MCHINA ATETEMEKA MBELE YA DC WA ARUSHA BAADA YA KUDHULUMU MIL 26 ZA ASKOFU, "NITAKUVURUGA HAPA HAPA"
Вставка
- Опубліковано 21 тра 2024
- #Dc #ArushaDc #mkuuwawilaya #mkuuwamkoa #arusha #wikiyahaki #makonda #Rcmakonda #rcarusha #arusha #arushamjini #arachuga #arusha #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon #khaligraphjones #khaligraph #kenyan #kenyanyoutuber #kenyanewsmedia #kenyanews #tanzania #tanzanianews #tanzanianews #tanzanianmusic #tanzanianyoutuber #diamondplatnumz #diamond #diamonds #alikiba #dah #alikibadah #kings #kingsmusic #kingsrecords #dharau #mapoz #inbrahtz #diamondplatnumz #harmonize #kondegang #kondeboy #wasafi #youtube #youtubeshorts #cr7 #diamondplatnumz #aka #a.k.a #coasttitch #coastal #costarica #costa #papa #papawemba #morgan #morganheritage #alikiba #diamondplatnumz #mondi #mapoz #harmonize #harmonize_tz #kondegang #konde #kondeboy #anjela #anjellatz #poshqueen #poshqueennaharmonize #poshnaharmonize #mpenzi #cr7 #niposingleharmonize #wemasepetu #wemawhozu #whozu #whozunawema #wemanawhozu #mapenziyawemanawhozu #penzi #penzizitowemanawhozu #kenyonyo #dipper #kenyonyonadipperrato #comedy #comedyvideo #comedymoments #comedyshorts #comedyvideos #comedyfilms #comedyshow #nyokaa #storyyanyokaa #storybynyokaa #movieyanyokaa #tamthilia #tamthiliayanyokaa #bugibenga #benga #arusha #arushamjini #fido #fidovato #msaniifidovato #mkaliwahiphopfidovato #vatoloco #chugaiyo #fidovatoftrayvanny #rayvannynafidovato #movie #movies #moviereview #inswahili #kwakiswahili #kiswahili #kiswahilitv #kipagocomedy #wachaga #moshi #arushamjini #vichekesho #mwakampya #chrismas #missomisondo #djmisondo #missondo #rayvanny #rayvany #rayvannymissomisondo #rayvannykitukizito #kitukizito #arusha #chugadance #chugacomedy #chugaboy #majanaba #majanabamarkuba #markuba #hanang #mafuriko #manyara #mafurikohanang #hanangmafuriko #majanabamarkubamafuriko #madawa #madawayakulevya #vichekesho #yvonnekrg #krgdoughteryvonne #kichanga #mtotomchanga #mtotoatupwakichakani #mtotomchanga #ashikwaakitupamtoto #uswahilini #uswahiliniarusha #arushamjini #kenyonyo #wadudu #chugacomedy #chugadance #waduduwachuga #machaliiyar
#madawa #madawayakulevya #waathirika #wasanii #allydangote #paulinegekul #gekul #dangote #arusha #arushamjini #fidovato #allydangote #fidovatoallydangote #allydangotefidovato #chugaiyo #fidovatoamchanaallydangote #fidovatodangote #fidovatovsallydangote #fidovsdangote #dangotevsfidovato #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #inatisha #watuwafurika #wananchiwenyehasirakali #wananchi #binadamu #amwaga #amwagadamu #achomwavisu #mchomavisu #taharuki #taharukiyatanda #taharukiyafunika #mochwari #jijilazizima #arushawatuwafurikamochwari #damu #trendingshorts#Mochwary #mochwari #mrrocky #arusha2099 #arusha #fidovato #johmakini #dogojanja #fidovatonajohmakini #fidovaton #wimbowamrrockyarusha2099 #derby #vatoloco #fidovatonako2nako #fidovatonembo #fidovatochugaiyo #fidovatoarachuga #fidovatonaweusi #fidovatoweusi #weusi #johmakiniweusi #vatolocoweusi #harmonize #ngarenaro #ngarenaroarusha #arusha #wananchi #wananchiwenyehasirakali #matapeli #jambazi #majambazi #vibaka #simu #wiziwakutumiasimu #derby #magoliyayanga #magoliyayanga #magolinbc #magoliligikuu #golilayanga #mashabikisimbayanga #mashabikiyangasc #shabikiyanga #yangasc #yangafc #yangayaifungasimbagoaltano #waduduwachug #kariakooderby #derby #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoli #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #golden #cr7 #cr7fans #cr7shorts #christiano #messi #messiskills #messifans #messi10 #messifans #messi10 #comedia #comedy #comedyvideo #comedyshorts #comedyfilms #comedymoments #comédia #chugacomedy #chugadance #chugadanceofficil #vichekesho #shabiki #mashabiki
#mashabikisimbayanga #rosaree #wadudu #waduduwachuga #makaomakuuyahiphop #rosareesong #rosareemusic #waduduwachuga #wadudu #kariakoo #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #cr7 #cr7f
Mm napenda nimsikilize makonda tu hawa wengine naona vichekesho tu😂😂😂
Kweli kabisa naona hata chalamila kaanzisha but Hana vibe
Makonda jembe awa wengine wababaishaji tu.
