#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 гру 2022
  • #EXCLUSIVE: MTANZANIA ANAYEMILIKI KIWANDA cha TEKNOLOJIA AONESHA ANAVYOTENGENEZA MASHINE za KISASA..
    GLOBAL TV imefunga safari hadi Kimara Temboni jijini Dar es Saalam kukutana na kijana wa Kitanzania anayetengeneza mashine mbalimbali kwa kutumia teknolojia ya kisasa..
    ⚫️ WASILIANA NA MBUNIFI - 0758965632
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Наука та технологія

КОМЕНТАРІ • 75

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Рік тому +7

    Tanzania tuna vipaji sana , dah hongera kaka God bless more brother

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Рік тому +4

    Huyu kaka Ana bidii kweli, Mungu awabariki mfike mbali zaidi ya hapo.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Рік тому +5

    Hawa ndiyo watu tunataka nchi kuwaona,syo kila siku mnatuonesha wasanii wSanii tu

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Рік тому +5

    Mwamba umetisha Sana 👏👏👏

  • @sabbob574
    @sabbob574 Рік тому +5

    Anaongea point tupu. Big up to you. Kuna mtu alibuni machine ya kutengeneza umeme lakini serikali kimya.

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Рік тому

      Yule alikuwa mhuni tu. Alidanganya

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618 Рік тому +6

    Uko sawa brother. Kuna mashine inauzwa dola 49,000 China sawa na zaidi ya milioni 120 za kitanzania ila mimi nilivyoikagua vizuri mtandaoni niliitengeneza kwa milioni 10 tu za kitanzania

  • @jamalisaid3446
    @jamalisaid3446 2 місяці тому

    Hawa ndio watu wakupewa sapoti. Kazi nzuri broo.

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 Рік тому +3

    Bravooo sana kaka,safi sana

  • @charlesyohanaa
    @charlesyohanaa 9 місяців тому +1

    Hahahhaha hongera sana aiseeee,,, Mungu aliye juu 👆 aendelee kukunyanyua zaidi Amen

  • @nasibusaid4161
    @nasibusaid4161 4 місяці тому

    Hongera una bidii sana katika bunifu zako,nashauri wekeza zaidi katika vitu ambavyo vinagusa sana maisha ya watu,mfano buni teknolojia ambavyo itawafanya wamama waepukane na mikopo ya kausha damu,utaokoa mambo mengi hapo na utapata pesa na umaarufu pia kwa kuokoa ndoa za watu.

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Рік тому +2

    Hawa wakisapotiwa wanaweza kuajiri waelfu ya watanzania. Tunatumia nguvu nyingi kuwekeza kwa mikataba ambayo inakuja kutushitaki kwenye mahakama za kimataifa na kulipishwa mabilioni ya dollars

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Рік тому

    Pongezi Sana ndugu kwa mwendelezo wa ubunifu siku hata siku. Maximum performance hakika.🗻🤝🇹🇿

  • @habililailo271
    @habililailo271 11 місяців тому +1

    Brother Mungu akubariki sana nataman siku moja nije kuona mwenyew

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Рік тому +4

    Ongera sn kk,serikali inapaswa kuongeza nguvu kwa watu km hawa

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 Рік тому +2

    Umeongea kitu cha kweli kabisa, serikali haiwezi kusapoti vipaji vya hapa kwetu kwa sababu kuna watu ndani ya serikali wana mipigo yao kwenye mitambo inayotoka nje ya nchi wanaona wakikusapoti ww hawataiona hela ndo mana wanafifisha vipaji kama hicho ulichonacho ww jua kwamba kila muwamba ngoma ngozi huivutia kwake

  • @richardsaikong1138
    @richardsaikong1138 Рік тому +2

    If "mwamba huyu hapa" was a person

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 Рік тому +1

    safi sana nakukubali sana

  • @mgatatemihanga416
    @mgatatemihanga416 Рік тому +4

    Jaribu kubuni mtambo mdogo wa kutengeneza sukari, ataokoa nchi

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Рік тому +1

      Kwani huwezi kuishi bila ya Sukari? ndugu yangu

  • @lydialaiza1538
    @lydialaiza1538 Рік тому

    Amazing!!

