Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.
Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious
Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.
Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.
@@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..
Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k
That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!
@@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu
Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa kusimamia agano takatifu Hilo MUNGU awasimamie sana
Amina, mchungaji masanja endelea na kazi ya mungu, usisikilize maneno ya adui za mungu maadamu mungu amekuita umtumikie,songa mbele
Ila tuwen makin sana sana. Hakuna userious hapa naona maruweruwe tu
God bless you pastor
Good servant of God ,as Yesu ndye njia keel na uzma! Ubarikiwa
Wonderful proceeding .
Mambo masanja
Kazi nzuri sana hii uliyoifanya bishop
Nimefurahi mtumishi Kwa kuto tamka ktk shida na Raha.🎉🎉🎉🎉🎉hujawaungamanisha agano la shida na raha🎉🎉🎉❤
Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.
Big up pastor Masanja.
Acheni kumuhukumu mtu.maandiko yanasema usihukum usije nawe ukahukumiwa......mungu ndie aliyemwita afanye kazi yake.
Hongera sana mtumishi wa Mungu.
Pia hongera nyingi kwa Musa ,
Apatae mke amepata kitu chema🔥🔥
Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious
Balikiwa kweli inapendeza mchungaji kwa hao wawiilii Mungu awatunze
Safiiiiiiiii sanaaaaa pastor
Ongera sana kaka
Masanja cheni za nn?
Mungu aitunze hii ndoa
Hamna wito hapa😂
Hongera kijana Ila jikaze ndoa mh
Masanja ameitwa na Mungu mwenyewe, kwa kusud maalum
MUNGU gani anaeruhusu mchungaji kuvaa cheni simhikum lakin Yesu alisema jifunzen kwangu
@@lydiaemmanuel7893 uliona wapi akitaza
Amen
Hapo hakuna mchungaji zaid ya ujinga ujinga tu, yan sasa hv din imeiingiliwa kwel kwel yan kila mtu ni mchungaji
Mwenyezi mungu utuhurumiye
Ongera kwakazi njema
Barikiwa katika jina la Yesu kristo
🔥🔥🔥🔥💕🤝
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Kazi yako ni njema sana👏👏
Uko sawa
💜💜💜💜💜
Mungu tuhurumie lkn haya lazima yawepo ili maandiko yatimie
balikiwa sana wanandoa mmenikumbusha mbali
Get it be done
Biarusi wa jinaaa jmn😌 Mariam
Mwenye wivu aokoke
Ameni.
eti Ni yeyeeee 🤣🤣🤣🤣Mungu akaitunze inshallah
🤣🤣🤣 ni yeyeeee!!
Amina
Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.
Ndoa haitak mazoea icho unachosema unataka wawe wamezoeana
@@francismangula2715 l think you have no awareness. Period
You lack some knowledge brother.
Kiburi chako ndo hasara kwako brother
Mwanza mwanza! Mtumishi feel free church tunataka Mwanza
Amenii
Sijaona kma kweli kuna roho mtakatifu kwa masanja... hakika sio kila kanisa ni la mungu
Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.
@@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..
Umetumia kipimo gani?
Mungu/MUNGU nasio mungu
mung huangalia ndani ila sis binadamu tunaangalia nje ww umeonaj km hkn roho mtakatif
Hivi huyo mke wa katibu akiangalia hii kwa sasa anajisikiaje jamani, Mungu amsaidie tu kwakweli
Kwaiyo sio mpaka kifo kiwatenganishe au ckuizi co mpaka kifo
musa and mariam
khadija and yusufu
🙏🙏
Ameni
🤣😂😂👏👏
Wewe uliyekomenti kuwa aache mzaa madhabauni wewe nana mpaka huuu kumu atatengenezwa na Mungu aliye muita si binadamu
Vizuri mtumishi
Caption haijakaa mujarabu ukisema ntacheka wakati ni jambo la serious nashangaa!
Mussa na mariam wafikaje kufunga ndoa kanisani😅😅😅😅
Hatuja elewa maana yako
Majina yapo pande zote kwa wakristo na msikitin
Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k
Unamuulizanani au una jiuliza mwenyewe
Wamefika kama wengine
Yes
Akujibu mkeo ndo alikuwa anajua
Utawaepuka wengine wote na kubaki nayeye peke yake wote NDIO
Imeisha hyo
Bass
That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!
Kosa liko wapi?..
Usihuku usije ukahukumiwa
Hiv hapo kunajasho kweli mbona kuna fen
😂😂😂😂😂🙄🙄🙄Wanadamu Mna kazi kweli kweli
Na shida ndio ilianzia hapa Sasa ..........
Kama igizo hilo
Matapeli bhana
Hahaha
Nan kakutapel
Kama rahis katapel na wewe
Masanja ukiwa madhabahu usitumie tonic ya komed. Kaa madhabahuni kwa utulivu. Chagua kuwa comedian au kuwa Mchungaji. Huwezi kutumikia mabwana 2.
Hata mie cpendi kabisaaa cyo ucha mungu huo
@@claraedwardmalingumu3565 kwan wachungaji hutumia sauti zao wawapo mazabahuni au wana sauti zao za kbumba
Wewe unataka aongee nini
Pande zote mbili zimakubaliana this ndoa ( wazazi
Masanja mpaka sasa una nyimbo ngap?
ndoaa
Amina
Piga kazi masanja
Hawa wamama nao watoto mbele kila muda muna haribu tukio
Mke wa pilipili naye ni pastor🤔🤔
😆😃😃😃☹️😢
Huyo dada muone hivyohivyo tu ni muombaji mzuri sana
@@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu
Pole yake manake hiyo kazi siyo mchezo Mungu amsaidie
Hao maharus hiyoo sio ndoa ni uhuni nyie wazinifu tu mbele za Mungu
Ni yeye
Heee
Pete haina maana yoyote kwenye ndoa
HII NIFUJO TU, NO UTUMISHI HAPA
Sawa ni Moses na Mary . Musa na Mariam wanaowana Msikitini sio Kanisani .
Hayo ni majina tu ila ya na maanisha Musa na Mariam kwafano wewe katika kabila lako unamwitaje Mungu waarabu wanamuita Allah wazungu wanamuita God
Mtumshi🥰
ATI ASKOFU!!!!!!
Mchungaji Safi Sana. Naamin one day ntatokea hapo church. Location wapi ?
Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu
Eti Askofu???
Unataka awe vp
Chap xana
Kiukweli2 masanja unaniboa hiyo cheni wanayo vaa waganga wakienyeji
Yaani na mimi nimeuangalia mh haya tumuachie Mungu mwenyewe
Usihukumu ndugu
@@godfreywilliam9673 hajui lakini mungu anaendelea kumtengeneza ataachaga tu
Kwan Waganga wanavaaga cheni na umejua kama wanavaaga cheni au na wewe ni Mganga au unaendaga kuaguliwa huko🤷🏾♂️🤷🏾♂️🤷🏾♂️
Mungu tusaidie na wew pia mmmm
YAANI HATA SAUTI YAKO MASANJA NI KIUSANII MUOGOPE MUNGU ONGEA KWA HESHIMA.NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
Ahahahahaahha
Wamependeza Mungu awe nawo kila siku
You don't know God well.. Masanja ni Mtumishi wa Mungu na milele hata kwa kuzungumzaje he speaks God words and powerfull.
Roho mbaya tu inakusumbua ww
@@farajachesco985 anamatatizo huyu nae.
Hagg uliorusiwa na askofu mmeionna
Zuchu nyumba ndoga
HAKUKUA PETE EDENI.
NINYI MMETOA WAPI?
NA KWA ANDIKO LIPI?
Pete ni ishala tu ya Upendo Hakuna kwenye Andiko ndugu yangu
Pete Ni ishara ya kua mtu kaoa au kaolewa
Msiongee neno juu ya huyu jamaa, huyu ameitwa na Mungu mwenyewe
Hata nguo eden hazikuwepo wewe hizo umetoa wapi?
Basi mwishowe hata kula mchicha utasema ni dawa.
Masanja kusema la ukweli wewe ni comedian upastor umevamia kwa nyuma
Amen
Ameen
Amen
Amen