The Story Book: Binaadamu wa Kwanza Kwenda Mwezini, Marekani walitudanganya ??

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 жов 2024
  • The Story Book: Binaadamu wa Kwanza Kwenda Mwezini, Marekani walitudanganya ??
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 489

  • @BacktoPhiladelphiaministry
    @BacktoPhiladelphiaministry 2 роки тому +83

    From Kenya wapi like za professor,..,.♥️♥️♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DignaEliamani
    @DignaEliamani 8 місяців тому +7

    I Appreciate you jamil. Like hapo mnaomkubalii

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 2 роки тому +22

    Duh!!! Ww unatakiwa uwe Mwalimu wa Geography, History na n.K kwenye vyio vikuu kokote Duniani,kiufupi ww ni fireeee #ProfJamal

  • @allydavy6919
    @allydavy6919 Рік тому +4

    Plz Jamal tuandalie story book ya Mtume Muhammad saw

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana382 2 роки тому +127

    Leo nimekua wa kwanza asee.Kaka jamal be blessed asee

  • @zuchu3647
    @zuchu3647 2 роки тому +185

    Huyu Ndio Alinifanya Nifikirie Zaidi Kila Niandikapo Nyimbo Zangu..!!!! Mustapher Umetisha..!!!!

    • @shadrackdamiani1418
      @shadrackdamiani1418 2 роки тому +4

      Mboss 💞💞💞💞💞🇹🇿🇹🇿✔️🇹🇿✔️🇹🇿

    • @superherotv1750
      @superherotv1750 2 роки тому +3

      Mbosso wa michongo😂

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 2 роки тому +2

      @@shadrackdamiani1418 Acha kudanganywa sio Mboso huyo

    • @innocentmandari570
      @innocentmandari570 2 роки тому +3

      We nae huna mada.. kwahiyo story book ndio imekufany uandik kwa kufikiri au kisa umskia story ya azana 😛

    • @rajcancomedy2646
      @rajcancomedy2646 Рік тому +1

      duuuuu sana tu nakukubal

  • @hancylaucymayunga3463
    @hancylaucymayunga3463 2 роки тому +8

    Bonge moja la ep

  • @samsonoundo651
    @samsonoundo651 6 місяців тому +2

    Professor ❤

  • @shadrackdamiani1418
    @shadrackdamiani1418 2 роки тому +94

    Kuna wachawi jamani mbona hata hamlike 🙏💞 Mimi mdai wenu jamani

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki6595 2 роки тому +6

    Asante sana na huu mtiririko wa story

  • @sumaiyakhalid9092
    @sumaiyakhalid9092 2 роки тому +21

    Thanks for uploading the story book regularly

  • @johnalichard1721
    @johnalichard1721 2 роки тому +8

    oya ya leo ni kali nimekubali sanaaaaaaaaa

  • @ivanoniko6830
    @ivanoniko6830 Рік тому +5

    Watching from Kenya muranga county Government headquarters 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @allymwihuva7473
    @allymwihuva7473 2 роки тому +4

    Professor umetueka na kiu Sana but it worth it tunakupenda na ahsante ❤️

  • @nassircalale1860
    @nassircalale1860 2 роки тому +2

    Allah akubariki Jamal April

  • @siamejerry1456
    @siamejerry1456 2 роки тому +12

    This is the excellent research indeed

  • @shadrackdamiani1418
    @shadrackdamiani1418 2 роки тому +15

    Ninekua mtu wa 9 kukomenti na nime kua mtu wa 15 ku like plz Ni like bc wadau

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 Рік тому +3

    Nakubaliana na simulizi hili ..✨️✨️

  • @godfreymdamu3797
    @godfreymdamu3797 2 роки тому +3

    Ahsante bro..hii ndo simuliz niliokua kua naisubilia kwa hamu Sana...nikijiuliza kwann unachelewa kuisimulia

  • @Movic5806
    @Movic5806 2 роки тому +61

    Tunaomba Story Book ya TITAN MOON OF SATURN Ni mwezi wenye Maajabu Mengi Mnoo,

  • @muwezaseifu9029
    @muwezaseifu9029 2 роки тому +19

    Much respect mr Jamal April

  • @RamarKenzi
    @RamarKenzi 8 місяців тому +1

    Proffeser Jamar April
    Noma sana very brighter

  • @ichepatrick324
    @ichepatrick324 2 роки тому +10

    Great work professor, we need to talk alot🙏🙏🙏hapa +256 respect!!

