Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 вер 2024
  • Je kuna nyakati huwa huyaelewielewi mahusiano yako? Je unahisi mpenzi wako ni mtu wa kubadilikabadilika? Unagunduaje kama uko kwenye mahusiano feki? Kumbuka mahusiano feki hayakupeleki sehemu, yanakupotezea muda tu. Ungana nami nikusaidie kufahamu dalili 5 za kukuonyesha kuwa upo kwenye mahusiano feki.
    #DrChrisMauki#Dalili#Mahusiano

КОМЕНТАРІ • 822

  • @heavenlightfrank6203
    @heavenlightfrank6203 Рік тому +61

    Through your channel nimeweza kufanya maamuzi magumu ya kumove on baada ya kupoteza miaka 8 kasoro pasipo ndoa , hii channel imeniwezesha kujitambua na kutambua hali halisi ya mahusiano niliyokuwa nayo, barikiwa sana Dr. Endelea kuwasaidia wengine

  • @metrinembone9861
    @metrinembone9861 2 роки тому +11

    Aki nilkua na stress ya mausiano yangu lkin after kuskiza haya maubili am okay and I know what to do now thank you so much God bless you

  • @zaitunisingano8295
    @zaitunisingano8295 Рік тому +12

    Daah kwa mara ya kwanza leo nimepata nafasi ya kusikiliza somo lako hakika kuna vitu nimejifunza 🙏🙏 barikiwa sana asilimia 90 ya maneno yako ndio tunayoyaishi kwenye mahusiano lkn wengi tunaishi kwa dhana potofu yakusema #ATABADILIKA pasipo kufaham kipindi unachosubiri mabadiliko yake ndo kipindi ambacho yey anakupotezea muda na njia ya maisha yako.

    • @halifaalliy6332
      @halifaalliy6332 Рік тому

      😭😭😭true

    • @mariamponera6386
      @mariamponera6386 11 місяців тому

      Sana kupoteza muda atabadilika wapi mpk unazeeka ndoa unakumbuka kama hiki choo sicho

  • @tatukahumbira3317
    @tatukahumbira3317 2 роки тому +9

    I am seeing this after a year but am not regretting at all,be health,stay blessed THANK YOU SO MUCH🤝

    • @peshngina7430
      @peshngina7430 11 місяців тому

      Aki nimepitia kila kitu 😢😢I date for 4yeras na tukawachana

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 Рік тому +5

    Asante sana kaka CRIS kwakweli unatuelimisha saana ,Mungu akubarik naomba taaratibu za kukuona live kiushaur Nasaha.

  • @wilkisteregesa4845
    @wilkisteregesa4845 3 роки тому +17

    Hapa ni msumari lakini nimepata jibu yaani shindano inadunga kwa mfupa direct ♡

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      Asante sana

    • @elizabethmwabaya6905
      @elizabethmwabaya6905 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 kaka na utajuaje kama uko mkwenye mhusiano sa hii

    • @NuruChande
      @NuruChande 2 місяці тому

      ​@@elizabethmwabaya6905vise versa ya hizo dalili fek ndio...dall sahh

  • @RhodaSilass-wq3xl
    @RhodaSilass-wq3xl 6 місяців тому +2

    Asante sana ubarikiwe na Mungu mapenzi yametup shida kwa kweli

  • @neemasamwel27
    @neemasamwel27 Рік тому +2

    Barikiwa sana doct chris nimejifunza kitu kupitia mafundisho yako mazuri

  • @leahmgunda5055
    @leahmgunda5055 3 роки тому +19

    Makanisa yanajitahidi sana kulea watu wake Mungu azidi kuwapa mafunuo.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 3 роки тому +2

    Shukran Shukran Shukran Shukran sna Allah akulipe kheir

  • @ossyhaule5128
    @ossyhaule5128 7 місяців тому +1

    Asante sana Dr. Chriss umeniongezea maarifa...Mungu akubariki sana

  • @aberamartine123
    @aberamartine123 3 роки тому +18

    Daah! Doctor Chris kiukweli somo la leo limenigusa Sana dah Kila kitu kipo hivyo barikiwa Sana Kaka angu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      asante sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      Asante sana

    • @happyalphonce9287
      @happyalphonce9287 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 daaah! Mch kiukweri haya yapo baba nimetendwa Sana mpaka nikakoswa mwelekeo.

