KIJANA Avumbua MASHINE ya KUTENGENEZA MPINI wa JEMBE, Amewahi KUTENGENEZA MASHINE ya SANITIZER...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 гру 2020
  • KIJANA Avumbua MASHINE ya KUTENGENEZA MPINI wa JEMBE, Amewahi KUTENGENEZA MASHINE ya SANITIZER...
    Kijana wa kitanzania Gadios Mangani ambaye amewahi kutengeza mashine ya kujifukiza(Sanitizer), amekuja na ugunduzi mpya baada ya kutengeneza mashine ya kutengenezea mipini ya jembe na mop za kufanyia usafi.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

КОМЕНТАРІ • 109

  • @khatibabdi
    @khatibabdi 3 роки тому +6

    Huyu jamaa hodari sana.
    Namkumbuka kipindi cha korona na uvumbuzi wake

  • @al-mamarial-mamari5457
    @al-mamarial-mamari5457 3 роки тому +5

    Unajitahidi Sana Mungu akuwezeshe zaidi. Kweli pengine Tanzania hamna lkn nchi nyengine zipo. Maendeleo ni mazuri sana

  • @brithonmjema2833
    @brithonmjema2833 3 роки тому +1

    Kwa sisi tunaojua mambo ya teknolojia huyu jamaa anauwezo mkubwa sana sio wa kumbeza,na tukichelewa wenzetu watambeba,hongera broo big up.

  • @jellysonmsokele4188
    @jellysonmsokele4188 3 роки тому +3

    Hakika Mungu anataka kututumia watanzania,Mungu akujalie na vingine pia,nanikupongeza kwa uzalendo Wa kuandika kwa lugha ya kiswahili

  • @audifasmassera1289
    @audifasmassera1289 3 роки тому +5

    Hivi hawa jamaa wa COSTECH hawanaga bajeti kwa ajili ya wabunifu wanaofanya vizuri namna hii jamani!🤔

  • @chikunijunior9362
    @chikunijunior9362 3 роки тому +3

    'Our future is a race between the growing power of technology and the wisdom with which to use it'

  • @chikunijunior9362
    @chikunijunior9362 3 роки тому +3

    Big up sana kazi nzuri,.ndoto kubwa,.tuchangamkie fursa kwenye huu ulimwengu wa teknolojia👌

  • @clementmsenga2485
    @clementmsenga2485 3 роки тому +2

    safi sana big up mzee usikate tamaa jina lako litaandika historia kwenye kitabu cha mama Tanzania

  • @abuumariam2259
    @abuumariam2259 3 роки тому +6

    Serikali imuangalie huyu jamaa imuwezeshe kufanya mambo makubwa.

  • @jeannemaya2539
    @jeannemaya2539 3 роки тому +1

    Mungu akulinde naujilinde, usiwafiche vijanawako ujuzi ndio maendeleo usifanye ubinafsi,sababu iyo ndio inayo fanya kutoendelea,kwaiyo Mungu kakupa bure nawe towa bure

  • @jellysonmsokele4188
    @jellysonmsokele4188 3 роки тому +5

    Serikali muunge mukono jitihada hizi,watanzania wameanza kuonyesha mambo.

  • @gibsonkitwaro953
    @gibsonkitwaro953 3 роки тому +3

    Waziri wa viwanda unasubiri nini Kutengeneza Taasisi ya watu wabunifu kama hawa tupate kuongeza uzalishaji tuifikie ndoto ya Raisi wetu mtukufu ya kufanya TANZANIA ya VIWANDA.?

