KIPYENGA CHA MWISHO | Kazi asawazisha utata goli la Guede, Kipre Junior na lile la Tabora United
Вставка
- Опубліковано 9 тра 2024
- Kipindi cha Kipyenga cha Mwisho na matukio mbalimbali yenye utata wa maamuzi katika michezo mbalimbali ya NBC Premier League likiwemo goli la Joseph Guede lililokataliwa dhidi ya Kagera Sugar kuna goli la Kipre Junior pia wa Azam FC alilolifungwa dhidi ya Mtibwa Sugar.
Mwamuzi Mstaafu wa Kimataifa, Osman Kazi akisawazisha utata wote wa matukio hayo. - Спорт
Huyo muamuzi ashukuru sikuwepo chamazi ningekuwepo tungeomuona angepitia wapi kwenda nyumban kwake ckuiyo ndo tungemfundisha sheria kama alikua haijui ana bahati sana alituumiza sana mioyo yetu nilitaman nimmeze
Kiukweli waamuzi wanaumiza sana watu wengine
Msiwape kichaka waamuzi pakujificha kuwa makosa ya kibinadam
Mwalimu wangu kazi Uko vizuri sikupingi auna baya
Nimeisikia Salam Ya Baba Mzazi Ushauri Mzuri..
TFF NA FAT WAFUKUZWE WOTE HIO MIPANGO YA KARIA
Mpira wa Africa hususani bongo umeoza
Mambo
Mambo
I’m alex ndihokubwayo I’m living in USA 🇺🇸 Cleveland city 🏙 Ohio hawa ma refari wa Tanzania 🇹🇿 wanatia aibu kweli
KUTOKUPENDEZEWA NA KOCHA NAYE NI BINADAMU HAINA TOFAUTI NA NINYI MLIOTETEA RED CARD YA LAWI NDIYO MNAONGEZA HASIRA TUKIO ZIMA LA LAWI NI UPENDELEO WA TFF PALE MR KIPENGA CHA MWISHO HIZO SHERIA ZINAANGALIA TUKIO NOT JUST LAST DEFENDER WEWE UNA TO MISLEAD NA INCIDENCE YA MWISHO,HUYO MTOTO ALIKUWA DIS POCESSED MPIRA NA TIMU YOTE ILIKUWA IMEVUTIKA INAWEZEKANA AZIZ ANGEPIGA MOJAMOJA KWA MOJA MAY BE KIPA ALIKUWA OFFLINE, AU ACHEZE NA GUEDE CSE ILIKUWA NI ALMOST TWO STRIKER AGAINST 1 DEFENDER,NASHANGAA NA NITASHANGAA KAMA SHERIA INARUHUSU ETI MTU ANYANGANYWE MPIRA AJE AFANYE KAMA YULE LAWI ETI APEWE NJANO KISA HE WAS NOT LAST DEFENDER ,LABDA KWA MUJIBU WA TFF HILO NI SAHIHI NA SIYO SHERIA ZA SOKA.KULE KWA MBWENI JKT ULE MPIRA ULIGUSA NYAVU ZA JUU SASI AKASEMA SIYO GOLI-HATA WEWE UKIWA COACH UKIPANDWA HASIRA SAWA.HAPA CONFLICT OF INTEREST INAHARIBU KILA SEKTA TANZANIA,WACHAMBUZI.MAREFA,VIONGOZI.NK.
