MASANJA AKIFUNGISHA NDOA KANISANI KWAKE UTACHEKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 сер 2021
  • MASANJA AKIFUNGISHA NDOA KANISANI KWAKE UTACHEKA

КОМЕНТАРІ • 185

  • @sarahpetro9122
    @sarahpetro9122 2 роки тому +4

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa kusimamia agano takatifu Hilo MUNGU awasimamie sana

  • @jessymathias4535
    @jessymathias4535 2 роки тому +4

    Amina, mchungaji masanja endelea na kazi ya mungu, usisikilize maneno ya adui za mungu maadamu mungu amekuita umtumikie,songa mbele

  • @vogellukanka1333
    @vogellukanka1333 2 роки тому +5

    Ila tuwen makin sana sana. Hakuna userious hapa naona maruweruwe tu

  • @RobsonAnthony-cx3wv
    @RobsonAnthony-cx3wv Місяць тому

    God bless you pastor

  • @anordmbembela6940
    @anordmbembela6940 2 роки тому +3

    Good servant of God ,as Yesu ndye njia keel na uzma! Ubarikiwa

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 2 роки тому +4

    Wonderful proceeding .

  • @user-pg8uk7vw3m
    @user-pg8uk7vw3m 5 місяців тому +2

    Mambo masanja

  • @osgentertainmentdancers8924
    @osgentertainmentdancers8924 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana hii uliyoifanya bishop

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 3 місяці тому

    Nimefurahi mtumishi Kwa kuto tamka ktk shida na Raha.🎉🎉🎉🎉🎉hujawaungamanisha agano la shida na raha🎉🎉🎉❤

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 2 роки тому

    Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.

  • @lydiamgollo9899
    @lydiamgollo9899 2 роки тому +2

    Big up pastor Masanja.

  • @mpangaladickson6837
    @mpangaladickson6837 3 місяці тому +1

    Acheni kumuhukumu mtu.maandiko yanasema usihukum usije nawe ukahukumiwa......mungu ndie aliyemwita afanye kazi yake.

  • @amanjr5635
    @amanjr5635 2 роки тому +1

    Hongera sana mtumishi wa Mungu.
    Pia hongera nyingi kwa Musa ,
    Apatae mke amepata kitu chema🔥🔥

    • @nestorymsacky6838
      @nestorymsacky6838 2 роки тому

      Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious

  • @kefaphilipo8060
    @kefaphilipo8060 2 роки тому +1

    Balikiwa kweli inapendeza mchungaji kwa hao wawiilii Mungu awatunze

  • @joelmsawile1718
    @joelmsawile1718 2 роки тому +1

    Safiiiiiiiii sanaaaaa pastor

  • @mwanaiddicosmas7946
    @mwanaiddicosmas7946 2 роки тому +1

    Ongera sana kaka

  • @ntibashimadicksonyingo392
    @ntibashimadicksonyingo392 2 роки тому +7

    Masanja cheni za nn?

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +5

    Mungu aitunze hii ndoa

  • @tawiso_online_tv.
    @tawiso_online_tv. Місяць тому

    Hamna wito hapa😂

  • @bahatimbembela1825
    @bahatimbembela1825 2 роки тому +1

    Hongera kijana Ila jikaze ndoa mh

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi1006 2 роки тому +5

    Masanja ameitwa na Mungu mwenyewe, kwa kusud maalum

    • @lydiaemmanuel7893
      @lydiaemmanuel7893 2 роки тому +1

      MUNGU gani anaeruhusu mchungaji kuvaa cheni simhikum lakin Yesu alisema jifunzen kwangu

    • @peteveprosper7186
      @peteveprosper7186 2 роки тому

      @@lydiaemmanuel7893 uliona wapi akitaza

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 2 роки тому +3

    Amen

  • @dunstannyange7509
    @dunstannyange7509 2 роки тому +2

    Hapo hakuna mchungaji zaid ya ujinga ujinga tu, yan sasa hv din imeiingiliwa kwel kwel yan kila mtu ni mchungaji

