Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.
Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais
Do not trust the media. Learn to balance issues. Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself . The world is full of evil. What is true can tell you its a lie and vise versa. 🙏
Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.
Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi
taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!
@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅
Kabisa...... Wanauliwa sana,wangeweza kuwekeza kwenye intelejensia, alafu walipize kisasi kikubwa.... Israeli na marekani wangewaheshimu sana..... Huzuni sana
Subhanallah mimi ninachoweza kusema huo nimpango maalum uliyopangwa na mataifa ya maghribi , uchunguzi uendee but utapokamilika ikibainika kweli maghribi wamehusika basi nyuklia zifanye kazi potelea mbali .
Hizo nuclear zenyewe zilianza kutengenezwa na hao hao unao waita Magharibi, unadhani hawana ant dots zake? Hata pia ikigundulika ni wao, Iran wanaweza kuwafanya nini? Sanasana watapigwa tukio lingine tena; Magharibi na Israel ndio wanao run hi dunia, hata haya mawasiliano tunayo yafanya hapa ni teknolojia zao. Wapo mbele ya muda, wanaishi kwenye dunia yao
hakika wana iran wanapitia kipindi kigumu kuondokewa na raisi wao akiwa madarakani wameumia😥kam sis watz tulivoumia kwa magufuli ,, Allah awaweke anapostahili poleni wana irani hyu jama alikuwa smart sana
@@chikusangalala7759Usiruhusu kuwa manipulated na media. Kama mtanzania mwenzangu kilicho bora zaidi ni kuitetea Tanzania na watu wote regardless of their religion.
Huu ni wakati wa Maandiko yanatimia, yoyote atakaye tishia Amani ya Wana wa Israel, ajue Mungu yupo Mbinguni sisi wateule tunatsyarshwa kwa ujio wa 2 wa Kristo, halafu Mungu wanatimiza Maandiko yake na Wana wa Israel, Simon Uriyo Capetown
Mimi ni mucristo sina hata matadiso na we Eslam nakupa siku Mimi nawaombea mungu sana dungu zangu wa Eslam..tangu Jana usiku bilipoigine nyumbani kwangu mke wangu alikuwa naagalia TV CNN live nikaona ..nilistuka sana Mimi Raisi kamahle alli .alikuwa .alikuwa mdomoni kwangu sana tangu zamani ...here's mungu turumihe
Maturity/ukomavu. Usilazimishwe na watu juu ya tabia ya mtu. Mwenyezi Mungu katupa akili ya kujua baya na zuri. Ni sisi kuitumia kujua mbaya nani na mzuri ni nani
Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.
Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna
Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!
Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...
Kutokana na hii ajali na nikiwa katika hizi nchi za hawa watu kama mwafrika nimejifunza Kuna Aina nne za watu,,,, Kuna watu wanaojua kinachoendelea duniani, wale ambao hawajui kabisa kinachoendelea, wale wanaojua na wanajifanya hawajui,, na wale ambao hawajui na wanajifanya kujua,, na wale wanaoendesha kila kinachoendelea,,,,,, ogopa MUNGU, TEKNOLOJIA, na WANADAMU 🤫🤫🤫
Nani aliyewaambia Iran waishambulie Israel ,watu waelewe kuwa Israel nitaifa linalo pambaniwa na Mungu nikwanamna gani Nchi Kama Iran kushikwa natatizo hilo la helcopter kushindwa na ubaya wa Hali yahewa ,Kama dunia haikubaliani kuwa Taifa la lsrael Lina agano na Mungu mwenyezi subirini kitakacho tokea zaidi
Biblia imesema kuwa Atakayethubutu kuigusa Israeli basi atakiona cha moto" sasa yeye si alithubutu kutuma makombora juzi kati hapa. Usitake kupingana na alichokisema M/Mungu #RIP 😅😅😅
Technology ipo juu sana. Kumbuka hili vuguvugu la kivita linaloendelea na hadi sasa hata mavumbuzi ya silaha ni mengi ambapo zaidi hata ya silaha za mionzi na DNA tracking. Ngoja tusubiri huenda tutasikia mengi.
