MABANGO AVAMIA INTERVIEW YA ISHA MASHAUZI, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA / ISHA ASUSIA INTERVIEW

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 455

  • @dorcasshadrack7757
    @dorcasshadrack7757 2 місяці тому +43

    Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 2 місяці тому +7

    Napenda kingereza cha Isha Mashauzi
    Kwakweli ana kingereza kizuri sana....!!

  • @btylove1870
    @btylove1870 2 місяці тому +6

    Isha msamehe ila akirudia tena muache forever ❤

  • @FaudhiaMohamed-m1t
    @FaudhiaMohamed-m1t 2 місяці тому +17

    Da dida Nakupenda sana ❤ allah akutangulie ktk maisha yako yote my dear

  • @georgemajani6600
    @georgemajani6600 2 місяці тому +15

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @OklyKornelio
    @OklyKornelio 2 місяці тому +10

    Isha Mashauzi naomba msamehe shemeji anakupenda sana yaani nakwambia hutakaa upate mwanamme anayekuoenda kama Mabango please please Isha naomba msamehe shemejj.

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 2 місяці тому +16

    Joy and pain all in the game of love ,please Isha msamehe mshkaji mm naimani ameshajifunza kutokana na makosa

  • @KuluthumuMsuwakollo
    @KuluthumuMsuwakollo 2 місяці тому +11

    😂😂yan mwenzenu nawapenda hawa watu mungu cmama kati yao Mr and Mrs Mabango❤❤❤

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 2 місяці тому +6

    kuna siku nilisema tuwape muda mabango akasema mimi nina roho mbaya, Isha achana na huyo mtu utautesa moyo wako.Safi sana

  • @defrinepaul7046
    @defrinepaul7046 2 місяці тому +86

    Wapo kwakweli msijiendekeze mkisema hawapo mnawapa mibichwa kuvimba🤕🤕🤕

    • @rehemamsambila6820
      @rehemamsambila6820 2 місяці тому +3

      Jidanganye

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 місяці тому +3

      Halafu sasa wanawake ndio wanadai hakuna wa peke yako 😮😮 at the same wakingundua wanachitiwa wanageuka mbogo 😮😮

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 2 місяці тому

      ​@@spreadlove5300wpo sana wanaume anaowaongelea isha ni heshima tu wapo

    • @heartnsanya1182
      @heartnsanya1182 2 місяці тому

      Hayupo kudadek zako

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 місяці тому

      @@heartnsanya1182 Jisemee wewe

  • @MwanahamisNyenzi
    @MwanahamisNyenzi 2 місяці тому +10

    Watarudiana hao Isha kaona aibu live studio

  • @masoudjuma8169
    @masoudjuma8169 2 місяці тому +10

    Ila WASAFI TV BIG UP 🙌

    • @modestamodesta3940
      @modestamodesta3940 2 місяці тому

      𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑓𝑟𝑎ℎ𝑖𝑠ℎ𝑎𝑔𝑎 𝑚𝑛𝑜𝑜𝑜𝑜

  • @mamuumamuu1871
    @mamuumamuu1871 2 місяці тому +2

    Isha wetu wee nakpenda bure❤❤

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 2 місяці тому +11

    Inshaallaah allaah atakuletea omba dua atakuja mbora zaidi

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 2 місяці тому +2

    Isha anampenda sana mabango mbona anaona haya kumtazama apewe muda tu❤maana vita ya kuchokana wewe kwanza uso mbuzi😂😂😂

  • @maggykavata9439
    @maggykavata9439 17 днів тому

    Rip dida nilipenda swali lako utamtoa wapi..ishaa❤

  • @EvaWaziri-so3gi
    @EvaWaziri-so3gi 2 місяці тому +6

    Mashangazi wa mjini wanajua kuigiza sasahapo isha uyo si mwanae uyo😊

  • @Sakina-j2b
    @Sakina-j2b 22 дні тому

    Mbona umeolewa Bibi wa 2 Allah Akbar

  • @MariamHassan-n8g
    @MariamHassan-n8g 22 дні тому

    Wewe muislam msamehe saba mala sabini kesho kwamungu ❤

  • @AnzeraniSalee
    @AnzeraniSalee Місяць тому

    Jmn mabango umeniliza we Kaka Isha msamehe jmn binaadam woote niwakosefu dah😢😢

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 2 місяці тому +8

    Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio

    • @jamilahsakina1561
      @jamilahsakina1561 2 місяці тому

      Jamani

    • @MapeKhamis
      @MapeKhamis 2 місяці тому +1

      Na mwanaume kuomba msamaha ivo ni ngum hajaigiza uyo kaka wanaume wachache kuomba msamaha ivo na co kwasbabu ya camera akikuomba ameamua,amekupenda

  • @jovinageorge-s2o
    @jovinageorge-s2o 7 днів тому

    😂😂vingereza vya don't call me vyanini asee apo nimecheka😂😂 jmn dida Mwenyezi Mungu akulaze pema😭😭😭😭

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 2 місяці тому +2

    Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.

  • @furahayamoyo9193
    @furahayamoyo9193 2 місяці тому +2

    Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu.
    Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time.
    Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 2 місяці тому +2

    Kauli mbiu ndoile ile mwendo wakusonga mbele ❤❤❤

    • @pendogeorge1813
      @pendogeorge1813 2 місяці тому

      Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha mwisho❤

    • @hidayamanda-gk7nf
      @hidayamanda-gk7nf 2 місяці тому

      @@pendogeorge1813 hahaha 🤣🤣🤣

  • @ahmedsaidi2239
    @ahmedsaidi2239 2 місяці тому +12

    Kwa kweli 2po Kama Mim Am My Wife's Husband

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 2 місяці тому +2

      Jaza form basi bro pengine utapita kwenye kuchaguliwa😂😂😂

    • @ahmedsaidi2239
      @ahmedsaidi2239 2 місяці тому +3

      @@FatimaAli-of4gh nimeshasema Mim ni wa Mke Wangu tuu. Yani Ahmed Wa SumaiyahAhmed khalas

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 2 місяці тому

      ​Huyo Sumaiya cku akipigwa nje utavurugwa sana na kujutia kaka

  • @rosegodlove1956
    @rosegodlove1956 2 місяці тому

    Me nakupenda sana Isha mashauzi ❤❤

  • @AdamMbwana-p6n
    @AdamMbwana-p6n 2 місяці тому +3

    Mbona saiv haya mambo yamekuwa kama maigizo

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 2 місяці тому +12

    Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮

    • @isunga1964
      @isunga1964 2 місяці тому

      Na tuliambiwa ni msagaji sijui kweli

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 2 місяці тому

      @isunga1964 🤣🤣unajua hii dunia my dear watu wanangalia muonekano wako ndio wanaongea hivyo vipuli hata huyo mume anachoka 🤣🤣anakaa msagaji kweli

    • @janetdunda6331
      @janetdunda6331 2 місяці тому

      Hii imeenda

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 2 місяці тому +1

      Uhakikaa inakeraaa

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle 2 місяці тому +2

    Nikweli yuko hata mimi sitaki mme wetu nataka wangu kweli nimempata nanikitukanwa na kimada ananifunza kusimama zaidi ktk ndoa isha tulia na mmeo msamehe kweli nakuomba

  • @PotiRasi
    @PotiRasi Місяць тому

    Msamehe sanaaa

  • @yusuphmsangi7191
    @yusuphmsangi7191 18 днів тому

    Rest Easy Dida

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 2 місяці тому +5

    Mnahangaika na vijana wadogo ndo tatizo...

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 2 місяці тому +2

    Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.

  • @mohamedabdallah6480
    @mohamedabdallah6480 2 місяці тому +1

    Dah! Ufara ndio huo,mwanaume unajidhalilisha

  • @mussarashid6752
    @mussarashid6752 2 місяці тому +18

    ipo siku damu itamwagika hapo wasafi maana mnawakutanisha mahasimu

  • @ABDALLAHMUSA-w9o
    @ABDALLAHMUSA-w9o 2 місяці тому

    Nipo hapa isha

  • @josej9888
    @josej9888 2 місяці тому +6

    Kwan walikutana studio, Hadi muwakutanishe huko studio?
    Nawewe mwanaume wadar ukome.

  • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
    @MaryMichaelMaryMichael-i7o 2 місяці тому +1

    Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 2 місяці тому

    Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu

  • @Zabl0nx17
    @Zabl0nx17 2 місяці тому

    Nipo mm hapa

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 місяці тому +1

    Mke wangu, babe 💕

  • @Chelseaboy_1905
    @Chelseaboy_1905 2 місяці тому +6

    Hakuna mapenzi ya mwanamke aliyemzidi umri mwanaume yaliowahi kudumu

    • @WelimaAdonias
      @WelimaAdonias 2 місяці тому

      Yupo sana Rahma na mumewe tatu na mumewe

    • @MariamMrema
      @MariamMrema 2 місяці тому

      yapo na yanadumu vizuri kikubwa heshima tyu,mapenzi hayana umri

    • @SuzanaHassan-d4z
      @SuzanaHassan-d4z Місяць тому

      Yapo mi nimedumu na nmemzidi m3 tuna miaka 16 kwa ndoa

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 2 місяці тому

    Wasafi wachonganishi sana Isha karap we mwisho wa siku kakutanishwa na asiye wapenda kaja

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 2 місяці тому

    Utapata Inshaalah

  • @HassanHameed-g5e
    @HassanHameed-g5e Місяць тому

    Mm hapa wa peke yko

  • @SHUKURUMahiki
    @SHUKURUMahiki 2 місяці тому +1

    Kijana unajidhalolisha mbona

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 2 місяці тому +2

    Ashapata mwengine uyo

  • @mwalagomwanaisha
    @mwalagomwanaisha 2 місяці тому +1

    Wamdhalilisha mtoto wa watu msamehe 😢

  • @Nurdinimwakisale
    @Nurdinimwakisale 2 місяці тому

    Uyu ana mpenda ❤❤

  • @raymondlaurent4167
    @raymondlaurent4167 2 місяці тому

    Kweli mapenzi inauma lakin kunae maana kubwa kuitwa mwanaume yoote Tisa kumi usipige magoti kwa mwanamke 💪💪💪

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 2 місяці тому

    Inshaallah mwanaume anaombae sory live na unakata

  • @roseamon7906
    @roseamon7906 2 місяці тому

    Hadi anakuomba msamaha Ivo Bado umekaza shingo hakuna aliekamilika

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 2 місяці тому +7

    Apo Isha kashaloowaaa

  • @ChikuHamisi-o8p
    @ChikuHamisi-o8p 2 місяці тому

    Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 2 місяці тому +44

    Wanaume sikuhizi wanashindwa kujiheshimu wanatembea na kina dada ambao hawana heshima inasababisha wanaanza kudharau mke wa ndani

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 2 місяці тому

      Wapiga pesa

    • @ZachariaMwita-bu7rw
      @ZachariaMwita-bu7rw 2 місяці тому

      Sahihi

    • @mnyampaa_kisasa
      @mnyampaa_kisasa 2 місяці тому +1

      Hamna isha mbna anaonekana mdada mzur tu mstaarab na anapenda mtu mmja ni shda kijana tu

    • @edinamhando108
      @edinamhando108 2 місяці тому

      Huyu itakuwa kapata mwanaume cyo bure😂😂😂😂

    • @Soudbako
      @Soudbako 2 місяці тому

      Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 місяці тому +1

    Ndio maana siku hizi hunitoi na Crown 👑 kwa ujingabkama huu

  • @roseamon7906
    @roseamon7906 2 місяці тому

    Dada Isha samehe shemeji yetu Mimi napenda mahusiano yenu tafadhali muoneee huruma mwanaume jamani usiwe na hasira isiyoisha Mungu hapendi

  • @agreymkaburu7464
    @agreymkaburu7464 2 місяці тому

    Dida unanini mbona king'ang'anizi wanaume tupo 😊

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 2 місяці тому

    Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌

  • @ZainaMshamu-yu8qv
    @ZainaMshamu-yu8qv 2 місяці тому +1

    Isha akumbuke hii Dunia asimnyanyasw mtu kiivo ajue shetani ananguvu au mungu anampa kalibu gani asamee akuna mkamilifu

  • @IsayaShokaulaya
    @IsayaShokaulaya 17 днів тому

    Nipo mimi njoo

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 2 місяці тому +2

    Akimkazia anakubali hyu, Isha hawezi kuwa serious

  • @gabrieljohn7242
    @gabrieljohn7242 2 місяці тому

    Duh kumbe mabango alilia nilkuwa nasikilza tu redioni

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 місяці тому

    Ila haya mapenzi jamani uh

  • @FatimaAo-r9p
    @FatimaAo-r9p 2 місяці тому

    Wala humpati maisha haya

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 Місяць тому

    Aisha msamehe mwenzio 😢

  • @MwasitiShabani-b7x
    @MwasitiShabani-b7x 2 місяці тому

    Msamehe jamani. Dada Aisha shemeji yetu

  • @SalumNdoshi
    @SalumNdoshi 2 місяці тому +1

    Nipo mm jmn nakusubiri ww

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 місяці тому +1

    Kwenye wanaume washamba huyu no 1, mwanaume uwezi kuwa pumbu

  • @HamisBonge-c5s
    @HamisBonge-c5s 2 місяці тому

    Huyo mwenyewe hana hekima tu na wote wahuni wangeoana yasingekuwa hayo wote ni malaya

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 2 місяці тому

    Usenge kweli huu

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 місяці тому +5

    Hawa mashangazi bhana!

  • @zamdanamwenje9415
    @zamdanamwenje9415 2 місяці тому +13

    Uyo mabango kajua kujidharirisha 😢

  • @ashurasharif-ln4nl
    @ashurasharif-ln4nl 2 місяці тому

    Isha kazaa dada❤❤❤❤

  • @gracemwailima1780
    @gracemwailima1780 2 місяці тому +4

    Msamehe tu dada isha jamani kaka anaonekana mstaraabu

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 2 місяці тому

    Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 2 місяці тому

    Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 2 місяці тому

    Sasa akisema nipo.peke yangu utamwamin vp

  • @Nurdinimwakisale
    @Nurdinimwakisale 2 місяці тому

    Afu ana mabango ana fanana na na k g k

  • @MariamHassan-n8g
    @MariamHassan-n8g 22 дні тому

    Ndiyo dadauna baya

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 місяці тому +1

    Huyu kijana mabango anajidhalilisha sana

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂 wanaume wa Dar tatizo sana..

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole 2 місяці тому

    Weka namba Yako amepatikana hukuuui

  • @LatifaRajabu-l3n
    @LatifaRajabu-l3n 2 місяці тому

    Uyu kaka si alisema amtaki tena ataakilud

  • @khadijanurdin3163
    @khadijanurdin3163 2 місяці тому

    Huyo alojiingiza kwa bwn wa mtu anajickiaje hapo sasa?

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba 2 місяці тому

    Msamehe sana .Ameomba msamaha .akuludia Tena anyongwe😂😂😂

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 2 місяці тому

    Huyu jamaa kasahau Rule number 5💔

  • @EsterAgrey
    @EsterAgrey 2 місяці тому

    Jmn

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 2 місяці тому

    Msamehe aisee! Mwanaume akupende hivi hata km anaigiza kiukweli msamehe tu aisee

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 2 місяці тому +3

    Bahamad almuacha farhiya patima hataki ukewenza😂😂😂 ata kidyogyooo

    • @aminamzuri9933
      @aminamzuri9933 2 місяці тому

      Kitu usichokipenda ukikiweka dhahir ndo vzuri

  • @khamisqassim5332
    @khamisqassim5332 2 місяці тому

    Isha mswameh mabango wnadamu htujakamilika

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 2 місяці тому +1

    Subiri, Bora zimwi likujualo,utakutana nao,labda ufunge kitabu

  • @hamisimkweru636
    @hamisimkweru636 2 місяці тому

    Wapo acheni kuzihilisha zinaa

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo 2 місяці тому

    Jamn msamehe isha atakuwa amejifunza

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 місяці тому

    Mm nakata akuna mwanaume wa peke yako ,labda mwanamke anaweza kuwa wa peke yako lakini c mwanaume hata mitume ilishindwa

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 2 місяці тому

    Mtu wenyew kabati minyamaa

  • @storytownTv
    @storytownTv 2 місяці тому +1

    Sema wasafi wanazengua..sasa kuchoresha mahusiano ya watu for what now..!??

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 місяці тому

    Yahni mtu unafanya mziki miaka 20 alafu unasema alhamdu lilah

  • @Userog254
    @Userog254 2 місяці тому

    We nae msamehe ulijua unadate na malaika.

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 2 місяці тому +1

    Hao Bado wanapendana