AMINA KYANDO NI UKOO WETU LAKINI ANAHUSIKA MECHI NYINGI ANAIBEBA SIMBA
Marefa wabadilike waache kuwa mashabiki wa timu zinachocheza lkn pia Sheria iboreshwe nao marefa walipe faini kwa makosa wanayofanya Kwan bado wanavunja Sheria za kazi zao
Kocha gamondi hakuwa na kosa hapo ameteteya haki ya kazi yake
Tukisema nchi imejaa vilaza tueleweke. Yaani kila sector ni vilazaaa tuiuuu. Imagine ni sheria 17 tu za soka zinazotakiwa kutafsiriwa vzr ili kutenda haki lakini wapi. Marefa wengi ni vichwa vya panzi😂😂😂
Nadhani Sheria ziboreshwe pale ambapo itakapothibitika pasi na shaka kuwa Mchezo ulikuwa na goli halali lililokataliwa ikiwemo wenye goli kupewa na matukio yaliyopelekea goli kukataliwa kama yatapelekea goli kwa timu shindani kuondolewa.
kwani hii itaondoa mihemuko kwa waliodhulumiwa goli halali na kuweka utulivu wa kutosha kwani marejeo yatakuwa yanathibitisha yote na kuchukuliwa uwamuzi wake kuwa sahihi. Vinginevyo itakuwa kama Kaka Kazi hapo anaposema ".... najua inauma But but !!!!!"
Watu Wa natumia gharama, pesa, muda na nguvu kuandaa timu halafu unadhulumiwa kiraisi
Mfahamishe Vizuri Huyo Jamaa Anaonesha Haelewi
Hapo kazi umechemsha kipre alivuta nilikuwa naheshimu sana maoni yako sasa naanza kuwa na doubt
Tatizo ni mazoezi hawafanyi hawana kasi
Zanzibar Kutoka Wachezaji Wengi Wazuri ila Bara Wanabana Sana
Mmeanza siasa sikuizi Azam Yani mpaka kwenye magoli ya highlight goli la mudathiri hawajaweka
Nimeumia sana😢😢😢
Waamuzi waache ushabiki wafanye kazi Yao shida muamuz anachezesha mechi lakini ni mshabiki wa timu Fulani anaendekeza ushabiki nawachukia kinoma waamuzi kama hai
Ni kweli alichofanya Gamondi akikuwa suala la mchezo lakini kumbukeni huyu ni Mwajiriwa anataka kumshawishi mwajiri ili apate donge nono hivyo suala hili linauma kwa upande wake anapoona anakosa bargaining power katika mkataba mwingine.
Hata tukiwa na VAR kwenye ligi TANZANIA bas haiwez kusaidia kwa sababu waamuzi wanaamua kutokana na maamuzi yao (Utashi wao) na sio kuamua kutokana na sheria ya uamuzi.
Kikubwa naona azabu wanazo pewa wachezaji na benchi la ufundi marefa nao wapewe hivyo hivyo maana wote wapo kwenye kazi moja haiwezekani wapumzishwe tu iyo cyo azabu wahazibiwe kwa faini na kufungiwa kama wachezaji na benchi la ufundi wanavyo fanyiwa huo ujinga utaisha kingine kuboresha kwenye basi la azam wawepo waamuzi wa ziada kwaajili ya kungamua badala ya VIR
WAAMUZI WANAHARIBU MPIRA WETU SANA, GAMONS ALIPATA HASIRA KWA ANAYOYAONA KWA WAAMUZI
Na niwaombe hizo video clips wekeki angel zote sio nyuma ya wachezaji na kamera ziwekwe kote na wakati matukio yanaelezwa zoom TV TU tuone matukio yote
Tff ndo wanawatuma marefa kuchezesha uwo ujinga ili yanga akose matokeo mazur aandaliwe mtu ubingwa
mna chambua kinafiki mno..gamond yupo sahihi kabisa 😊.sema nyie mlitaka somba abebe ubingwa
Somba ndio nani wewe mandazi
display ya matukio very poor, improve by introducing a slow motion. kwa munavyoonyesha ni ngumu mtu kuelewa mnachoongea
Gamond ako Sawa waamzi waache ujinga kabisa
Acha kutetea ujinga watu wanatumia gharama gamondi Yuko sawa yaani nyinyi waamuzi wetu wakikosea eti makosa yakibinadamu lakini wakifanya wengine Wana bigwa faini waamuzi wetu wamezidi huo sio ubinadamu nimaandalizi tabora wamedhulumiwa yanga pia nawengine afu tff wamekaankimya tumechoshwa nawaamuzi Bora tucheze bila waamuzi
😂😂 sasa mnunue marobot yachezeshe maana Kila timu especially hizo kubwa zmenufaika na hayo makosa
Wewe mwehu Gori rawa Kagera rachirwa umerisahau
Mechi ya ngapi hiiii Yanga wanaonewa? Ni mpango wenu na hiyo TFF kuinyong'onyeza Yanga?
