MCHINA ATETEMEKA MBELE YA DC WA ARUSHA BAADA YA KUDHULUMU MIL 26 ZA ASKOFU, "NITAKUVURUGA HAPA HAPA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 вер 2024
  • #Dc #ArushaDc #mkuuwawilaya #mkuuwamkoa #arusha #wikiyahaki #makonda #Rcmakonda #rcarusha #arusha #arushamjini #arachuga #arusha #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon #khaligraphjones #khaligraph #kenyan #kenyanyoutuber #kenyanewsmedia #kenyanews #tanzania #tanzanianews #tanzanianews #tanzanianmusic #tanzanianyoutuber #diamondplatnumz #diamond #diamonds #alikiba #dah #alikibadah #kings #kingsmusic #kingsrecords #dharau #mapoz #inbrahtz #diamondplatnumz #harmonize #kondegang #kondeboy #wasafi #youtube #youtubeshorts #cr7 #diamondplatnumz #aka #a.k.a #coasttitch #coastal #costarica #costa #papa #papawemba #morgan #morganheritage #alikiba #diamondplatnumz #mondi #mapoz #harmonize #harmonize_tz #kondegang #konde #kondeboy #anjela #anjellatz #poshqueen #poshqueennaharmonize #poshnaharmonize #mpenzi #cr7 #niposingleharmonize #wemasepetu #wemawhozu #whozu #whozunawema #wemanawhozu #mapenziyawemanawhozu #penzi #penzizitowemanawhozu #kenyonyo #dipper #kenyonyonadipperrato #comedy #comedyvideo #comedymoments #comedyshorts #comedyvideos #comedyfilms #comedyshow #nyokaa #storyyanyokaa #storybynyokaa #movieyanyokaa #tamthilia #tamthiliayanyokaa #bugibenga #benga #arusha #arushamjini #fido #fidovato #msaniifidovato #mkaliwahiphopfidovato #vatoloco #chugaiyo #fidovatoftrayvanny #rayvannynafidovato #movie #movies #moviereview #inswahili #kwakiswahili #kiswahili #kiswahilitv #kipagocomedy #wachaga #moshi #arushamjini #vichekesho #mwakampya #chrismas #missomisondo #djmisondo #missondo #rayvanny #rayvany #rayvannymissomisondo #rayvannykitukizito #kitukizito #arusha #chugadance #chugacomedy #chugaboy #majanaba #majanabamarkuba #markuba #hanang #mafuriko #manyara #mafurikohanang #hanangmafuriko #majanabamarkubamafuriko #madawa #madawayakulevya #vichekesho #yvonnekrg #krgdoughteryvonne #kichanga #mtotomchanga #mtotoatupwakichakani #mtotomchanga #ashikwaakitupamtoto #uswahilini #uswahiliniarusha #arushamjini #kenyonyo #wadudu #chugacomedy #chugadance #waduduwachuga #machaliiyar
    #madawa #madawayakulevya #waathirika #wasanii #allydangote #paulinegekul #gekul #dangote #arusha #arushamjini #fidovato #allydangote #fidovatoallydangote #allydangotefidovato #chugaiyo #fidovatoamchanaallydangote #fidovatodangote #fidovatovsallydangote #fidovsdangote #dangotevsfidovato #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #inatisha #watuwafurika #wananchiwenyehasirakali #wananchi #binadamu #amwaga #amwagadamu #achomwavisu #mchomavisu #taharuki #taharukiyatanda #taharukiyafunika #mochwari #jijilazizima #arushawatuwafurikamochwari #damu #trendingshorts#Mochwary #mochwari #mrrocky #arusha2099 #arusha #fidovato #johmakini #dogojanja #fidovatonajohmakini #fidovaton #wimbowamrrockyarusha2099 #derby #vatoloco #fidovatonako2nako #fidovatonembo #fidovatochugaiyo #fidovatoarachuga #fidovatonaweusi #fidovatoweusi #weusi #johmakiniweusi #vatolocoweusi #harmonize #ngarenaro #ngarenaroarusha #arusha #wananchi #wananchiwenyehasirakali #matapeli #jambazi #majambazi #vibaka #simu #wiziwakutumiasimu #derby #magoliyayanga #magoliyayanga #magolinbc #magoliligikuu #golilayanga #mashabikisimbayanga #mashabikiyangasc #shabikiyanga #yangasc #yangafc #yangayaifungasimbagoaltano #waduduwachug #kariakooderby #derby #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoli #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #golden #cr7 #cr7fans #cr7shorts #christiano #messi #messiskills #messifans #messi10 #messifans #messi10 #comedia #comedy #comedyvideo #comedyshorts #comedyfilms #comedymoments #comédia #chugacomedy #chugadance #chugadanceofficil #vichekesho #shabiki #mashabiki
    #mashabikisimbayanga #rosaree #wadudu #waduduwachuga #makaomakuuyahiphop #rosareesong #rosareemusic #waduduwachuga #wadudu #kariakoo #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #cr7 #cr7f

КОМЕНТАРІ • 154

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 4 місяці тому +13

    Mm napenda nimsikilize makonda tu hawa wengine naona vichekesho tu😂😂😂

    • @sakayonsakihunga3496
      @sakayonsakihunga3496 4 місяці тому +1

      Kweli kabisa naona hata chalamila kaanzisha but Hana vibe

    • @robertmahenge3614
      @robertmahenge3614 4 місяці тому +3

      Makonda jembe awa wengine wababaishaji tu.

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 4 місяці тому +2

      Ni kweli ,hawana uwezo wamefosiwa tu
      makonda no jiniasi

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 4 місяці тому +1

      Kabisa ndugu ..

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 4 місяці тому +37

    siomchina tuu kuna mtanzania mwenzetuu pia anaitwa maganga niizaidi ya mnyamaa anaajiri mtuu saa moja anafukuza saa mbili naanasema haogopi serekali anatesa wafanyakazi vibaya mnoo nimkatili vinaya mnoo mimi nilipita kuosha gari pale nilishuhudia yule jamaa nimyamaa

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 4 місяці тому +2

      Afungiwe biashara yake ,wakat uchunguzi uafanyika huyu mswahili

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa 4 місяці тому +2

      Maganga wa maeneo ya Kwa mromboo??

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 3 місяці тому

      Huyu Maganga tunamjua wote wa Arusha.
      Huyo ni mnyama, hana utu hata kidogo na inasemekana huwa anatabia ya kuimiliki serikali kwa pesa zake.
      Si yule aliye Mbauda kule?
      Bora huyu mchina iwapo ni huyo Maganga.

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 3 місяці тому +1

      ndio huyoo yani yule sio mtuu kabisa utasema anaishi dunia yakee yani akikupa ajira asubuhi huewezi fika saa tano kama serekali imuangalie kwajicho latatu na uraiya wake hakuna mtanzania nwenye roho alioko nayo yule mtuu

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa 3 місяці тому

      @@amanimlengwa9202 maganga tangu tukiwa wadogo ni katili tu. Nashangaa mpaka Leo amedumuje inamaana hata viongozi anakula nao

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 4 місяці тому +6

    ingekuwa kwao haojamaa siyo, tz tujifunzeni, raia wa china wengi nimataperi sana,

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 3 місяці тому +1

    Arusha inawaka moto kama china vile. Ukionea umekwisha. Safi sanaa.

  • @gasperandrew3719
    @gasperandrew3719 Місяць тому

    Mh! Kwahiyo maiki niyakupokezana na mkuu wa wilaya 😂😂😂. Hii nchi hii

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 4 місяці тому +5

    Mkuu wa wilaya umebuma kwa kukosa ufahamu wa kuendesha mashauri.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 3 місяці тому

      Hawezi kazi huyu anamuiga makonda ila unaona kabisa ni arrogant hana mapenzi na wananchi ila tumuache atasiadia kdgo

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz 4 місяці тому +3

    Tatzo anaongea hatoi nafasi yakujieleza kama makonda anavyo fanyaga hana vebe huni makonda Bg up

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 3 місяці тому +1

      Sio kama makonda,hatoi nafasi KUMSIKILIZA mtu kama kiongozi yyte anavyotakiwa.

