MIJI 25 MIZURI ZAIDI KATIKA BARA LA AFRIKA 2023 | 25 MOST BEAUTIFUL CITIES IN AFRICA 2023
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- Unaweza kuwa miongoni mwa walioweza kutembea nchi mbalimbali barani Afrika na kushuhudia uzuri wa maeneo hayo na ikiwa bado hujatembelea maeneo hayo huu ndio wakati utakaofahamu.
Katika video hii utafahamu miji 25 mizuri zaidi barani Afrika.
#SukaTv #Afrika
Wow kúmbe kenya ni namba 6 kwa uzuri wa miji mzuri asante sana 🎉🎉🎉❤❤❤
Shukrani
Àm telling u hata kama tunaandamano😂😂we are still glowing 🎉🎉🎉❤
Mtangazaji hujui kusoma majina ya miji na hujui laghafudh ya kiswahili vzr
👍
Waandishi kazi mnayo, hii taaluma ni mhimu sana japo waandishi makanjanja ni wengi sana. Mwandishi hajui hata miji ya Afrika Mashariki anataka miji kwa kuchanganya!!!!!!!!!
👍
Si haba tz ❤❤❤❤
🙏
Kwa ufanda hushindi Congo 🎉🎉
🙏
Takwimu zako pia zio za kweli, fanya utafiti tena.
Ruksa kutoa za kwako ili tuone zilizo sahihi
jibu lako tu lina thibitisha wewe ni m tanzania halisi😂@@Fmbtv255
It's true nimetembea
🙏
Ww ni mwehu sana Tanzania ahiwezikuwa mbele ya Congo 🇨🇩 kinshasa kuma ww
😄
Wewe huenda nikuma Ila hujijui
Congo sio inchi inaweza kushindana na Tanzania Congo kichassa Ni chafu sana hahimo
Wanao kutukama niwajinga tu mbona kama wanajua miji siwangetaja tusikie
Kweli kabisa
Nakubali
🙏
Da shy town sijaonaaaa
😄Ipo siku utaiona
Ni kweli miji mingi ya kiafrika imeanza kubadilika kwa mjengo marefu ya kisasa kama vile Dar es salaam lakini bado hiyo haijawa sifa ya uzuri hasa kutokana na uchafu naopangilio mibovu kama vile Lagos .Miji ya kusini mwa Afrika inaweza kuchukuwa nfasi za mwanzo kwani ni safi na imebahatika kujengwa kisasa .Na ile ya kaskazini mwa Afrika kama vile Cairo na Algeria kuchukuwa nafasi ya pili .
Hiyo nzuri
Mizuri aje,kwa usafi ama
Kujengeka
Cape Town ni sawa namibia umeitupa mbali sana mi nimetembea inch zaid 14 africa Windhoek ni nzuri sana lkn ni padogo
🙏
Hata mm nakubaliana na wew kaka, Yan Dar es Salaam hata Swakopmund Namibia haifikii🙄🙄
Vp kuhusu adis Ababa mbona ya kawaida sana@@BaSalmahAthumani
Adis ababa, Adis ababa, Adis ababa, makao mkuu ya africa, kitovu cha africa, Ethiopia Home, hapo ndipo mkoloni alipo pigwa, kinoma noma.
Safi
Umechemka
Kivipi?
Kapala siyo kweli ww kaka
Kwanini?
Muache uongo ivi Dar salaam tz na Mapoto mçambique jiji zuli lip aujui iyo kazi acha😅😅😅😅😅
Toa uthibitisho
Halale Zimbabwe, Malakeshi Moloko! duh
🙏
Kabla ya kuleta hizi takwimu zenu jaribuni kutembelea hiyo miji basi msiwe mnakulupuka. kwa Cape Town kuwa number one hapo upo sahii. ila miji mingi umeitupa sana. Kwa mfano Windhoek, Luanda, Marrakech, Lagos, Accra, all in all Dar es Salaam kuwa Top ten bado sana wala tusijidanganye.