Ni kweli ,hawana uwezo wamefosiwa tu
makonda no jiniasi
Kabisa ndugu ..
ingekuwa kwao haojamaa siyo, tz tujifunzeni, raia wa china wengi nimataperi sana,
siomchina tuu kuna mtanzania mwenzetuu pia anaitwa maganga niizaidi ya mnyamaa anaajiri mtuu saa moja anafukuza saa mbili naanasema haogopi serekali anatesa wafanyakazi vibaya mnoo nimkatili vinaya mnoo mimi nilipita kuosha gari pale nilishuhudia yule jamaa nimyamaa
Afungiwe biashara yake ,wakat uchunguzi uafanyika huyu mswahili
Maganga wa maeneo ya Kwa mromboo??
Huyu Maganga tunamjua wote wa Arusha.
Huyo ni mnyama, hana utu hata kidogo na inasemekana huwa anatabia ya kuimiliki serikali kwa pesa zake.
Si yule aliye Mbauda kule?
Bora huyu mchina iwapo ni huyo Maganga.
ndio huyoo yani yule sio mtuu kabisa utasema anaishi dunia yakee yani akikupa ajira asubuhi huewezi fika saa tano kama serekali imuangalie kwajicho latatu na uraiya wake hakuna mtanzania nwenye roho alioko nayo yule mtuu
@@amanimlengwa9202 maganga tangu tukiwa wadogo ni katili tu. Nashangaa mpaka Leo amedumuje inamaana hata viongozi anakula nao
Arusha inawaka moto kama china vile. Ukionea umekwisha. Safi sanaa.
Mchina alipe gar ya watu,lakin hao maafisa wetu mhhhh......duh!!! Sjui
Uko vizuri mkuu
Mkuu wa wilaya umebuma kwa kukosa ufahamu wa kuendesha mashauri.
Hawezi kazi huyu anamuiga makonda ila unaona kabisa ni arrogant hana mapenzi na wananchi ila tumuache atasiadia kdgo
Tatzo anaongea hatoi nafasi yakujieleza kama makonda anavyo fanyaga hana vebe huni makonda Bg up
Sio kama makonda,hatoi nafasi KUMSIKILIZA mtu kama kiongozi yyte anavyotakiwa.
@@fredyjeremia7074 asa kiongozi unaongea pekeako huwapi nafasi ya kujieleza ujue changamoto zao we unatoa hukumu bila kusikiliza pandezote mbili asa ndo Nini maon kwa upande wangu lakin
Bongo kweli tumeoza yani officer uhamiaji anajua na anakiri kua jamaa hana vibali vya kuishi lkn wanamruhusu kuishi na anafanya biashara bila tabu daaah!!!
Inasikitisha sanaa asee,
Tena anajibu kwa ujasiri kabisaa hana kibali. Na wanamuangaliaa kabisaa @ssalimsalim3864
Ni aibu hovyo,,halaf yanaongea bila aibu ety Hana vibali.🤣🤣 Ndo wanajua Leo??