  • @isaackalenge8194
    @isaackalenge8194 Рік тому +1

    Hongera sana,Naomba Namba ya simu

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx 6 місяців тому

    Sawa kabisa brother uko vzr

  • @hajihamadi3525
    @hajihamadi3525 8 місяців тому

    Mungu akuzidishie zaidi

  • @erickdaniel610
    @erickdaniel610 Рік тому

    Uncle big up,
    Erick Chalinze hapa

  • @hallin9561
    @hallin9561 Рік тому +1

    mawaziri watampotezea kabisa, viongoz wetu hawataki tuwe na wabunifu na kuunda vyakwetu sababu watakosa ulaji, utakuta kitu kinaweza kuundwa na mtanzania lakin watataka kwenda kununua ulaya au china ili wapate na posho ya safari na kupiga cha juu.

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Рік тому +1

    Huyu mwanamume, anatisha!!!
    MUNGU AMJAALIE,

  • @johnijumba2666
    @johnijumba2666 Рік тому

    Safi sana bro

  • @sannycpaul9423
    @sannycpaul9423 Рік тому +1

    Kitu mnakosea watu wa media,ili kuwapromot hawa jamaa ni vema mnaweka na details zao kuliko muwahoji lakini mawasilino yao hakuna ndo nini

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Рік тому +2

    Nataka unitengenezee mashine ya kufulia nguo

    • @nasibusaid4161
      @nasibusaid4161 4 місяці тому

      Sema mchizi haweki vizuri maelezo yake,amesema compresa ya silent,wakati imezimwa hapo ili wasikilazane,amekuwa ni kulaumu na kujisifu,kwa uwezo wake angebuni vitu ambavyo vingesaidia kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wenye hali ya chini.mfano kilimo,ufugaji,ujenzi, n.k.hata hizo nchi zilifanikiwa kwenye haya mambo walianza na changamoto zinazowakabili wao wenyewe hawakusubiri mtu aje awambie nahitaji kitu fulani ndio uwaze kutengeneza ili umuuzie .hizo machine anazotumia kuunda hivyo vitu vyake mbona amenunua si angezitengeneza pia.

  • @nicenice3881
    @nicenice3881 Рік тому

    Gud sanaa

  • @dominicjulius3108
    @dominicjulius3108 Рік тому

    ongereni sana

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Рік тому +1

    Sasa hapa angealikwa na kajala hapa kuongeza views maana wabongo akili zetu hatutaki vitu serious

  • @user-wq9jq7pm7q
    @user-wq9jq7pm7q 4 місяці тому

    Ongera Sana naitaji machine ya kusi dika parachichi na papai Nika pata mafuta ya Kila na himatumia umeme was kawaida namarizia jengo napatikana bukoba na omba majibu

  • @hallin9561
    @hallin9561 Рік тому

    hii video inawatazamaji elf7 mpaka sasa, lakin cha kuhuzunisha hii ideo ingekuwa ya harnmonize kumpomonya kajara gari bas ingekuwa na watazamaji ata millions.
    sad to us

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Рік тому +1

    China imeendee baada ya kusamin viwanda vidogo

  • @DanielNelson-oq5qs
    @DanielNelson-oq5qs 5 місяців тому

    Namkubari Gadius

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 4 місяці тому

    Tuna watu wenye akili lakini hatuna watu wa kuwaongoza na kuwawezesha!!!

