Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤
Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio
Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.
Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu. Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time. Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.
Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮
Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.
Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢
Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu
Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢
Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket
Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌
Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊
Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢
Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
Hata mimi nataka wa kwangu jamani
@@bahathmuro7145hata mimiiiiiii
Cha kwako peke yako kitamu mnoooooo
Napenda kingereza cha Isha Mashauzi
Kwakweli ana kingereza kizuri sana....!!
Isha msamehe ila akirudia tena muache forever ❤
Da dida Nakupenda sana ❤ allah akutangulie ktk maisha yako yote my dear
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Isha Mashauzi naomba msamehe shemeji anakupenda sana yaani nakwambia hutakaa upate mwanamme anayekuoenda kama Mabango please please Isha naomba msamehe shemejj.
Give him another chance❤😂
Joy and pain all in the game of love ,please Isha msamehe mshkaji mm naimani ameshajifunza kutokana na makosa
😂😂yan mwenzenu nawapenda hawa watu mungu cmama kati yao Mr and Mrs Mabango❤❤❤
kuna siku nilisema tuwape muda mabango akasema mimi nina roho mbaya, Isha achana na huyo mtu utautesa moyo wako.Safi sana
Wapo kwakweli msijiendekeze mkisema hawapo mnawapa mibichwa kuvimba🤕🤕🤕
Jidanganye
Halafu sasa wanawake ndio wanadai hakuna wa peke yako 😮😮 at the same wakingundua wanachitiwa wanageuka mbogo 😮😮
@@spreadlove5300wpo sana wanaume anaowaongelea isha ni heshima tu wapo
Hayupo kudadek zako
@@heartnsanya1182 Jisemee wewe
Watarudiana hao Isha kaona aibu live studio
Ila WASAFI TV BIG UP 🙌
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑓𝑟𝑎ℎ𝑖𝑠ℎ𝑎𝑔𝑎 𝑚𝑛𝑜𝑜𝑜𝑜
Isha wetu wee nakpenda bure❤❤
Inshaallaah allaah atakuletea omba dua atakuja mbora zaidi
Isha anampenda sana mabango mbona anaona haya kumtazama apewe muda tu❤maana vita ya kuchokana wewe kwanza uso mbuzi😂😂😂
Rip dida nilipenda swali lako utamtoa wapi..ishaa❤
Mashangazi wa mjini wanajua kuigiza sasahapo isha uyo si mwanae uyo😊
Kabsaaa mashauz tu kma jina lake
Mbona umeolewa Bibi wa 2 Allah Akbar
Wewe muislam msamehe saba mala sabini kesho kwamungu ❤
Jmn mabango umeniliza we Kaka Isha msamehe jmn binaadam woote niwakosefu dah😢😢
Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio
Jamani
Na mwanaume kuomba msamaha ivo ni ngum hajaigiza uyo kaka wanaume wachache kuomba msamaha ivo na co kwasbabu ya camera akikuomba ameamua,amekupenda
😂😂vingereza vya don't call me vyanini asee apo nimecheka😂😂 jmn dida Mwenyezi Mungu akulaze pema😭😭😭😭
Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.
Makubwa 🤣🤣
Heeee😂😂😂😂@@mariamizzy2880
Penzi limepata mpendaji😂
@@DeboraNgura😂😂😂😂😂😂
Unatuchekeshaaaa😂
Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu.
Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time.
Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.
Naungana na wewe, umemaliza yoote❤
@@pendogeorge1813 Ahsante sana my sis ❤
Kauli mbiu ndoile ile mwendo wakusonga mbele ❤❤❤
Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha mwisho❤
@@pendogeorge1813 hahaha 🤣🤣🤣
Kwa kweli 2po Kama Mim Am My Wife's Husband
Jaza form basi bro pengine utapita kwenye kuchaguliwa😂😂😂
@@FatimaAli-of4gh nimeshasema Mim ni wa Mke Wangu tuu. Yani Ahmed Wa SumaiyahAhmed khalas
Huyo Sumaiya cku akipigwa nje utavurugwa sana na kujutia kaka
Me nakupenda sana Isha mashauzi ❤❤
Mbona saiv haya mambo yamekuwa kama maigizo
Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮
Na tuliambiwa ni msagaji sijui kweli
@isunga1964 🤣🤣unajua hii dunia my dear watu wanangalia muonekano wako ndio wanaongea hivyo vipuli hata huyo mume anachoka 🤣🤣anakaa msagaji kweli
Hii imeenda
Uhakikaa inakeraaa
Nikweli yuko hata mimi sitaki mme wetu nataka wangu kweli nimempata nanikitukanwa na kimada ananifunza kusimama zaidi ktk ndoa isha tulia na mmeo msamehe kweli nakuomba
Msamehe sanaaa
Rest Easy Dida
Mnahangaika na vijana wadogo ndo tatizo...
Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.
Dah! Ufara ndio huo,mwanaume unajidhalilisha
ipo siku damu itamwagika hapo wasafi maana mnawakutanisha mahasimu
Ni udwanzi sana
Kamtolea mahari
Nipo hapa isha
Kwan walikutana studio, Hadi muwakutanishe huko studio?