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 11 місяців тому +1

    Inawezekana ni kweli huyo jama kuskia saut ya azama kwa sababu waislamu mungu wao wanaomwabudu ni mungu mwezi na ndo mana kuna alama ya mwezi kweny misikiti na wakati rumi wao (mungu jua) na ndo mana kweny picha zao nyingi wanamchora yesu ama maria juu yake kuna jua, kwahiyo rumi, na uislamu ni kama mapacha wote wana utamaduni mmoja na asili moja ya kuabudu.

  • @OBONDOJAAOMOSH-km4bj
    @OBONDOJAAOMOSH-km4bj 6 місяців тому

    Thus is a palpable truth and no any sound minded person can challenge it!

  • @joanwangui5135
    @joanwangui5135 2 роки тому +17

    Watching from Kenya I can't believe I studied this lie in history😮😔😔

  • @mansourjogi6909
    @mansourjogi6909 2 роки тому +2

    Story zako ni za kusisimua kweli na ni nzuri na ukweli my alone

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 роки тому +13

    marekani WAONGO ime pita miaka 70 hadi leo hakuna alie tumwa kwenda tena mwezini uongo maana saahv ingekua rahisi sabab teknolojia iko juu

    • @justinjames577
      @justinjames577 2 роки тому +1

      valentine tesha mwaka 1972 walienda tena saivi zinafanywa plans za kuunda space base kule mwezini

    • @nyokaroadtv5828
      @nyokaroadtv5828 2 роки тому

      Kwel kabisa kiongoz

    • @befamgaya4633
      @befamgaya4633 2 роки тому

      @@justinjames577 Hivi huu uongo nmauamini vp aisee?

    • @mwinjahidahmed
      @mwinjahidahmed 6 місяців тому

      Kwanza camera man alitangulia mwezin?

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 2 роки тому +2

    Uongo, walitengeneza tu studioni Mungu hajaruhusu mtu kwenda mwezini

  • @tupasesamuel2109
    @tupasesamuel2109 2 роки тому +26

    Great work and I enjoy listening to story book from Louisville, Kentucky USA 🇺🇸 🇺🇸

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 2 роки тому +3

    Jamal hongera....

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 роки тому +12

    The great professor of all time/

  • @kingsleympole109
    @kingsleympole109 2 роки тому +5

    may you live long i really enjoy your stories

  • @sekeladavid1433
    @sekeladavid1433 2 роки тому +1

    Thanks our professor jamal

  • @physicx6077
    @physicx6077 2 роки тому +1

    Natamani kuona siku Tanzania tunarusha rocket. I have started. And we move further to the future. In Physics. Thanks The story book.

  • @5tronics19
    @5tronics19 Рік тому +6

    The truth of this Allah knows everything

  • @danielsanga8459
    @danielsanga8459 2 роки тому +2

    Hiki kiumbe diamond ukipata nadhana anafanikisha Mambo yako mengi Sana..... Nakuona bali Sana Jamal ww ni wa kipekee 🙌🙌🙌

  • @Luciaabeauty
    @Luciaabeauty 7 місяців тому +3

    respect jamal

  • @Official_Evara
    @Official_Evara 2 роки тому +34

    Great work!...tunaomba the true story about Versace's story na his connection to Medusa. Thanks!

  • @godfreymdanya1214
    @godfreymdanya1214 2 роки тому +1

    greaty work from kenya plz jamal nngeomba story ya binadam tajiri dunian elon musk ama jeff bezoes?

  • @simonhatari6232
    @simonhatari6232 Рік тому

    Asante kwa story nzuri.
    Maranyingi hadithi zako zinaishia kua mahubiri ya uislamu

  • @MutikiAlex
    @MutikiAlex Рік тому

    Kisayansi azana ahiwezi ku sikika kabisa mwezini nawala akusilimu ila ni mawazo ya watu tu ila nakukubali sana🎉🎉

  • @rivaldomwananjela8805
    @rivaldomwananjela8805 2 роки тому +10

    Thank you Jamal for good story

  • @michaelalphonce6857
    @michaelalphonce6857 2 роки тому +3

    super b professor Jamal🤝🇹🇿

  • @ramlahamad5483
    @ramlahamad5483 2 роки тому +2

    God bless you břóó

  • @mohammedmajaliwa4722
    @mohammedmajaliwa4722 2 роки тому

    Ahsante kwa elimu Kaka, barikiwa sana

  • @kaazykazunguabdool3266
    @kaazykazunguabdool3266 2 роки тому +1

    Professor unajua tena na tena

  • @alhajisalum5590
    @alhajisalum5590 2 роки тому

    Kaka Jamal naweza kukuita mtaalam, nakuona mbali sana,,,

  • @Frankmlelwa-bp7nb
    @Frankmlelwa-bp7nb 7 місяців тому +1

    Profesor

  • @ismailkidaya4962
    @ismailkidaya4962 2 роки тому +6

    Sawaa sawaaaa wanaomkubali like hapaa tafadhali

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 роки тому +16

    Tuliosubiri hii Leo kabla ya kulala..nipeni likes.

