UBUNIFU: KIJANA AUNDA MASHINE ya KUTENGENEZA VIFUNGASHIO kwa Kutumia KARATASI...
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- UBUNIFU: KIJANA AUNDA MASHINE ya KUTENGENEZA VIFUNGASHIO kwa Kutumia KARATASI...
Clinton Joseph ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa mji wa Babati mkoani Manyara, kijana huyu ni miongoni mwa vijana nchini Tanzania waliobuni mashine ya kutengenea vifungashio kwakutumia karatasi Ambapo amesema humgarimu shilingi million 1 na laki 5 mpaka kukamilisha mashine hiyo.
Global Online Tv imezungumza kwa kina na kijana Clinton juu ya ubunifu wake huo ambao umelenga kunusuru uharibifu wa mazingira.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Safi Sana tunahitajia mawasiliano namna ya kupata hiy machine
Kazi nzuri sana naweza kupta mawasiliano
Pamoja mungu abariki kazi ya mikono yenu
Hongera kaka uko vizur mashaallh
Nakubali sana vijana wachapakazi nawabunifu
Habali, Ninaweza kuunganishwa na Hugo bwana Mtengenezaji wa hiyo mashine?
Hii machine bado IPO KWELI
Bro nisaidie nimpate huyo kijana
We are in need of phone number for Clinton
Safi sanaaa
Please naomba unisaidie ya kujana huyu nahitaji hii mashine
Mashine zinapatikana wapi?
Waliniuzia moja zaidi ya mwaka moja na nusu hawajaja kufunga ninayo imekaa tu.
Kuna shida gani Wasije kukufungia?
Boss naomba mawasiliano yako
Ndiomaana vitu vyote vinavyogunduliwa na wabongo uwa havifiki mbali sababu wagunduaj wenyewe wabinafc serikali pia uwa haina sapoti yoyote kwa watu kama wao ili wazalishe wataalam wapya,ivyo mwisho wasiku inabaki story tu ya mtandao nakusahulika kabisa
Mawasiliano yenu tafadhali
Samahan naweza kupata number
Nice
Jamani naomba mawasiliano yake nahitaji mashine
Naomba no ya huyo jamaa
Inauzwaje
Cjaona sehem ya kuweka gundi ktk hiyo mashine na Ina ukubwa gani vipi kuhusu garantii na matengenezo ikisha na Mimi nieke kwa wanaohitani hiy mashine
Mawasiliano?
Naomba msaada wa mawasiliano yake huyo kaka
Watu kama hawa ndio tunatakiwa tuwatumie I'll taifa letu lisonge mbele serikali jalini vipaji HIV vizawa
Naomba nipate mawasiliano yake nisaidie ilo
Nnahitaj mashine hiyo mpo wp
Naomb. Namba yake Bo'ss
Huja mtag na hatujui tumpataje
Nina mpataje huyu kijana mawasiliano yake
Mawasiliano napataje
Tunaomba mawasiliano
Tz ni wababaishajitu. Uku kwa waarabu mifuko bado tunaitumia adikesho ongera kijana nilikuabado sijaona Chanel yako
Mawasiliano tafadhali
Inauzwaje
Naomba msaada wa mawasiliano yake huyo kaka