MCHINA ATETEMEKA MBELE YA DC WA ARUSHA BAADA YA KUDHULUMU MIL 26 ZA ASKOFU, "NITAKUVURUGA HAPA HAPA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 тра 2024
  • #Dc #ArushaDc #mkuuwawilaya #mkuuwamkoa #arusha #wikiyahaki #makonda #Rcmakonda #rcarusha #arusha #arushamjini #arachuga #arusha #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon #khaligraphjones #khaligraph #kenyan #kenyanyoutuber #kenyanewsmedia #kenyanews #tanzania #tanzanianews #tanzanianews #tanzanianmusic #tanzanianyoutuber #diamondplatnumz #diamond #diamonds #alikiba #dah #alikibadah #kings #kingsmusic #kingsrecords #dharau #mapoz #inbrahtz #diamondplatnumz #harmonize #kondegang #kondeboy #wasafi #youtube #youtubeshorts #cr7 #diamondplatnumz #aka #a.k.a #coasttitch #coastal #costarica #costa #papa #papawemba #morgan #morganheritage #alikiba #diamondplatnumz #mondi #mapoz #harmonize #harmonize_tz #kondegang #konde #kondeboy #anjela #anjellatz #poshqueen #poshqueennaharmonize #poshnaharmonize #mpenzi #cr7 #niposingleharmonize #wemasepetu #wemawhozu #whozu #whozunawema #wemanawhozu #mapenziyawemanawhozu #penzi #penzizitowemanawhozu #kenyonyo #dipper #kenyonyonadipperrato #comedy #comedyvideo #comedymoments #comedyshorts #comedyvideos #comedyfilms #comedyshow #nyokaa #storyyanyokaa #storybynyokaa #movieyanyokaa #tamthilia #tamthiliayanyokaa #bugibenga #benga #arusha #arushamjini #fido #fidovato #msaniifidovato #mkaliwahiphopfidovato #vatoloco #chugaiyo #fidovatoftrayvanny #rayvannynafidovato #movie #movies #moviereview #inswahili #kwakiswahili #kiswahili #kiswahilitv #kipagocomedy #wachaga #moshi #arushamjini #vichekesho #mwakampya #chrismas #missomisondo #djmisondo #missondo #rayvanny #rayvany #rayvannymissomisondo #rayvannykitukizito #kitukizito #arusha #chugadance #chugacomedy #chugaboy #majanaba #majanabamarkuba #markuba #hanang #mafuriko #manyara #mafurikohanang #hanangmafuriko #majanabamarkubamafuriko #madawa #madawayakulevya #vichekesho #yvonnekrg #krgdoughteryvonne #kichanga #mtotomchanga #mtotoatupwakichakani #mtotomchanga #ashikwaakitupamtoto #uswahilini #uswahiliniarusha #arushamjini #kenyonyo #wadudu #chugacomedy #chugadance #waduduwachuga #machaliiyar
    #madawa #madawayakulevya #waathirika #wasanii #allydangote #paulinegekul #gekul #dangote #arusha #arushamjini #fidovato #allydangote #fidovatoallydangote #allydangotefidovato #chugaiyo #fidovatoamchanaallydangote #fidovatodangote #fidovatovsallydangote #fidovsdangote #dangotevsfidovato #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #inatisha #watuwafurika #wananchiwenyehasirakali #wananchi #binadamu #amwaga #amwagadamu #achomwavisu #mchomavisu #taharuki #taharukiyatanda #taharukiyafunika #mochwari #jijilazizima #arushawatuwafurikamochwari #damu #trendingshorts#Mochwary #mochwari #mrrocky #arusha2099 #arusha #fidovato #johmakini #dogojanja #fidovatonajohmakini #fidovaton #wimbowamrrockyarusha2099 #derby #vatoloco #fidovatonako2nako #fidovatonembo #fidovatochugaiyo #fidovatoarachuga #fidovatonaweusi #fidovatoweusi #weusi #johmakiniweusi #vatolocoweusi #harmonize #ngarenaro #ngarenaroarusha #arusha #wananchi #wananchiwenyehasirakali #matapeli #jambazi #majambazi #vibaka #simu #wiziwakutumiasimu #derby #magoliyayanga #magoliyayanga #magolinbc #magoliligikuu #golilayanga #mashabikisimbayanga #mashabikiyangasc #shabikiyanga #yangasc #yangafc #yangayaifungasimbagoaltano #waduduwachug #kariakooderby #derby #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoli #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #golden #cr7 #cr7fans #cr7shorts #christiano #messi #messiskills #messifans #messi10 #messifans #messi10 #comedia #comedy #comedyvideo #comedyshorts #comedyfilms #comedymoments #comédia #chugacomedy #chugadance #chugadanceofficil #vichekesho #shabiki #mashabiki
    #mashabikisimbayanga #rosaree #wadudu #waduduwachuga #makaomakuuyahiphop #rosareesong #rosareemusic #waduduwachuga #wadudu #kariakoo #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #cr7 #cr7f