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 2 роки тому +1

    Thank you Jamal

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 2 роки тому +3

    Unajuwa kaka

  • @aubreychuma5449
    @aubreychuma5449 Рік тому

    It's true story America go to the space,,,, Respect to the America

  • @kassimsharia3688
    @kassimsharia3688 2 роки тому

    Daaaa aaaaa umerudii, mjomba umepoteya muda, mrefu

  • @khamisybulebo4341
    @khamisybulebo4341 2 роки тому +7

    Science haipingwi kwa theory wafanye practice na wao watuoneshe kuwa haiwezekan

  • @yummysundfer2372
    @yummysundfer2372 2 роки тому +1

    More appreciation my big broh!!!
    woow
    Leo u giv me what the brain what ...mor thanks my big bra

    • @leahmakuru4458
      @leahmakuru4458 2 роки тому

      russia is first to be in space, the layer btn earth and moon.mean while america have been the first to touch the moon .so this make the americans the first people to be in moon.

  • @EmanuelStart-jd1vr
    @EmanuelStart-jd1vr Місяць тому

    Sio kweli nioungo,hakuna mtu Aliweza kwenda mwenzini , mwezi ni mwanga utawezaje kwenda kwenye mwaga unaoangaza

  • @rukwaonlinetv
    @rukwaonlinetv 2 роки тому +1

    Nakubali Sana Prof Jamal

  • @MarwaMarwa-kd1dm
    @MarwaMarwa-kd1dm 2 роки тому +2

    Be blessd bro

  • @allyhassani2813
    @allyhassani2813 2 роки тому +2

    Nakubal bingwa wangu

  • @amourmbago8005
    @amourmbago8005 2 роки тому +6

    professor 👨‍🏫 profession

  • @chidiberbatov3613
    @chidiberbatov3613 2 роки тому +20

    Wa 1 likes zangu ambao tulikua tunasbiria hii ep

  • @AndidaLyuvale
    @AndidaLyuvale 2 дні тому

    nakukubalii sanaaaa...!!

  • @allykibabendingo8496
    @allykibabendingo8496 2 роки тому

    The story book ibaki milele..!!

  • @ramadhanboi6485
    @ramadhanboi6485 2 роки тому +2

    Umesahau kua alama ya bootprint ilopigwa picha na nasa ni tofauti na boot lenyewe lilopigwa picha baada ya kufika

  • @musaeliasi
    @musaeliasi 4 місяці тому

    Appreciate you Jamaal

  • @EmmanuelMutie-rz2qy
    @EmmanuelMutie-rz2qy 6 місяців тому

    Waaw, very intelligent, big up

  • @shijaolomi6800
    @shijaolomi6800 2 роки тому

    Jumanne big up tunaomba story za meli za kigiriki kuusu wazamiaj

  • @salmapolesanasalma9557
    @salmapolesanasalma9557 2 роки тому

    Asante kwa kuludi

  • @JohnAugustinoMuhoza-bi2in
    @JohnAugustinoMuhoza-bi2in 10 місяців тому

    Unaweza

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 2 роки тому +4

    👍
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @joelrutta3658
    @joelrutta3658 2 роки тому +4

    Ni kwl NASA walifika mwezini sawa, na kweli Dr.Neil Armstrong alisikia adhana. Ila kwa maelezo yote hayo cjpata kusikia mahali waandishi wa habari wakienda kumuhoji Dr. Neil juu ya hyo safari na kuthibitisha au wale wenzake wawili, but in surprise way Neil anajitokeza kwnye media na kusema wakati akiwa safarini na alipofika mwezini alikuwa anasikia adhana, hapo naona bado NASA waliukuwa wanaweka michezo ya CCM kuhamisha upepo.
    big up
    Prof. Jamali
    we miss this a lot!!!!