KASEMA PASPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE ALIKUWA AMUULIZE SABABU YA KUWA IKO POLISI NA TOKEA LINI.
Afisa uhamiaji unajua kabisa jombaa Hana vibali vya kuishi na kufanya KAZI nchini na anasumbua ria na gerezani haujampeleka au kumrudisha kwao
Hawez mrudisha wakat anapewa rusha
HUWAMUZI GANI MKUU WA WILAYA FUNGULIA KESI YA WIZI HUYO AU AWALIPE WOTE AKIMALIZA DENI LUDISHA KWAO
Hii kweli ni Comedy
Huyo mchina serikali yake ikijua anafanya utapeli huyo mchina kazi anayo, atanyongwa.
Hao wachina kama kosa hilo umelifanya weye huko kwao unapotezwa ninkunyongwa tu. Naye akamatwe akanyongwe. Halafu mpelekeni Uhamiaji je ana status ya kuishi na kufanya kazi TZ kisheria? Afilisiwe na arudoshwe kwao kwani hapa TZ hakuna waTZ hawawezi kufanya?mnatoa vibali vya wageni kufungua garages. TZ njaa mwisho
Weka ndani mpuudhi
Safi
Wa china wanajifanya wajeuri sana huku Africa hata kuuwa wanatuuwa yaani ndani ya Congo wanauwa mpaka Raia wa Congo ni kama tumerudi kwenye ukoloni wa mchaina wa Africa mufunguwe macho
Wachina wezi tu
Shida ya Wachina ni kamari
Huyu jamaa shat ya drafti ni mtumishi wa uma kasema,,ni kitengo gani mbona ana maelezo mengi mno!! Nenda kwa point tukwelewe.kwani we mgen na magerej!? Hyo karatas ni ya nini au ...
Tumeshakuelewa mkuu wa wilaya,,watafte kwa mda maalum wasikilize wote kama kiongozi.
Yani afisa uhamiaji anasema Hana vibali vya kuishi kweli ,? Hatari sana
Kama sio Mkuu wetu wa mkoa makonda mngeongea hivi .
Tapeli huyo mchina
Bila Makonda kuanzisha clinic ya kusililiza watu,haya mambo yasingekuwepo.
Kuna shida gani mtu akianzisha jambo zuri watu wakaliendeleza
Na mkuu wa mkoa wa mwanza nae ameanza kufanya hivi
Dhuluma ni nyingi sana nchi hii. Hongera Mh. Makonda kwa kulianzisha
Kabisa ndugu unamjua yule sio binadamu wakawaida nizaidi ya shetani kunasiku nilienda kuosha gari aliwapiga wafanya kazi kama mbwaa hasamini utui wamtuu yulee
Very true
Makonda ana radha yake kwenye jambo km hilo
DHULUMA SIO NZURI SANA. INA GHARAMA YAKE
🇪🇸🤔👍👍👍❤❤
Makonda tu ndo ataweza ishu ya mchina,
Mnyakuu tu huyu kelele
Sijaelewa pccb imeingiaje hapo lkn kweli 11m unatoa tu bila progress
Mchina DADEKI 😂
Jamaa eti siyo Mtu wa Kawaida...😅😅😅 Mchina TAPELI fukuza Huyo Bwege..Tia ndani hata Serikali ya China haitaki wizi..
Afisa uhamiaji mbona umeniangusha Mama yangu unajua mtu kuwa hana Vibali unaongea hadharani hata Haibu huna..? Sasa unafanya Kazi gani..? Siku zote mko wapi..?
Uyo mchina Yuko kibaha kwa sasa
Duh!!mwajjna Wangu Felician DC tiya jera kwanza iyo mbuzi ya kichina ujue mtandao wake akae jera kwanza akuna dhamana kabisa yani uniongee mbele zangu eti peleka police nitatoka ihiiiiiiiiiiiiiiiii baba ihiiiiii baba pumbavu
Hakuna kitu hapa angekua makonda angemnyoosha tapeli huyu
Sukuma ndani huyu .
.