КОМЕНТАРІ • 152

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Місяць тому +13

    Mm napenda nimsikilize makonda tu hawa wengine naona vichekesho tu😂😂😂

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Місяць тому +6

    ingekuwa kwao haojamaa siyo, tz tujifunzeni, raia wa china wengi nimataperi sana,

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Місяць тому +36

    siomchina tuu kuna mtanzania mwenzetuu pia anaitwa maganga niizaidi ya mnyamaa anaajiri mtuu saa moja anafukuza saa mbili naanasema haogopi serekali anatesa wafanyakazi vibaya mnoo nimkatili vinaya mnoo mimi nilipita kuosha gari pale nilishuhudia yule jamaa nimyamaa

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 Місяць тому +2

      Afungiwe biashara yake ,wakat uchunguzi uafanyika huyu mswahili

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa Місяць тому +2

      Maganga wa maeneo ya Kwa mromboo??

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 Місяць тому

      Huyu Maganga tunamjua wote wa Arusha.
      Huyo ni mnyama, hana utu hata kidogo na inasemekana huwa anatabia ya kuimiliki serikali kwa pesa zake.
      Si yule aliye Mbauda kule?
      Bora huyu mchina iwapo ni huyo Maganga.

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 Місяць тому +1

      ndio huyoo yani yule sio mtuu kabisa utasema anaishi dunia yakee yani akikupa ajira asubuhi huewezi fika saa tano kama serekali imuangalie kwajicho latatu na uraiya wake hakuna mtanzania nwenye roho alioko nayo yule mtuu

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa Місяць тому

      @@amanimlengwa9202 maganga tangu tukiwa wadogo ni katili tu. Nashangaa mpaka Leo amedumuje inamaana hata viongozi anakula nao

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 Місяць тому +1

    Arusha inawaka moto kama china vile. Ukionea umekwisha. Safi sanaa.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Місяць тому +3

    Mchina alipe gar ya watu,lakin hao maafisa wetu mhhhh......duh!!! Sjui

  • @user-up9gz8ij1s
    @user-up9gz8ij1s Місяць тому +1

    Uko vizuri mkuu

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Місяць тому +5

    Mkuu wa wilaya umebuma kwa kukosa ufahamu wa kuendesha mashauri.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Місяць тому

      Hawezi kazi huyu anamuiga makonda ila unaona kabisa ni arrogant hana mapenzi na wananchi ila tumuache atasiadia kdgo

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz Місяць тому +3

    Tatzo anaongea hatoi nafasi yakujieleza kama makonda anavyo fanyaga hana vebe huni makonda Bg up

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 Місяць тому +1

      Sio kama makonda,hatoi nafasi KUMSIKILIZA mtu kama kiongozi yyte anavyotakiwa.

    • @florencejames-jo1cz
      @florencejames-jo1cz Місяць тому

      @@fredyjeremia7074 asa kiongozi unaongea pekeako huwapi nafasi ya kujieleza ujue changamoto zao we unatoa hukumu bila kusikiliza pandezote mbili asa ndo Nini maon kwa upande wangu lakin

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Місяць тому +7

    Bongo kweli tumeoza yani officer uhamiaji anajua na anakiri kua jamaa hana vibali vya kuishi lkn wanamruhusu kuishi na anafanya biashara bila tabu daaah!!!