    • @florencejames-jo1cz
      @florencejames-jo1cz 3 місяці тому

      @@fredyjeremia7074 asa kiongozi unaongea pekeako huwapi nafasi ya kujieleza ujue changamoto zao we unatoa hukumu bila kusikiliza pandezote mbili asa ndo Nini maon kwa upande wangu lakin

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 4 місяці тому +16

    Bila Makonda kuanzisha clinic ya kusililiza watu,haya mambo yasingekuwepo.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 місяці тому +2

      Kuna shida gani mtu akianzisha jambo zuri watu wakaliendeleza

    • @raphaelnambombi3709
      @raphaelnambombi3709 4 місяці тому +2

      Na mkuu wa mkoa wa mwanza nae ameanza kufanya hivi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 4 місяці тому +2

      Dhuluma ni nyingi sana nchi hii. Hongera Mh. Makonda kwa kulianzisha

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 4 місяці тому +1

      Kabisa ndugu unamjua yule sio binadamu wakawaida nizaidi ya shetani kunasiku nilienda kuosha gari aliwapiga wafanya kazi kama mbwaa hasamini utui wamtuu yulee

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 4 місяці тому +1

      Very true

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 4 місяці тому +8

    Bongo kweli tumeoza yani officer uhamiaji anajua na anakiri kua jamaa hana vibali vya kuishi lkn wanamruhusu kuishi na anafanya biashara bila tabu daaah!!!

    • @ludovickbenjamin6104
      @ludovickbenjamin6104 4 місяці тому

      Inasikitisha sanaa asee,
      Tena anajibu kwa ujasiri kabisaa hana kibali. Na wanamuangaliaa kabisaa @ssalimsalim3864

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 4 місяці тому +1

      Ni aibu hovyo,,halaf yanaongea bila aibu ety Hana vibali.🤣🤣 Ndo wanajua Leo??

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      KASEMA PASPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE ALIKUWA AMUULIZE SABABU YA KUWA IKO POLISI NA TOKEA LINI.

  • @hanskitundu874
    @hanskitundu874 4 місяці тому +3

    Afisa uhamiaji unajua kabisa jombaa Hana vibali vya kuishi na kufanya KAZI nchini na anasumbua ria na gerezani haujampeleka au kumrudisha kwao

  • @mwajumasakina9599
    @mwajumasakina9599 2 місяці тому

    Wa china wanajifanya wajeuri sana huku Africa hata kuuwa wanatuuwa yaani ndani ya Congo wanauwa mpaka Raia wa Congo ni kama tumerudi kwenye ukoloni wa mchaina wa Africa mufunguwe macho

  • @JanetNjovu-e8s
    @JanetNjovu-e8s 3 місяці тому +1

    Uko vizuri mkuu

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 4 місяці тому +3

    Mchina alipe gar ya watu,lakin hao maafisa wetu mhhhh......duh!!! Sjui

  • @billaljuma6297
    @billaljuma6297 3 місяці тому +1

    Tapeli huyo mchina

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 місяці тому +5

    HUWAMUZI GANI MKUU WA WILAYA FUNGULIA KESI YA WIZI HUYO AU AWALIPE WOTE AKIMALIZA DENI LUDISHA KWAO

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 4 місяці тому +5

    Hao wachina kama kosa hilo umelifanya weye huko kwao unapotezwa ninkunyongwa tu. Naye akamatwe akanyongwe. Halafu mpelekeni Uhamiaji je ana status ya kuishi na kufanya kazi TZ kisheria? Afilisiwe na arudoshwe kwao kwani hapa TZ hakuna waTZ hawawezi kufanya?mnatoa vibali vya wageni kufungua garages. TZ njaa mwisho

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 4 місяці тому +2

    Huyo mchina serikali yake ikijua anafanya utapeli huyo mchina kazi anayo, atanyongwa.

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche 4 місяці тому +3

    Hii kweli ni Comedy

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 4 місяці тому +1

    Huyu jamaa shat ya drafti ni mtumishi wa uma kasema,,ni kitengo gani mbona ana maelezo mengi mno!! Nenda kwa point tukwelewe.kwani we mgen na magerej!? Hyo karatas ni ya nini au ...

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 місяці тому

    Mchina DADEKI 😂
    Jamaa eti siyo Mtu wa Kawaida...😅😅😅 Mchina TAPELI fukuza Huyo Bwege..Tia ndani hata Serikali ya China haitaki wizi..
    Afisa uhamiaji mbona umeniangusha Mama yangu unajua mtu kuwa hana Vibali unaongea hadharani hata Haibu huna..? Sasa unafanya Kazi gani..? Siku zote mko wapi..?

