Nilikupenda tangu wakati unaimba nyimbo zile zenyeupako hadi leo hazichuji, nafurahi mno ninapoona tena unahubiri injili ya kweli yakulisafisha Kanisa la Mungu nakuwahimiza wengine waingie katika Safina , watumishi wanaohubiri kweli ya Mungu ya namna hii kwa dunia ya sasa wamebak wachache, watumishi wa namna hii tuendelee kuwaombea lakini pia Mungu aendelee kuinua wengine waimalizie kazi hii katikati ya ukengeufu huu wakizazi hiki cha wimbi Kubwa la Mitume na mnabii wengi wauongo waliozagaa kila Kona katika nchi yetu Tz na dunia zima kwaujumla
❤ mtumishi wa mungu balikiwa sana ndungu ,neno unalo liubili ndilo mimi napenda ,nimekuwa mwanafunzi wako kwa hii mtandao sana uwa unanibaliki sana balikiwa❤
Mungu apewe sifa ,,milele na milele Amina ,,mch ubarikiwe
Amen Bwana Yesu nifungue nikujue wewe pekeyako
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Mungu akubaliki mutumishi wamungu
mungu akubariki babayangu
Amina.baba yangu wa kiroho
Nilikupenda tangu wakati unaimba nyimbo zile zenyeupako hadi leo hazichuji, nafurahi mno ninapoona tena unahubiri injili ya kweli yakulisafisha Kanisa la Mungu nakuwahimiza wengine waingie katika Safina , watumishi wanaohubiri kweli ya Mungu ya namna hii kwa dunia ya sasa wamebak wachache, watumishi wa namna hii tuendelee kuwaombea lakini pia Mungu aendelee kuinua wengine waimalizie kazi hii katikati ya ukengeufu huu wakizazi hiki cha wimbi Kubwa la Mitume na mnabii wengi wauongo waliozagaa kila Kona katika nchi yetu Tz na dunia zima kwaujumla
Mungu ani saidie
MUNGU wa mbinguni azidi Sana kukutetea baba yangu.
Uyu muumba MBINGU ana nguvu kama nini barikiwa sana mtumishi wa MUNGU🇰🇪
Amen .
Mungu akubariki baba kwa neno zuri
🤣🤣🤣ame amee🎉🎉🎉🎉🎉waaooo hiiio❤
❤ mtumishi wa mungu balikiwa sana ndungu ,neno unalo liubili ndilo mimi napenda ,nimekuwa mwanafunzi wako kwa hii mtandao sana uwa unanibaliki sana balikiwa❤
Baba asantii sana kwa neno nzuri
Yesu tulehemu Baba.
Asante sana baba mchungaji
Ubarikiwe baba
Amen 🙏
Hakika Yesu Kristo ni NURU YA ULIMWENGU, kila ajaye kwake hatakwenda gizani kamwe.