    • @ludovickbenjamin6104
      @ludovickbenjamin6104 Місяць тому

      Inasikitisha sanaa asee,
      Tena anajibu kwa ujasiri kabisaa hana kibali. Na wanamuangaliaa kabisaa @ssalimsalim3864

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 Місяць тому +1

      Ni aibu hovyo,,halaf yanaongea bila aibu ety Hana vibali.🤣🤣 Ndo wanajua Leo??

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Місяць тому +1

      KASEMA PASPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE ALIKUWA AMUULIZE SABABU YA KUWA IKO POLISI NA TOKEA LINI.

  • @hanskitundu874
    @hanskitundu874 Місяць тому +3

    Afisa uhamiaji unajua kabisa jombaa Hana vibali vya kuishi na kufanya KAZI nchini na anasumbua ria na gerezani haujampeleka au kumrudisha kwao

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Місяць тому +5

    HUWAMUZI GANI MKUU WA WILAYA FUNGULIA KESI YA WIZI HUYO AU AWALIPE WOTE AKIMALIZA DENI LUDISHA KWAO

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche Місяць тому +3

    Hii kweli ni Comedy

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Місяць тому +2

    Huyo mchina serikali yake ikijua anafanya utapeli huyo mchina kazi anayo, atanyongwa.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Місяць тому +5

    Hao wachina kama kosa hilo umelifanya weye huko kwao unapotezwa ninkunyongwa tu. Naye akamatwe akanyongwe. Halafu mpelekeni Uhamiaji je ana status ya kuishi na kufanya kazi TZ kisheria? Afilisiwe na arudoshwe kwao kwani hapa TZ hakuna waTZ hawawezi kufanya?mnatoa vibali vya wageni kufungua garages. TZ njaa mwisho

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому +2

    Weka ndani mpuudhi

  • @mohddelo
    @mohddelo Місяць тому +1

    Safi

  • @mwajumasakina9599
    @mwajumasakina9599 16 годин тому

    Wa china wanajifanya wajeuri sana huku Africa hata kuuwa wanatuuwa yaani ndani ya Congo wanauwa mpaka Raia wa Congo ni kama tumerudi kwenye ukoloni wa mchaina wa Africa mufunguwe macho

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Місяць тому +3

    Wachina wezi tu

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Місяць тому +3

    Shida ya Wachina ni kamari

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Місяць тому +1

    Huyu jamaa shat ya drafti ni mtumishi wa uma kasema,,ni kitengo gani mbona ana maelezo mengi mno!! Nenda kwa point tukwelewe.kwani we mgen na magerej!? Hyo karatas ni ya nini au ...

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Місяць тому +1

    Tumeshakuelewa mkuu wa wilaya,,watafte kwa mda maalum wasikilize wote kama kiongozi.

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 Місяць тому

    Yani afisa uhamiaji anasema Hana vibali vya kuishi kweli ,? Hatari sana

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Місяць тому +1

    Kama sio Mkuu wetu wa mkoa makonda mngeongea hivi .

  • @billaljuma6297
    @billaljuma6297 Місяць тому +1

    Tapeli huyo mchina

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Місяць тому +16

    Bila Makonda kuanzisha clinic ya kusililiza watu,haya mambo yasingekuwepo.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Місяць тому +2

      Kuna shida gani mtu akianzisha jambo zuri watu wakaliendeleza

    • @raphaelnambombi3709
      @raphaelnambombi3709 Місяць тому +2

      Na mkuu wa mkoa wa mwanza nae ameanza kufanya hivi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Місяць тому +2

      Dhuluma ni nyingi sana nchi hii. Hongera Mh. Makonda kwa kulianzisha

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 Місяць тому +1

      Kabisa ndugu unamjua yule sio binadamu wakawaida nizaidi ya shetani kunasiku nilienda kuosha gari aliwapiga wafanya kazi kama mbwaa hasamini utui wamtuu yulee