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 3 роки тому +5

    Huyu jamaa ni mbunifu wa vitu vingi sana kipindi cha corona alibuni mashine ya kupima corona na sasa hivi kaibuka na chengine

  • @harounali9057
    @harounali9057 3 роки тому

    Napenda kumpongeza kwa kazi nzuri ulio ifanya hongera sana.
    Mimi kama mimi najiuliza hapo kuna sharft mbili za Aluminium hapo hizo tu ndio zime nipa masuali aliwezaje kuzichonga mpaka zikafikiya kiwango cha kuzifumga hapo.
    Itakuwa huyu mtu ana akili sana.
    Kuvumbuwa kitu kwa akili yangu huwa ina nambia kuwa:
    1) Ufikirie Vipi una taka kiwe
    2)Uweke michoro yake.
    3)utafute material chuma, bati na waya uje uzi unganishe itimie kuwa mashine sikazi ndogo.
    Hongera sana kijana wa ki Tanzania 🇹🇿

  • @emmanuelmnzava7159
    @emmanuelmnzava7159 2 роки тому

    Nakupongeza Sana kijana wangu. Tuko pamoja. Zao la Wilaya ya Mwanga. I feel proud

  • @gaudenceassenga1900
    @gaudenceassenga1900 3 роки тому +2

    Hiyo car wash ni noma sana. Mkurugenzi wa jiji fanya haraka mpe eneo fasta

  • @eliasmahenge9919
    @eliasmahenge9919 3 роки тому +5

    Broh nakubari maneno yako CNC machinel ni ghali sana

  • @joycemwanga226
    @joycemwanga226 2 роки тому

    God bless you more my brother

  • @Itarusii
    @Itarusii 3 роки тому +1

    Hongera sana kwa ubunifu.

  • @user-jk5ir4ke3z
    @user-jk5ir4ke3z 3 роки тому

    Mashaalha kaka.mungu akusimamie

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 3 роки тому +1

    Vizuri sana👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 3 роки тому

    Umetisha

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 3 роки тому

    Hongera sana Huo ndio UBUNIFU inatakiwa Mungu akutangulie Na ufanikishe malengo yako

  • @kitogowakitogo9206
    @kitogowakitogo9206 3 роки тому

    Safi sana!

  • @sultansaid992
    @sultansaid992 3 роки тому

    Nakukubali kakamkubwa hongera sana

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 11 місяців тому

    Ongera sana kwa ufumbuzi huu mimi naona wezetukuna mashine au jembe linasehem ukibonyeza unalima bila kutumianguvu naunawezalima kw sk ekamoja

  • @barakangahala2914
    @barakangahala2914 3 роки тому

    Umetisha bro

  • @nautharinalapa5107
    @nautharinalapa5107 3 роки тому +1

    We noma kaka

  • @damalisjonathan8070
    @damalisjonathan8070 3 роки тому +2

    Hiyo ndio Tanzania ya viwanda mungu akuongoze uzidikufanya vikubwa zaidi ya hivyo broo

  • @arnoldkimaro3887
    @arnoldkimaro3887 3 роки тому

    Hongera kijana Mtanzania

  • @issaibrahim5319
    @issaibrahim5319 3 роки тому

    Upo vizuri sana jamaa

  • @rizikimvungi5262
    @rizikimvungi5262 3 роки тому

    kiongozi nayaona mambo yako nimakubwa sana mungu azidi kukutangulia sana kwenye kipaji chako,mm nakujua ukiwezeshwa hata ndege unaweza kutengeneza.

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 3 роки тому

    Nimeipenda sana hiyo

  • @kondehistory6283
    @kondehistory6283 3 роки тому +4

    How much for that

  • @kato_tz
    @kato_tz 3 роки тому

    Brother ubarikiwe sana, nakukumbuka kipindi cha corona ulitengeneza mashine ya korona

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 3 роки тому +1

    WATU KAMA HAWA NDO WANATAKIWA KUPEWA SUPPORT NA SERIKALI ILI AFANYE MAMBO YA UBUNIFU YASIYO YA KAWAIDA. HONGERA SANA

  • @emmanuelmnzava7159
    @emmanuelmnzava7159 2 роки тому +1

    Mimi Mchungaji wako. Mungu azidi kukuinua

  • @eliasmahenge9919
    @eliasmahenge9919 3 роки тому +3

    Broh inabid siku moja tupate nafas tukamshaur raisi juu ya CNC machinel

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 роки тому

    Kweli kijana una uwezo!
    Mungu azidi kukuwezesha kwa uwezo ulio nao.