Nawewe mwanaume wadar ukome.
Eti ukome😂😂😂😂😂 nimecheka
Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢
Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu
Nipo mm hapa
Mke wangu, babe 💕
Hakuna mapenzi ya mwanamke aliyemzidi umri mwanaume yaliowahi kudumu
Yupo sana Rahma na mumewe tatu na mumewe
yapo na yanadumu vizuri kikubwa heshima tyu,mapenzi hayana umri
Yapo mi nimedumu na nmemzidi m3 tuna miaka 16 kwa ndoa
Wasafi wachonganishi sana Isha karap we mwisho wa siku kakutanishwa na asiye wapenda kaja
Utapata Inshaalah
Mm hapa wa peke yko
Kijana unajidhalolisha mbona
Ashapata mwengine uyo
Wamdhalilisha mtoto wa watu msamehe 😢
Uyu ana mpenda ❤❤
Kweli mapenzi inauma lakin kunae maana kubwa kuitwa mwanaume yoote Tisa kumi usipige magoti kwa mwanamke 💪💪💪
Inshaallah mwanaume anaombae sory live na unakata
Hadi anakuomba msamaha Ivo Bado umekaza shingo hakuna aliekamilika
Apo Isha kashaloowaaa
Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢
Wanaume sikuhizi wanashindwa kujiheshimu wanatembea na kina dada ambao hawana heshima inasababisha wanaanza kudharau mke wa ndani
Wapiga pesa
Sahihi
Hamna isha mbna anaonekana mdada mzur tu mstaarab na anapenda mtu mmja ni shda kijana tu
Huyu itakuwa kapata mwanaume cyo bure😂😂😂😂
Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket
Ndio maana siku hizi hunitoi na Crown 👑 kwa ujingabkama huu
Dada Isha samehe shemeji yetu Mimi napenda mahusiano yenu tafadhali muoneee huruma mwanaume jamani usiwe na hasira isiyoisha Mungu hapendi
Dida unanini mbona king'ang'anizi wanaume tupo 😊
Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌
Isha akumbuke hii Dunia asimnyanyasw mtu kiivo ajue shetani ananguvu au mungu anampa kalibu gani asamee akuna mkamilifu
Nipo mimi njoo
Akimkazia anakubali hyu, Isha hawezi kuwa serious
Kabsaaa lazma awe na maringo
Duh kumbe mabango alilia nilkuwa nasikilza tu redioni
Ila haya mapenzi jamani uh
Wala humpati maisha haya
Aisha msamehe mwenzio 😢
Msamehe jamani. Dada Aisha shemeji yetu
Nipo mm jmn nakusubiri ww
Kwenye wanaume washamba huyu no 1, mwanaume uwezi kuwa pumbu
Huyo mwenyewe hana hekima tu na wote wahuni wangeoana yasingekuwa hayo wote ni malaya
Usenge kweli huu
Hawa mashangazi bhana!
Uyo mabango kajua kujidharirisha 😢
😂😂😂 mbona kajizaririsha
@@anastaziambote4574😂😂
Inabidi aitwe kwenye kikao cha wanaume
Msenge huyo jamaa 😂
Isha kazaa dada❤❤❤❤
Msamehe tu dada isha jamani kaka anaonekana mstaraabu
Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊
Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢
Sasa akisema nipo.peke yangu utamwamin vp
Afu ana mabango ana fanana na na k g k
Ndiyo dadauna baya
Huyu kijana mabango anajidhalilisha sana
😂😂😂😂😂 wanaume wa Dar tatizo sana..
Weka namba Yako amepatikana hukuuui
Uyu kaka si alisema amtaki tena ataakilud
Huyo alojiingiza kwa bwn wa mtu anajickiaje hapo sasa?
Msamehe sana .Ameomba msamaha .akuludia Tena anyongwe😂😂😂
Huyu jamaa kasahau Rule number 5💔
Jmn
Msamehe aisee! Mwanaume akupende hivi hata km anaigiza kiukweli msamehe tu aisee
Bahamad almuacha farhiya patima hataki ukewenza😂😂😂 ata kidyogyooo
Kitu usichokipenda ukikiweka dhahir ndo vzuri
Isha mswameh mabango wnadamu htujakamilika
Subiri, Bora zimwi likujualo,utakutana nao,labda ufunge kitabu
Wapo acheni kuzihilisha zinaa
Jamn msamehe isha atakuwa amejifunza
Mm nakata akuna mwanaume wa peke yako ,labda mwanamke anaweza kuwa wa peke yako lakini c mwanaume hata mitume ilishindwa
Mtu wenyew kabati minyamaa
Sema wasafi wanazengua..sasa kuchoresha mahusiano ya watu for what now..!??
Yahni mtu unafanya mziki miaka 20 alafu unasema alhamdu lilah
We nae msamehe ulijua unadate na malaika.
Hao Bado wanapendana