Mmechambua vizuri ila kwa mimi nilivyoangalia bado naona hali mbaya ya hewa ndio tatizo kubwa la ile ajali,na la pili yawezekana chombo kilikuwa na tatizo la kiufundi,Iran waliwekewa vikwazo vingi pamoja na kutouziwa spare parts,ile Bell helicopter ni ya mmarekani,hata bongo zilikuwepo za jw na polisi, ina miaka kama 25 hivi,zimeshatokea ajali nyingi za ndege na kuuwa makamanda kadhaa,shida kubwa vipuri japo wanajitahidi kutengeneza vya kwao.sns mmeeleza kuwa mbona hizo zingine hazikuanguka?.Helicopter zinapokuwa zinaongozana ki usalama zinaachiana distance kilometa kadhaa.Dhana ya kuwa ilipigwa si rahisi labda kwa silaha nzito sababu pale milima ni mikubwa hivyo ni terrain,ilikuwa juu sana na ukungu ule huwezi kuiona kwa macho,utasikia mlio tuu.Ukiangalia mabaki yake utaona sehemu ya nyuma kwenye tail rotor au ki mkia ipo kawaida nyuma ya fuselage kama vile ilitua kawaida,kama ingekuwa imepigwa ingesambaratika kila kitu kingesambaa ki vyake.
Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .
Allah alipanga kifo chake kiwe ktk ajali .Inalilahi wainailayhirajiun..Allah ampe hatma njema
Amiin
Amina
Hata sisi tunajua Mungu kafanya hivyo
Amiin
Amiin
Mwenyezi mungu anajua jambo kabla alijatokea kama kweli binadamu ameusika mwenyezi mungu atalipa
Mungu keshalipa kwa juu ya mauaji ya kunnyonga na kuchinja wairani wenzake, alishazoea kufanya kawaida kaka kugusa pabaya 😂😂
Huyu alie kufa aliuwa watu wengi sana km ni mtu kafanya hifo si mbaya
Innaalillahi wainnaa ilayhir Rajioun mwamba mwendo kaumaliza sisi tulio baki kazi iendelee
Jamaa alikua mwamba kwa wazungu
Roho yangu imeuma sana Kwa president Huyu mungu amlaze mahali pema
Inakuuma nini una undugu nae au ndo ule utumwa wa kifikra wewe ukifa mtu gani kutoka Iran ataumia acha izo fikra
@@ramadhanmahongole9293duh kwer kua uyaone
@@ramadhanmahongole9293 Umetusahau Wabongo kwa shobo za kushobokea Nchi za watu😂😂😂😂😂
Pole sana, una undugu naye?
Mahala pema , nani kakwambia , soma yohana 14:1... , ukiwa nje ya hapo unafikiri utaenda mbingu ipi
Nimesikitika nakifo charais mungu awape nguvu wana nchi lran
Amiin
Amiiiin🙏
Mungu wa isiraeli achezewi ebrahimu mbabe alitukana taifa la mungu majmbu ndio hayo
@@joellongidare8280kwahiyo wewe mbongo Mungu wako ni yupi inaonekana wewe huna Mungu
@@joellongidare8280kuna mungu wa israeli? Miungu wako wangapi? Acha ushirikina wa kijinga
Innalilahi wainna ilahiy rajioun ALLAH awalaze mahala pema peponi Awajaalie pepo ya firdaus
Tuombe dua Mungu ampe hatma njema aendako
Waombee ndungu zako duwa hapo ulipo huja wahii kuwaimbea ndungu zako duwa toka watangulie mbere za haki😂
HATMA njema kwa ukatili wake!!!! Tafuta kazi za kufanya ...achana na comments za kijinga kama hizi!!
@@SarahShao-jw1upukatiri gani alishaa wahi fanya au nichuki zako binafsi2
Ukuwa Kwa upanga wauwawa Kwa upanga @@abdillahiharuna0029
Baada ya Kufa Hukumu hamna cha Dua wala nini
Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.