🙏
D😂Dar es Salam unaipa namba ngapi?
@@rosetreffert4179 Dar es Salaam inapaswa kuwa nafasi ya 20. Na sikwambii hivi kwakuibeza huo ndo uhalisia. Yan Kwa mfano Kama South Africa inatake over kuanzia Mwanzo Wa list mpaka top five.
1:Cape Town
2:Johannesburg
3: Pretoria
4:Durban
5:Port Elizabeth
MOROCCO
1:Casablanca
2: Marrakech
EGYPT
1:Cairo
2: Alexander
NAMIBIA
1: Windhoek
2: Swakopmund
3: Walvis Bay
Kuna mingine sasa ya nchi moja moja.
Lagos Nigeria]
Luanda Angola]
Algiers Algeria]
Gaborone Botswana]
Nairobi Kenya]
Santa Luis Mauritius]
Addis Ababa Ethiopia]
Harare Zimbabwe]
Accra Ghana]
Libreville Gabon]
Na mingineyo kaza wakaza. Yan kiufupi kwasisi tuliotembea Miji ya watu ndo tunajuwa kwamba Dar es Salaam ni Kijiji bali sio jiji.
Na mingineyo
Tatizo la Watanzania mtu hajui chochote wala hana fact yeyote ila ana amua kubishana na mtu mwenye fact ambazo zina mashiko mi nafikiri kama kuna mtu anamwona mchambuzi hayuko sawa atoe list yake tuione ili tuweze kuyaona mapungufu ya mchambuzi ila kwangu mm mwandishi yuko sawa endelea kutujuza mengi bro 🤜
Shukrani sana
Drc haiko kaaaaaaaaaaa!!!!!
😄
Acheni usenge me mwenywe nimetbeaa lakini bongo ya sasa sifananishi na miji mingi africa but cape town was beautiful dah sijaamini
👍
Muongo mpumbav wew
🙏
Miji 25 mizuri zaidi katika bara la africa
👍
Hie
🙏
🎉🎉🎉❤❤❤
🙏
Mimi hata nikidanganywa nitakubali hakuna sehemu yoyote nishawahi kwenda tofauti na hapa nilipo😂😂😂😂
😃🙏
Daah! Upewe maua yako mkuu🤣🤣🤣
Upo saihi
🙏
Kinshasa mbona ulipasahawu
Tuangalie takwimu za mwaka huu
Shinyang haip
😄
huu uchambuzi sio sahihi ! aliyechambua haya aitembelee KINSHASA kwanza
Kila mtu anamaoni yake toa takwimu zako tujue
Kumbe 🇧🇮 haimoo
👍
Ndugu yangu bola sisi tukae kimya 😂
Uchambuzi huu wa miji mizuri balani Africa ni uongo zaidi ya uongo. Ni uchambuzi unao leta aibu kwa wachambuzi maalum. Je Kampala au Dar es salaam ni bora zaidi kuliko John bourg
Unazungumzia wachambuzi wapi?
Hata pretoria?
Umesahau kisii
👍
😂😂😂
Mmmmmh kwa Uganda hata sio pazuri baba unatuda nga nya
🙏
Uchambuzi upo sawa
Shukrani
Nawe acha uongo uko saw VP am a we we Kama uyo uyo
Asant piya
🙏
Brow we aujui kitu unawaka dar es salm kuasha mozambique
🙏
Good boy
Thanks
jamani adis ababa nairobi haifati wakenya mjiangalie kutangulia siyo kufika hata new york kwa sasa imeshazidiwa na Hong Kong ndivyo itakapokuja tokea Dar es salaam kuwapita Nina imani hiyo
👍
Hivi mnatuona cc mabwege eti😂
😃
Mmh Burundi 🇧🇮 hiomo?