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 Місяць тому +1

      Very true

  • @drtobias_
    @drtobias_ Місяць тому +1

    Makonda ana radha yake kwenye jambo km hilo

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Місяць тому +1

    DHULUMA SIO NZURI SANA. INA GHARAMA YAKE

  • @AwadAbedalla
    @AwadAbedalla Місяць тому

    🇪🇸🤔👍👍👍❤❤

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Місяць тому

    Makonda tu ndo ataweza ishu ya mchina,

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Місяць тому

    Mnyakuu tu huyu kelele

  • @MathiasFrancis-hl4ph
    @MathiasFrancis-hl4ph Місяць тому

    Sijaelewa pccb imeingiaje hapo lkn kweli 11m unatoa tu bila progress

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 21 день тому

    Mchina DADEKI 😂
    Jamaa eti siyo Mtu wa Kawaida...😅😅😅 Mchina TAPELI fukuza Huyo Bwege..Tia ndani hata Serikali ya China haitaki wizi..
    Afisa uhamiaji mbona umeniangusha Mama yangu unajua mtu kuwa hana Vibali unaongea hadharani hata Haibu huna..? Sasa unafanya Kazi gani..? Siku zote mko wapi..?

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 12 днів тому

    Uyo mchina Yuko kibaha kwa sasa

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому +2

    Duh!!mwajjna Wangu Felician DC tiya jera kwanza iyo mbuzi ya kichina ujue mtandao wake akae jera kwanza akuna dhamana kabisa yani uniongee mbele zangu eti peleka police nitatoka ihiiiiiiiiiiiiiiiii baba ihiiiiii baba pumbavu

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis Місяць тому

    Hakuna kitu hapa angekua makonda angemnyoosha tapeli huyu

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Місяць тому +2

    Sukuma ndani huyu .
    .
    China's as

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Місяць тому

    INAMAANA MCHINA KAWAFANYA MSHINDWE KUWA NA MIC HATA MBILI?

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u Місяць тому +1

    mkomage mkiona wachina shobo wabongo wenzenu mnatunyima kazi mkiona mchina shobo ila pole

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Місяць тому

    Kk mwenye shati la draft ana mlologo wa story sana

  • @SaidHassen-gf5tx
    @SaidHassen-gf5tx Місяць тому +1

    Watu weupe wametudharau sana .mtuhumiwa mpka anaenda kufuatwa na gar ya DC Tena kwa kubembelezwa.huyo ni mwizi Kama wez wengine ..anatumia gereji Kama kivuli tu...huyo ni wakuondoshwa nchini na alipe ela za watu...haya mambo mtu meeusi hawez kufanya china ata sekunde moja..serikeli tuone makucha watu Kama hao .wawe na heshima na serikeli

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 Місяць тому

    Looo hana hata vibali jamani selikali hii na maafisa uhamiaji wanajuwa nani mwenye kosa hapo

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 Місяць тому +3

    Huyo atakimbia usimwache anatakiwa kukaa ndani tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Місяць тому +1

      ATAKIMBIYAJE NA PASSPORT IKO POLISI???

  • @asmartonline5030
    @asmartonline5030 Місяць тому

    Huyo kwa aibu hii China wananyongaga tuu.........

  • @wensislauschimba2792
    @wensislauschimba2792 Місяць тому

    Ila Kwa huyo amesingizia mchina

  • @NasraN-hr5uh
    @NasraN-hr5uh Місяць тому +2

    Haka kachina kanaubavu gani wa kusumbua watanzania

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 Місяць тому

    Unyanyasaji Wa tz tu nafanya

  • @GoodluckKimbe
    @GoodluckKimbe Місяць тому

    Tatizo laviongozi wetu sijajua wanatatizogan tukifa fanyakosa ss wabongo tunavofanyiwa kama wakimbizi lakin watuwamataifa yambali wakifanya makosa wana belezwasana daaaaaaa

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf Місяць тому

    Msimuonee mchina mnashindwa kushugulika nawezi wamamilioni mmeanza kumsumbua mchina

  • @DanielFisoo
    @DanielFisoo Місяць тому

    Huyo mchina amemrushia babu yangu milion 18 mpaka sahiv bado anakaa na gari yetu

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w Місяць тому

    Hii kweriiiiii comedy show

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Місяць тому

    Wachina wengi ni wezi lakini serikali ipo kimya huku wakielewa

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Місяць тому

    Duuuh ila hii nchii yetu viongozi ni wana demka tu

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasama Місяць тому

    Wachina wote hapa tz heshima wamekosa sana na hawa wa maguluduli ni wahun tu hawatow furusa kwa watazania ili wanufake tz