Na huyo Kazi wao lazima atie dosari kwa Yanga tuu,
Acheni unazi,
Mwamuzi alifungiwa@@hsanomohamed4543
Wewe umebebwa mechi ngapi unajisahaulisha au tukutajie
acheni ujinga au nanyi ni wapanga matokeo. Yanga tunadhulumiwa Dana mechi na Azam, Kagera na zingine nyingi. Tabora wamedhulumiwa yote haya kumbeba Simba Kila mtu anajua.
Swafi sanaaa ❤❤❤VAR ije
Hawa marefa wana taaluma ya kutosha na hayo makosa wanafanya kwa makusudi na kwa maekekezo ya wanaowasimamia. Dawa nzuri ni Ile ya kuwachomea moto nyumba za marefa wanaofanya ujinga huo maana TFF inawalinda hao marefa. Hii ilisaidia sana miaka ya 70 na 80. Inazigharinu sana timu zinazofanyiwa hujuma hizo za makusudi na kuwaondolea burudsni maelfu ya watu wanaofuatilia mchezo huo Kwa viingilio halali na muda wao wa kufuatilia Mpira na badala yake wanawaangalia marefa wakilinda rushwa zao. Hawa ni watu wa kupotezwa kabisa ktk. Soka letu.
Kwani hawa marefa wanaandaliwa na nani au wanaokotwa TU kwasababu wanamasilahi na Wana tff wanaopanga matokeo ili watu wakipani kwa makusudi ya marefa wapige faini wapate hela wanazotaka kwa hujuma hizo.
Kaze alichofanya Gamond ni sawa kabisaa coz malefa wa bongo wamezidi kujiamulia kwa ushabiki badala ya professionalism
Wewe ni Refali mkongwe jaribu kukaa na wamuzi wape semina
Ata ukiweka sawa Kuna kitakacho badirika
haibadilishi kitu ila hapo utajua uko upande wa kubwebwa au timu yako inauwezo
Waamuzi wengine wanao uwezo lkn wana mapenzi ya timu Fulani hawaezi kuwa waadilifu
Kazi unazingua eti kuweka mkono sio kosa, tunakujua uko upande gani. Simamia sheria kiuweledi kama mstaafu
Kuvuta au kusukuma ndo kosa mwelewe
Mtangazaji unaweka visifa vya hovyo hovyo..
Alipanga kuinyonga yanga huyo hajui kazi kazi yake huyo alilewa
Unawashaulije wamuzi wanao fanya hivyo kila Mara
Kwanini marefa hawapigwi faini wanafungiwa mechi 2 ama 3 halafu yamekwisha lakini kocha anafungiwa na faini pia anapigwa
Na ndiomaana wabongo hakuna waamuzi wanao haguliwa kuchezesha mashindano ya njee
Mi naulizaga kilasiku hamnijibu baada yahapa nini kinatokea kama faida ya waonewa
Akuna mchambuzi apo ushuzi mtupu
Hii inatokana na mapemzi ya marefa kwa kiongozi mkuu wa t f f
hiki kipindi hakina maana, tunaomba uwafundishe hao waamuzi.fundisha
Adhabu Kwa waamuzi zitazamwe upya. Kama mtu kama manara ambaye anakuwa jukwaani anaweza kufungiwa bila kikomo na faini ya million 10 kwanini mwamuzi apumzishwe tu wakati kakataa goli? Makosa mengine yanaweza kuvumiliwa lakini sio kukataa goli halali au kukubali goli Haram.
