The Story Book: Binaadamu wa Kwanza Kwenda Mwezini, Marekani walitudanganya ??
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- The Story Book: Binaadamu wa Kwanza Kwenda Mwezini, Marekani walitudanganya ??
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
From Kenya wapi like za professor,..,.♥️♥️♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I Appreciate you jamil. Like hapo mnaomkubalii
Duh!!! Ww unatakiwa uwe Mwalimu wa Geography, History na n.K kwenye vyio vikuu kokote Duniani,kiufupi ww ni fireeee #ProfJamal
Plz Jamal tuandalie story book ya Mtume Muhammad saw
Leo nimekua wa kwanza asee.Kaka jamal be blessed asee
Hongera bro
Daaaa
🍻
Hongera sana
Og.
Huyu Ndio Alinifanya Nifikirie Zaidi Kila Niandikapo Nyimbo Zangu..!!!! Mustapher Umetisha..!!!!
Mboss 💞💞💞💞💞🇹🇿🇹🇿✔️🇹🇿✔️🇹🇿
Mbosso wa michongo😂
@@shadrackdamiani1418 Acha kudanganywa sio Mboso huyo
We nae huna mada.. kwahiyo story book ndio imekufany uandik kwa kufikiri au kisa umskia story ya azana 😛
duuuuu sana tu nakukubal
Bonge moja la ep
Professor ❤
Kuna wachawi jamani mbona hata hamlike 🙏💞 Mimi mdai wenu jamani
Pitia channel yang
Belitu🎉
Asante sana na huu mtiririko wa story
Thanks for uploading the story book regularly
oya ya leo ni kali nimekubali sanaaaaaaaaa
Watching from Kenya muranga county Government headquarters 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Professor umetueka na kiu Sana but it worth it tunakupenda na ahsante ❤️
Allah akubariki Jamal April
This is the excellent research indeed
Ninekua mtu wa 9 kukomenti na nime kua mtu wa 15 ku like plz Ni like bc wadau
Nakubaliana na simulizi hili ..✨️✨️
Ahsante bro..hii ndo simuliz niliokua kua naisubilia kwa hamu Sana...nikijiuliza kwann unachelewa kuisimulia
Tunaomba Story Book ya TITAN MOON OF SATURN Ni mwezi wenye Maajabu Mengi Mnoo,
Titan hauna maajab yoyote. Kaka
Much respect mr Jamal April
Proffeser Jamar April
Noma sana very brighter
Great work professor, we need to talk alot🙏🙏🙏hapa +256 respect!!
Inawezekana ni kweli huyo jama kuskia saut ya azama kwa sababu waislamu mungu wao wanaomwabudu ni mungu mwezi na ndo mana kuna alama ya mwezi kweny misikiti na wakati rumi wao (mungu jua) na ndo mana kweny picha zao nyingi wanamchora yesu ama maria juu yake kuna jua, kwahiyo rumi, na uislamu ni kama mapacha wote wana utamaduni mmoja na asili moja ya kuabudu.
Thus is a palpable truth and no any sound minded person can challenge it!
Watching from Kenya I can't believe I studied this lie in history😮😔😔
Exactly wasted of time😮😮
Story zako ni za kusisimua kweli na ni nzuri na ukweli my alone
marekani WAONGO ime pita miaka 70 hadi leo hakuna alie tumwa kwenda tena mwezini uongo maana saahv ingekua rahisi sabab teknolojia iko juu
valentine tesha mwaka 1972 walienda tena saivi zinafanywa plans za kuunda space base kule mwezini
Kwel kabisa kiongoz
@@justinjames577 Hivi huu uongo nmauamini vp aisee?
Kwanza camera man alitangulia mwezin?
Uongo, walitengeneza tu studioni Mungu hajaruhusu mtu kwenda mwezini
Great work and I enjoy listening to story book from Louisville, Kentucky USA 🇺🇸 🇺🇸
I lyk ur works🤭💞
Nn
Jamal hongera....
The great professor of all time/
may you live long i really enjoy your stories
Thanks our professor jamal
Natamani kuona siku Tanzania tunarusha rocket. I have started. And we move further to the future. In Physics. Thanks The story book.
Mpaka ita isha dunia
Labuda rocket ya kinafiki 😅
The truth of this Allah knows everything
Hiki kiumbe diamond ukipata nadhana anafanikisha Mambo yako mengi Sana..... Nakuona bali Sana Jamal ww ni wa kipekee 🙌🙌🙌
respect jamal
Great work!...tunaomba the true story about Versace's story na his connection to Medusa. Thanks!
@SEXTONE TV 2.3k subscribers L
greaty work from kenya plz jamal nngeomba story ya binadam tajiri dunian elon musk ama jeff bezoes?
Asante kwa story nzuri.
