azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena
Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.
kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo
Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "
Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa
yanga tim kubwa
Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?
Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?
Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024
Weka kujisajili day nami nijisajili
azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena
Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!
Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga
Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.
Kilajambo na wakati wake
Kadi inalipiwa Shs ngapi
Naitwa twalibu Hassan kadi shilingi ngap kujisajili
Kadi shs ngapi
Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa
Makoro mnaumia sana
Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi
Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko
Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar
Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura
Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???
Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo
😅karibu
kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo
Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "
Sahihi kabisa
SAHIHI KABISA.
Sawa Ally kamwe ameipata hiyo kuwe na usajili day utafaa sana
Kujisajili day hii nimeukubali tena nchi nzima
Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp
Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily
Lolote litawezeka
Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.
Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa
Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA
Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂
Ww ni mjinga
Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili
Wewe ndunduka.
Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free
Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki
Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti
Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo
Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31