Amezaliwa Mwaka mmoja baada ya kifo cha Thomas Sankara, na ameingia madarakani mwaka mmoja baada ya kifo cha Magufuli, this is God plan and God sent plan, Africa tunahitaji kujirekebisha kutokana na makosa
U ishi mi lele kwasa ba bu wewe ni kama Mala ika wa afrika nzi ma piya muko mbozi piya na onya vi ongo zi wote wa afrika ku fata uzalendo wako❤❤❤ mimi na ishi kongo.
Kiboko asee hii ni safi sana. Tulikua tunasuburi nini sisi waafrika jamani. Tujue kila kitu kinawakati wake. Na ndio huu hata sasa. Tusishangae, Shangai sana. Mungu atupiganie, wewe aonae yote. Tucidide kumbeane usiku na mchana bila kukoma. Maana jiobgozi wetu wote wanarudi hivi sasa katika Bara la Afrika.
Mwenyezi Mungu muumba azidi kumjalia na kumuongoza pia na kumlinda na maadui na waafrika wote unganeni mkono na kushirikiana pasipo kusalitiana afrika imearibika kwa kosa la kusalitiana tu ndo kunabomoa ukuta wa umoja na uhusiano bora
Raia wake wanakesha kumlinda, wanalala barabarani. Kuna kundi linajiita " wayiyans" yaani hao wanahakikisha mwamba haguswi. Hadi wabibi na wamama wanalala barabarani usiku kwenye mji mkuu wanamlinda mwamba. Washajaribu kumpindua mara kibao lakini wameshindwa. Kumuua huyu labda uwaue raia wote wa Burkina Faso
Yaani hata uso wako unaonyesha kwamba una maanisha kile unachokiongea. Tunawataka viongozi kama nyingi, shida hatupati nafasi ya kuwaweka tunaowataka. Asante.
Maono ya Traore nimazuri Sana ila anapaswa kutumia maarifa na tekiniki Kali Sana, maana hii mizungu(wazungu) inatumia mbinu Kali Sana ya kututawala kimaarifa, afrika inajiweza ila baadhi ya wafrica wachache wanawasariti viongozi wazuri wa Africa.
Uko vizuri iburahim Yaan ingekutana na magufuli mambo yangekua sawa lakin kunae mmoja tunaetegemea akiwa rais mutaenda mwendo moja kwaiyo usijali na pia ruto yuko sawa lakini kwangu mm naona skiwazubaisha kidogo
Wanajeshi wa tz mpo jameni? Angalie namna mwamba Traore anavyowakomboa watu wake kutoka kwenye utumwa mamboleo. Fanyeni kuwalinda wananchi wanyonge ambao hawezi hata kujipambania wenyewe.😢
Mungu ambariki sana Mheshimiwa Ibrahim Traoré.
Aminaaaa
Wewe ni kiongozi makini sana Mungu awatangulie sana
Hakika
Maasha Allah khutuba nzuri
b cmV
b mcg X 2:16
Asante sana IB
Mwamba 😊
I LOVE AFRICAN COUNTY ❤❤❤❤
Wewe ungekutana na magu Africa ingekuwa juu
Kweli
Amezaliwa Mwaka mmoja baada ya kifo cha Thomas Sankara, na ameingia madarakani mwaka mmoja baada ya kifo cha Magufuli, this is God plan and God sent plan, Africa tunahitaji kujirekebisha kutokana na makosa
Juu Africa bado kidogo mpaka vibaraka wote wakae pembeni mda utaongea
Amepishana na magu
long live Ibrahim t
ww uko vizuri kbs
Mtu wa thamani sana.
long live Mr prezo
Very powerful speech
U ishi mi lele kwasa ba bu wewe ni kama Mala ika wa afrika nzi ma piya muko mbozi piya na onya vi ongo zi wote wa afrika ku fata uzalendo wako❤❤❤ mimi na ishi kongo.
❤❤❤
Long live Ibrahim🙏
Huyu ndiye KIONGOZI ANAYEFAA.
THE LEADER WE NEED IN AFRICA::
Masha Allah president
Huyu ndio Africa tunayo itazamia
Mwamba ako sawa kabisa
Facts
Kiboko asee hii ni safi sana. Tulikua tunasuburi nini sisi waafrika jamani. Tujue kila kitu kinawakati wake. Na ndio huu hata sasa. Tusishangae, Shangai sana. Mungu atupiganie, wewe aonae yote. Tucidide kumbeane usiku na mchana bila kukoma. Maana jiobgozi wetu wote wanarudi hivi sasa katika Bara la Afrika.
Merci notre président ❤❤❤
Mwamba wa gaduguh nakukubali sana Ibrahim
A leader of the century
Mwenyezi Mungu muumba azidi kumjalia na kumuongoza pia na kumlinda na maadui na waafrika wote unganeni mkono na kushirikiana pasipo kusalitiana afrika imearibika kwa kosa la kusalitiana tu ndo kunabomoa ukuta wa umoja na uhusiano bora
Mungu atakurinda
Amina
Amiin@@TanganyikaTV
Allaha kuhifadhi Ibrahim traoe tupopamoja
Nakupenda bwana traore
Hutuba nzuri sana mkombonzi wa Afrika❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
SALUTE TO TROAURE
respecting your people is the paramount agenda
Mwamba nakukubari sana
Duh
Mabeneru kwel wata mwacha kamanda wetu
Mungu amlinde.
