VITUKO VYA MASANJA MKANDAMIZAJI MSIBANI/KIFO AKITAKI UTANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 бер 2019
  • VITUKO VYA MASANJA MKANDAMIZAJI MSIBANI/KIFO AKITAKI UTANI

КОМЕНТАРІ • 72

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Рік тому +1

    Nimeipenda hiyo

  • @helmankafuka6507
    @helmankafuka6507 5 років тому +8

    Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 3 роки тому +2

    Masanja ni gifted and talented kuleta furaha

  • @aminasaid5131
    @aminasaid5131 2 роки тому +1

    Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu

  • @dawillygene
    @dawillygene 5 років тому +6

    Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro

  • @peterkatete5645
    @peterkatete5645 5 років тому +3

    Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.

  • @josephswai6725
    @josephswai6725 3 роки тому +3

    Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz

  • @sultanvdeo4996
    @sultanvdeo4996 5 років тому +7

    Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀

  • @richardsolomoney490
    @richardsolomoney490 5 років тому +4

    NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 5 років тому +2

    Nice sana

  • @sembasitianayinzaki1253
    @sembasitianayinzaki1253 2 роки тому +1

    Daaaaaaaa! Masanja bwaaana

  • @evambughuni9276
    @evambughuni9276 5 років тому +4

    Hahaa masaja umenishinda tabia.

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 років тому +2

    safi masanja sasa tishert

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 років тому +2

    Masanja we ni kituko

  • @emanuelpaulo5280
    @emanuelpaulo5280 3 роки тому +1

    Amina mtmishi

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 5 років тому +3

    Duuu masanja

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 4 роки тому +1

    Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 5 років тому +5

    Masanja nakugawa bure

  • @philberthatanas1531
    @philberthatanas1531 2 роки тому +1

    Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka

  • @alidomiseven4139
    @alidomiseven4139 2 роки тому +1

    Mimi ata kwabure sihendi

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 5 років тому +2

    😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂

  • @kinasatz7266
    @kinasatz7266 3 роки тому +1

    Masanja bwana 😄😄

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 5 років тому +2

    Masanja we kiboko

  • @phoebemmanga299
    @phoebemmanga299 5 років тому +7

    Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 5 років тому

    Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!

  • @genimaige6023
    @genimaige6023 5 років тому +2

    duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida

  • @jeniferalloyce2576
    @jeniferalloyce2576 4 роки тому

    Jamani bavu zangu mm. Masnj

  • @dhssgs6360
    @dhssgs6360 5 років тому +2

    Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Рік тому

    ukweli mtupu mtumishi wa Mungu

  • @neemachima2469
    @neemachima2469 5 років тому

    hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko

  • @lucaslaurent2920
    @lucaslaurent2920 3 роки тому

    Duh! Masanja!

  • @ngosha1tv321
    @ngosha1tv321 4 роки тому +1

    Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 Рік тому

    Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 5 років тому +5

    How can I get kemea pepo T-shirt ?

  • @neemamhongole2801
    @neemamhongole2801 Рік тому

    Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!

  • @jazirajazira8116
    @jazirajazira8116 Рік тому

    Kweli kabisa

  • @ashoramwanja3131
    @ashoramwanja3131 4 роки тому +1

    Atari

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 років тому +7

    ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2

  • @asifiwevincent3938
    @asifiwevincent3938 3 роки тому

    Hii ni kweli masanja

  • @mosesfungo4902
    @mosesfungo4902 5 років тому +1

    Mbn GK yupooo bado ??!!!

  • @godluckmwandumbya8648
    @godluckmwandumbya8648 4 роки тому

    Masanja umenifulaisha

  • @tesinaelectronics8228
    @tesinaelectronics8228 5 років тому

    Amennnn

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 роки тому +1

    Kweli kabisaa, nikidifu2😀

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 4 роки тому

    Kabisa

  • @floraanthony4406
    @floraanthony4406 5 років тому

    hahaha masanja acha vituko

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 5 років тому

    Brother uko sahihi kabisa

  • @rabiaramso1087
    @rabiaramso1087 5 років тому +1

    Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 3 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja

  • @naeemmuneer8546
    @naeemmuneer8546 5 років тому

    AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Рік тому

    Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!

  • @dicksonmaiko3486
    @dicksonmaiko3486 5 років тому

    Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha

  • @peterjackson5307
    @peterjackson5307 3 роки тому

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @yustinhhari5085
    @yustinhhari5085 5 років тому +3

    truth in funny way

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 роки тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @naomimgori8382
    @naomimgori8382 4 роки тому

    😂

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 років тому

    Yaani wewe masanja unautani mwingi

  • @babadee4785
    @babadee4785 5 років тому +3

    Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.

    • @lameckmwinuka8550
      @lameckmwinuka8550 5 років тому

      Amen bro

    • @luganomwambulukutu5311
      @luganomwambulukutu5311 5 років тому

      Ila sio kujiombea kufa

    • @calebmasaba5815
      @calebmasaba5815 5 років тому

      @@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo

    • @kalufunyangenyakinyungu5087
      @kalufunyangenyakinyungu5087 4 роки тому +1

      Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.

  • @stanleyhenrish1055
    @stanleyhenrish1055 5 років тому

    Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 років тому +1

    Masanja we ni kituko

  • @deniswabantu4645
    @deniswabantu4645 5 років тому

    Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa