MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
Magoli yote manne haya hapa....
Nampongeza mzize kwa kumpa pasi ya goli azizi ki❤❤❤
Kama umefrahi Leo azizi ki kufunga gonga. Like apa
Me pia nimefurahi Sana aziz k kufunga Kama naww numefurahia gonga hapa like za kutosha
Mzize Mungu akubariki
Amazing performance for my team and congratulations KI AZIZ for doubling goals today and thus you have gone into a lead over Feisal., Magnificent 💛💚💛💚💛💚
Nimependa clement alivyompa pasi azizi afungule hongera yake moyo saf kabisa
Huondy uungwana
Ata Mimi nampongeza clement Kwa kumpa Aziz ki mpira sio mchoyo
Mzize ukopw brooo minimekwelewa nini umemanisha
Wewe ni mimi...
Yupo poa yhn
Waoooooh nimefurai Sana jaman 💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Mimi ni YANGA 👌💚💛
Yangga ni sisi tu kila kitu kwetu jmn yanga rahaaa
Rahaaaaaaaaaaa
Yanga africa like hap love sana
Golden buti ya aziz ilee
Mikolobwanje Ileeee imenuna 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Yanga mtatuua mashabiki wenu kwaraha aziz ki wapedozi hao watoto❤❤❤❤❤
Top score 👌 tunae wananchi😂😂😂
💚💚💚💚💚💚💚
Saaafiiiiiiii kabisaaaa
🎉🎉 Aziz ki akishinda ndio Raha yetu wananchi
Yaaan nikimuona Alajiga namkumbuka2 mzee Said😂😂
😂😂😂
Umenikumbusha mbali sana
Vile alivyosema alajga anahangaliaga miguu ya aziz ki leo nmekubali
😂😂😂 hata mm
Raha sana jamani Yangaaaaa❤❤❤❤
Hii ndyoo yangaaaa
Tunakila sababu ya kufurahia sisi kama Wananchi kwa hii misimu 3 mfululizo na mingine inayokuja MUNGU akipenda pia.. viongozi msiumize sana kichwa sisi kama mashabiki tutajitaidi kujisajiri ili kuwezesha mapato kwa timu yetu lakini pia msimlazimishe azizi kubaki ingali hatuna uwezo wa kumlipa Hela anayotaka japo tunampenda kama tulivyompenda mayele na sio kwa ubaya ni suala la kawaida sana kumuacha mchezaji kama mmeshindwa kumlipa anachotaka...na sisi mashabiki tusiwe wajinga wa kubeza viongozi kisa wachezaji wazuri wanaondoka badala yake yujisajiri kwa wingi na tuangalie ni watu gani wanakuja mbadala wa wanaoondoka YANGA,ninauamini saaaaaana uongozi wangu wa timu yangu pendwa ya YANGA.🔥🔥🔥🔥❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉bravoooooo
Goli la Max 👌
Kolo😂😂😂
Sio kwa mateso hayaaaa
Ubingwa
Kiatu
Mchezaji bora
Kipa bora
Kiungo bora
Mshambuliaji Bora
Beki bora
Kocha bora
Timu bora
Mashabiki bora
Jezi bora
Tabasamu bora 😂😂😂
Da umesahau Mzee mpili Bora 😂😂
YANGA 💛💚 TEAM OUR HAPPINESS
❤❤ ki azizi
Mungu ni mwema asante Kwa ushindi
Max ilitakiwa ampe aziz kiii
Nasikiaa rahaa chama lang yangaa asante mungu 😂😂😂😂🙏
Oya kuna nyimbo mpya ya yanga +ushindi mtaaamuuu basi inakua humu tu humu tu😅😅😅
😂😂😂😂
Azam mnafanya uzembe sana,mechi imeisha mda mrefu sana halafu highlight mnakuja kuweka sasa hiv
Quality yenyewe mbayaaa
Nawapenda Sana chama langu❤❤❤
Yanga hii raha sanaaa,
Daah max angemtupia aziz pale mwana amalize biashara mapema
💚💛💚💛💪💪💪
Humu tuu🔥🔥🔥💛💚
Aziz k anama goli 17 kwa Sasa Bado anamche mbili mkononi
Hongereni watani
Alaf kuna wengin et wanasema max angemp Aziz yani yey aletewe mipila t bil kutokwa jasho hachani mambo ya hovyooooooooo
Niame yanga me niumize kichwa
Na alikua na nafasi ya kufunga tena clear goal
Max ungefanya Kama mzize...😮😮
Mbinausi max 😢😢😢😮
Lengo mama la msimu huu limeisha, ujumbe kwa viongozi ni kubakiza nyota wakubwa na kuongeza vipanga vingine🖤💚💛
❤❤❤
Kongole kwa Young Africans chama langu
Kiwanja hicho, na ukubwa wa ligi haviendani Ni aibu😢
Msemaji wa dodomA jiji
Maendeleo hayana chama inakubidi tu 😂🤔😂🤔💚💚💚💛💛💛💛
yanga tuna keraaaaaaa
Farasi wa vita,Guu lake la kushoto ni kama gobole anataka kuua temba,ila Azizi😂
Hivi mla ugari na sukari ana ma goal mangapi?
