MBUNIFU MANGANA: ALITAKA KUMUUA KAKA YAKE KWA GOBOLE, UJESHI ALIZIMWA "NIMEUNDA MASHINE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 16

  • @abuuadil9215
    @abuuadil9215 Рік тому +2

    Hongera Sana Kwa Kipaji choko Mungu akuzidishie kipaji zaidi na zaidi.

  • @babahilimollel5254
    @babahilimollel5254 4 місяці тому +2

    Wewe asili ya akina Gwajima Hongera sana

  • @gabialbin3
    @gabialbin3 5 місяців тому +1

    Nilishawahi kufikiria hii, safi sana bro natamani niwe karibu yako❤

  • @drchachamatiko7447
    @drchachamatiko7447 Рік тому +1

    I'm very impressed aisee ...endelea kupambana mkuu siku moja utafanikiwa zaid.

  • @mlionea
    @mlionea Рік тому +1

    Umefanya Jambo la maana Sana sikuamini free energy wheel ya mchina mpaka nimeona inayo

  • @ireneopelagi740
    @ireneopelagi740 Рік тому

    Kazi aise hongera sana kazi iko juu

  • @paulamos9201
    @paulamos9201 4 місяці тому

    Bro hiyo ukiwa umelala kichwa kinatulia asili ya ubongo urudia kupitia matukio ulioyafanya ndo maana wagunduzi wengi hawakuwa na family

  • @gabrielurio6545
    @gabrielurio6545 2 місяці тому

    Kwa swala la free energy ni uongo coz inapingana na laws of physics broo

  • @youngmagezi
    @youngmagezi Рік тому +2

    kabsa kaka wabunifu wako weng sana tatzo sapot tu

  • @onlinetraining86
    @onlinetraining86 8 місяців тому

    hii elimu yake aliyonayo ndio imefanya Nnchi kama China kukuwa zaidi ki technolojia na uchumi ,hili kwa nnchi zetu za kiafrika linaturudisha nyuma sana. Nafikili ipo haja ya sisi kama nnchi inabidi tukae pamoja na kulijadili hili . huyu jamaa kama kweli wataalamu wazawa wote tukikutana kuna kitu kikubwa sana kama nnchi tutakivumbua ,kikubwa sana naomba tuwasiliane tu aisee

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 Рік тому

    Hongera Sana!

  • @hydlemide1
    @hydlemide1 Рік тому

    Kiongozi Yuko vizuri🔥🔥

  • @abdulhakeemmarunda4605
    @abdulhakeemmarunda4605 Рік тому

    This guy is Very right.

  • @user-gv4tk9zc7i
    @user-gv4tk9zc7i 10 місяців тому

    Uyu jamaa anaongea ukweli ongera

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 Рік тому

    Sawa mkuu

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Рік тому

    tatizo la afrika ndio hili hawa wachawi au wabunifu wanakufaga na siri zao... baadala ya kufundisha watu