Haimo
Kuna mambo uja weka sawa wacha ni subscribe tu
Kwa sasa yapo sawa nashukuru kwa kusubscribe
Zanzibar ni yakwanza umekosea
😄 angalia hapa 👇
ua-cam.com/video/HqQpAfmmWCE/v-deo.htmlsi=97P-a6JwVSMKMx09
Oooh Allah jaalia ulinzi❤
🙏
Dar hapana kwakwel
kwanini?
Kinshasa ni uchafu
😃🙏
Dar tanzania ni mji mbovu duniani kwanza hauna barabara walA umeme maji usiende dar utajuta looh!😊
Chuki binafsi
Jinga wewe, watu 5million wanaishi vipi bila maji?
Duh!🤣
😂😂😂
Tamka vizuri R
🤣
Hamujuwe kishasa mutokepale
🙏
Mwandishi fika Njombe uone mji ulioumbwa na mungu , cape town ikasome! jinga wewe! uvivu tu wa kutembea .
😄
.Kigari hmna kitu
🙏
Dubai Iko wapi
😃
Asate
🙏
Jitahidi ujefunze kutamka R. Sio Bala la Africa, sema bara la Africa, jifunze kutamka R kwa vile ukitamka L unaleta maana ingine
Sawa
Matamshi ni changamoto sana kwa Watanzania, sijui kwa nini
Cha muhimu ameeleweka🎉
Dar na Maputo, .. Maputo ni zaidi kuliko Dar
😄
Uyu ni mongo sana msumbiji mwenye nafasi ya tatu 3 Africa
Ni vizuri ukabisha kwa hoja
Mbongo tztupo
Ndio
Suka TV mme tembea miji yote hiyo au uzinguaji tu.
Kampala hapan uzur wowote haujatembea unaamua to kusema sema😅
Hii ni kwa mujibu wa jarida la Forbes mimi nimekuwasilishia
Ndio maana umekuwa nafasi ya chini
Kwakweli japo sijatembea sn ila Kampala hapana aise
¹¹¹q¹¹¹1@@Fmbtv255
Ndio mana ikawa ya 25
Burundi yetu sasa niyangapi
😃
Kwa maisha ukitaka ukweli tanga amini usiamini
😃🙏
Huu utafiti si wa kweli wapi Mombasa Kisumu
😄
Ametaja Nairobi
Sio zahidi ni zaidi acha kutangaza
Wewe huna ushauri mzuri
Uchambuzi gan mmeacha kuonyesha masaki mnaonyesha buza😂
😄
RDcongo haupatikane namunagani niuwogo mutupu
Kishasa ninaba gapi
🙏
Tazama video
Embu fikilia Kigali n'a Luanda Angola, we vipi
👍
Kiswahili ni shida kwa waandishi na watangazaji, hawajui Kiswahili ni aibu
👍
Congole to Dar Es Salaam kuwemo 10 bora, yaani namba 1& 2 yote imetokea South Africa??
🙏
Kama sio ufisadi na uongozi mbaya Nairobi ingekua nambari moja
😄Mambo yatakaa sawa
Rudi ufanye utafiti vizuri
Sawa
Sawa
Uzri wa nini tupe ufafanuzi
👍
daah kumbe sio tanzania sio haba
👍
Kinshasa mbona haipo?!
🤔
me nk nairobi at sio ni jengo inzuri at hap ni saw na rwanda kwenda uko dar salam sio wa kumi ni wa ya kwanza
😄
Kadanganya, umeacha Kinshasa
Unapopinga ni vizuri kuleta hoja ili wanaosoma maoni waelewe tatizo lilipo
Zimbabwe nakata aise 😂😂😂
😃
🤣 yaani nairobi ampite Addis Ababa, mmh😊
😄
Na Maputo je imeshawahi kupita?