16
Anateseka huko ariko
Fei goli 16
16
16
Kama Ligi ina improve then kwanini viwanja viko ovyo!?......TFF mnabidi muangalie hili....Aibu
💚💛🗝️🔑🔥💪🙏
Sasa magoli manne ya nini? Tumetosheka na magoli labda Aziz pekee afunge💙💚💛
😂😅😂😅
😂😂😂😂😂
Hzi ni sifa tu wanatakiwa wakiingia uwanjani wamtengenezee aziz ki nafasi za magoli akishafunga matatu basi waaache wapinzani nao wafurahi
Good
Operation bila gazi😂😂😂
Rahaaa tuuu
Noma sana
Mfugaj Bora
Wanin?
Haya ndio magoli sio yale ya mchongo ya nafasi ya pili Fc, na hata hio yapili hamuipatiiii
Yeah japo nataman fei mtt w boo ila azz k n bora zaid anastaili
Golikipa wa dodoma jiji 💔 nijau sana
Okra hana furaha kabisa hata kumshangilia mwenzake
Ki n noma
Nice guy
Mimi nimefurahi mpira umefuhi❤❤❤❤❤❤❤
Nimefrah Mzize alivyompa pass kiii
This is second striker
Aziz ki si mbinafsi anafunga kwa ajili ya timu n si kwa ajili yake tu
move ya goli la Nzengeli licha ya kuomba mpira n kutopewa baada ya Nzengeli kuona kakaa kwenye nafasi nzuri ya kujaribu kushuti n akafunga
Lkn unaona uso wake umejawa n furaha n anakuwa wa kwanza kwenda kucelebrate nae
🧡💛💚💛🧡🧡💛💛👏👏👏🔥🔥
Hii ndio yanga bwana
🔥🔥😂
😂😂😂Utu tu mwaka huu ndo utatumika ila ingekua inaeezekana tuzo zote zilikua zinatakiwa kua za dar yanga afrika 💛💚💚🇹🇿 atutaki kuacha kitu ata za majin watupe 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Point sana 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn Raha zimezidi
@@ZenaMsumagilo we timu gn 💛💚🖤
@@JastinAlphonce mimi Yanga naipenda mpaka inanilevya
@@ZenaMsumagilo ahahaa gud sasa
😂😂😂
Safisana
Kwayanga hii
Stephano aziz ki
❤❤❤
Dodoma wanacheza km team yng ya simba ujinga uji6
😢😂😂😂😂
Ss ndo yanga
Oooooooooooooooooiiii
Mechi ya ndugu😅😅😅
Bado hujasema
Mpaka useme
Nabaado.
Dah Yang raha cio poa
lazima tuwakere...
🇹🇿
Kyanite.wewe.ukowap
Fei toto ni mtoto TU,asubiri wakati wake bado
Kumbe magol yenyewe ya butua butua ivo
yakweñu ambayo sio ya butu butu yakoap
@@Victormziwanda-g9z angalia ya Jana ufurai
@@Victormziwanda-g9z mwambie Anitha haon vizuri 😂😂😂
Msuuuuu Hanna timu wala Aziz ki hamn mchezaj ety mnamsifia goli LA hak inatakiwa utokwe jasho kupewa Moira gorin na kumalizia alaf mnamsifia mm nam laumu mzize kwanin asinge shinda mwenyewe aone faid ya jash lake😅😅😅😅
We njaaa
Penalty ya mchongo kwa Aziz Domo😮
Bado hujasema
Na mpaka useme
Kolo kama kolo
Hongera ww uloumbwa na domo zuri
Wewe unauwakika 😮😮😮😢😢😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