    • @witnessobadia3076
      @witnessobadia3076 3 роки тому

      Nikweli vijana tunapaswa tujitambue ili tufikie malengo

    • @eunicemwanjile5202
      @eunicemwanjile5202 Рік тому

      Doctor Chris nimependa somo lako ingawa nimechelewa kupata mwanga tokea mwanzo ,,,niko kwenye mahusiano ambayo siyaelewi tuna miaka miwili lkn niko na mwanaume ambae simjui rafiki ake hata mmoja na always he says he misses me lkn am the only one paying him a visit nikimuuliza anasema someday atafanya something big ,,I just don't feel love and trust to him ,when am with him its only a sexual way

  • @hellennekesawanjala1860
    @hellennekesawanjala1860 2 роки тому +7

    Amen, amen and amen.
    You opened my eyes.
    This is my message Man of God.
    May God bless you

  • @oliviasalivatory5934
    @oliviasalivatory5934 3 роки тому +2

    Asantee saana Dr umenifungua kwel mungu akubariki

  • @lindaminja7969
    @lindaminja7969 2 роки тому +5

    Daaaah!!! Shukrani sana kwa somo zuri mno. Nimejifunza mengi na dalili zote zilikuwepo kwenye mahusiano yangu yaliyopita ila ninamshukuru Mungu nimejitoa mapema japo ilikuwa ni ngumu kwangu kijitoa. Barikiwa mno dr.chris🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @lindaminja7969
      @lindaminja7969 2 роки тому

      Ndio, nimeshafanya hivyo ondoa hofu. Nafurahi kwa masomo yako ni imani yangu tukisikiliza na kuzingatia kwa vitendo hakika maisha yatakwenda vizuri kuliko tunavyotarajia. Barikiwa mno kiongozi wetu kwa jamii nzima.

    • @tumainimtingitingi4883
      @tumainimtingitingi4883 2 роки тому

      Kazi kweli

    • @khadijaramadhani3523
      @khadijaramadhani3523 Рік тому

      Ebu nambiee vip ulifanya

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 3 роки тому +8

    Naam Dr nathibitisha sasa kwa somo lako hili kuwa nipo na mtu sahihi kwa ndani ys miaka 37 ya ndoa..shukran saaana Dr

  • @tabumwaipaja5116
    @tabumwaipaja5116 Рік тому +2

    It's first time but I understand alot but be blessed man of God

  • @DBrownstain
    @DBrownstain Рік тому +1

    Wow! Wow! Wow! Asante sana Doc,... Hakika Mb zangu hazijaenda Bure.
    Mwenye sikio na asikie.
    God bless you sir.

  • @juliawnjeri5913
    @juliawnjeri5913 3 роки тому +1

    Wow I get dhis link today...thankyou Jesus kwa kupatana na mutumish wako anayefuza watoto wako maneno matamu hivi🙏🙏🙏God bless u mutumishi.....

  • @merryg5520
    @merryg5520 2 роки тому +1

    Asante Sana Dr nmeelewaa Asante mungu Asante kwa Somo zurii kabisa 🙏🙏🙏 tuokoe vijana

  • @jasonmwamba-mp2ql
    @jasonmwamba-mp2ql Рік тому +1

    Shukran Kaka kwa somo lako maan umeniondoa kwenye kiza nilichofichwaa

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 роки тому +3

    Ndoa yangu ulikuwa ya kukatisha tamaa nilimpenda Sana mme wangu,niliposikia haha nilichukua hatua! Pole pole,nilimtoa moyoni na kuendelea na Maisha,Asante Sana,

  • @NeemaMacpherson
    @NeemaMacpherson 2 місяці тому

    Mungu akubariki sana Doctor kwakutufumbua masikio ya ndani na yainje naakilizetu pia barikiwa sana , mdau mpya

  • @felixchristian7912
    @felixchristian7912 Рік тому +2

    You have touched my heart Dr i feel so pain in my life🙏

  • @leahmungure6538
    @leahmungure6538 Рік тому +3

    True that man of God you have helped me a lot, am leaning more 🙏🙌

  • @mdmansoor9920
    @mdmansoor9920 3 роки тому +2

    Nmependa somo lako pastor barikiwa xana

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 7 місяців тому +1

    Very true Dr .chris God bless you

  • @marymwanga7542
    @marymwanga7542 2 роки тому +2

    Amen ubarikiwe Sana brother hakika nimejifunza kitu kwenye somo lako🙌🙏🙏

  • @nufairahalex9010
    @nufairahalex9010 2 роки тому +1

    @Aiseee kumbe nilikua kwenye giza nene sana and sometimes naona dalili zote lkn sikuwahi kujidadavua,nadhani this time ntaweza na kulea watoto wangu,Nimekusikiliza vizuri sana Dr shukrani