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 Місяць тому

    Eti asurubiwe 😂😂😂😂😂

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 12 днів тому

    Wachina ni wakumaliza tu

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Місяць тому

    Ndio maana anawatapeli amewaona.haeafu huwezi kutumia lugha ya kusema anaishi kwa makaratasi

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Місяць тому

    Eti polisi anasema anamjua huyo tapeli na Yuko mtaani wakati muuza kuku Yuko jela

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Місяць тому

    Be fair give the chinese man time to explain. As a leader you have to listen both side of the story

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Місяць тому

    Hadi chaji imeisha bado sijafaham mada ni nn

  • @Gamba177
    @Gamba177 Місяць тому +3

    Gari yako au gari la serikali acha kudanganya walipaji kodi hapo

    • @herbethlukogela7657
      @herbethlukogela7657 Місяць тому

      Unatake vitu personal sana kaka..... Gari anekabidhiwa yeye kwahiyo yeye ndo mwenye gari

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Місяць тому +1

      MBONA UELEWA MDOGO??? KASEMA PIA LIPO GARI LA SERIKALI LIMEKAA HAPO SIKU NYINGI SIO ALILOLIPELEKA.

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 Місяць тому

    Mchina anaonewa kiboya.
    Halafu huyu DC anajaribu kutembelea copy za Konda halafu hazijulii kabisa yaani.
    DC fala tu.
    Maelezo ya mchina yako kidogo poa ukilingalinisha na order za DC.

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Місяць тому

    Huyu akakae sero miaka kumi na mko walau

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 Місяць тому +1

    Mchina asikilizwe

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому +4

    Sasa kama ana vibari wewe Afisa uhamiaji mliluwa wap?mnatia aibu nanyie mkae ndani😂

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd Місяць тому

    Watu wa kusikilizwa ni wengi sasa muda woote unamsikiliza mtu mmoja tuuu.

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 Місяць тому

    Gari inatengenezwa mil26 duuuh ila ni maisha tu

  • @upgo6112
    @upgo6112 Місяць тому +3

    Huyu kiongizi ni anaegemea upande Moja ... Angeenda kujihakukishia

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Місяць тому

      Huyu hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 Місяць тому

    Ila hii nchi inajua kuigiza sana, mpaka mtu anakaa miaka yote bila vibali ni kwa sababu gani??

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex Місяць тому +1

    Mkuru wa wilaya unazingua,Na Wewe anakulipa Nini ??? Eti akatengeneze !!! Huyu machina anatakiwa aende jela Na afungwe ,Yuko Bila vibali alafu anaachiwaje awe huru mkuru wa wilaya acha ubabaishaji ,nahisi Na Wewe unahusika ,kisheria kabisa huyu anatakiwa awekwe kizuizini Kwa kuishi Bila vibali afungwe jela Kwa utapeli,mbona mnawafumbiya macho Hawa ni Nini mnawaogopa mbwa Hawa kule kwako wanatutesa tukiwa Na kosa dogo tu.waafrika munanikeraaaaaa.

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf Місяць тому

    Mtangazaji ki Swahili jitaid

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 Місяць тому

    Anamuiga makonda

  • @evidencekangimba1538
    @evidencekangimba1538 Місяць тому

    huyu so mchina mbona anaongea kiswahili kama wabongo

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Місяць тому

    Tatzo huwa mnababaika naa ngozi nyeupe angekuwa mweusi sku nyingi mngemkamata

  • @cleverjesus
    @cleverjesus Місяць тому

    Pilato hi!

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 Місяць тому

    Mikoa mingine mnangoja nn kuanza. Mtu hana kibali anaishi tyu kwao hawana ujinga huo watanzania kuelimike

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Місяць тому

    Na akikimbia je

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 Місяць тому

    Mh

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Місяць тому

    Sheriazauwekezaji waraia wakigenizikoje?.kama wanapewahohovyotu nakuanza kuwafanyaraia wenye nchi kamawatimwa wao ilihali niwatiwalioshindwamaishakwenye nchizao Tanzania watanzania tunakuwajehanamu kwa ajili yawaekezaji via wasionautu kamahao?

