona mkono wa Mungu usioshindwa na mamlaka yoyote.Unayoyapitia sasa ni matokeo ya kiongozi au kutumia mamlaka uliyonayo pasipo hofu ya Mungu.Spika sio Mungu Spika ni mtumishi wa watu.anapaswa kuwaheshimu ili kulipa heshima mamlaka anayoiongoza.
Kweli Mungu wee ni Mungu....kuheshimu mamlaka ni muhimu kwa woteee..
Mungu ni mungu na ni mwenye wifu hawezi kukubali miungu watu ndani ya dunia akiwaacha watambe basi itakua kakosea kumtoa mwanae wa pekee kuchukua ufalme duniani na mbinguni nenda wewe mungu mtu wa ----
Nakubali msimamo wako. Achana na wajinga wasio kuelewa
Ndugai alikua sahihi sana kosa lake kuomba msamaha
We will miss you!!!
Mnafki huyoooo? Kiburi sana huna hadhi ya kua spika wa BUNGE.
naweza kukupiga marufuku kuongea huku ndani hakuna cha swali wala nyongeza na hunishtaki popote😂😂😂
Kaoigwa stop yeye
Hahaha
Wanna kama Hawa ndo walikiwa wa kuijenga Tanzania unyama unyama🔥
Huyu na bashite akili zao sawa
Sasa ndio nimeaminii huyuu jamaa alikuaa na misimamo ya maana sana ,huyu anafaa kuwa kiongozi mkubwa kwenye hii nchi.
Daaah, dunia hii
Hivi bila kuwa na msimamo utaendeshaje kundi ulilonalo acheni kumsema ndugai kauli za watu fulani zilikuwa za ajabu ndugai ni jembe mkatae mkubali aliwaweza sana wenye vimidomo sijaona ubaya wake
Huyu Jamaa alikua Jeuri Aisee dah, What goes around comes around
Kweliiii upo vizuri
Pambana na kitu Ingine sio Ndugai. Mmmmmmmmh ulitumia nafasi yako vibaya. Yalitunzwa Sasa wanakuonyeshea, yamekugeuka.
Tena yeye yamemgeuka kwelikweli bila ya yeye kutarajia
Hakuna kitu hapo ccm mmewaibia kura wananchi hamjachaguliwa zaidi ubepari tu,hicho ndio kinachowatafuna
Iyo ya profesa Asad...
Tuliwahi kua na spika moja mbovu sana😂😂😂😂😂😂
Nimeipenda hio ya mirembe apelekwe nayeye mirembe
Aliongeza bunge kwa manufaa ya taifa lakini kujiudhuru kwake si kwa manufaa ya taifa ila alifurahisha nafsi yake, sababu tumepoteza bandari.
Kuna mda utafika mtamuona ndugae kuwa alikuwa sahihi nyie endeleeni kupiga midmo
Huu mhimili umejiuzulu lakini una jambo kubwa sana unalificha Ndugai tuambie Watanzania tujue kinachoendelea
kwenda uko Ndugai huna kauli nzuri kwa watu wazima wenzako sasa utapiga makofi mezani km wenzako dadadekiii zako muliona Samia mwanamke wa mchezo mchezo Mama Samia kenda labour hawaogopi nyote na magenge yenu
Uongozi hautaki nguvu na majigambo.... Wacha watu wakukubali kwa ubora wa uongozi wako...
Viongozi muwe mnachunga sana ndimi zenu ona sasa ulijifanya Mungu mtu kikowapi sasa ukiziona kauli ulizokuwa unalopo sijui unajionaje na unajisikiaje
Inabid tujue tunakosea wap
Kazi kweli kweli wewe Ni mkweli ndiyo maana
Da ndugai uko vzur sana 🪴 2025
Nikweli kabisa usidharau usiye mjua
The future president of Tanzania I love his speech very convincing. The change Tanzania wants
Mimi ninakubaliana kwamba file lake lililoko mirembe lihifadhiwe,soon anahitaji kuhudumiwa pale
Sio kwa system hii iliyompiga teke.
Tanzania gani hiyo? 🤣
Nahisi ni mental kidogo
Eeh bwana eeh huyu msimpe ujiko na kumfagiliaaa, mbona alipokuwepo na Magu aliyakubali mengi na kufanya madudu kibaoo akaja akaharibu kwa kumuondoa CAG Mussa Asad kwa Nguvu zote ili watu wasipate kilichokuwepo ktk Bunge na Serikali pesa zinazotumika na zilizopo kwa nini sababu mtajaza nyie! na haya kayafanya kwa njama tu ili Mz. Magu akitaka kufanya yake iwe kiulani tu sasa mbona ilo hamlisemii??? 🤔Wabongo Asad ni Mtu wa Tanga km sikosei Kwa nini sababu huyu ni Mwanamke na Mzanzibar bc sio kinginecho zaidi ya icho tu mbona mie namkubali kwani ni Mama yangu?? Hapana huyu tukitakaa tusitakee ndio kashapewa Urais na Mungu mjuee umnanielewa???
Nampenda
Mungu wangu amenipa kitu ninacho mikononi mwangu
Amekupa kitu gani?
Huyu hayuko sawa na wala hastahili hata kuongoza shuĺle ya chekechea kwanza anazarau sana na kibri sana ila mungu mkubwa kuliko chochote kile,mwisho kaangukia puwa
Dah yan kuna watu vyeo viliwalevya🤣🤣 leo chaliii..cheo dhamana ndugu zangu
Jidanganyee TU........
Mema yake yakowapi Yarrabi huyo ni mwanadamu kupatia na kukosea ni sehemu ya maisha yake hakika Mungu nipe jicho la tatu linijaze ufahamu binaadamu siyo watu nimeshindwa Sina hamu. Jobu Yustin Ndugai kila la kheri huko uliko.