  • @angelnjiku1979
    @angelnjiku1979 Рік тому +1

    Mungu akubariki sana Dr Chris, japo nimechelewa kuliona hili somo ila nimejifunza, nimetoka kuachana na mtu wa hivo yan kilakitu ulichosema alikuwa ivo,

  • @froliankakwezi9513
    @froliankakwezi9513 3 роки тому +4

    Asante Dr umenifungua

  • @upendosollomon8998
    @upendosollomon8998 3 роки тому +3

    That's why you talk true dr.balikiwa kwa ushauli wako mzuli🙏🙏🙏

  • @magretmdachi3550
    @magretmdachi3550 3 роки тому +8

    duuuuh dalili zote zipo kwenye mahusiano yangu. duuuuuuh mungu asante kwa kunionyesha mapem

  • @anethmushi5997
    @anethmushi5997 3 роки тому +1

    Ubarikiwe kwa somo lako nimejifunza niliko na nitakapoelekea Kama kijana

  • @faithmsungu3272
    @faithmsungu3272 2 роки тому +1

    Asante Dr ...somo zuri sana,Nazidi kujifunza,Ubarikiwe sana.

  • @nasmakarim4591
    @nasmakarim4591 2 роки тому +1

    Asante mutumish kwa neno lako umenisaidia San umenifungua akil yang kwasabab mtu niliy nay nimeshoka na mambo yake tukigombana tu ana niambiy nenda Sina shida na wew ulizani upo wew tu kiukweli ana maneno ya Kashif mba San

    • @MaryamSaid-s3v
      @MaryamSaid-s3v 6 місяців тому

      😭😭😭 upo upo tu ucdhan km ucpokuwepo mambo yng hayataenda. Cna aman hebu tafuta pahala uwende nipumzishe akili yangu ni lashfa juu ya kashfa ndugu tunateseka sana ndugu tunaish na watu ambao hawaon thaman zetu

  • @dianamasao1210
    @dianamasao1210 Рік тому +7

    DO NOT IGNORE RED FLAGS.
    This is so true ni vile huwa tunakaza ubongo

  • @maggieabel1671
    @maggieabel1671 3 роки тому +3

    Woow thank you Dr. Nmejifunza mnoo,,action zifate sasa

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      Asante sana sana. Pls usisahau kusubscribe

  • @Maria-fy6sj
    @Maria-fy6sj Рік тому +1

    Asante kwa kunifungua akili yangu...... ubarikiwe sanaaaaaaa....

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 Рік тому +3

    Uishi miaka mingi ukomboe nafs za watu #Smart mind✍️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @thomasthobias3369
    @thomasthobias3369 3 роки тому +2

    Nimekupata vyema mtumishi, Barikiwa.

  • @ااا-ظ2ي
    @ااا-ظ2ي 8 місяців тому

    Exactly Dr I feel so tired in my life so longtym,,,,,good point lkn mwisho nilijiondoa kwenye usiano huo Dr it's true be blessed keep it up ur lesson teaching

  • @vickngowi2779
    @vickngowi2779 3 роки тому +8

    Kwa Sasa nipo kwenye mahusiano sahiuo😍 thank God .naomba Mungu isibadilike

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @paulmwenisongole354
      @paulmwenisongole354 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 mtumishi umenikosha mno na kunifumbua macho

  • @aminamohamedi5186
    @aminamohamedi5186 3 роки тому +5

    Imenigusa sana somo zuri muno kwakwel ubarikiwe mutumishi

  • @vascoyohana5811
    @vascoyohana5811 3 роки тому +1

    Asante kwa ushaur mzur nime upenda

  • @bettykusa8883
    @bettykusa8883 2 роки тому +2

    Asanty sana kwa haya mafunzo,,,nimejifunza mengi sana haya matano yote yako kwenye mahusiano yangu,,,nashindwa chakunya,,lakini kupitia haya mafunzo itabidi nijitoe mapema kuliko ningoje when it's too late...be blessed...