💯
Bingwa wa Logic
Mbona mnatoa mawazo ya kufikirika enyi wachambuzi ajali inaweza kumpata mtu yeyote. Tunawapa pole wananchi wa Iran.
Hawa hamna kitu
Pole
@@victaboy7273 umefata nini sasa 😂😂
Mungu awarehemu.
Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais
Pumzika kwa amani❤❤
🙌🙌 Siku ikifika ata ulale siku nzima kitandani utasepa 2 😢 kazi ya mungu haina makosa wapumzike kwa amani 🙏🙏🙏
Malipo hapahapa islaeli ni taifa la mungu Iran inafadhili hezbola na hammas
Siokweli
Kweli kabisa wanafadhiri magaid
Sio kweli duniya mzima ni ya MUNGU awo waiziraili wanawauwa watu wasio na hatiya
Do not trust the media. Learn to balance issues.
Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself .
The world is full of evil.
What is true can tell you its a lie and vise versa.
🙏
Mashoga wenzenu
SnS mmekua professional sana, nimefurahi kusikia uchambuzi kutoka kwa watu 3 tofauti ukilinganisha na mwanzo.Kudos
Sky upo vizuri sana nakupa maua yako ww pamoja na dj smaa..
Sns nawakubali san🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏
Kaka Sky . Karibu crown media. Uwe mtangazaji
Dotto bwana
Wew unavituko kinyama mzee wa china
Doto magari naomba mawasiliano yako Nina prouduct yangu
@@juliethkatabwa5306 product Gani iyo
😂😂😂
Innalillah wainailaih rajioun,,
Sisi niwa mwenyezi mungu nakwake tutarejea,,
Pole pole naona Millard Ayo ameanza kupotea kwenye rada.
SnS ndiyo kila kitu kwa sasa.
Hii ndiyo shida ya kuwa CHAWA
Sorry sky naona mnayapa uzito mataifa ya Europe na Asia but Africa mnaisahau congo tunaomba uchambuzi pia🙏
Hii mbaya saana unajisifu unajua kutengeneza silaha kalii arafu Haujui kujirinda mwenyewe niaibu ilioje wanakuminya tuu Kama kakuku frani Hivi 😞😞😞
Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.
😅
Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi
Mungu wa ibrahimu isacka na yakobo
Utaelewa vizuri iwapo hao panya wenu wamehusika na yakobo hausikani na hawa wenye kuanzisha uhanisi.
Jehovah ndiye Mungu
iyo ni luha tu kiyahudi yehova kwa kizungu God kwa kiswahili mungu kwa kiarabu Allah kwaio mungu ni mmoja tu ndo muumbaji wa kilakitu
Usituletee udini apa
Jehovah ni mume wa mama yako
Israel ni Taifa la Mungu
taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!
Atujakataa ni taifa teule la ushoga nauwaji
Kama Israel taifa la mungu ,je taifa lako ni lamajini ?
@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅
@@annasolomon9855 umejibu kishabiki sana lkn hutumii lojik
Polen Sana kwa kifo cha Rais wa Iran mungu awatangulie katika hich kipnd kigum RIP
Israeli mtoa roho kashafanya yake tayari 😂😂😂😂😂, ila #ISRAEL ni nyoooko kwa hizi mambo. Israel ameshindikana aiseee 😅😅😅
Hahaa! Umenichekesha aisee😂😂😂
Hakuna kushindwa mbele ya Nguvu za mungu...
Safi sana hii huwezi kushindana na Israel ukashinda Israel taifa teule la Mungu
Taifa la mashoga
@@bakarirajabu3783 wewe ndio unasema
Munguu gani dajjal au?
