MAGOLI: Yanga yaipiga Dodoma Jiji 4-0; Aziz Ki afikisha 17; NBC PL 22/05/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 вер 2024
  • Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
    Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
    Magoli yote manne haya hapa....

КОМЕНТАРІ • 143

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 4 місяці тому +16

    Nampongeza mzize kwa kumpa pasi ya goli azizi ki❤❤❤

  • @PeterLucas-g5k
    @PeterLucas-g5k 4 місяці тому +90

    Kama umefrahi Leo azizi ki kufunga gonga. Like apa

  • @joycethomas3183
    @joycethomas3183 4 місяці тому +22

    Me pia nimefurahi Sana aziz k kufunga Kama naww numefurahia gonga hapa like za kutosha

  • @annethtimoth3240
    @annethtimoth3240 4 місяці тому +13

    Mzize Mungu akubariki

  • @lucasjohnmabanda5858
    @lucasjohnmabanda5858 4 місяці тому +4

    Amazing performance for my team and congratulations KI AZIZ for doubling goals today and thus you have gone into a lead over Feisal., Magnificent 💛💚💛💚💛💚

  • @YasintaKisholi-fl3iy
    @YasintaKisholi-fl3iy 4 місяці тому +11

    Nimependa clement alivyompa pasi azizi afungule hongera yake moyo saf kabisa

  • @oswardlonginoosward9832
    @oswardlonginoosward9832 4 місяці тому +13

    Ata Mimi nampongeza clement Kwa kumpa Aziz ki mpira sio mchoyo

  • @VictoriaBupila
    @VictoriaBupila 4 місяці тому +13

    Mzize ukopw brooo minimekwelewa nini umemanisha

  • @JoyceIsangura
    @JoyceIsangura 4 місяці тому +4

    Waoooooh nimefurai Sana jaman 💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @sneymaloko6479
    @sneymaloko6479 4 місяці тому +5

    Mimi ni YANGA 👌💚💛

  • @LondonJr-z4f
    @LondonJr-z4f 4 місяці тому +6

    Yangga ni sisi tu kila kitu kwetu jmn yanga rahaaa

  • @amanimbai4627
    @amanimbai4627 4 місяці тому +4

    Yanga africa like hap love sana

  • @LightnessCharlseKimaro
    @LightnessCharlseKimaro 4 місяці тому +5

    Golden buti ya aziz ilee

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 4 місяці тому +10

    Mikolobwanje Ileeee imenuna 😂😂😂😂

  • @MpoleFamily
    @MpoleFamily 4 місяці тому +2

    Yanga mtatuua mashabiki wenu kwaraha aziz ki wapedozi hao watoto❤❤❤❤❤

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 4 місяці тому +4

    Top score 👌 tunae wananchi😂😂😂

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA 4 місяці тому +5

    💚💚💚💚💚💚💚

  • @rehemawamwarami3854
    @rehemawamwarami3854 4 місяці тому +2

    Saaafiiiiiiii kabisaaaa

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 4 місяці тому +5

    🎉🎉 Aziz ki akishinda ndio Raha yetu wananchi

  • @DorothyKabikn
    @DorothyKabikn 4 місяці тому +6

    Yaaan nikimuona Alajiga namkumbuka2 mzee Said😂😂

  • @SophiaNnonjela
    @SophiaNnonjela 4 місяці тому +2

    Raha sana jamani Yangaaaaa❤❤❤❤

  • @happynesfocus
    @happynesfocus 4 місяці тому +2

    Hii ndyoo yangaaaa

  • @martin_james1034
    @martin_james1034 4 місяці тому +9

    Tunakila sababu ya kufurahia sisi kama Wananchi kwa hii misimu 3 mfululizo na mingine inayokuja MUNGU akipenda pia.. viongozi msiumize sana kichwa sisi kama mashabiki tutajitaidi kujisajiri ili kuwezesha mapato kwa timu yetu lakini pia msimlazimishe azizi kubaki ingali hatuna uwezo wa kumlipa Hela anayotaka japo tunampenda kama tulivyompenda mayele na sio kwa ubaya ni suala la kawaida sana kumuacha mchezaji kama mmeshindwa kumlipa anachotaka...na sisi mashabiki tusiwe wajinga wa kubeza viongozi kisa wachezaji wazuri wanaondoka badala yake yujisajiri kwa wingi na tuangalie ni watu gani wanakuja mbadala wa wanaoondoka YANGA,ninauamini saaaaaana uongozi wangu wa timu yangu pendwa ya YANGA.🔥🔥🔥🔥❤❤

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 4 місяці тому +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉bravoooooo

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 4 місяці тому +3

    Goli la Max 👌

  • @gregorysixmund2020
    @gregorysixmund2020 4 місяці тому +14

    Kolo😂😂😂
    Sio kwa mateso hayaaaa
    Ubingwa
    Kiatu
    Mchezaji bora
    Kipa bora
    Kiungo bora
    Mshambuliaji Bora
    Beki bora
    Kocha bora
    Timu bora
    Mashabiki bora
    Jezi bora
    Tabasamu bora 😂😂😂