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 3 роки тому +2

    HONGERA WATANZANIA WAZARENDO, JPM JUUU

  • @mohamedmustafa278
    @mohamedmustafa278 3 роки тому

    Hongera saana, naomba nikumbushe kile kiwanda cha MANG'ULA habari zake zikoje !! Haya ndo mabo ! jamani. Kile kiliandaliwa kwa ajiri ya kuchonga vipuli vya machine mbalilimbali. Tanzania kuna baadhi yetu ni VICHWA ambavyo vinahitaji kuwa supported.

  • @emmanuelowiti8217
    @emmanuelowiti8217 3 роки тому

    Mungu ampe maono mengine mengi ya kibunifu,na siku moja aje na mashine za kutengeneza nguo.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 роки тому

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @festochinyele1477
    @festochinyele1477 3 роки тому

    Nimeguswa sana kwa kweli jamaa yupo vzr sana pia ana uzalendo ndani yake kwahyo tunaomba serikali imshike mkono na wengine watajitokeza kwa wingi yan huyu jamaa n zaidi ya dhabau endapo serikali itachukua hatua za kshika mkono

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 3 роки тому

    Safi sana huo ndio uzalendo tunaotaka ili nchi isonge mbele

  • @mshindikaheza8281
    @mshindikaheza8281 3 роки тому

    Niwaombe global tv kitu kimoja tu ,,,emu muunganisheni serilalini ili wamjue ,,inshallah huyu jamaa anaweza sana

  • @nautharinalapa5107
    @nautharinalapa5107 3 роки тому

    Nenda maeneo yenye wakulima Kama mtwara itakua vizuri zaidi au vep jaman

  • @michaelzunzu8126
    @michaelzunzu8126 3 роки тому

    UK kuna kipindi chinachoitwa "Busses Angles" yaani watu wenyepesa kukutana na watu wenye ideas za business au ufumbuzi, wanatoa maelezo ya biashara yake anayoiwaza wakiona inafaida wanajafiliana na mtu anayebuni biashara au uvunjifu wa kifaa, mashine, na jamaa wanajitosa ku finance hizo shughuli kwa makubaliani wataksuoyafikia.

  • @meshackmwilongo9793
    @meshackmwilongo9793 3 роки тому

    Huyu jamaa ni kipaji
    Hazina ya nchi
    Anastahili recognition and backup

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 роки тому

    Uyu jamaa nahis sio kizazi cha Tanzania hii bara la Giza,,. Lakin serikali zetu sijui kwanin hainaga time kuboresha vya nyumban na kuunda product zitangazwe

  • @adamtzmbogo1694
    @adamtzmbogo1694 3 роки тому

    Wachaga bwana.....minikiingiaga dukani nikigundua muuzaji nimchaga tu. Naohopaga kupigwa kitu kwabei juu kitu kinauzwa elf 5 ukinwambua nipunguzie anakwambia yani hapo faida yangu nimia5 tu babangu.

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 3 роки тому

    Ushauri wangu vitu vyote anavyobuni vipewe jina lake ndio wazungu wanavyofanya hivyo ili kuweka kumbukumbu ya jina lake,kama unavyosikia majina ya matreka Massey furggason ni majina ya watu hayo

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 роки тому

    Uyu jamaa ni genius kupita kiasi.. tatizo nchi hii ndio tatizo.. mzungu mweusi

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 роки тому

    Napenda sana kuona watanzania wenzangu wawe kama huyu jamaa lakini je hayo matrio ya hizo machine zimetengenezwa wapi? Au ni kama ilikuwa ni machine ya kusaga mahindi ikabadilishwa mwelekeo au wametengeneza wao wenyewe chuma kimoja kimoja?

