MANENO MAZITO YA IBRAHIM TRAORE YALIYOWAKERA VIONGOZI WENGI WA AFRIKA NA UMOJA WA ULAYA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 119

  • @Saidi1581
    @Saidi1581 17 днів тому +5

    Mungu ambariki sana Mheshimiwa Ibrahim Traoré.

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 20 днів тому +5

    Wewe ni kiongozi makini sana Mungu awatangulie sana

  • @huseinomary808
    @huseinomary808 20 днів тому +6

    Maasha Allah khutuba nzuri

  • @Kulimagolddrc
    @Kulimagolddrc 20 днів тому +4

    Asante sana IB

  • @ZuberiAllyzuberi
    @ZuberiAllyzuberi 15 днів тому +1

    I LOVE AFRICAN COUNTY ❤❤❤❤

  • @SoplataNdimbo
    @SoplataNdimbo 20 днів тому +24

    Wewe ungekutana na magu Africa ingekuwa juu

    • @BonnyThéophani-f8i
      @BonnyThéophani-f8i 20 днів тому +4

      Kweli

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba 20 днів тому +6

      Amezaliwa Mwaka mmoja baada ya kifo cha Thomas Sankara, na ameingia madarakani mwaka mmoja baada ya kifo cha Magufuli, this is God plan and God sent plan, Africa tunahitaji kujirekebisha kutokana na makosa

    • @e11said23
      @e11said23 19 днів тому +3

      Juu Africa bado kidogo mpaka vibaraka wote wakae pembeni mda utaongea

    • @bakarimusa6297
      @bakarimusa6297 3 дні тому

      Amepishana na magu

  • @jacobkaberia4609
    @jacobkaberia4609 3 години тому

    long live Ibrahim t

  • @DonathoDavid
    @DonathoDavid 20 днів тому +2

    ww uko vizuri kbs

  • @jacobkaberia4609
    @jacobkaberia4609 3 години тому

    long live Mr prezo

  • @NelsonMerick
    @NelsonMerick 16 днів тому

    Very powerful speech

  • @ShukuruJanvier-e2g
    @ShukuruJanvier-e2g 19 днів тому +2

    U ishi mi lele kwasa ba bu wewe ni kama Mala ika wa afrika nzi ma piya muko mbozi piya na onya vi ongo zi wote wa afrika ku fata uzalendo wako❤❤❤ mimi na ishi kongo.

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 9 днів тому

    Long live Ibrahim🙏

  • @JESUS354
    @JESUS354 5 днів тому

    Huyu ndiye KIONGOZI ANAYEFAA.
    THE LEADER WE NEED IN AFRICA::

  • @saidmasoud7701
    @saidmasoud7701 16 днів тому

    Masha Allah president

  • @RynoFire-w8k
    @RynoFire-w8k 21 годину тому

    Huyu ndio Africa tunayo itazamia

  • @SaidiAlimasi-b2q
    @SaidiAlimasi-b2q 20 днів тому +3

    Mwamba ako sawa kabisa

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 19 днів тому +1

    Facts

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 10 днів тому +1

    Kiboko asee hii ni safi sana. Tulikua tunasuburi nini sisi waafrika jamani. Tujue kila kitu kinawakati wake. Na ndio huu hata sasa. Tusishangae, Shangai sana. Mungu atupiganie, wewe aonae yote. Tucidide kumbeane usiku na mchana bila kukoma. Maana jiobgozi wetu wote wanarudi hivi sasa katika Bara la Afrika.

  • @UkethiUmirembe
    @UkethiUmirembe 15 днів тому

    Merci notre président ❤❤❤

  • @EdwardMongi
    @EdwardMongi 12 днів тому

    Mwamba wa gaduguh nakukubali sana Ibrahim

  • @erickwilson5698
    @erickwilson5698 18 днів тому

    A leader of the century

  • @RizikiVincent
    @RizikiVincent 12 днів тому

    Mwenyezi Mungu muumba azidi kumjalia na kumuongoza pia na kumlinda na maadui na waafrika wote unganeni mkono na kushirikiana pasipo kusalitiana afrika imearibika kwa kosa la kusalitiana tu ndo kunabomoa ukuta wa umoja na uhusiano bora

  • @NadineTuyisenge-j6p
    @NadineTuyisenge-j6p 20 днів тому +3

    Mungu atakurinda

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me 13 днів тому

    Allaha kuhifadhi Ibrahim traoe tupopamoja

  • @NyabendaRuben-oy6ls
    @NyabendaRuben-oy6ls 16 днів тому

    Nakupenda bwana traore

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 16 днів тому

    Hutuba nzuri sana mkombonzi wa Afrika❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shaibuyahayaupette4351
    @shaibuyahayaupette4351 15 днів тому

    SALUTE TO TROAURE

  • @SPRF_Tele_Health_Studio
    @SPRF_Tele_Health_Studio 17 днів тому

    respecting your people is the paramount agenda

  • @MudhiriMbogoli-b6u
    @MudhiriMbogoli-b6u 10 днів тому

    Mwamba nakukubari sana

  • @KidakaEliazary
    @KidakaEliazary 20 днів тому +2

    Duh

  • @OmariRiziki
    @OmariRiziki 20 днів тому +3

    Mabeneru kwel wata mwacha kamanda wetu

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  20 днів тому +1

      Mungu amlinde.

    • @anny19988
      @anny19988 17 днів тому

      Raia wake wanakesha kumlinda, wanalala barabarani. Kuna kundi linajiita " wayiyans" yaani hao wanahakikisha mwamba haguswi. Hadi wabibi na wamama wanalala barabarani usiku kwenye mji mkuu wanamlinda mwamba. Washajaribu kumpindua mara kibao lakini wameshindwa. Kumuua huyu labda uwaue raia wote wa Burkina Faso

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 16 днів тому

      ​@@anny19988duh sio mchezo

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 18 днів тому

    Jembe la Africa

  • @dicksonmwasembe
    @dicksonmwasembe 20 днів тому +1

  • @samsonisaack5145
    @samsonisaack5145 14 днів тому

    Shikamoo Ib

  • @chrissmpunya7186
    @chrissmpunya7186 15 днів тому

    🙏💯

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 19 днів тому +1

    Hakika hotuba imeshiba❤❤

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 19 днів тому +2

    Huyu nimwanaumme nanusu,sio huku kwetu Bado tunawapigia magot wazungu watupe misaada namikopo.

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha6889 19 днів тому +2

    MUNGU akuongoze kwalajambo

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 17 днів тому

    Yaani hata uso wako unaonyesha kwamba una maanisha kile unachokiongea.
    Tunawataka viongozi kama nyingi, shida hatupati nafasi ya kuwaweka tunaowataka.
    Asante.

  • @RizwanAbdallah
    @RizwanAbdallah 19 днів тому +1

    Huyu jamaa nibonge la kiongozi

  • @ShijaMatinde
    @ShijaMatinde 19 днів тому +1

    Maono ya Traore nimazuri Sana ila anapaswa kutumia maarifa na tekiniki Kali Sana, maana hii mizungu(wazungu) inatumia mbinu Kali Sana ya kututawala kimaarifa, afrika inajiweza ila baadhi ya wafrica wachache wanawasariti viongozi wazuri wa Africa.

  • @ErickPaul-l4h
    @ErickPaul-l4h 9 днів тому

    Is it true for poverty in Africa

  • @ExaudElisamia-z8d
    @ExaudElisamia-z8d 20 днів тому +2

    Mwamba waondoe mabeberu africa

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  20 днів тому

      Magufuli na Thomas Sankara ndani ya Mwili wa Mburkinafaso.

  • @polinatusmwemezi-pc2pl
    @polinatusmwemezi-pc2pl 3 дні тому

    Mheshimiwa Ibrahim uko sawa japo utaonekana mvaya kwa wanaojikweza kwa wazungu, usijali MUNGU yuko pamoja na wewe.

  • @amirmsami4900
    @amirmsami4900 20 днів тому +2

    tungewapata Traure watano afrika ingesimama

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  20 днів тому +1

      Kwa kiwango kikubwa sana... Viongozi wa namna hii ndo tunawahitaji zaidi.