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana2111 4 місяці тому +2

    YANGA 💛💚 TEAM OUR HAPPINESS

  • @EvaristaChugila
    @EvaristaChugila 4 місяці тому +1

    ❤❤ ki azizi

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 4 місяці тому +2

    Mungu ni mwema asante Kwa ushindi

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 4 місяці тому +4

    Max ilitakiwa ampe aziz kiii

  • @AfricanKid-mu9lo
    @AfricanKid-mu9lo 4 місяці тому +1

    Nasikiaa rahaa chama lang yangaa asante mungu 😂😂😂😂🙏

  • @Mgema001
    @Mgema001 4 місяці тому +7

    Oya kuna nyimbo mpya ya yanga +ushindi mtaaamuuu basi inakua humu tu humu tu😅😅😅

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 4 місяці тому +5

    Azam mnafanya uzembe sana,mechi imeisha mda mrefu sana halafu highlight mnakuja kuweka sasa hiv

  • @RamaaKipingu
    @RamaaKipingu 4 місяці тому +1

    Nawapenda Sana chama langu❤❤❤

  • @Sabasmteyyangahoyeeee-zr5yf
    @Sabasmteyyangahoyeeee-zr5yf 4 місяці тому +1

    Yanga hii raha sanaaa,

  • @ayk20
    @ayk20 4 місяці тому +4

    Daah max angemtupia aziz pale mwana amalize biashara mapema

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 4 місяці тому +2

    💚💛💚💛💪💪💪

  • @gencychaniko8825
    @gencychaniko8825 4 місяці тому +1

    Humu tuu🔥🔥🔥💛💚

  • @MachoteghMacho
    @MachoteghMacho 4 місяці тому +3

    Aziz k anama goli 17 kwa Sasa Bado anamche mbili mkononi

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 4 місяці тому

    Hongereni watani

  • @MukhtarSaidi-hx1wj
    @MukhtarSaidi-hx1wj 4 місяці тому +3

    Alaf kuna wengin et wanasema max angemp Aziz yani yey aletewe mipila t bil kutokwa jasho hachani mambo ya hovyooooooooo

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 4 місяці тому +4

    Niame yanga me niumize kichwa

    • @zuhuranasoro8923
      @zuhuranasoro8923 4 місяці тому

      Na alikua na nafasi ya kufunga tena clear goal

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 4 місяці тому +4

    Max ungefanya Kama mzize...😮😮

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 4 місяці тому

    Lengo mama la msimu huu limeisha, ujumbe kwa viongozi ni kubakiza nyota wakubwa na kuongeza vipanga vingine🖤💚💛

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 4 місяці тому +2

    ❤❤❤

  • @AthumanRamadhan-h5e
    @AthumanRamadhan-h5e 4 місяці тому +3

    Kongole kwa Young Africans chama langu

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 4 місяці тому +3

    Kiwanja hicho, na ukubwa wa ligi haviendani Ni aibu😢

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 2 місяці тому

    Msemaji wa dodomA jiji

  • @Princemaokoto01
    @Princemaokoto01 4 місяці тому +2

    Maendeleo hayana chama inakubidi tu 😂🤔😂🤔💚💚💚💛💛💛💛

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 4 місяці тому +1

    yanga tuna keraaaaaaa

  • @constantinedeus9530
    @constantinedeus9530 4 місяці тому +3

    Farasi wa vita,Guu lake la kushoto ni kama gobole anataka kuua temba,ila Azizi😂

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 4 місяці тому +9

    Hivi mla ugari na sukari ana ma goal mangapi?

  • @saynomore7906
    @saynomore7906 4 місяці тому +2

    Kama Ligi ina improve then kwanini viwanja viko ovyo!?......TFF mnabidi muangalie hili....Aibu

  • @DeogratiusElias-l4r
    @DeogratiusElias-l4r 4 місяці тому +2

    💚💛🗝️🔑🔥💪🙏

  • @Jamgasa807
    @Jamgasa807 4 місяці тому +2

    Sasa magoli manne ya nini? Tumetosheka na magoli labda Aziz pekee afunge💙💚💛

    • @flavianajohn5250
      @flavianajohn5250 4 місяці тому

      😂😅😂😅

    • @ElizabethFinias
      @ElizabethFinias 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je 4 місяці тому

      Hzi ni sifa tu wanatakiwa wakiingia uwanjani wamtengenezee aziz ki nafasi za magoli akishafunga matatu basi waaache wapinzani nao wafurahi

  • @WapoHao
    @WapoHao 4 місяці тому +1

    Good

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 4 місяці тому +5

    Operation bila gazi😂😂😂

  • @LightnessCharlseKimaro
    @LightnessCharlseKimaro 4 місяці тому +4

    Rahaaa tuuu

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 4 місяці тому

    Noma sana

  • @BintKashanga
    @BintKashanga 4 місяці тому +4

    Mfugaj Bora

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 4 місяці тому +2

    Haya ndio magoli sio yale ya mchongo ya nafasi ya pili Fc, na hata hio yapili hamuipatiiii