Subirini siku zenu zinakaribia
Hilo sahau
Cheza na mungu wa islael
Sns mnaizidi dw wallah..allah awatie nguvu zaidi inshallah
Nmeumia sana KIFO Cha baba ibrahim
Raisi pia nae ni binadamu anaweza kupatwa na lolote saa yoyote.. na ajali zimeshatokea nyingi sna. Raisi sio Mungu
Mungu amlaze mahali pema peponi
Yes wameua ua sana wengine na wao wameuawa!!
lnna lillahy wainna illahy rajiun ..mbele yake nyuma yetu!!!
atari sana
Daaah!! Nimeumia sana mungu amlaze Mahali pema peponi
Inalillah wainnailayhi rajiuun
INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUN
Mungu amurehemu, Allah ampe hatma Yake insha'Allah
Big up to you guys mmetishaaaa
DJ ASMA ANAUMIA NDANI KWA NDANI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAMSIFIA HUYU JAMAA NA ULINZI WAKE LAKINI LEO AMEKUWA ASSASSINATED TOO EASY 😢
Iran wangejua ndani ya vyombo vyao vya ulinzi wanamayaudi wengi wangetulia
Inalillahi waina ilayhi rajioun.
Allah amlaze pahala pema kwenye wema.
Amiin ya Rab 🤲
Amiin🤲🤲🤲🤲
Kwa hakika hawekwi wala hatalazwa pema popote mungu atamweka anapostahili kulingana na matendo yake
Very nice guys
Alhmdulillah, tunamshukuru Allah kwa kufa kafiri muovu wa kishia.
Mashia ni makafiri kama makafiri wengine.
wewe punguza ukali wa maneno shekh
Mashia ni makafiri tu hata ukichukia@@pvoiceofficialtv7630
Muogope Mwenyez Mungu
Mim namuogopa na namuomba Anidumishe ila na wew umuogope ili uache kutetea makafiri wakishia@@alawikihema8676
@@pvoiceofficialtv7630 kumbe kusema kweli ndio ukali wa maneno, sasa kama Mashia makafiri tusiseme, hao ni makafiri tu
Combination yakibabe sana🔥👌
Iran ni dhaifu sana katika intelijensia
Kweli kabisa wanauliwa sana na waisrael kwa njia za kijasusi
Kwnn wasema ivyo
@@awatifsubeit4007kwahiyo watanambia hapo israel imehusika?
Kabisa...... Wanauliwa sana,wangeweza kuwekeza kwenye intelejensia, alafu walipize kisasi kikubwa.... Israeli na marekani wangewaheshimu sana..... Huzuni sana
@@missp1814wameshindwa miliki helicopter ya kisasa ya rais hayo makubwa zaidi wanaweza?
Nakubali sana DJSma ndio ivo ivo mossad wamefanya yao
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂bado unamin mosad wengewe wanamuogopa hizbullah
@@user-wr6uz1rx1okwani hezibollah kafanya nini rafah inaangamizwa kule mbona hawafanyi hivyo
Subhanallah mimi ninachoweza kusema huo nimpango maalum uliyopangwa na mataifa ya maghribi , uchunguzi uendee but utapokamilika ikibainika kweli maghribi wamehusika basi nyuklia zifanye kazi potelea mbali .
Hizo nuclear zenyewe zilianza kutengenezwa na hao hao unao waita Magharibi, unadhani hawana ant dots zake? Hata pia ikigundulika ni wao, Iran wanaweza kuwafanya nini? Sanasana watapigwa tukio lingine tena; Magharibi na Israel ndio wanao run hi dunia, hata haya mawasiliano tunayo yafanya hapa ni teknolojia zao. Wapo mbele ya muda, wanaishi kwenye dunia yao
Zitakuja kwenye tz , japo hawataweza.
Innalilah wainnilah rajiuna
Kwenye Kipindi Hicho Kipya tunaomba uchambuzi wa Kifo cha Magufuli 🫢
Huwezi kushambulia taifa teule alafu ukabaki salama
acha ushamba kenge wewe
MUNGU ibariki Israel
@@user-de9gf2wi9oMental problem
God bless Isreal
😢😢😢allah awarehem
Nakubali sana uchambuzi wenu sns.
hakika wana iran wanapitia kipindi kigumu kuondokewa na raisi wao akiwa madarakani wameumia😥kam sis watz tulivoumia kwa magufuli ,, Allah awaweke anapostahili poleni wana irani hyu jama alikuwa smart sana
Walicho kitakq wame kipata chezea Israel 🇮🇱 wewe hicho kinaitwa jibu kwa duniani
@@chikusangalala7759we naye hakuna mtu ambaye hatokufa yeye katangulia nawao watafata mungu ni moja hakika hakuna cha kubakia apa duniani
@@chikusangalala7759Usiruhusu kuwa manipulated na media.
Kama mtanzania mwenzangu kilicho bora zaidi ni kuitetea Tanzania na watu wote regardless of their religion.
magufuli uliumia wewe
@@adolfufedinandi2534 jina lenywe2 adofu nzwala 😂😂Mungu akubariki wew na uzao wa tumbo lako Ameen🙏love youuuu🥰
Sma ni bingwa wa ku read between the lines which wachambuzi wengi bongo hawana hiki kitu Sma ni genius
Huu ni wakati wa Maandiko yanatimia, yoyote atakaye tishia Amani ya Wana wa Israel, ajue Mungu yupo Mbinguni sisi wateule tunatsyarshwa kwa ujio wa 2 wa Kristo, halafu Mungu wanatimiza Maandiko yake na Wana wa Israel, Simon Uriyo Capetown
Mimi ni mucristo sina hata matadiso na we Eslam nakupa siku Mimi nawaombea mungu sana dungu zangu wa Eslam..tangu Jana usiku bilipoigine nyumbani kwangu mke wangu alikuwa naagalia TV CNN live nikaona ..nilistuka sana Mimi Raisi kamahle alli .alikuwa .alikuwa mdomoni kwangu sana tangu zamani ...here's mungu turumihe
Safi saaan hii ndo maan ya ukristo ubinadamu amani safi saan umeuonyesha mfano wa zehebu ya kikristo
Maturity/ukomavu.
Usilazimishwe na watu juu ya tabia ya mtu.
Mwenyezi Mungu katupa akili ya kujua baya na zuri.
Ni sisi kuitumia kujua mbaya nani na mzuri ni nani
Hao Mashia Wairan sio waislamu
Atollah aminey achukue iyo nchi haraka sana
Inna ilah waina ilah rajuin
Kila jambo baya au zuri ni mungu wachochezi hawakosekani toka enzi za mitume kikubwa kumuombea dua
Dah 😢
Allah help
Apumzike kwa amani
Innaalilaah
Sijapenda kabisa uchambuzi kupitia simu sauiti haitoki vizuri kwann msikae wote studio kama zaman shida nini bro
Anawezaje kugombana na israel alisahau kama Israel ni nchi ya ahadi au?!
Iya Y
Dah😢😢😢😢😢
Waangalie vizuri inteligence yao huenda mnawasiliti
Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.
Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna
@emma😂😂😂dora7848
@emmadora7848 umeongea katka uharisia kaka
Kweli kabisa
Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!
Innalillah wainnaillah rajiuun Allah ampe kauli thabit na poleni Sana ndugu zetu wa Iran huu ni msiba mzito mungu awape subra
wew n mwarab?
Victor acha chuki wewe na wewe utakufa hivo hivo utakosa wa kukupa pole
Shia ni kafiri si waislam
@@ibnhamduun3173 wewe tena hakimu astaghafiruallah mungu ndo mjuzi wa yote allah ampe jana rais wa irani
Mzee karusha mabom nandege vita Israel iliawaue watu wamungu ss kirichotokea mungu kamuwah mpuuzi huyu mzeee
Polen sana wairan uchunguz ufanyike
Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...
Kutokana na hii ajali na nikiwa katika hizi nchi za hawa watu kama mwafrika nimejifunza Kuna Aina nne za watu,,,, Kuna watu wanaojua kinachoendelea duniani, wale ambao hawajui kabisa kinachoendelea, wale wanaojua na wanajifanya hawajui,, na wale ambao hawajui na wanajifanya kujua,, na wale wanaoendesha kila kinachoendelea,,,,,, ogopa MUNGU, TEKNOLOJIA, na WANADAMU 🤫🤫🤫
Mungu awalaze pahala pema aminnn
,mungu sio boy wako hata unamtuma amweke pema yeye mwenyewe anajua wajibu wake anajua makao ya wauaji yalipo
Dj sma na mwenzie, honest the way mnavochambua hizi habar, mkipewa kitengo cha upelelez maalum wa kivita, 95% mnaimudu, na itakua mathubut
Rudi shule, kusifia ujinga tu
Kwani Ahmad El Neejad Yuko wapi sikuhizi
Nani aliyewaambia Iran waishambulie Israel ,watu waelewe kuwa Israel nitaifa linalo pambaniwa na Mungu nikwanamna gani Nchi Kama Iran kushikwa natatizo hilo la helcopter kushindwa na ubaya wa Hali yahewa ,Kama dunia haikubaliani kuwa Taifa la lsrael Lina agano na Mungu mwenyezi subirini kitakacho tokea zaidi
Ameen
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
@Henry is a very critical analyst 🔥
Sasa unakatisha story umepost ya nini ?
RIP😥😥@Henry mwinuka Nakupata vema Kaka
Inna lillahi wa Inna ilaihi rajiun
Mhmm 🤔🤔🤔 bwawa lao sio kubwa kama la kwetu halafu linatoa umeme Gigawatt 270....na la kwetu ambalo ni kubwa linatoa Megawatt 2112 hapa imekaajeee?
Kaka sky uko sawa
Watu mnaochangia hapa jueni yupo mungu na ndiye unjue kifo cha kila mmoja
Biblia imesema kuwa Atakayethubutu kuigusa Israeli basi atakiona cha moto" sasa yeye si alithubutu kutuma makombora juzi kati hapa. Usitake kupingana na alichokisema M/Mungu
#RIP 😅😅😅
Poleni Sana Ndugu Zangu Wairani Kwa Msiba Uliyo Wapata Juma Babu Kutoka Msa
Technology ipo juu sana. Kumbuka hili vuguvugu la kivita linaloendelea na hadi sasa hata mavumbuzi ya silaha ni mengi ambapo zaidi hata ya silaha za mionzi na DNA tracking. Ngoja tusubiri huenda tutasikia mengi.
Lakini kumbukeni "MUNGU " aliwaambia Israel kupitia Musa wakati anawatoa mikononi mwa Farao,"BWANA" atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya
Yes
TANZANIA 🇹🇿 tunajua machungu ya kupotelewa na kiongozi wa nchi.
Bila udini tushirikiane kwa pamoja kuomboleza hili.😭😪😭😭
Munguu ni muweza wa yoteee
Mungu hatumwi hiyo kazi ya kuwaweka watu peponi anajua mwenyewe pa kuwaweka. wenye dhambi wote na wachinjaji watu wote
Mmechambua vizuri ila kwa mimi nilivyoangalia bado naona hali mbaya ya hewa ndio tatizo kubwa la ile ajali,na la pili yawezekana chombo kilikuwa na tatizo la kiufundi,Iran waliwekewa vikwazo vingi pamoja na kutouziwa spare parts,ile Bell helicopter ni ya mmarekani,hata bongo zilikuwepo za jw na polisi, ina miaka kama 25 hivi,zimeshatokea ajali nyingi za ndege na kuuwa makamanda kadhaa,shida kubwa vipuri japo wanajitahidi kutengeneza vya kwao.sns mmeeleza kuwa mbona hizo zingine hazikuanguka?.Helicopter zinapokuwa zinaongozana ki usalama zinaachiana distance kilometa kadhaa.Dhana ya kuwa ilipigwa si rahisi labda kwa silaha nzito sababu pale milima ni mikubwa hivyo ni terrain,ilikuwa juu sana na ukungu ule huwezi kuiona kwa macho,utasikia mlio tuu.Ukiangalia mabaki yake utaona sehemu ya nyuma kwenye tail rotor au ki mkia ipo kawaida nyuma ya fuselage kama vile ilitua kawaida,kama ingekuwa imepigwa ingesambaratika kila kitu kingesambaa ki vyake.
Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .
Inasikitisha sanaa jmn poleni sanaa ndugu zetu wa iran