    • @FrankMollel-c4m
      @FrankMollel-c4m 19 днів тому +1

      Kuna siku tutajielewa wazungu wametuloga akili

  • @bangobmkBmk
    @bangobmkBmk 6 днів тому

    mung awabari ki wazalendo nakila anayejitolea kusaidiya kongo nalainikila anaye mwanga damu yamuzalendo

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 20 днів тому +2

    Mwamba anaongea ukweli

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 19 днів тому +1

    Alooo katema nyongo

  • @EloyMwanjota-n6v
    @EloyMwanjota-n6v 12 днів тому

    Rais uy ni hatari sanaaa

  • @RamadhaniKaoneka-lv7lz
    @RamadhaniKaoneka-lv7lz 11 днів тому +1

    Tu nahitaji LA watu kama hawa Afrika awe kumitu time jikomboa Africa

  • @johnmukoremaelo2187
    @johnmukoremaelo2187 19 днів тому +1

    Uwongozi duni wa Africa. Wengi wa viongozi wetu ni vibaraka wa wakoroni wauwaji mwenye ukabira usiyo na kifani

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 19 днів тому +2

    happy umekosea urusi ndio nani hatuna haha ya kupokea misada Kwa urusi kama tunakataa Kwa mataifa mengine misaada ni misaada tu hajarishi inatoka wapi

    • @paulkambonya8001
      @paulkambonya8001 19 днів тому

      Sasa si nafuu maana hata wap wanapata maendeleo

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 18 днів тому

    Uko vizuri iburahim Yaan ingekutana na magufuli mambo yangekua sawa lakin kunae mmoja tunaetegemea akiwa rais mutaenda mwendo moja kwaiyo usijali na pia ruto yuko sawa lakini kwangu mm naona skiwazubaisha kidogo

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 18 днів тому

    🤲🏾💖

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 19 днів тому +1

    Dar yan cc ngoz nyeus

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 20 днів тому +3

    mwamba traore

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 13 днів тому

    Saaf nmekukubar mwamba

  • @protasmligo4032
    @protasmligo4032 19 днів тому +1

    YaMungu yakutunze kwakweli,

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 15 днів тому

    Mwafrika halisi, achana na machawa wa watu wa magharibi, we pambana baba

  • @KikuvinDalton-sq2ny
    @KikuvinDalton-sq2ny 9 днів тому

    Kwa sababu ya iyo ndio mahana inastahili kuweka kiongo kijana , mawazo na maneno yake nayo ni mbiji Sawa n'a Mika yake.

  • @NyabendaRuben-oy6ls
    @NyabendaRuben-oy6ls 16 днів тому

    Bwana traore ni mfano wa kuigwa na viongozi kiafrika

  • @FarajaKihembwe
    @FarajaKihembwe 18 днів тому

    Viongozi wakiafrica walivyokaa hapo wakisikiliza hotuba bora utafikiri wapo makini kumbe wanawaza michepuko yao

  • @ErickPaul-l4h
    @ErickPaul-l4h 9 днів тому

    Hakika kama hawa niwa chache Afrika

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 15 днів тому

    Wanajeshi wa tz mpo jameni? Angalie namna mwamba Traore anavyowakomboa watu wake kutoka kwenye utumwa mamboleo. Fanyeni kuwalinda wananchi wanyonge ambao hawezi hata kujipambania wenyewe.😢

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 15 днів тому

    Haki Traore ni sululu la Africa, chaimba baba hadi hao nguruwe wakome, ikishindikana washa moto ili walainike

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 19 днів тому +1

    Magu uyu apa

  • @BushiriRashid
    @BushiriRashid 16 днів тому

    Harafu hali cheki

  • @JafariMohamedi-r5d
    @JafariMohamedi-r5d 15 днів тому

    Hakika wewe ni mzalendo ,,kwan Aflika ingeshikamana nakuwatimua hao ngoz nyeupe tungekuwa mbali.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 16 днів тому

    Urusi simuamini sn

  • @OscarKasalile
    @OscarKasalile 2 дні тому

    Wanajeshi wa Tanzania wakipatikana wazalendo kama wewe tutatoboa.

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo 16 днів тому

    Pemben si namuona mpango iv aliongea kwel dogo anamwaga madin yeye amexubaa

  • @CharlesSunjila
    @CharlesSunjila 13 днів тому

    Traole mkombonzi

  • @amirmsami4900
    @amirmsami4900 20 днів тому +1

    tungewapata Traure watano afrika ingesimama

    • @TanganyikaTV
      @TanganyikaTV  16 днів тому

      Hakika

    • @joshuamutambuki6643
      @joshuamutambuki6643 15 днів тому

      Mungu imbariki Africa Mungu ambariki marais watatu, Mungu rehemu kenya tunasue Kwa mikono baya