  • @Anderson-yq2we
    @Anderson-yq2we 4 місяці тому +2

    Yeah japo nataman fei mtt w boo ila azz k n bora zaid anastaili

  • @jjkmarcello6582
    @jjkmarcello6582 4 місяці тому

    Golikipa wa dodoma jiji 💔 nijau sana

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 місяці тому +1

    Okra hana furaha kabisa hata kumshangilia mwenzake

  • @VenasiMasanja-ne8xy
    @VenasiMasanja-ne8xy 4 місяці тому

    Ki n noma

  • @AhmedChitenda
    @AhmedChitenda 4 місяці тому

    Nice guy

  • @Joseph-57
    @Joseph-57 4 місяці тому +1

    Mimi nimefurahi mpira umefuhi❤❤❤❤❤❤❤

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 4 місяці тому +1

    Nimefrah Mzize alivyompa pass kiii

  • @Lasvegas45fighter
    @Lasvegas45fighter 4 місяці тому

    This is second striker

  • @rogatusmeleki1660
    @rogatusmeleki1660 4 місяці тому

    Aziz ki si mbinafsi anafunga kwa ajili ya timu n si kwa ajili yake tu
    move ya goli la Nzengeli licha ya kuomba mpira n kutopewa baada ya Nzengeli kuona kakaa kwenye nafasi nzuri ya kujaribu kushuti n akafunga
    Lkn unaona uso wake umejawa n furaha n anakuwa wa kwanza kwenda kucelebrate nae

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi 4 місяці тому

    🧡💛💚💛🧡🧡💛💛👏👏👏🔥🔥

  • @LovenessMsuya-v8d
    @LovenessMsuya-v8d 4 місяці тому +2

    Hii ndio yanga bwana

  • @iddoilomo1778
    @iddoilomo1778 4 місяці тому +2

    🔥🔥😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 4 місяці тому +4

    😂😂😂Utu tu mwaka huu ndo utatumika ila ingekua inaeezekana tuzo zote zilikua zinatakiwa kua za dar yanga afrika 💛💚💚🇹🇿 atutaki kuacha kitu ata za majin watupe 😂😂

    • @tumymohamed1278
      @tumymohamed1278 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 4 місяці тому

      Point sana 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn Raha zimezidi

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 4 місяці тому

      ​@@ZenaMsumagilo we timu gn 💛💚🖤

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 4 місяці тому

      @@JastinAlphonce mimi Yanga naipenda mpaka inanilevya

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 4 місяці тому

      @@ZenaMsumagilo ahahaa gud sasa

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 4 місяці тому +1

    😂😂😂

  • @H3s4d
    @H3s4d 4 місяці тому +1

    Safisana

  • @VenasiMasanja-ne8xy
    @VenasiMasanja-ne8xy 4 місяці тому

    Kwayanga hii

  • @Lasvegas45fighter
    @Lasvegas45fighter 4 місяці тому +2

    Stephano aziz ki

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 4 місяці тому

    Dodoma wanacheza km team yng ya simba ujinga uji6

  • @DeusDamas
    @DeusDamas 4 місяці тому

    Ss ndo yanga

  • @BuruanHussein
    @BuruanHussein 4 місяці тому +1

    Oooooooooooooooooiiii

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 місяці тому +1

    Mechi ya ndugu😅😅😅

  • @Ismailsuleiman-sj4uf
    @Ismailsuleiman-sj4uf 4 місяці тому

    Dah Yang raha cio poa

  • @edxonamadeo7150
    @edxonamadeo7150 4 місяці тому

    lazima tuwakere...

  • @JacksonMakalanga
    @JacksonMakalanga 4 місяці тому

    🇹🇿

  • @SubiriSiame
    @SubiriSiame 4 місяці тому +1

    Kyanite.wewe.ukowap

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 4 місяці тому

    Fei toto ni mtoto TU,asubiri wakati wake bado

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 4 місяці тому

    Kumbe magol yenyewe ya butua butua ivo

    • @Victormziwanda-g9z
      @Victormziwanda-g9z 4 місяці тому +1

      yakweñu ambayo sio ya butu butu yakoap

    • @lukasjelamisanana6770
      @lukasjelamisanana6770 4 місяці тому

      @@Victormziwanda-g9z angalia ya Jana ufurai

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 4 місяці тому

      ​@@Victormziwanda-g9z mwambie Anitha haon vizuri 😂😂😂

  • @MukhtarSaidi-hx1wj
    @MukhtarSaidi-hx1wj 4 місяці тому

    Msuuuuu Hanna timu wala Aziz ki hamn mchezaj ety mnamsifia goli LA hak inatakiwa utokwe jasho kupewa Moira gorin na kumalizia alaf mnamsifia mm nam laumu mzize kwanin asinge shinda mwenyewe aone faid ya jash lake😅😅😅😅

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 місяці тому +1

    Penalty ya mchongo kwa Aziz Domo😮

  • @ShabaniDagila-d3r
    @ShabaniDagila-d3r 4 місяці тому

    😂😂😂😂