😂😂😂😂masanja unaxhekesha sana !! Yaan nilikuwa na maombi,after finishi nikamsikiliza AMBENE nyimbo ya upendo nikaanza kulia. Nilipoanza kukusikiliza ww nimecheka mpaka basi.mambo ya marekani??njoo na Dubai basi??
sorry to be offtopic but does any of you know of a way to log back into an Instagram account?? I stupidly lost my account password. I love any help you can give me!
@Danny Stephen thanks so much for your reply. I got to the site through google and im waiting for the hacking stuff atm. I see it takes quite some time so I will reply here later with my results.
zaidi ya PhD lecture/mhadhara wa shahada ya Udhamivu. hongera mtumishi wa Mungu, Msanii, Mchekeshaji, Mwalimu, Mc, Mwimbaji, Msukuma, Mtanzania, Mmarekani kwa sasa, Me igizaji, na Uhamasishaji...nitafute +255714418190 kwa kazi zaidi,urarudi tens huko USA.nipda hapa Dar Bongo, Tanzania. nafurahi sana kazi nzuuuuri...Mungu Akubariki
Huku kwetu ughaibu, vipaji vinadorora, Na boga waliharibu, ukiifanya papara, Kuhamisha sijaribu, shina lake ndiyo bora, Jogoo kwa ugenini, hatawika asilani.
Kipaji kizuri. Sema ungefanya onyesho fupi kama dk 15-20. Itakuwa kali na nzito zaidi. Wenzetu dunia " ya nje ndivyo hufanya" ktk hafala aina hii. Bila hivyo unakuwa unajirudia rudia. Masanja oyeee!!! Twahitaji hii fani kuendelezwa zaidi Tanzania. Bado mbichi
Hiyo comment ya balozi somalia hali yao dhaifu laiti kama ungelijua wakati walikuwa vizuri marubano asli mia 80 Walikuwa wanafunzwa bure na serikali ya somalia wape credit
Masanja nakukubali Sana Mtumishi kwa uchekeshaji tz unafunika. Nacheka Sana. Hadi naumia tumbo. Napenda pia mahubiri yako. Mungu akuinue zaidi
Ila Masanja nakukubali sana. Halafu sidhani kama huwa unajiandaa kusema hayo. Yanakuja tu yenyewe. Hicho ndio kipaji sasa.
Ongera sana masanja kwa ufanisi wako wa kuchekesha na enjoy na comedy zako
Huyuu jamaa anakipaji sanah sema hawajamaa awacheki sana kwasababu awajuh vizur kiswahil but 2naenjoy saan
msukuma a
Hahahahahaha masanja ananifurahisha ni hatar
Awajui kiswahili wakati wametokea tanzania kwaiyo ata tundu lisu atakuwa ajui tena kiswahili sababu ameshakuwa marekani
Am watch from africa tanzania🇹🇿 🙌
Kaka masaja unajitahidi jaman unaitambulisha Tanzania jaman thanks
@Masanja umejua kunifurahisha Leo khaaa😂😂😂✔️
😂😂😂😂masanja unaxhekesha sana !! Yaan nilikuwa na maombi,after finishi nikamsikiliza AMBENE nyimbo ya upendo nikaanza kulia. Nilipoanza kukusikiliza ww nimecheka mpaka basi.mambo ya marekani??njoo na Dubai basi??
Mmmmh njoo na Arusha basi
hongera sana broo umejitahidi sana kuwachekesha walio nuna hahahahahaaaaaaaa
Nnacheka haad chenchi zimeisha😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Masanja yo baddest 👏🏻
Ubarikiwe mtumish wa mungu
Hongereni Sana kwa uzinduzi huo,,,hongera pia masanja
safi sana hongera sana wasisitize kwa mba kiswahili ndiyo lugayao popote waendapo BSB HANDENI KWETU
Ni kipawa kutoka kwa mungu na kila mtu anakipawa alichopewa na mungu
Masanja acha utan unired stares of America
Kiswahili ni Lugha yetu kwa hiyo sasa tukienzi na kukikuza duniani
💪💪
Nakubaliii sanaaaa aseee i wish to be there one day......