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 Рік тому

    Mwenyezi mungu utuhurumiye

  • @seciliakayombo4845
    @seciliakayombo4845 2 роки тому +1

    Ongera kwakazi njema

  • @jonsongabriel937
    @jonsongabriel937 2 роки тому

    Barikiwa katika jina la Yesu kristo

  • @misheckmrk8848
    @misheckmrk8848 2 роки тому +3

    🔥🔥🔥🔥💕🤝

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 2 роки тому +1

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Kazi yako ni njema sana👏👏

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 2 роки тому +3

    Uko sawa

  • @nyororotherock5567
    @nyororotherock5567 2 роки тому +3

    💜💜💜💜💜

  • @adeladaudi8780
    @adeladaudi8780 2 роки тому +3

    Mungu tuhurumie lkn haya lazima yawepo ili maandiko yatimie

  • @user-ur5mq5em3f
    @user-ur5mq5em3f 5 місяців тому

    balikiwa sana wanandoa mmenikumbusha mbali

  • @kacimonpoint4598
    @kacimonpoint4598 2 роки тому +2

    Get it be done

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 роки тому +1

    Biarusi wa jinaaa jmn😌 Mariam

  • @veronicabenezeth6602
    @veronicabenezeth6602 2 роки тому +1

    Mwenye wivu aokoke

  • @GraceJaphet-fr4jt
    @GraceJaphet-fr4jt 3 місяці тому

    Ameni.

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 2 роки тому

    eti Ni yeyeeee 🤣🤣🤣🤣Mungu akaitunze inshallah

  • @ednamasud2613
    @ednamasud2613 2 роки тому

    🤣🤣🤣 ni yeyeeee!!

  • @johnngowi2103
    @johnngowi2103 2 роки тому +1

    Amina

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn7556 2 роки тому +6

    Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.

    • @francismangula2715
      @francismangula2715 2 роки тому

      Ndoa haitak mazoea icho unachosema unataka wawe wamezoeana

    • @jaberjohn7556
      @jaberjohn7556 2 роки тому

      @@francismangula2715 l think you have no awareness. Period

    • @francismangula2715
      @francismangula2715 2 роки тому

      You lack some knowledge brother.

  • @levinyaosi3556
    @levinyaosi3556 2 роки тому

    Kiburi chako ndo hasara kwako brother

  • @tanstudiotv
    @tanstudiotv 2 роки тому +4

    Mwanza mwanza! Mtumishi feel free church tunataka Mwanza

  • @irenesangawe6366
    @irenesangawe6366 2 роки тому +2

    Amenii

  • @williamoscar6657
    @williamoscar6657 2 роки тому +7

    Sijaona kma kweli kuna roho mtakatifu kwa masanja... hakika sio kila kanisa ni la mungu

    • @evoteclimited2319
      @evoteclimited2319 2 роки тому +3

      Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.

    • @williamoscar6657
      @williamoscar6657 2 роки тому +1

      @@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..

    • @matswelopelemphela9676
      @matswelopelemphela9676 2 роки тому

      Umetumia kipimo gani?

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 роки тому

      Mungu/MUNGU nasio mungu

    • @ffrank6754
      @ffrank6754 2 роки тому

      mung huangalia ndani ila sis binadamu tunaangalia nje ww umeonaj km hkn roho mtakatif

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 Рік тому

    Hivi huyo mke wa katibu akiangalia hii kwa sasa anajisikiaje jamani, Mungu amsaidie tu kwakweli

  • @tulimlawa8608
    @tulimlawa8608 2 роки тому +1

    Kwaiyo sio mpaka kifo kiwatenganishe au ckuizi co mpaka kifo

  • @joyelia5356
    @joyelia5356 2 роки тому +3

    musa and mariam
    khadija and yusufu

  • @majaliwamahenge3658
    @majaliwamahenge3658 2 роки тому +1

    🙏🙏

  • @peterchonya3938
    @peterchonya3938 2 роки тому

    Ameni

  • @emmycondrad9706
    @emmycondrad9706 2 роки тому +1

    🤣😂😂👏👏

  • @user-ii9qx9ii5p
    @user-ii9qx9ii5p 4 місяці тому

    Wewe uliyekomenti kuwa aache mzaa madhabauni wewe nana mpaka huuu kumu atatengenezwa na Mungu aliye muita si binadamu

  • @issaramadhan7456
    @issaramadhan7456 2 роки тому

    Vizuri mtumishi

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 2 роки тому +1

    Caption haijakaa mujarabu ukisema ntacheka wakati ni jambo la serious nashangaa!

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 роки тому +2

    Mussa na mariam wafikaje kufunga ndoa kanisani😅😅😅😅

    • @fanikiwamhapa4236
      @fanikiwamhapa4236 2 роки тому +1

      Hatuja elewa maana yako

    • @edithafrancis7057
      @edithafrancis7057 2 роки тому

      Majina yapo pande zote kwa wakristo na msikitin

    • @fanikiwamhapa4236
      @fanikiwamhapa4236 2 роки тому

      Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k

    • @antonthomas807
      @antonthomas807 2 роки тому

      Unamuulizanani au una jiuliza mwenyewe

    • @sebonikegobi6244
      @sebonikegobi6244 Рік тому

      Wamefika kama wengine

  • @gasperamoxi4330
    @gasperamoxi4330 2 роки тому

    Yes

  • @adamsibora9991
    @adamsibora9991 Рік тому

    Akujibu mkeo ndo alikuwa anajua

  • @happinesszabron7635
    @happinesszabron7635 2 роки тому

    Utawaepuka wengine wote na kubaki nayeye peke yake wote NDIO
    Imeisha hyo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 роки тому +1

    Bass

  • @michaelmagige4669
    @michaelmagige4669 2 роки тому +3

    That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!

  • @mashashamsimba4740
    @mashashamsimba4740 2 роки тому +1

    Hiv hapo kunajasho kweli mbona kuna fen

    • @fatimaabdulla6967
      @fatimaabdulla6967 2 роки тому

      😂😂😂😂😂🙄🙄🙄Wanadamu Mna kazi kweli kweli

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 Рік тому

    Na shida ndio ilianzia hapa Sasa ..........

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 2 роки тому +2

    Kama igizo hilo

  • @briankatani8765
    @briankatani8765 2 роки тому +2

    Matapeli bhana

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 2 роки тому +20

    Masanja ukiwa madhabahu usitumie tonic ya komed. Kaa madhabahuni kwa utulivu. Chagua kuwa comedian au kuwa Mchungaji. Huwezi kutumikia mabwana 2.

  • @gvmstudio5659
    @gvmstudio5659 2 роки тому

    ndoaa

  • @peterfrank4299
    @peterfrank4299 2 роки тому +1

    Amina
    Piga kazi masanja

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Рік тому

    Hawa wamama nao watoto mbele kila muda muna haribu tukio

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 2 роки тому +4

    Mke wa pilipili naye ni pastor🤔🤔

    • @josephurupia4653
      @josephurupia4653 2 роки тому

      😆😃😃😃☹️😢

    • @rachaelkazimili4092
      @rachaelkazimili4092 2 роки тому +1

      Huyo dada muone hivyohivyo tu ni muombaji mzuri sana

    • @akxakalapa8950
      @akxakalapa8950 2 роки тому +1

      @@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu

    • @sebonikegobi6244
      @sebonikegobi6244 Рік тому

      Pole yake manake hiyo kazi siyo mchezo Mungu amsaidie

  • @edojoseph4273
    @edojoseph4273 2 роки тому

    Hao maharus hiyoo sio ndoa ni uhuni nyie wazinifu tu mbele za Mungu

  • @mandejumanne6429
    @mandejumanne6429 2 роки тому +3

    Ni yeye

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Рік тому

    HII NIFUJO TU, NO UTUMISHI HAPA

  • @mohamedalawyi8336
    @mohamedalawyi8336 2 роки тому +1

    Sawa ni Moses na Mary . Musa na Mariam wanaowana Msikitini sio Kanisani .

    • @francisemmanuel1551
      @francisemmanuel1551 2 роки тому +1

      Hayo ni majina tu ila ya na maanisha Musa na Mariam kwafano wewe katika kabila lako unamwitaje Mungu waarabu wanamuita Allah wazungu wanamuita God

  • @mwangosmgs6471
    @mwangosmgs6471 2 роки тому +1

    Mtumshi🥰

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Рік тому

    ATI ASKOFU!!!!!!

  • @charlessitta8247
    @charlessitta8247 2 роки тому +3

    Mchungaji Safi Sana. Naamin one day ntatokea hapo church. Location wapi ?

    • @fatmaayoubfatmaayoub8882
      @fatmaayoubfatmaayoub8882 2 роки тому

      Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu

  • @latinusdominic7625
    @latinusdominic7625 2 роки тому +1

    Eti Askofu???

  • @nicianezekiel9144
    @nicianezekiel9144 2 роки тому +5

    Chap xana

  • @silyvesterlameck9754
    @silyvesterlameck9754 2 роки тому +4

    Kiukweli2 masanja unaniboa hiyo cheni wanayo vaa waganga wakienyeji

    • @childofgod4412
      @childofgod4412 2 роки тому

      Yaani na mimi nimeuangalia mh haya tumuachie Mungu mwenyewe

    • @godfreywilliam9673
      @godfreywilliam9673 2 роки тому

      Usihukumu ndugu

    • @joyelia5356
      @joyelia5356 2 роки тому

      @@godfreywilliam9673 hajui lakini mungu anaendelea kumtengeneza ataachaga tu

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 2 роки тому

      Kwan Waganga wanavaaga cheni na umejua kama wanavaaga cheni au na wewe ni Mganga au unaendaga kuaguliwa huko🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️

    • @jaliamwasomola5518
      @jaliamwasomola5518 2 роки тому

      Mungu tusaidie na wew pia mmmm

  • @sabastianraymond.6383
    @sabastianraymond.6383 2 роки тому +9

    YAANI HATA SAUTI YAKO MASANJA NI KIUSANII MUOGOPE MUNGU ONGEA KWA HESHIMA.NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.

    • @joycenyakiha8121
      @joycenyakiha8121 2 роки тому +1

      Ahahahahaahha

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 роки тому +1

      Wamependeza Mungu awe nawo kila siku

    • @kingsforchange1039
      @kingsforchange1039 2 роки тому +4

      You don't know God well.. Masanja ni Mtumishi wa Mungu na milele hata kwa kuzungumzaje he speaks God words and powerfull.

    • @farajachesco985
      @farajachesco985 2 роки тому +4

      Roho mbaya tu inakusumbua ww

    • @kingsforchange1039
      @kingsforchange1039 2 роки тому +1

      @@farajachesco985 anamatatizo huyu nae.

  • @jacobelikana1624
    @jacobelikana1624 2 роки тому +1

    Hagg uliorusiwa na askofu mmeionna

  • @kephahusseni3331
    @kephahusseni3331 2 роки тому +1

    Zuchu nyumba ndoga

  • @sabastianraymond.6383
    @sabastianraymond.6383 2 роки тому +4

    HAKUKUA PETE EDENI.
    NINYI MMETOA WAPI?
    NA KWA ANDIKO LIPI?

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 роки тому +4

      Pete ni ishala tu ya Upendo Hakuna kwenye Andiko ndugu yangu

    • @pendobaharia7227
      @pendobaharia7227 2 роки тому +2

      Pete Ni ishara ya kua mtu kaoa au kaolewa

    • @lovegodmunisi1006
      @lovegodmunisi1006 2 роки тому

      Msiongee neno juu ya huyu jamaa, huyu ameitwa na Mungu mwenyewe

    • @kitasyajohn8338
      @kitasyajohn8338 2 роки тому +4

      Hata nguo eden hazikuwepo wewe hizo umetoa wapi?

    • @frankkahimba1248
      @frankkahimba1248 2 роки тому

      Basi mwishowe hata kula mchicha utasema ni dawa.

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 роки тому +2

    Masanja kusema la ukweli wewe ni comedian upastor umevamia kwa nyuma

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 2 роки тому +1

    Amen

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 2 роки тому

    Ameen

  • @msongocomedy4947
    @msongocomedy4947 2 роки тому +3

    Amen