    • @reginautou4163
      @reginautou4163 3 роки тому

      Hapo ni chuma kimojakimoja hakuna mashine iliyobadilishwa ndugu yangu

  • @therealomisakulu5416
    @therealomisakulu5416 3 роки тому

    Huyu jamaa atanzania wasipomtatia kazi wazungu watamchukua baadaye tunakuja kujuta

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 3 роки тому +1

    Hiyo mashine yakuosha bila mtu ipo China Africa hakuna

  • @caristomwango937
    @caristomwango937 3 роки тому

    Am zambian nimevutiwa sana.nakuja kumuona uyu jama.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 роки тому

    Pongezi kwa ubunifu na usanifu. Hakika una hadhina ya uvumbuzi mara ya kwanza kukuona ilikuwa wakati ule wa Corona, japo mataifa mengine bado wanaimba huu wimbo wa Corona. Tumshkuru Mungu kwa kutuvusha kupitia uongozi Bora wa Jpm.

  • @user-vl9uw4tu4n
    @user-vl9uw4tu4n 10 місяців тому

    Jamaaa ni ginius wa hatari duniani sio Africa tu duniani ni watu wachache serikari mpeni nafasi jamaaa afanye maajabu

  • @damalisjonathan8070
    @damalisjonathan8070 3 роки тому +2

    Wew unaesema carwash kwenu ipo kwani mwenzetu unatokea nchi gani maana hapa tz sijaiona

    • @audifasmassera1289
      @audifasmassera1289 3 роки тому +1

      Ni wazo zuri sana, kwa sababu unapobuni teknolojia moja inasababisha uwe na uwezo wa nyingine kubwa zaidi! Ila niwafahamishe tu kwamba mwishoni mwa miaka ya tisini palikuwa na car wash automatic pale Magomeni mwembe chai, kwenye sheli ya jamaa wa super doll, kwa sababu hiyo hii haitakuwa mpya kwa Tanzania.
      Hebu nisaidieni ninyi mnaojua, hivi COSTECH(TUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA) hawanaga bajeti kwa ajili ya wabunifu wanaofanya vizuri namna hii?

  • @mohamedbohari7236
    @mohamedbohari7236 3 роки тому

    Wahusika ina maana hammuoni huyo mtanzania ambae anaenda sambamba na fikra za rais wetu mpendwa JPM?

  • @kamanda007
    @kamanda007 3 роки тому

    Safi sana Ila please achana na story za wakurugenzi wa jiji au serikali, you have a brain brother sasa deal na bankers wakupe loan ufanye vitu vyako au watu binafsi wanaotaka kuwekeza na wewe...sahau serikali hawana msaada wote watakurudisha nyuma tuu

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 3 роки тому

    Nimeridhika na ubunifu kwanza unakisi harakati zetu za uzalishaji. Ningekuwa raisi ningekupa zawadi nono sana

  • @mtindamtinangi346
    @mtindamtinangi346 3 роки тому

    Sasa hapo ndokatengeneza wapi au kaagiza toka nje

  • @raykas9976
    @raykas9976 3 роки тому

    Sasa mkurugenzi namba mpeni huyo Gadiosi nafasi hiyo stand mpya.

  • @DanielNelson-oq5qs
    @DanielNelson-oq5qs 6 місяців тому

    Tanzania kunawatu tunaweza ila hatuwezeshwi

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 3 роки тому

    Broo angalia serikali isije ikakupoteza maana ukigundua kitu wanakuuwa, maana hata mm nnauwezo wakubuni mavitu kibaao ila sifanyi maana naogopa kupotezwa, (sema mm huwa nabuni vitu vya hatar , (silaha) kwahi nimeona bora niendee na mambo yangu kuliko kupotea

  • @emanuelmgote5957
    @emanuelmgote5957 3 роки тому

    Huyu jamaa mzalendo,anahitaji kuungwa mkono.