😃😃😃 kama na Wewe umesikia masanja Amesema Grande Chai akaletewa chai na Barafu ni hataree sanaaa
good Mr masanja dumisha lugha yetu kiswahili safi
Hongera saaana swahili society usa..
I appreciate the man on his work...... May Lord bless you masanjamkandamizaji 🌍⛅👆🐦🎤🎧
Jovin Boniventure true
sorry to be offtopic but does any of you know of a way to log back into an Instagram account??
I stupidly lost my account password. I love any help you can give me!
@Nathan Oakley instablaster :)
@Danny Stephen thanks so much for your reply. I got to the site through google and im waiting for the hacking stuff atm.
I see it takes quite some time so I will reply here later with my results.
@Danny Stephen It worked and I now got access to my account again. I am so happy:D
Thank you so much, you saved my account!
yaaah Safisaaana Swahili society ,thanx Masanjaaaaa nimewapendaa
Afande Bright Mbwilo pamoja masanja
Lucas Gogo iv masanja unanifurahisha ila punguza masiara bwana
Masanja ungefanyaga stand up comedy bc ingetishaaaa
yesu akuinue sana mtume masanja"""
Gonga like hapa kama unasoma comment huku unamuangalia masanja
kama uliniona😂😃😃😃😃
B
Fersta
Henry Msigwa ameen
Henry Msigwa sanaa
Nakukubali San masanja tuna kukaribusha tena .
zaidi ya PhD lecture/mhadhara wa shahada ya Udhamivu. hongera mtumishi wa Mungu, Msanii, Mchekeshaji, Mwalimu, Mc, Mwimbaji, Msukuma, Mtanzania, Mmarekani kwa sasa, Me igizaji, na Uhamasishaji...nitafute +255714418190 kwa kazi zaidi,urarudi tens huko USA.nipda hapa Dar Bongo, Tanzania.
nafurahi sana kazi nzuuuuri...Mungu Akubariki
kama umecheka ile aliyosema unakula ugali mpaka ukipita mwenzio anakuuliza vipi umetoka mashineni gonga like tujuane wala ugali
Gggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggy6 rwdf
Mtumishi mm naitwa Mr. kilembe kiukweli nakukubali sana na naikubali sana huduma yako. Na natamani kupata mawasiliano ili tuwasiliane
kisukuma to the next level
hongera sana kka masanja
Nakukubali aisee
Irudie injili moto moto kama ile ya wana wa Israeli na kunda la Farao
Kweli nimefurahi sana kutoka hapa Arusha Tanzania
Amina mungu akupe maisha marefu
Hongera kaka kwa kutukuzia kiswaili ukoo
Ahsante sana Kiswahili kipo juu
Nakukubali hahahaaa
Sumbua dunia kwanza!
Hao, ugali hawaujui.nafikiri,una matatizo ya kuleta usingizi 😀😀😀
Ubarikiwe mtumishi
Mungu ni mwema jaman
Upo vzr
Masanja tunahitaji stand show Tanzania
Swahili Society inashugulikia hili
Daaa uko vizuri sana kaka
Masanja wanikosha sanaaaaaa
Hongera #Masanja
....swahili society USA, mmetisha sn.! hongera an, Emanuel Mgaya, aka masanja mkandamizaji.!
Upo juu ndg barikiwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣loving it..
masanja una talent bro yani unachekesha bila kuandaa materials una freestyle tu sipati picha ukiamua kuandaa vichekesho
Massanja Manyara huku wamarekani wapo Kibao
Mhh
Hongera sana Kaka ongeza bidii
adi marekani imeingiia kwenye vina
HAahahahaah waaaooooh so nyc masanja i like u
Knouris Galis mmh!
mambo
Pastor you always bless me through your peachings
Wow! Mmefanya Kitu Chema Kabisaaa.....