    • @zaitunidadi4805
      @zaitunidadi4805 2 роки тому

      Nimejifuza kitu na kuazia leo mausiano hayo ninayo ila inabidi niachanenayo

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 2 місяці тому +3

    Dalili za mahusiano feki
    1.don't waist ur time
    2.toxic relationship
    3.mahusiano yoyote yanawagarimu wote wawili
    1)shida kwenye mawasiliano yenu
    2)anaonyesha kukupenda mbele za watu kuliko mkiwa wenyewe
    3)unahisi ubutu wa mahusiano yenu hakuna amazing feeling
    4)mahusiano yako yanakufanya confused and frustrated bora uwe na dilemma kwenye vyote si mahusiano yako
    5.hakuna mazungumzo ya kawaida unaogopa kuongea lolote
    6.ushindani mwingi mnashindana zaidi ya kuendana
    See humans before marriage you want pole approval or ur safety
    5)
    4)

  • @faith7040
    @faith7040 Рік тому +1

    Nashukuru sana dr Chris

  • @MwaminiBoniphace
    @MwaminiBoniphace 11 місяців тому

    Asante sana pastor MUNGU akubaliki

  • @KiliyaniMahanganile-xv5mi
    @KiliyaniMahanganile-xv5mi 11 місяців тому

    Asante mtumishi kila atua unayo pig unaenda kujenga mwenyez mungu akubalik

  • @neemajumbe5802
    @neemajumbe5802 3 місяці тому

    Asante sana nimejifunza ya hayo ndo maisha yangu niyoishi jaman

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 3 роки тому +4

    Huo ni ukweli kabisa kakaangu ubarikiwe sana

  • @MegaNasri-bv7tc
    @MegaNasri-bv7tc 3 місяці тому

    Sir thank you so much, nimetoka kilia dk chache nyuma baada ya apo nikaingia apa.
    Kwakweli nimepata jibu I need to move on, may God continue to bless you sir. 🙏

  • @qasigwa8981
    @qasigwa8981 3 роки тому +7

    Thanks Dr🙏🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @lilianlubanga4010
    @lilianlubanga4010 3 роки тому +4

    Wonderful teachings .GOD BLESS you.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @jojojojo8896
      @jojojojo8896 2 роки тому +1

      Am marione am whoching from kenya 🇰🇪 fosure napenda your advice,,, may God bless your work 💪

  • @belitangove704
    @belitangove704 Рік тому +2

    Thank you for this lesson aky 😢😢😢 kutoka leo nimeacha mtoto wa wenyewe .11/2 yrs cjapelekwa introduction have turn 31 yrs.tukimet hakuna kitu huwa nambiiwa about marriage has not put things in order ni complain za doh kila saa no kasonge kasonge God bless me with another man plz 🙏

  • @tausimickidad6733
    @tausimickidad6733 3 роки тому +3

    Amiiiin dr. Umetufungua wengi

  • @mariakalinga9917
    @mariakalinga9917 3 роки тому +6

    Thanks for the teachings you have helped me so much

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @annasteciambungo3360
      @annasteciambungo3360 2 роки тому

      Naomba namba plz

    • @mathiasmwashiuya3280
      @mathiasmwashiuya3280 Рік тому

      Nikweli kabia atamm yakwangu feki nifanifanje iri nitoke .kwenye mausiana feki

  • @saifsaif8162
    @saifsaif8162 3 роки тому

    Ubarkiwe sana krish mwenyezi Mungu akuzidishie zaid na zaid katika mafundisho Amina

  • @jacintakhaombi3474
    @jacintakhaombi3474 3 роки тому +1

    Barikiwa zaidi tena Sana mtumshi wa MUNGU,am blessed n nimejifunza mengi mno,🙏🙏🙏

  • @جانيتالعبيدي
    @جانيتالعبيدي Рік тому

    Mafundisho mazuri Dr Chris God bless you ❤so much

  • @user-hm2wv6fe3k
    @user-hm2wv6fe3k 11 місяців тому

    Allahamdulilah na kushukuru sana MUNGU akuzidishie🤲🤲🤲🤲

  • @floranceh5333
    @floranceh5333 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kw mafunzo mazuri

  • @waridiirongo2061
    @waridiirongo2061 3 роки тому +1

    Nakupenda bur Baba nipo kwenye mausiano bora💕💕💕💕💕

  • @sirjude208
    @sirjude208 7 місяців тому +1

    I don't know what I was exactly looking for when this was recommended to me, but I'm sincerely grateful that I am helped, very insightful and educative. There's a very difficult decision I'm about to make😢😮

