Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Nimeipenda hiyo
Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like
Masanja ni gifted and talented kuleta furaha
Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu
Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro
Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.
Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz
Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀
NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja
Nice sana
Daaaaaaaa! Masanja bwaaana
Hahaa masaja umenishinda tabia.
safi masanja sasa tishert
Masanja we ni kituko
Amina mtmishi
Duuu masanja
Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Masanja nakugawa bure
Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka
Mimi ata kwabure sihendi
😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂
Masanja bwana 😄😄
Masanja we kiboko
Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.
Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!
duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida
Haahha
Jamani bavu zangu mm. Masnj
Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba
ukweli mtupu mtumishi wa Mungu
hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko
Duh! Masanja!
Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana
Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli
How can I get kemea pepo T-shirt ?
Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!
Kweli kabisa
Atari
ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2
Hahaaa kaka Bright bwana
Hii ni kweli masanja
Mbn GK yupooo bado ??!!!
Masanja umenifulaisha
Amennnn
Kweli kabisaa, nikidifu2😀
Kabisa
Masanja
hahaha masanja acha vituko
Brother uko sahihi kabisa
Masaja nakukubali
Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja
AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏
siku nikilala
Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!
Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
truth in funny way
😂😂😂😂😂😂
😂
Yaani wewe masanja unautani mwingi
Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Amen bro
Ila sio kujiombea kufa
@@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo
Masanja we ni kituko
Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa