🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 36

  • @user-jc6dk2fe8g
    @user-jc6dk2fe8g 27 днів тому +11

    Utamaduni wa mwafrika haujawahi kua kuvaa nguo, babu zao babu zetu walifunika nyeti tu. Hakuna mheshimiwa mmoja hapo bungeni amevaa kiasili. Halafu wanaongelea utamaduni wa mwafrika.

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 28 днів тому +7

    Simba nguvu moja 💪🫶♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐💐💐mtake msitake

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 23 дні тому +2

    Ccm kirumba ni uwanja wa kimataifa ila serikali hiwalioni hilo,Kabla ya kujenga uwanja wa ilemela,mngekarabati CCM kirumba kiwango cha vigezo vya FIFA

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 28 днів тому +5

    Yani kama huyu ndio waziri basi twendeni tukasome

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 28 днів тому +2

    Siasa siasa siasa yaani suala la ushoga unaohamasishwa na wasanii kwa kuvaa uhusika wa kidemu watu wanajibu kisiasa tu badala ya kuchukua maamuzi!!!! Hapana hapana hapa inafaa hatua stahiki za kuzuwia zichukuliwe hakuna mtego wowote hapo my brother wanawake wasanii wapo wengi asilimia kubwa ya wanaume tunachukizwa na maigizo ya hivyo hatuburudiki wanaoburudika ni wanawake wasio na hofu ya Mungu na mashoga tu

  • @IlambonaSimon
    @IlambonaSimon 2 дні тому

    Uko sawa

  • @chikualiy8705
    @chikualiy8705 14 днів тому

    Simba nguvu moja❤❤❤

  • @sportswinner6906
    @sportswinner6906 28 днів тому +7

    Simba nguvu moja

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 28 днів тому +3

    Afcon 2024???
    Copy &paste in preparations of reports is problem

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 28 днів тому +1

    Kwahiyo hamuoni au mnajitoa...... watoto wana haribika mnamchango ni za ovyo.

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 24 дні тому +1

    Kwanin tusisimamie utamaduni yetu piga marufuku tamadun ya nje

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 23 дні тому +1

    Kwanini viwanja wanavyomiliki ccm visibinafusishwe kwa manufaa ya taifa?

  • @JAMESNASHON
    @JAMESNASHON 21 день тому +1

    Kashakuwa chawa naye siku hiz

  • @sadicknyahi7312
    @sadicknyahi7312 28 днів тому

    Mwijuma kaiva

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 28 днів тому +1

    Kirumba itakarabatiwa? Kweli itakarabatiwa? Mungu atuweke tuone ukikarabatiwa

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 27 днів тому +1

    Ujenzi ungeanza na kiwanja cha CCM Kirumba kikakarabatiwa na kuwa na kiwango cha kimataifa kabla ya ujenzi wa kiwanja cha Ilemela. Hakuna logic yoyote ile kifedha kuanza kujenga uwanja mpya kabla ya kukarabati uwanja wa CCM, endeni mkajifunze kwa wenzetu Kenya na Uganda walivyokarabati viwanja vyao. Kama hakuna nauli basi nendeni Zanzibar mkaone walichokifanya.

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 28 днів тому +1

    Kabuku

  • @DM_15
    @DM_15 27 днів тому

    FA KAIVA

  • @itikamwasimanga4202
    @itikamwasimanga4202 28 днів тому +2

    Kamzungumzia Mo WP

  • @elisbegaelias163
    @elisbegaelias163 28 днів тому +2

    Yani et waziri anaulizwa vingine anajibu ujinga

  • @mcgeemwamba9303
    @mcgeemwamba9303 12 днів тому

    Siyo kingeleza😄👉ni kingereza

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 26 днів тому

    Binafsi naomba mweshiwa Tulia kama spka asitusahau uwanja wa sokoine uwe wa kisasa kwa maandalizi ya afcon

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 24 дні тому

    Kwenye maswali na majibu naona kama mipango yani maswali yameshaandaliwa kuwa mimi nitakuuliza hili kisha na wazili nae anaandaliwa majibu.kisha muuliza maswali anasoma swali na mjibu maswali anasoma jibu hii ingekuwa darasani nadhani wote wangefaulu mjibu swali anasoma jibu

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d 10 днів тому

    Ujajibu kitu apo mwana F. Unapo sema kwamba Kila mtu anaishi Kwa utamaduni wake Tena wemwenyewe una sema tuna Linda utamaduni Sasa apo una Linda Nini maana una sema Kila mtu Aishi Kwa utamaduni wake .wachina Wana ingea lugha Yao na awa changani ninyi mna jifanya wazungu na Bado Nima fisadi eti Dunia Kijiji Sasa ume faidika nini na iyo Dunia Kijiji upumbavu TU ivi niyi mnaona kama watanzania so ni wajinga eti.ila nataka nikuku mbushe kama mtanzania ange kua mjinga asinge penda utendaji wa Magufuri IPO siku

  • @eunho9529
    @eunho9529 26 днів тому

    mbona Kapombe akutibiwa na serikali alipoumia?????

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 28 днів тому +2

    Nashangaa hii kiazi amekuje waziri?

  • @SuleimaniKimwagas
    @SuleimaniKimwagas 22 дні тому

    Huyo ndyo mwana falsafa!!😂😂