  • @SaidHassen-gf5tx
    @SaidHassen-gf5tx 4 місяці тому +1

    Watu weupe wametudharau sana .mtuhumiwa mpka anaenda kufuatwa na gar ya DC Tena kwa kubembelezwa.huyo ni mwizi Kama wez wengine ..anatumia gereji Kama kivuli tu...huyo ni wakuondoshwa nchini na alipe ela za watu...haya mambo mtu meeusi hawez kufanya china ata sekunde moja..serikeli tuone makucha watu Kama hao .wawe na heshima na serikeli

  • @GoodluckKimbe
    @GoodluckKimbe 3 місяці тому

    Tatizo laviongozi wetu sijajua wanatatizogan tukifa fanyakosa ss wabongo tunavofanyiwa kama wakimbizi lakin watuwamataifa yambali wakifanya makosa wana belezwasana daaaaaaa

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 4 місяці тому +1

    Tumeshakuelewa mkuu wa wilaya,,watafte kwa mda maalum wasikilize wote kama kiongozi.

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 4 місяці тому +3

    Shida ya Wachina ni kamari

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 місяці тому +2

    Weka ndani mpuudhi

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 4 місяці тому +1

    Kama sio Mkuu wetu wa mkoa makonda mngeongea hivi .

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis 3 місяці тому

    Hakuna kitu hapa angekua makonda angemnyoosha tapeli huyu

  • @drtobias_
    @drtobias_ 4 місяці тому +1

    Makonda ana radha yake kwenye jambo km hilo

  • @mohddelo
    @mohddelo 4 місяці тому +1

    Safi

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 3 місяці тому +1

    Mchina asikilizwe

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 3 місяці тому

    Yani afisa uhamiaji anasema Hana vibali vya kuishi kweli ,? Hatari sana

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 місяці тому +1

    DHULUMA SIO NZURI SANA. INA GHARAMA YAKE

  • @Gamba177
    @Gamba177 4 місяці тому +3

    Gari yako au gari la serikali acha kudanganya walipaji kodi hapo

    • @herbethlukogela7657
      @herbethlukogela7657 4 місяці тому

      Unatake vitu personal sana kaka..... Gari anekabidhiwa yeye kwahiyo yeye ndo mwenye gari

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      MBONA UELEWA MDOGO??? KASEMA PIA LIPO GARI LA SERIKALI LIMEKAA HAPO SIKU NYINGI SIO ALILOLIPELEKA.

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 3 місяці тому

    Wachina wengi ni wezi lakini serikali ipo kimya huku wakielewa

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 4 місяці тому +3

    Wachina wezi tu

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 місяці тому +2

    Duh!!mwajjna Wangu Felician DC tiya jera kwanza iyo mbuzi ya kichina ujue mtandao wake akae jera kwanza akuna dhamana kabisa yani uniongee mbele zangu eti peleka police nitatoka ihiiiiiiiiiiiiiiiii baba ihiiiiii baba pumbavu

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 3 місяці тому

    INAMAANA MCHINA KAWAFANYA MSHINDWE KUWA NA MIC HATA MBILI?

  • @michaelking-s7r
    @michaelking-s7r 3 місяці тому +1

    mkomage mkiona wachina shobo wabongo wenzenu mnatunyima kazi mkiona mchina shobo ila pole

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 2 місяці тому

    Uyo mchina Yuko kibaha kwa sasa

  • @MathiasFrancis-hl4ph
    @MathiasFrancis-hl4ph 3 місяці тому

    Sijaelewa pccb imeingiaje hapo lkn kweli 11m unatoa tu bila progress

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 3 місяці тому

    Mnyakuu tu huyu kelele

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 місяці тому

    Makonda tu ndo ataweza ishu ya mchina,

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 місяці тому

    Kk mwenye shati la draft ana mlologo wa story sana

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 4 місяці тому +3

    Huyo atakimbia usimwache anatakiwa kukaa ndani tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      ATAKIMBIYAJE NA PASSPORT IKO POLISI???

  • @upgo6112
    @upgo6112 4 місяці тому +3

    Huyu kiongizi ni anaegemea upande Moja ... Angeenda kujihakukishia

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 4 місяці тому

      Huyu hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 3 місяці тому

    Mchina anaonewa kiboya.
    Halafu huyu DC anajaribu kutembelea copy za Konda halafu hazijulii kabisa yaani.
    DC fala tu.
    Maelezo ya mchina yako kidogo poa ukilingalinisha na order za DC.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 місяці тому +4

    Sasa kama ana vibari wewe Afisa uhamiaji mliluwa wap?mnatia aibu nanyie mkae ndani😂

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf 3 місяці тому

    Msimuonee mchina mnashindwa kushugulika nawezi wamamilioni mmeanza kumsumbua mchina

  • @NasraN-hr5uh
    @NasraN-hr5uh 4 місяці тому +2

    Haka kachina kanaubavu gani wa kusumbua watanzania

  • @AwadAbedalla
    @AwadAbedalla 3 місяці тому

    🇪🇸🤔👍👍👍❤❤

  • @asmartonline5030
    @asmartonline5030 3 місяці тому

    Huyo kwa aibu hii China wananyongaga tuu.........

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 4 місяці тому +2

    Sukuma ndani huyu .
    .
    China's as

  • @DanielFisoo
    @DanielFisoo 3 місяці тому

    Huyo mchina amemrushia babu yangu milion 18 mpaka sahiv bado anakaa na gari yetu

  • @DenesceFredericks
    @DenesceFredericks 4 місяці тому +2

    Huyu afisa wa uwamihaji ni pumbavu kabisa yaani hanajuwa mtu hanaishi bila vibali kisha hanamwachilia fukuza huyo mwanamke shenzi kabisa

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 4 місяці тому +1

      Duh hicho kiswahili ulichoandika ndio changamoto sasa!!!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 місяці тому

      Kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 4 місяці тому

      Kala russhwa bila shaka.

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 2 місяці тому

    Wachina ni wakumaliza tu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 місяці тому +1

    Kazi iyo muachie makonda mana ww haujui kabisa uenda ata wanamsingizia ila makonda anatuliza akili mana uenda kila kitu na izo pesa Wanachukua wengine

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 3 місяці тому

    Hadi chaji imeisha bado sijafaham mada ni nn

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 3 місяці тому

    Looo hana hata vibali jamani selikali hii na maafisa uhamiaji wanajuwa nani mwenye kosa hapo

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 3 місяці тому

    Huyu akakae sero miaka kumi na mko walau

  • @Malimba_M.L.B
    @Malimba_M.L.B Місяць тому

    Katuni muhimu mvuluge basi

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasama 3 місяці тому

    Wachina wote hapa tz heshima wamekosa sana na hawa wa maguluduli ni wahun tu hawatow furusa kwa watazania ili wanufake tz

  • @wensislauschimba2792
    @wensislauschimba2792 3 місяці тому

    Ila Kwa huyo amesingizia mchina

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 3 місяці тому

    Mtu anakwambia serkali inamtambua bado unategmea nn apo

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 3 місяці тому

    Unyanyasaji Wa tz tu nafanya

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 4 місяці тому

    Eti polisi anasema anamjua huyo tapeli na Yuko mtaani wakati muuza kuku Yuko jela

  • @evidencekangimba1538
    @evidencekangimba1538 3 місяці тому

    huyu so mchina mbona anaongea kiswahili kama wabongo

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 4 місяці тому

    Duuuh ila hii nchii yetu viongozi ni wana demka tu

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex 4 місяці тому +1

    Mkuru wa wilaya unazingua,Na Wewe anakulipa Nini ??? Eti akatengeneze !!! Huyu machina anatakiwa aende jela Na afungwe ,Yuko Bila vibali alafu anaachiwaje awe huru mkuru wa wilaya acha ubabaishaji ,nahisi Na Wewe unahusika ,kisheria kabisa huyu anatakiwa awekwe kizuizini Kwa kuishi Bila vibali afungwe jela Kwa utapeli,mbona mnawafumbiya macho Hawa ni Nini mnawaogopa mbwa Hawa kule kwako wanatutesa tukiwa Na kosa dogo tu.waafrika munanikeraaaaaa.

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 4 місяці тому

    Ndio maana anawatapeli amewaona.haeafu huwezi kutumia lugha ya kusema anaishi kwa makaratasi

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 4 місяці тому +1

    Uchaguzi Umekariba tutaona mengi Huyu Alikua wapi mkuu?

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 3 місяці тому

    Be fair give the chinese man time to explain. As a leader you have to listen both side of the story

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 4 місяці тому

    Ila hii nchi inajua kuigiza sana, mpaka mtu anakaa miaka yote bila vibali ni kwa sababu gani??

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 3 місяці тому

    Sheriazauwekezaji waraia wakigenizikoje?.kama wanapewahohovyotu nakuanza kuwafanyaraia wenye nchi kamawatimwa wao ilihali niwatiwalioshindwamaishakwenye nchizao Tanzania watanzania tunakuwajehanamu kwa ajili yawaekezaji via wasionautu kamahao?