Raia wake wanakesha kumlinda, wanalala barabarani. Kuna kundi linajiita " wayiyans" yaani hao wanahakikisha mwamba haguswi. Hadi wabibi na wamama wanalala barabarani usiku kwenye mji mkuu wanamlinda mwamba. Washajaribu kumpindua mara kibao lakini wameshindwa. Kumuua huyu labda uwaue raia wote wa Burkina Faso
@@anny19988duh sio mchezo
Jembe la Africa
❤
❤
Shikamoo Ib
🙏💯
Hakika hotuba imeshiba❤❤
❤
Huyu nimwanaumme nanusu,sio huku kwetu Bado tunawapigia magot wazungu watupe misaada namikopo.
Mtu mmoja hatari sana... Mwamba haswa!
MUNGU akuongoze kwalajambo
Amina
Yaani hata uso wako unaonyesha kwamba una maanisha kile unachokiongea.
Tunawataka viongozi kama nyingi, shida hatupati nafasi ya kuwaweka tunaowataka.
Asante.
Hakikaaa
Huyu jamaa nibonge la kiongozi
Zaidi ya kiongozi.
Maono ya Traore nimazuri Sana ila anapaswa kutumia maarifa na tekiniki Kali Sana, maana hii mizungu(wazungu) inatumia mbinu Kali Sana ya kututawala kimaarifa, afrika inajiweza ila baadhi ya wafrica wachache wanawasariti viongozi wazuri wa Africa.
Sahihi
Is it true for poverty in Africa
Mwamba waondoe mabeberu africa
Magufuli na Thomas Sankara ndani ya Mwili wa Mburkinafaso.
Mheshimiwa Ibrahim uko sawa japo utaonekana mvaya kwa wanaojikweza kwa wazungu, usijali MUNGU yuko pamoja na wewe.
tungewapata Traure watano afrika ingesimama
Kwa kiwango kikubwa sana... Viongozi wa namna hii ndo tunawahitaji zaidi.
Kuna siku tutajielewa wazungu wametuloga akili
mung awabari ki wazalendo nakila anayejitolea kusaidiya kongo nalainikila anaye mwanga damu yamuzalendo
Mwamba anaongea ukweli
Alooo katema nyongo
Rais uy ni hatari sanaaa
Tu nahitaji LA watu kama hawa Afrika awe kumitu time jikomboa Africa
Uwongozi duni wa Africa. Wengi wa viongozi wetu ni vibaraka wa wakoroni wauwaji mwenye ukabira usiyo na kifani
Hakika
happy umekosea urusi ndio nani hatuna haha ya kupokea misada Kwa urusi kama tunakataa Kwa mataifa mengine misaada ni misaada tu hajarishi inatoka wapi
Sasa si nafuu maana hata wap wanapata maendeleo
Uko vizuri iburahim Yaan ingekutana na magufuli mambo yangekua sawa lakin kunae mmoja tunaetegemea akiwa rais mutaenda mwendo moja kwaiyo usijali na pia ruto yuko sawa lakini kwangu mm naona skiwazubaisha kidogo
❤❤❤Wewe ni wa kubarikiwa.
🤲🏾💖
Dar yan cc ngoz nyeus
mwamba traore
Mwamba haswa!
Saaf nmekukubar mwamba
YaMungu yakutunze kwakweli,
Amina
Mwafrika halisi, achana na machawa wa watu wa magharibi, we pambana baba
Kwa sababu ya iyo ndio mahana inastahili kuweka kiongo kijana , mawazo na maneno yake nayo ni mbiji Sawa n'a Mika yake.
Bwana traore ni mfano wa kuigwa na viongozi kiafrika
Haswaaa
Viongozi wakiafrica walivyokaa hapo wakisikiliza hotuba bora utafikiri wapo makini kumbe wanawaza michepuko yao
😂😂😂
Kabisa wakuu wa nchi za Africa wengi ni useless, hopeless
Hakika kama hawa niwa chache Afrika
Kweli...
Wanajeshi wa tz mpo jameni? Angalie namna mwamba Traore anavyowakomboa watu wake kutoka kwenye utumwa mamboleo. Fanyeni kuwalinda wananchi wanyonge ambao hawezi hata kujipambania wenyewe.😢
Wanajeshi au mama
Haki Traore ni sululu la Africa, chaimba baba hadi hao nguruwe wakome, ikishindikana washa moto ili walainike
Magu uyu apa
Harafu hali cheki
Hakika wewe ni mzalendo ,,kwan Aflika ingeshikamana nakuwatimua hao ngoz nyeupe tungekuwa mbali.
Urusi simuamini sn
Wanajeshi wa Tanzania wakipatikana wazalendo kama wewe tutatoboa.
Pemben si namuona mpango iv aliongea kwel dogo anamwaga madin yeye amexubaa
Traole mkombonzi
tungewapata Traure watano afrika ingesimama
Hakika
Mungu imbariki Africa Mungu ambariki marais watatu, Mungu rehemu kenya tunasue Kwa mikono baya