Mungu AWABARIKI SANA
Wakina nani wamefanya vzri haoo
@@frankjoseph329 SSUSA
@@tumainimugisha7636 amen karibu sanaaa
Unashoboka sana na America Masanja
Be blessed
Nakuona ndugu yangu wa home chimala,mbunge aliyegombea ubunge kwa tiketi ya chadema mbarali mbeya
Umetisha Sana masanja
Kama umesikia mhola sana , gonga like
Masanja ww ninoma sanaaa
Ww ni noma sana shemeji yng
hongera Sana pastor masanja
masanja bwana nishidaa kingereza kinaleta jotoo hahaa
Dopest Bro.
Ilove it
Hahahahahaha haki nimeinjoi kwakwel kemea pepo jmn
Pamoja pasta from Tanzania PLC rujewa
Pamoja kamanda
Namuona mama jesca yupo safi sana
Umetisha brother. Nafuatilia sana kaka mkubwa, mambo yako yanaenda poa sana kabisa
Pamojakaka nakkbali
Chezea. Masanja
Nakkbali
Wwe
safi sana kaka
Hadi Tandahimba imetajwa USA hahahahaha
Nicheki
Huku kwetu ughaibu, vipaji vinadorora,
Na boga waliharibu, ukiifanya papara,
Kuhamisha sijaribu, shina lake ndiyo bora,
Jogoo kwa ugenini, hatawika asilani.
Ukweli mtupu
Aisee uje nahuku U.K✈
Kelvin Jonathan hello Mr are u in uk
Halo jamaa uyu kiboko nampenda sana
Kama unaangalia 2019 gonga like apa
Ana kpaju hatari
Kipaji kizuri. Sema ungefanya onyesho fupi kama dk 15-20. Itakuwa kali na nzito zaidi. Wenzetu dunia " ya nje ndivyo hufanya" ktk hafala aina hii. Bila hivyo unakuwa unajirudia rudia. Masanja oyeee!!! Twahitaji hii fani kuendelezwa zaidi Tanzania. Bado mbichi
Jamani 😂😂😂😂❤👌
Great....
MASANJA KICHEKESHO MPK USA SAFI BRO.
Mh tuendako hakuna makanisa itabaki entertainment centre! Kama unaamini unacho angalia hicho nikanisani put like hapo.
Sio kanisani ndugu yangu wako kwenye mkutano
Hiyo comment ya balozi somalia hali yao dhaifu laiti kama ungelijua wakati walikuwa vizuri marubano asli mia 80
Walikuwa wanafunzwa bure na serikali ya somalia wape credit
Pepo la umbeya
Tupo wangapi in 2021
Yesu ninaodha ukimsikia, atakupaorda!
amina
HIV huyu jamaa
kunauwepo wa mungu kweli? Au simwelewagi unajua
raha sana yaani wewe ni noma sana kiukweli ugali haufai usa
kumbe masanja upon mareka............ni
Mbarikiwe
Masanja unakipaji sana
Ndio maisha mnayo yapenda ,mnajiona Kam mkopeponi hapo
Hahahahaaaa unanifurahsha sana
Big up sana broo
Hongerasana
yesu azidi kukuinua mtume "$""masanja"$"”
Hongera sana brother,umetisha sana mtu wa mungu,ww ni mkali.
Safi San jamani
Kuokoka nikuiingia mjini ubarikiwe kaka
It is nice occasion men
Uko vizuri
Masanja ni mtanzania halisi popote atakapoenda haach uasili was kitanzania kuanzia tabia, namna y akuelezea mambo mapya
Safiiii,
Ugaliiii hiiiiiiiiiiii?!!!!!!!!
Omega tensioner massager hongera
nice video
Hivi uyu jamaa kwanini hafanyi Standup Comedy??
Umapaona hapo hata ww