  • @BarakaMentorship
    @BarakaMentorship 3 роки тому

    Twende taratibu, kavumbua kweli au ni kitu toka nje?

  • @bonnytvchannel4807
    @bonnytvchannel4807 3 роки тому

    Uwanga zijutiangi kumaliza bando langu kuangaliaga vitu kamaivi

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 3 роки тому +1

    Mipini ya majembe!!! Kumbe jembe la mkono bado linaenziwa!!

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 3 роки тому

      Tanzania Bado jembe linadili maana technolojia ya matrekta Bado pia kiufupi Bado sana ko jembe Bado tunalo na lipo sana

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 3 роки тому

    Watanzania tunaweza sio wazungu tu

  • @cashone988
    @cashone988 3 роки тому

    Dah naskitika yuko nchi isojali vipaji masikin

  • @adamdeus6015
    @adamdeus6015 3 роки тому

    Serikali isiwabanie watu kama hawa ndio uchumi wetu unavyokuwa hivyo

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 3 роки тому

    Umefanya kazi nzuri sana.
    Ila ukisema hakuna nchi yoyote ambayo ina car wash ya kujiendesha yenyewe si sahihi.
    Zipo car wash za kisasa sana.

  • @victorwanzagi6417
    @victorwanzagi6417 3 роки тому

    Kuna mtu anauliza eti huyo ni kijana kweli? 😅😅

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 3 роки тому

    Usiseme hakuna nchi iliofanya carwash kama hiyo nchi zenye uwezo wake ndio zinatumia hizo uzisemazo, mzee bb ni semetu hongera kwa mashine ya mipin

    • @gibsonkitwaro953
      @gibsonkitwaro953 3 роки тому

      Angeangalia hata final destination kuna car wash ya ivyo...

    • @hallin9561
      @hallin9561 3 роки тому

      Umefeli kumuelewa, amesema kwa Afrika, wacha kudandia vitu kwa mbele

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 3 роки тому

    Ubunifu kama uhu ndiyo unatakiwa

  • @othmanally1230
    @othmanally1230 3 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 safi Sana

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 3 роки тому

    Ndugu wewe ni mtanzania mwenye akili sana na watu Kama nyinyi ni vizuri kuomba nafasi ya kukutana Na Raid JPM na kuzungumza ma swala ya maendeleo hizo ndizo akili za mtanzania na siyo ku kaa kwenye mitandao na kuongea utumbo tu eti serikali ya Magu haijafanya kitu

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 3 роки тому

    Mimi naona wangebuni kitu cha maana

  • @jovinjulius9852
    @jovinjulius9852 3 роки тому

    Mashine nzuri lakini hajazingatia kuweka emergence stop 🛑 switch na ku cover rotating parties

  • @saidsalim8079
    @saidsalim8079 Рік тому

    sizani kama analala huyu mwamba

  • @msingida33
    @msingida33 3 роки тому

    huyu jama kaunganisha tu lakini siyo kagundua , kuwa tu mkweli hii mashini niliiona kwa wachina web site Aliexpress, kwa hiyo hakuna alicho gundua bali kaunganisha

    • @reginautou4163
      @reginautou4163 3 роки тому

      Hivi unamjua huyu jamaa au ni marayako ya Kwanza kumuona kwenye mtandao?

    • @msingida33
      @msingida33 3 роки тому

      @@reginautou4163 alitakiwa aonyeshe kuanzia alipoanza kuiunda hapo ndipo naweza kumuelewa, lakini hata kama kaunda bado nampongeza sana tu kwa juhudi yake

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 3 роки тому +3

    Hiyo carwash unayo Sema huku kwetu ni vitu vya kawaida brooo

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 3 роки тому +1

    Safi sana.... Kijana

    • @mohamedbohari7236
      @mohamedbohari7236 3 роки тому

      Wahusika ina maana hammuoni huyo mtanzania ambae anaenda sambamba na fikra za Rais wetu mpendwa JPM ?