    • @edwardhoja
      @edwardhoja 2 роки тому

      Neil amewahi kuhojiwa mara nyingi sana kuhusu safari ya mwezini lakini hakuwahi kuonyesha kufurahishwa nayo. Hata hiyo nadharia ya kwamba alisikia adhana wala si ya kweli bali ilivumishwa maksudi ili watu waone kama alisikia adhana ina maana kumbe kweli walienda mwezini.

    • @mohamedfadhilisadick3912
      @mohamedfadhilisadick3912 2 роки тому

      Hakusikia adhana

    • @edwardhoja
      @edwardhoja 2 роки тому

      @@mohamedfadhilisadick3912 Wahuni sana wale mkuu

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 2 роки тому

    Karibu sanaa professor Jamal

  • @barickchawe2544
    @barickchawe2544 2 роки тому +1

    Napenda sana mambo aya

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 2 роки тому +2

    Yuri Gagarin akiwa kiongozi

  • @saymon2pack408
    @saymon2pack408 2 роки тому

    Asante kak

  • @ujukucyprian314
    @ujukucyprian314 2 роки тому

    Safi sana kk

  • @shadrackyuda8745
    @shadrackyuda8745 Рік тому

    Nakukubali sana

  • @musamatengwa2393
    @musamatengwa2393 2 роки тому

    Hyo style ya kuanza kuonekana ukiongea haipendezi vizuri ungenza story moja kwa1 ushauri

  • @guvamalik9253
    @guvamalik9253 2 роки тому +1

    Mr.Professor

  • @binaramplatnumz9723
    @binaramplatnumz9723 2 роки тому +4

    PROFESSOR

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 роки тому +2

    Jamal nakukubali adi kuzunguzungu em tupe ya Rambo tupe

  • @rukingamaboar802
    @rukingamaboar802 2 роки тому

    Man Shaa Allah Big up Bro Jamali

  • @muranisalim3572
    @muranisalim3572 2 роки тому

    #prof #Jamal anakawia kutupa mambo mapya but u are so good

  • @hollymind757
    @hollymind757 2 роки тому +3

    Tafadhali leta part 2

  • @MichelSimba
    @MichelSimba 4 місяці тому

    Jamal ingekili kuwa vizuri ukuwe natu andikiya miaka na esabu kwa namba tuwe tuna elewa vizuri,kwanini Sisi Congo atu elewe uki ya tamuka tu

  • @JokerMdoli-db8se
    @JokerMdoli-db8se 3 місяці тому

    SaLutE sanaa jamali❤🎉🙏🩸

  • @akimjuma2026
    @akimjuma2026 2 роки тому +3

    Jamal professor 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 2 роки тому

    Jamaa uko vzr Sana

  • @maesryclassic456
    @maesryclassic456 2 роки тому +1

    Kwa ninavyojua mimi hao hawakua wa kwanza kuingia mwezinii!! Wamarekanii na warusii walishawah kuwarusha wanyama haswa mbwa ndo waliokua wa kwanzaa kufika mwezinii miaka hyo ya 1950s kabl ya hao wakina Neil kufika uko!! Nimezungumzia wa kwanza sio binadamu wa kwanza 🙌😅 Much love Jamal 👍

  • @sambeny-ge6tw
    @sambeny-ge6tw Рік тому

    Surely

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 роки тому +1

    Mashaallah

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 2 роки тому +2

    mwaka 1969 ni zamani sana kama kweli wangefika huko zamani hizo basi kwa sasa teknolojia ilivofika mbali pangekuwa kama safari ya Dar to Moro simple tu
    kweli waliokuwepo kipindi hicho walipigwa na kitu kizito kichwani ...

  • @augustinomlowe8059
    @augustinomlowe8059 2 роки тому

    Prof Anno Oya kaja kujielezea kimchongo

  • @jumamohamedkidiaunga9224
    @jumamohamedkidiaunga9224 2 роки тому +1

    Well explained

  • @TIKTOKVIDEOS-wk2vu
    @TIKTOKVIDEOS-wk2vu 2 роки тому +1

    Nomaaaaa

  • @fredrickphilomena5291
    @fredrickphilomena5291 2 роки тому +2

    Naipenda sana sayansi na ndo maana naisoma ili siku moja nije kwenda Mars

  • @miriumplatnumz1848
    @miriumplatnumz1848 2 роки тому +2

    America they got talent,much respect kwao nawakubal sana ❤❤❤

  • @Craytos_Baraka
    @Craytos_Baraka 2 роки тому +1

    Hatuna cha kusema💖💖