🙏
🙏
Huyo hakuna kitu huyo hajui kitu yaani aiache Maputo 🇲🇿
Usipende kuiga vitu tembelea uone sio una kopi na kupesti Pretoria umeiacha wapi? Pia lafdhi Yako chafuu badala useme bara unasema bala,moroco unasema moloco,naenda ukasome usimalize mb zetu aise.
siku hizi Waandishi wanaandika Aya ,Au Apana utaka useme hawakwenda Shule??ni matamshi tu
Acha uongo
🙏
Dar ni kijiji
Sawa bora mwanza siyo.?
Ukisema Kijiji unakosea sema ni lijiji maana nilikubwa kushinda Nairobi
Huyu jamaa ni mnyarwanda hawezi Tia Congo drc ndani. Kwa hiyo miji yote pana yenye Kinshasa inazidi.
😄
Durban and pretoria iko wapi umelogwa nenda ukarudi kutembaa bwana
Sio Balani ni Barani sivunze Bro
🙏
Hizi tasmini umetunga mwenyewe
Sina uwezo wa kutunga jiridhishe kwa kufuatilia
jifunze tena maana Pretoria ! Durban ! port Elizabeth ! cape town hiyo yote Iko South Africa! mji WA kwanza Kwa uzuri ni cape town na WA pili ni Addis Ababa Ethiopia! WA tatu ni Cairo hiyo yote Mimi nimeitembea tena dar -esalam ni kijijini tu haimo kati ya hiyo 25
Sawa
Wewe Dar ni hatarii wewee hata iyo nafasi ya 10 ni uongo ilitakiwa iwe nafasi ya 5 sasaiv infrastructure system majengo ya kisasa nice ocean view na luxury beaches kwakweli ipo vizur sanaaaa
Kwhy dar na WINDHOEK,kuzuri Dar?hahaha,,wasenge nyie
😄
Mm sjatembelea miji mingine tofauti na dar Tz ila kama kwel ni ya kumi kwa uzur Africa bas miji iliyoko chini ya dar kwa uzr iko hoi sana mana dar yenyewe miundo mbinu bado ni poor kwa kwel Africa tujitasimini tuna fel wap
👍
Kufahanu
🤝
Na bukoba upo naona haujatajwa
😄 Huo utani
Uchambuzi feki yani kampala ni dampo unaacha kinshasa yaan Cairo una mji wa kisasa eti ni wa tatu Nairobi ni kamji kadogo tu kuliko addis Ababa na Dar es alaam eti mji wa sita kwenda huko
Ni vizuri ukatoa uchambuzi na takwimu za kwako ili tuelewe vizuri zaidi
😂😂😂😂kwa kampla nakuunga mkono Ila swala lakutak mu camper Nairobi na mji Kama adisiabab na dar ni kosa kubwa San nailobi ni kitu ingne pia mjin wa cap town kua ndo mji nambamoj hyo ni sahih
Nairobi ndio nambari moja wewe
Kwendaaa 😂😂
Kwa hilo namtetea, Nairobi ni jiji Bora pia liko na good infrastructures kuliko Dar. Pia unatakiwa utambue kwamba sifa ya Mji sio ukubwa Ni Miundombinu Mfano hai ni huu Paris ni mji mdogo Sana kwa Dar inaingia zaidi ya mala tano lakin Ni jiji Bora zaidi Duniani.
Ww iko na lala naota au naota na lala veve bado tembea , tebea one banchoti
Unapopinga ni vizuri kuleta hoja ili wanaosoma maoni waelewe tatizo lilipo
Angola ingekua sio vita wangekua wapo mbali asaivi ila savimbi ali wachelewesha
🙏
Uchambuziwako haupo makini kabisa katembee upya
😄
Mmh kampala😂😂
😄
Uchambixi havivu × ×
😃
Hii miji wanaangaria nn mbona sielewi
😄
Wingi wa watu na flyover
Mbona mwanza haujaitaja?
😄
Mwanza itakuwa ya mwisho
Wewe mgonjwa.katibiww kichaa
😃
Tanzania mzuri sana kweli
🙏
Aise sikutegemea hivyo
Sahihi TZ ❤❤ forever no.1