Kijana wa Musoma abuni injini ya Ndege

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Kijana Emmanuel Mwenyeji wa Musoma Mkoani Mara na mkazi wa jijini Dar es Salaam ameweka rekodi ya kuwa kijana wa kwanza kutengeneza injini ya Ndege aina ya Jet yenye uwezo wa kutumia mafuta ya taa, diseli na mafuta ya ndege.

КОМЕНТАРІ • 22

  • @yohanalaiser2667
    @yohanalaiser2667 4 роки тому +1

    Hongereni sana !. Mngejaribu pia kupima vitu kama thrust ili tujue na power ya engine. Nafurahi kuona mtanzania kafanya hivi nimeziea kuona kwa wazungu tu and trust me kuna ambao huwa wanashindwa. Hongereni sana !.

  • @vagusnerve8797
    @vagusnerve8797 4 роки тому +3

    Kwa ushauri wangu hawa jamaa wangetafuta wataalamu wa telecommunication ili wawatengenezee long range remote control kisha wangeanzisha workshop ya kutengeneza RC plane

  • @vagusnerve8797
    @vagusnerve8797 4 роки тому +2

    Big up bro, this engine even me i can make it, but problem ni kudesign mfumo wa lubrication na pia kupata materials yanayo resist high temperature hasa kwny combustion chamber and turbine.

    • @yohanalaiser2667
      @yohanalaiser2667 4 роки тому

      Lubrication kwa hizi engine ndogo sidhani....zaidi sana labda upate material ambayo ni heat resistant. Ila pia issue ni expansion ya gesi humo ndani kwahiyo boresha technique ili ugenerate less heat with more effeciency.

  • @BaltazarSavinNdowo-w7y
    @BaltazarSavinNdowo-w7y 14 днів тому

    Ongera sana

  • @oscarmtavangu3053
    @oscarmtavangu3053 3 роки тому

    Hongera sana kwa team yote, hongera kwa finishing pia, ni ya hali ya juu nimezoea kuiona kwa wenzetu tu, kumbe hata kwetu mpo!

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 4 роки тому +1

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae

  • @francetrading8594
    @francetrading8594 7 місяців тому

    Jaman serikali mlaaniwe kwa kuacha vipaji hv vipotee bure,,,

  • @ahadimgedzi1910
    @ahadimgedzi1910 5 років тому +1

    Ningekuwa karibu ningewachangia chochote. Baba JPM watazame hao vijana na ikiwezekana anzisha shule maalumu kwa watu wenye vipaji vya namna hiyo.

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 2 роки тому

    Hizi engine si za ramjet zinauzwa

  • @chugamantv8602
    @chugamantv8602 2 роки тому

    Tanzania tuna weza

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 3 роки тому

    Africa nzima vyuo vyote kufeli du ! Umejua kujipa promo

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 2 роки тому

    Pongezi nyingi kwenu, wakati umefika sasa kwa Serikali kufumbua jicho lake la tatu juu ya vijana wenye vipaji na kuwaendeleza kwani ni hazina kubwa mno kwa Taifa letu na Afrika yetu kwa ujumla.

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto8631 5 років тому

    Wizara ya Viwanda na Biashara, SIDO, COSTEC inabidi muwafuatilie hawa vijana na kuwaendeleza ili watengeneze product itakayofaa kwa matumizi ndani na nje ya nchi.
    Tusiwe watumwa kwa kuthamini vya wazungu tu wakati na sisi tuna akili na uwezo tuliopewa na Mwenyezi Mungu, ni lazima thamini vya kwetu kuanzia sasa.
    Tuachane na mila potofu ya kudharau vya kwetu.

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 3 роки тому

    Ubunifu sijauona mbona hizi engine zilishabuni miaka ya 80 kulushia drone

  • @francisgeda5192
    @francisgeda5192 3 роки тому

    Mko vizur napenda kukutana na hawa jamaa 0684273175

  • @jaziumusa4131
    @jaziumusa4131 4 роки тому +1

    Bado mko nyuma sana 0.0 asilimia

  • @HASASON
    @HASASON 5 років тому

    Sasa mbona hairuki?

    • @phillipmatola6964
      @phillipmatola6964 4 роки тому

      Kwani engine huwa inaruka pake yake....yaani kama moyo eti utembee peke yake😂😂😃😄😅

    • @wilfredkuyonza675
      @wilfredkuyonza675 3 роки тому

      Jiongeze wewe engin itarukaje bila kua na body na mabawa