  • @NuruNswebe
    @NuruNswebe 4 місяці тому

    Hii kweriiiiii comedy show

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 3 місяці тому

    Gari inatengenezwa mil26 duuuh ila ni maisha tu

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 4 місяці тому

    Eti asurubiwe 😂😂😂😂😂

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 4 місяці тому

    Watu wa kusikilizwa ni wengi sasa muda woote unamsikiliza mtu mmoja tuuu.

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 3 місяці тому

    Mikoa mingine mnangoja nn kuanza. Mtu hana kibali anaishi tyu kwao hawana ujinga huo watanzania kuelimike

  • @mwatelaedward1638
    @mwatelaedward1638 4 місяці тому +1

    Wanamwonea mchina wabongo ni wajanja sana haiwezekani eti mchina ni mgeni anajua kiswahili chote inamaana ameishi miaka mingi Tanzania nawanajua ana pesa sasa wanatafuta njia za kumdhulumu. Kama kweli amekua akidhulumu watu kwa inchi ya kigeni mbona hajachukuliwa hatau siku ya kwanza.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 4 місяці тому

    Tatzo huwa mnababaika naa ngozi nyeupe angekuwa mweusi sku nyingi mngemkamata

  • @piusnagawantu8475
    @piusnagawantu8475 4 місяці тому

    Kwanza anatakiwa awekwe ndani. Halafu sheria ifuate mkondo wake. Maamuzi gani hayo wewe mkuu wa wilaya? Haibu tupu.

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf 3 місяці тому

    Mtangazaji ki Swahili jitaid

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 3 місяці тому

    Anamuiga makonda

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi 4 місяці тому

    Iv kero zimeanza leo au uchaguzi umekaribia

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 4 місяці тому

    Viongozi you are not serious, mtu anaishi ndani ya nchi kinyume Cha Sheria, na bado mnamchekea, ingekuwa ni huko kwao, huwezi kufanya ujinga kama huo

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 4 місяці тому

    Mil 11 kutengeneza subaru?

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 4 місяці тому

    Mchina anakichwa kama kobe😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      SEMA CHAKOBE KIDOGO 😂😂😂😂😂😂

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 3 місяці тому

    Nyongaa ujinga huo kwao wakiwakuta hawatawaacha

  • @nellysukuret9560
    @nellysukuret9560 2 місяці тому

    Wachina hamnakitu

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 3 місяці тому

    Viongozi wamekua waigizaji

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 4 місяці тому +2

    Mpeni nafasi ya kuongea mnamuandama sana

    • @urbanmission3072
      @urbanmission3072 4 місяці тому

      Ni KWERI hawampi nafas ya kuongea huyu mkuu wa WILAYA kabila GANI?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      KAMPA MDA ATAELEZEA VIZURI HUKO ALIPOPELEKWA MWIZI HUYO.

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 3 місяці тому

    Afisa uhamiaji anamfahamu na hana vibali vyakishi Tz,hii nchi yetu watanzania tujifunze kuipenda na kuijali na si kugeukia matumbo yetu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 місяці тому +1

      MPKA PP IKO POLISI KWA UTAPELI WAKE.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 місяці тому

    Razima nyuma kunamtu hayupo pekeyake

  • @AbdulrahimSwedi-ll9ly
    @AbdulrahimSwedi-ll9ly 4 місяці тому

    mpango was kulipa ndo tunataka

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 місяці тому

    Na akikimbia je

  • @upgo6112
    @upgo6112 4 місяці тому

    Eti asurubiwe.

  • @oam14l
    @oam14l 4 місяці тому

    Mbona kama maigizo?

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 4 місяці тому

    Ale virungu kidogo kama mhalifu mwingine

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 4 місяці тому

    Mahakama zk.ehqmiq mitaani lakini mahakimu hawa wengine hawana uweledi na hii itasababisha sintofahamu Lazima kwanza tujitathmin je kila kiongozi anauweledi wa kusimamia haki kishetia? Tusikutupuke tu. Makonda mfano mzurisa je wengine wanauweledi kama yeye? Elimu na uweledi ni vitu viwili tafauti. Hatuwezi kuharibu badala ya kutengeneza? Think twice

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 3 місяці тому

    Mh