Nyi awa waamuzi mnawachukua mtaani au maana ata siwaelewi wanacho kifanya
Acha tu zsimba wadeke hatshangai hats ligi kuakhiridhwa
Pumbavu zako,umezeeka hadi macho yako, hata kipofu anaweza kuchambuwa ukweri, DU,huu ujinga wawamuzi hauwezi kuisha,kumbe kuna wantu wanafuga huu ujinga. Ndo kama hawa.
Kama ni goal wewe Kama kipenga Cha Mwisho anawasaidiaje wamuzi waache kukaa Mbali na matukio
WAZO LAKO KIPYENGA LIKO SAWA. Lakin Nini kazi huyo kamii saa anaye simama mbele
Viongozi wa t f f muda wao wa kuongoza utaisha lini?
Maneno mengi kuliko vitendo!
Ok nimegunduwa leo wa chambuzi uchwara Tanzania nimama nishuke 😅
Anaitwa fala sofia
Hiyo ni faulo ya waz muwamuzi yupo sahii
T f f imejs viongozi wa simba tu tunaomba serikali iingilie kati maana huu ni ukabila kwenye michezo
Sauti ya mchambuzi ipo chini
E bwanae wacheni ayo yalopita yamepitq
Kwaio kama yamepita ndo tuachane nayo ili yaendelee tu au unamaanisha nini
Maoni yangu ili kuondoa utata wa mambo na matukio yanayoendelea kujitokeza kwanini kusiwepo na referee mwingine awe anakaa kwenye basi la Azam ilikuweza kuona matukio Kwa njia ya picha za marudio Kwa sababu uwanjani huwezi kuzipata itasaidia kwakua hatuna VAR
Point mkuu
Hawa marefa wanasoma nini huko chuoni kwao,aibu tupu
Tff wanahusika chini ya karia
Warefa wa mchongo watu wamo na wao wamo
Huyu muandish koloooooooo
Tubadlishieni waamuzi
Kwanini VAR na goal line technology viliwekwa, sidhani kama uchambuzi huu una maana yeyote, ni kupoteza muda na kuleta sintofahamu kwa waamuzi pia wapenzi wa mpira bila sababu.
Kipyenga kwa sasa ni kipyongp.....useless commentary
Refaree hakuwa lain position Sasa ameona vip kama ni offside?unatuzingua wochu
Kuzeni matukio mnayojadili. Acheni uninafsi. Mnaona poke yenu tu
We nawe kazi unazingua umesema inauma;Sasa hujapenda nin Sasa
Wew mwenyew ulikuwa na changamoto zako enzi za urefaree wako kwani hatujui acha kutetea kuwa timamu bro
Hàlina akili kabisa eti kipenga Cha mwisho
hivi nyie mnaotukana humu, mnaingia kujifunza au ? hebu chukueni ifa ya mpira na so ushæbík
Ujinga tu mnaongea.tutokeeni.apo.mbele
Huyu na kahaba wa manzese anajishauwa wakati enzi zake alikuwa anahujumu waziwazi
Maisha Magumu Tanzania Wanapokea Wote Hao Marefa
Marefa wa mchongo wanarudisha nyuma vipaji vya watu
Acheni zenu nyinyi mnajua kua madunduka wanabebwa mnajua yote karia huyo
T f f imejs viongozi wa simba tu tunaomba serikali iingilie kati maana huu ni ukabila kwenye michezo
Sasa mkishasema haikua penati nini kinafanyika, sioni kama kuna maana ya hiki kipindi maana ninini faida yake,mnaongeza maumivu kwa wahusika tu
Inasaidia kuondoa ushabik maandazi
Inasaidia kuondoa ushabik maandazi