Maranyingi hadithi zako zinaishia kua mahubiri ya uislamu
Sio zote bwana ❤
Kisayansi azana ahiwezi ku sikika kabisa mwezini nawala akusilimu ila ni mawazo ya watu tu ila nakukubali sana🎉🎉
Thank you Jamal for good story
super b professor Jamal🤝🇹🇿
God bless you břóó
Ahsante kwa elimu Kaka, barikiwa sana
Professor unajua tena na tena
Kaka Jamal naweza kukuita mtaalam, nakuona mbali sana,,,
Profesor
Sawaa sawaaaa wanaomkubali like hapaa tafadhali
Tuliosubiri hii Leo kabla ya kulala..nipeni likes.
Thank you Jamal
Unajuwa kaka
It's true story America go to the space,,,, Respect to the America
Daaaa aaaaa umerudii, mjomba umepoteya muda, mrefu
Science haipingwi kwa theory wafanye practice na wao watuoneshe kuwa haiwezekan
More appreciation my big broh!!!
woow
Leo u giv me what the brain what ...mor thanks my big bra
russia is first to be in space, the layer btn earth and moon.mean while america have been the first to touch the moon .so this make the americans the first people to be in moon.
Sio kweli nioungo,hakuna mtu Aliweza kwenda mwenzini , mwezi ni mwanga utawezaje kwenda kwenye mwaga unaoangaza
Nakubali Sana Prof Jamal
Be blessd bro
Nakubal bingwa wangu
professor 👨🏫 profession
Wa 1 likes zangu ambao tulikua tunasbiria hii ep
nakukubalii sanaaaa...!!
The story book ibaki milele..!!
Umesahau kua alama ya bootprint ilopigwa picha na nasa ni tofauti na boot lenyewe lilopigwa picha baada ya kufika
Appreciate you Jamaal
Waaw, very intelligent, big up
Jumanne big up tunaomba story za meli za kigiriki kuusu wazamiaj
Asante kwa kuludi
Unaweza
👍
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni kwl NASA walifika mwezini sawa, na kweli Dr.Neil Armstrong alisikia adhana. Ila kwa maelezo yote hayo cjpata kusikia mahali waandishi wa habari wakienda kumuhoji Dr. Neil juu ya hyo safari na kuthibitisha au wale wenzake wawili, but in surprise way Neil anajitokeza kwnye media na kusema wakati akiwa safarini na alipofika mwezini alikuwa anasikia adhana, hapo naona bado NASA waliukuwa wanaweka michezo ya CCM kuhamisha upepo.
big up
Prof. Jamali
we miss this a lot!!!!
Neil amewahi kuhojiwa mara nyingi sana kuhusu safari ya mwezini lakini hakuwahi kuonyesha kufurahishwa nayo. Hata hiyo nadharia ya kwamba alisikia adhana wala si ya kweli bali ilivumishwa maksudi ili watu waone kama alisikia adhana ina maana kumbe kweli walienda mwezini.
Hakusikia adhana
@@mohamedfadhilisadick3912 Wahuni sana wale mkuu
Karibu sanaa professor Jamal
Napenda sana mambo aya
Yuri Gagarin akiwa kiongozi
Asante kak
Safi sana kk
Nakukubali sana
Hyo style ya kuanza kuonekana ukiongea haipendezi vizuri ungenza story moja kwa1 ushauri
Mr.Professor
PROFESSOR
Jamal nakukubali adi kuzunguzungu em tupe ya Rambo tupe
Man Shaa Allah Big up Bro Jamali
#prof #Jamal anakawia kutupa mambo mapya but u are so good
Tafadhali leta part 2
Jamal ingekili kuwa vizuri ukuwe natu andikiya miaka na esabu kwa namba tuwe tuna elewa vizuri,kwanini Sisi Congo atu elewe uki ya tamuka tu
SaLutE sanaa jamali❤🎉🙏🩸
Jamal professor 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Jamaa uko vzr Sana
Kwa ninavyojua mimi hao hawakua wa kwanza kuingia mwezinii!! Wamarekanii na warusii walishawah kuwarusha wanyama haswa mbwa ndo waliokua wa kwanzaa kufika mwezinii miaka hyo ya 1950s kabl ya hao wakina Neil kufika uko!! Nimezungumzia wa kwanza sio binadamu wa kwanza 🙌😅 Much love Jamal 👍
Kwani mbwa binadamu?
Surely
Mashaallah
mwaka 1969 ni zamani sana kama kweli wangefika huko zamani hizo basi kwa sasa teknolojia ilivofika mbali pangekuwa kama safari ya Dar to Moro simple tu
kweli waliokuwepo kipindi hicho walipigwa na kitu kizito kichwani ...
Prof Anno Oya kaja kujielezea kimchongo
Well explained
Nomaaaaa
Naipenda sana sayansi na ndo maana naisoma ili siku moja nije kwenda Mars
America they got talent,much respect kwao nawakubal sana ❤❤❤
Hatuna cha kusema💖💖