Wema wake ni ubabe na kukandamiza demokrasia
Mtu wa maana sana job ndugai
Pole ndugai matamanio yagoma kuliongoza taifa
RIP Ndugai, utangulie mapumzikoni huko
Mmm kwani Uspika ndo Maisha tu??
Kwani ivyo ndio kashakufa km hajakufa maneno yanaeeza kumuua akapata maradhi ata mapesa yake akakosa kuyatumia na kuinjoi nayo!
Jaman msinichekeshe
Au kwa sababu ni omba omba,haya kati ya majizi na Ombamba unachagua nini?.Mimi ni Mgogo acheni dharau za Makabira.
Muwe na akiba ya maneno tu.jakaya alitukanwa weeee hakumjibu mtu.dugai nae pia ameshatukamwa Sana.lakini yote yatapita
KILA BINADAM ANAMAKOSA YAKE ss ndugai kukosea ni ajabu???ipo siku tutamkumbuka maana wabongo hukumbuka shuka pakiwa pamekucha😥
Kweli Ana mazuri mengi tu lkn wanaona mabaya tu,hakuna atakayekuwa mkamilifu duniani!
Kujiamini ni vizuri
Mzuka wa lisu utakumaliza tubu toa ufafanuzi stahiki zake ulimfuta ubunge
Huwa nikisikiliza dua ya kuliombea Bunge, na baadae kidogo tu nikiangalia jinsi mijadala inavyoendeshwa. Nabaki nikisema moyoni ACHA MUNGU AITWE MUNGU tu.
Aaaah... Kwli kila kitu kina mwisho wake.. Ctaki ata kusikitika kwa ni kwa nin kafanya maamuz yakiokua sahihi kwke.. NINACHOKIAMINI NI KUA NDUGAI NI MKOSAJI KW WAUMINI WANYE KUIPENDELEA MEMA TANZANIA.. Na anapaswa awaombe radhi wengi san..
Ni kweli bunge ni dhaifu sana
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl
Serikali aitakikuambiwa ukweli...tutafika safari ya baba wa taifa
La proff Assad ndo lilinichukiza kama mtanzania
Sasa Mbona Mlimgeuka,Why?
Kukonga meza za bungeni sheria??
Uko wapi sasa
Sawasawa
That is good
Yuko sahihi ila, alinikera alipomsaliti Maguful.
mimi nakuunga mkono kwa kila jambo
Yes
MILEMBE INAKUHUSU.BUNGE DESERVE BETTER SPIKA
Lakini so umejioneaaaaa?😊Hivi jujui kila kitu konamwisho
Jamani uchaguzi uwe wa amani kwani mungu apendi fujo
Kweli bunge la Ndugai ni dhaifu😅
Hajakosea ni kweli ni dhaifu
Kutoka Kenya mi nasema msikize Speaker wenu kwa sababu anaongea ukweli hapa. 🇰🇪🇹🇿
Shida ni nchi kuegemea chama kimoja jamani
Wala Ndugai hajakosea ametoa vidole vyake mapema. Tunakokwenda siko. Iko siku mtaamini.
Hizo zitakua ndoto zako tu nnachokiona apo mmmh!
Wewe pia Ni mtabiri!?
Ndugai mimi ninakuelewa sana tazo watanzania tumezoa kuombwa ombwa tu atakama tunakosea au tunapokiuka maadili
Uko sawa dugai
Kweli nyinyi nizaifu Sanaa
Kwan ndugai hajawahi Fanya jema mbona watu wanamsema sana🤔
Mbona wewe hujaweka hayo mema maana yake si na wewe hujaona mema?
Naona mnamponda utafikir mnajua Sana kuliko aliokuwa anakaa nao, vi clip vya mkato ndo mnakoment ujinga
Sasa imekula kwako ubabe kiburi kwisha kabisa kalime zabibu na ujifunze kusoma Bible vizuri bila uzushi. 😄😄 Lkn hata hivyo licha ya yoote TUNAIMANI MUNGU AMEKUSAMEHE HATA NA WALE WENYE MOYO WA KUSAMEHE WAMEKUSAMEHE Lkn sasa kapumzike achana na Siasa maana labda imekushinda Mzee Baba ni fursa ya kwenda kucheza na wajukuu maana hakuna atakae kuhangaisha tena ukiwa na wajukuu 😄😄
Unaongea ucchokijua kwamba akalime zabibu 😂huyo akitoka kwenye u speaker anakua mbunge wa kawaida kwahiyo hana njaa
@@neemalucas4582 kwani ubunge ndio utajiri au kua mkulima ndio umaskini
Hujui kua kilimo ni utajiri mkubwa kuliko huo ubunge wa muda Mtazame Waziri Mkuu Mstaafu alivyo wekeza kwenye kilimo na ufugaji nitajiri kuliko huo ubunge unao upigia debe🤣🤣
Kumbe tabia ya Zitto inajulikana hahahahaha mh speaker ni hatariiiiiii
💞💞🔥🔥🔥🔥
Kwann watu hua mnaonaga mabaya tu? mazuri hayapo au
Mmmmmmh
MUNGU AMEKUONYESHA YEYE NI MUNGU.ULICHOSEMA MWENZAKO UMEPATA MAJIBU YAKE.MAMA NI MWANAMKE WA NGUVU .MAOMBI YETU MUNGU AMEYASIKIA.MNAFIKI AMEUMBUKA.
We ulisema nchi itauzwa wakakutoa, shimo ulilochimba umefukiwa mwenyewe.ukowapi?.
Hakuna aliyechaguliwa hata mmoja .Hawa ndiyo aina ya maspika tulionao Tanzania yaani wakanyaga katiba
Aaahaaa..... magufulification