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Місяць тому

    Mtu anakwambia serkali inamtambua bado unategmea nn apo

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 Місяць тому

    Viongozi you are not serious, mtu anaishi ndani ya nchi kinyume Cha Sheria, na bado mnamchekea, ingekuwa ni huko kwao, huwezi kufanya ujinga kama huo

  • @nellysukuret9560
    @nellysukuret9560 13 днів тому

    Wachina hamnakitu

  • @user-me5on9ir7b
    @user-me5on9ir7b Місяць тому +2

    Huyu afisa wa uwamihaji ni pumbavu kabisa yaani hanajuwa mtu hanaishi bila vibali kisha hanamwachilia fukuza huyo mwanamke shenzi kabisa

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 Місяць тому +1

      Duh hicho kiswahili ulichoandika ndio changamoto sasa!!!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Місяць тому

      Kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 Місяць тому

      Kala russhwa bila shaka.

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi Місяць тому

    Iv kero zimeanza leo au uchaguzi umekaribia

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 Місяць тому

    Nyongaa ujinga huo kwao wakiwakuta hawatawaacha

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd Місяць тому

    Mil 11 kutengeneza subaru?

  • @AbdulrahimSwedi-ll9ly
    @AbdulrahimSwedi-ll9ly Місяць тому

    mpango was kulipa ndo tunataka

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 Місяць тому

    Viongozi wamekua waigizaji

  • @oam14l
    @oam14l Місяць тому

    Mbona kama maigizo?

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Місяць тому

    Razima nyuma kunamtu hayupo pekeyake

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Місяць тому

    Mahakama zk.ehqmiq mitaani lakini mahakimu hawa wengine hawana uweledi na hii itasababisha sintofahamu Lazima kwanza tujitathmin je kila kiongozi anauweledi wa kusimamia haki kishetia? Tusikutupuke tu. Makonda mfano mzurisa je wengine wanauweledi kama yeye? Elimu na uweledi ni vitu viwili tafauti. Hatuwezi kuharibu badala ya kutengeneza? Think twice

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Місяць тому

    Ale virungu kidogo kama mhalifu mwingine

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Місяць тому +1

    Uchaguzi Umekariba tutaona mengi Huyu Alikua wapi mkuu?

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Місяць тому +1

    Kazi iyo muachie makonda mana ww haujui kabisa uenda ata wanamsingizia ila makonda anatuliza akili mana uenda kila kitu na izo pesa Wanachukua wengine

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Місяць тому

    Mchina anakichwa kama kobe😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Місяць тому +1

      SEMA CHAKOBE KIDOGO 😂😂😂😂😂😂

  • @piusnagawantu8475
    @piusnagawantu8475 Місяць тому

    Haya mambo yanafanyika Tanzania tu kwa sababu watanzania tunaonekana wajinga. Serikali yenyewe ndio hivyo ya kubahatisha tu kwa sababu sheria zetu zinachezewa na wageni. Nchi imekuwa jalala tu. Hana vibali lakini yuko na garage. Haibu kwa nchi nzima.

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Місяць тому

    Kama kesi yangu

  • @mwatelaedward1638
    @mwatelaedward1638 Місяць тому +1

    Wanamwonea mchina wabongo ni wajanja sana haiwezekani eti mchina ni mgeni anajua kiswahili chote inamaana ameishi miaka mingi Tanzania nawanajua ana pesa sasa wanatafuta njia za kumdhulumu. Kama kweli amekua akidhulumu watu kwa inchi ya kigeni mbona hajachukuliwa hatau siku ya kwanza.

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 Місяць тому +2

    Mpeni nafasi ya kuongea mnamuandama sana

    • @urbanmission3072
      @urbanmission3072 Місяць тому

      Ni KWERI hawampi nafas ya kuongea huyu mkuu wa WILAYA kabila GANI?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Місяць тому +1

      KAMPA MDA ATAELEZEA VIZURI HUKO ALIPOPELEKWA MWIZI HUYO.

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 Місяць тому

    Mkuu wa wililaya kamandi fata sheria

  • @omarimussa7904
    @omarimussa7904 Місяць тому

    Safitu wabongo wanashobo sana narangi nyeupe Wacha