Kwa kweli Mungu tuhurumie sisi wanawake pamoja na huyu mchunga kukemea rasta na wigi kwa wanawake lakini roho ya uangamivu haiyuachilii maana hatusikii. Eee Yesu nijalie mwisho mwema hata kama mimi ni mwanamke
Nikamskia juzi Baba yangu ask Mtokambali anasema kanisa basi hata kila ibada uwepo mda maalumu wa maombi maana hatuombi kabisa hatuna mafuta zimejaa ruturujia kwenye makanisa yetu NAOMBA UNISAMEHE...
Namshukuru Mungu kipindi hiki kikiwa kinarushwa kila siku jumapili. kitatusaidia sisi wa mbali. nawashukuru mchungaji na viongozi wa kanisa kwa maono haya nawaomba msisitishe. niko Dar huku niliko ni shida sana kupata kanisa linalosema kweli. nimesoma iyunga kila jumapili nilikuwa nahudhuria hapo kanisani nilikua sana kiimani
Kwa kweli Mungu tuhurumie sisi wanawake pamoja na huyu mchunga kukemea rasta na wigi kwa wanawake lakini roho ya uangamivu haiyuachilii maana hatusikii. Eee Yesu nijalie mwisho mwema hata kama mimi ni mwanamke
nimepata kubadika kiima kutokana na kufuatilia maubili yako mtumishi ubarikiwe sana
Amen Mhubiri, nafuatilia kutoka Kenya, umekua wa baraka tele kwa mahubiri na nyimbo, endelea mbele Mhubiri.
Mungu akubark sana mtumishi wa Mungu tunapata badiliko sana kuptia mahubiri yako🙏🤝🤝
Nikamskia juzi Baba yangu ask Mtokambali anasema kanisa basi hata kila ibada uwepo mda maalumu wa maombi maana hatuombi kabisa hatuna mafuta zimejaa ruturujia kwenye makanisa yetu NAOMBA UNISAMEHE...
Amen barkiwa nikiwa kenya
Huu wimbo nitaupata wap
Kweli Amen 🙏🙏💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen Mungu azidi kukutunza Baba Yetu wengi tunapona maana nimejikuta tu nasikiliza adi mwisho nimependa Sana
ubarikiwe mtumishi numekuwa na mabadikiko baada ya kuwa nafuatilia maubili yako
Mtumishi wa Mungu, unatubariki sana kwa mafundisho mazuri, unaisema ile kweli ya Mungu, Mungu akulinde Baba.
Asante pastor
Ameeeeeeeeeeen
Niko Kenya but I wish ningefika tz tuonane Hana kwa Hana mtumishi nakupenda Sana.
Nina Barikiwa sana mtumishi wa Mungu KWA mahubiri yako nikiwa hapa European 🇸🇪
Ameen
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kuwa Yesu yuaja na tuwe tayari,Mungu uturehemu
Namshukuru Mungu kipindi hiki kikiwa kinarushwa kila siku jumapili. kitatusaidia sisi wa mbali. nawashukuru mchungaji na viongozi wa kanisa kwa maono haya nawaomba msisitishe. niko Dar huku niliko ni shida sana kupata kanisa linalosema kweli. nimesoma iyunga kila jumapili nilikuwa nahudhuria hapo kanisani nilikua sana kiimani
Hata kama nina dhambi ninaomba uni SAMEHE.🙏😭🙏🙏🙏😔
Asante sana baba kwa injili hii tunayoihitaji sana katika nyakati hizi hakika twahitaji msamaha wake Kristo