China's as
INAMAANA MCHINA KAWAFANYA MSHINDWE KUWA NA MIC HATA MBILI?
mkomage mkiona wachina shobo wabongo wenzenu mnatunyima kazi mkiona mchina shobo ila pole
Kk mwenye shati la draft ana mlologo wa story sana
Watu weupe wametudharau sana .mtuhumiwa mpka anaenda kufuatwa na gar ya DC Tena kwa kubembelezwa.huyo ni mwizi Kama wez wengine ..anatumia gereji Kama kivuli tu...huyo ni wakuondoshwa nchini na alipe ela za watu...haya mambo mtu meeusi hawez kufanya china ata sekunde moja..serikeli tuone makucha watu Kama hao .wawe na heshima na serikeli
KIUFUPI NI MWIZI TU
Looo hana hata vibali jamani selikali hii na maafisa uhamiaji wanajuwa nani mwenye kosa hapo
Huyo atakimbia usimwache anatakiwa kukaa ndani tu
ATAKIMBIYAJE NA PASSPORT IKO POLISI???
Huyo kwa aibu hii China wananyongaga tuu.........
Ila Kwa huyo amesingizia mchina
Haka kachina kanaubavu gani wa kusumbua watanzania
Unyanyasaji Wa tz tu nafanya
Tatizo laviongozi wetu sijajua wanatatizogan tukifa fanyakosa ss wabongo tunavofanyiwa kama wakimbizi lakin watuwamataifa yambali wakifanya makosa wana belezwasana daaaaaaa
Msimuonee mchina mnashindwa kushugulika nawezi wamamilioni mmeanza kumsumbua mchina
Huyo mchina amemrushia babu yangu milion 18 mpaka sahiv bado anakaa na gari yetu
Hii kweriiiiii comedy show
Wachina wengi ni wezi lakini serikali ipo kimya huku wakielewa
Duuuh ila hii nchii yetu viongozi ni wana demka tu
Wachina wote hapa tz heshima wamekosa sana na hawa wa maguluduli ni wahun tu hawatow furusa kwa watazania ili wanufake tz
Eti asurubiwe 😂😂😂😂😂
Wachina ni wakumaliza tu
Ndio maana anawatapeli amewaona.haeafu huwezi kutumia lugha ya kusema anaishi kwa makaratasi
Eti polisi anasema anamjua huyo tapeli na Yuko mtaani wakati muuza kuku Yuko jela
Be fair give the chinese man time to explain. As a leader you have to listen both side of the story
Hadi chaji imeisha bado sijafaham mada ni nn
Gari yako au gari la serikali acha kudanganya walipaji kodi hapo
Unatake vitu personal sana kaka..... Gari anekabidhiwa yeye kwahiyo yeye ndo mwenye gari
MBONA UELEWA MDOGO??? KASEMA PIA LIPO GARI LA SERIKALI LIMEKAA HAPO SIKU NYINGI SIO ALILOLIPELEKA.
Mchina anaonewa kiboya.
Halafu huyu DC anajaribu kutembelea copy za Konda halafu hazijulii kabisa yaani.
DC fala tu.
Maelezo ya mchina yako kidogo poa ukilingalinisha na order za DC.
Huyu akakae sero miaka kumi na mko walau
Mchina asikilizwe
Ana kitu,
Sasa kama ana vibari wewe Afisa uhamiaji mliluwa wap?mnatia aibu nanyie mkae ndani😂
Watu wa kusikilizwa ni wengi sasa muda woote unamsikiliza mtu mmoja tuuu.
Gari inatengenezwa mil26 duuuh ila ni maisha tu
Huyu kiongizi ni anaegemea upande Moja ... Angeenda kujihakukishia
Huyu hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
Ila hii nchi inajua kuigiza sana, mpaka mtu anakaa miaka yote bila vibali ni kwa sababu gani??
Mkuru wa wilaya unazingua,Na Wewe anakulipa Nini ??? Eti akatengeneze !!! Huyu machina anatakiwa aende jela Na afungwe ,Yuko Bila vibali alafu anaachiwaje awe huru mkuru wa wilaya acha ubabaishaji ,nahisi Na Wewe unahusika ,kisheria kabisa huyu anatakiwa awekwe kizuizini Kwa kuishi Bila vibali afungwe jela Kwa utapeli,mbona mnawafumbiya macho Hawa ni Nini mnawaogopa mbwa Hawa kule kwako wanatutesa tukiwa Na kosa dogo tu.waafrika munanikeraaaaaa.