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 місяці тому

    tunaomba namba zake

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma3330 6 місяців тому

    Watz ndio wanamatatizo unaweza kwenda dukani kitu cha 5000 inauzwa 10000 sasa huoni ni shida nikama huyo kilichonifanya asitaje bei ni nini

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa7006 2 місяці тому

    Aweke namba

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Рік тому +1

    Et kama mpya kwaiyo used au na mpya za mbele

  • @mohamedmustafa278
    @mohamedmustafa278 Рік тому

    We producer wa hii makala naomba namba zako,

  • @elwafedha4337
    @elwafedha4337 Рік тому

    Naomba namba ya simu tafadhali

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Рік тому

    Serekali iangalie watu wenye vipaji iwakuze sio iwapeleke shule na kuishia kuua vipaji vyao

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Рік тому

    Unatakiwa uchaguliwe na Rais uwe waziri wa science na technology.

  • @maftuhihassan3114
    @maftuhihassan3114 Рік тому

    Ukosawa

  • @davidwillson4894
    @davidwillson4894 Рік тому +2

    Point Point Point, Naamini Serikali yetu ni Wasikivu watafanyia kazi haya

    • @desolz3809
      @desolz3809 Рік тому +1

      Subutuuuu

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому +1

      Walimsikiliza nani kwa mfano

    • @robertchuma6408
      @robertchuma6408 Рік тому

      Yaani Unaweza shangaa MAWAZIRI HUSIKA watajifanya hawamjui lakini TRA watampiga KODI badala ya hata rais apewe taarifa amtie Moyo na kumsaidia watamkwida Kodi huyuu!!ndio utajua hi ni nchi ya AJABU kweli badala awe hero atapewa kero za ajabu

  • @hamzaseneda5251
    @hamzaseneda5251 Рік тому

    Cha ajabu hakupewa nafasi kuonyesha ubunifu huu mkubwa mbele ya kamala harris 😔

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Рік тому

    Hiyo machine inagarimu bei gani

  • @mathiaslungwecha4969
    @mathiaslungwecha4969 8 місяців тому

    Mashine za sabuni je?

  • @byaombealoys5967
    @byaombealoys5967 Рік тому

    Hawa niwatu wakuchungwa sana na serekali, chaajabu mnalinda wasiofaa kbs,, maana hawa mkiwapa sehemu ya utulivu wa ubongo wanawaza zaidi yaapo

  • @elwafedha4337
    @elwafedha4337 Рік тому

    Vipaji vipo afrika

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu5810 5 місяців тому

    MUNGU ni mwema saaana

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Рік тому

    NAomba ,
    Namba

  • @anthonygndegesogoranyomo7528
    @anthonygndegesogoranyomo7528 10 місяців тому

    Naomba no yake huyo mtaalamu

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Рік тому

    Tunaomba NAomba zake

  • @user-ps1ph9iv5b
    @user-ps1ph9iv5b 9 місяців тому

    Sehem pekee ninayo iona imejaa utajiri ni hiiii secta ya ubunifu na uzalishaji wa mashine na bidhaa mbali mbali

  • @igmndetitv309
    @igmndetitv309 Рік тому +1

    Kweli kabisa bongo kunavipaji shida serikar haithamin wabunifu

    • @danndori4514
      @danndori4514 Рік тому

      Serikali inakusubiri umalize uzalishe ,itoze Kodi na Tozo. Dunia nzima Serikali zipo hivyo

    • @rofinkitali3765
      @rofinkitali3765 Рік тому

      Asante.
      Lakini hivi leo mtu anaweza kudai amegudua tairi? Hapa hakuna ubunifu.

    • @benjaminlukindo
      @benjaminlukindo Рік тому

      Upo vizur sana kaka! Nimempenda sana alichokifanya

  • @mlionea
    @mlionea Рік тому

    Makofi ya kilo

  • @fabiannyaki7500
    @fabiannyaki7500 7 місяців тому

    Anafanya uzalishaj wa mifuko

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 9 місяців тому

    Sipend mtangazaji unaongea mno

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Рік тому

    Nope NAomba yako

  • @ElwaFadha
    @ElwaFadha 10 місяців тому

    Nataka nijuwe bei naunipe namba yasimu ilituongehe zaidi