Dc😮😮
Mtangazaji ki Swahili jitaid
Anamuiga makonda
huyu so mchina mbona anaongea kiswahili kama wabongo
Tatzo huwa mnababaika naa ngozi nyeupe angekuwa mweusi sku nyingi mngemkamata
Pilato hi!
Mikoa mingine mnangoja nn kuanza. Mtu hana kibali anaishi tyu kwao hawana ujinga huo watanzania kuelimike
Na akikimbia je
Mh
Sheriazauwekezaji waraia wakigenizikoje?.kama wanapewahohovyotu nakuanza kuwafanyaraia wenye nchi kamawatimwa wao ilihali niwatiwalioshindwamaishakwenye nchizao Tanzania watanzania tunakuwajehanamu kwa ajili yawaekezaji via wasionautu kamahao?
Mtu anakwambia serkali inamtambua bado unategmea nn apo
Viongozi you are not serious, mtu anaishi ndani ya nchi kinyume Cha Sheria, na bado mnamchekea, ingekuwa ni huko kwao, huwezi kufanya ujinga kama huo
Wachina hamnakitu
Huyu afisa wa uwamihaji ni pumbavu kabisa yaani hanajuwa mtu hanaishi bila vibali kisha hanamwachilia fukuza huyo mwanamke shenzi kabisa
Duh hicho kiswahili ulichoandika ndio changamoto sasa!!!
Kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂
Kala russhwa bila shaka.
Iv kero zimeanza leo au uchaguzi umekaribia
Nyongaa ujinga huo kwao wakiwakuta hawatawaacha
Mil 11 kutengeneza subaru?
mpango was kulipa ndo tunataka
Viongozi wamekua waigizaji
Mbona kama maigizo?
Razima nyuma kunamtu hayupo pekeyake
Mahakama zk.ehqmiq mitaani lakini mahakimu hawa wengine hawana uweledi na hii itasababisha sintofahamu Lazima kwanza tujitathmin je kila kiongozi anauweledi wa kusimamia haki kishetia? Tusikutupuke tu. Makonda mfano mzurisa je wengine wanauweledi kama yeye? Elimu na uweledi ni vitu viwili tafauti. Hatuwezi kuharibu badala ya kutengeneza? Think twice
Ale virungu kidogo kama mhalifu mwingine
Uchaguzi Umekariba tutaona mengi Huyu Alikua wapi mkuu?
Kazi iyo muachie makonda mana ww haujui kabisa uenda ata wanamsingizia ila makonda anatuliza akili mana uenda kila kitu na izo pesa Wanachukua wengine
Mchina anakichwa kama kobe😅
SEMA CHAKOBE KIDOGO 😂😂😂😂😂😂
Haya mambo yanafanyika Tanzania tu kwa sababu watanzania tunaonekana wajinga. Serikali yenyewe ndio hivyo ya kubahatisha tu kwa sababu sheria zetu zinachezewa na wageni. Nchi imekuwa jalala tu. Hana vibali lakini yuko na garage. Haibu kwa nchi nzima.
Kama kesi yangu
Wanamwonea mchina wabongo ni wajanja sana haiwezekani eti mchina ni mgeni anajua kiswahili chote inamaana ameishi miaka mingi Tanzania nawanajua ana pesa sasa wanatafuta njia za kumdhulumu. Kama kweli amekua akidhulumu watu kwa inchi ya kigeni mbona hajachukuliwa hatau siku ya kwanza.
MCHINA HUYO MWIZI TU USIMTETEE.
Mpeni nafasi ya kuongea mnamuandama sana
Ni KWERI hawampi nafas ya kuongea huyu mkuu wa WILAYA kabila GANI?
KAMPA MDA ATAELEZEA VIZURI HUKO ALIPOPELEKWA MWIZI HUYO.
Mkuu wa wililaya kamandi fata sheria
Safitu wabongo wanashobo sana narangi nyeupe Wacha