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Рік тому +1

    Dr Chris thank you for your knowledge 🙏
    I wish if we can talk

  • @lucksonrupa3618
    @lucksonrupa3618 11 місяців тому

    Duuuu aiseee Mungu akubaliki sana sana somo nzuri

  • @jessiepaulthebeautifulange1749
    @jessiepaulthebeautifulange1749 2 роки тому +5

    My first time to watch ,Thankyou Dr .Chris ,am more educated than before🇰🇪🇰🇪🔥🔥🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 Рік тому

    Mungu akubariki Sana kwa hii elimu ya mahusiano 👏👏🙏

  • @sacg9783
    @sacg9783 Рік тому

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,tunajengeka kiroho na kimwili🙏🙏🙏🙏🙏😍

  • @elimeliklyampinga6608
    @elimeliklyampinga6608 3 роки тому +2

    Barikiwa na mafundsho

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Рік тому

    Ahsanteh Sana Engineer mauki

  • @imaculatemhagama3277
    @imaculatemhagama3277 Рік тому

    Sijui nisemeje Ila umenisaidia Sana Mungu akubariki

  • @ElinkailaKiula
    @ElinkailaKiula Місяць тому

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @mercyaa1863
    @mercyaa1863 Рік тому

    Ni kama umenigusa,sana umenifundisha jambo nzuri sana ,for thanks for good advice

  • @NeemaNjile9
    @NeemaNjile9 5 місяців тому

    Ubarikiwe mno mtumishi wa mungu

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 3 роки тому +1

    Hii nzuri sana kwa vijana, big up Dr

  • @preciousnyange7151
    @preciousnyange7151 3 роки тому +6

    Mafundisho yako mazuri nilikua najua mwanaume wangu sio MTU sahihi kumbe nilikua tofauti umenisaidia sana anasifa zote japo ana hasira sana ilanimwepesi sana kuomba msamaha hata kama kosa nilangu anapenda sana suluhu

  • @StanleyKatana
    @StanleyKatana 3 місяці тому

    Asante sana umenijenga Mungu akubariki mm nlikuwa vitim wa love fake sasa nimefunguka macho...

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard189 3 роки тому +4

    Mimi huwa naanza mahusiano, lakn nikiumizwa au kukumbushwa aisee huwa piga chini, lakni kwa hii somo I have to change na sasa namwomba Mungu anijalie wa ubavu wangu.

  • @lilianlubanga4010
    @lilianlubanga4010 3 роки тому +1

    Wow Ni Mara ya kwanza kuskiza clip zako Na nimefundishika sana sana

  • @loicewanjira7750
    @loicewanjira7750 Рік тому +1

    Watching from Kenya 🇰🇪keep it up good work👌

  • @NeemaSimon-pt4ny
    @NeemaSimon-pt4ny 4 місяці тому

    Mungu akubarik

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 Рік тому +2

    Duh! Kwa dalili mbili nimegundua niliwah ishi kwenye mahusiano miaka 10 lkn namshukuru Mungu hatupo pamoja tena

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Рік тому

      Before anything ask God he will bring right person to you

  • @esteremmanuel1796
    @esteremmanuel1796 3 роки тому +1

    Ubarikiwee sana doctor nimejifunza sanaa

    • @asteriakimbi7183
      @asteriakimbi7183 6 місяців тому

      Asante doctor nimejifunza.nimejigundua nipo wap

  • @ediusiganiza4737
    @ediusiganiza4737 Рік тому

    Ahsante Dr. duuh !!!

  • @mohammedalshahwani1542
    @mohammedalshahwani1542 3 роки тому +2

    This is True God bless you

  • @winventoti3710
    @winventoti3710 Рік тому

    Woow hayo mafundisho ni matamu sana, I love it

  • @zainba7812
    @zainba7812 Місяць тому

    Barikiwa sna

  • @noelathomas5770
    @noelathomas5770 Рік тому +1

    Nakusikilizaga mara nyingi nakuelewa sana ila Huwa sicomment , but for today let me say Thanks for the lesson unaongea fact

  • @wnjink8400
    @wnjink8400 3 роки тому +1

    Asante sana somo zur

  • @aminatambi9831
    @aminatambi9831 Рік тому

    Dr.You make me happy.Do you?Keep it up.Am not belonging to your church.

  • @annajaydenjayden3517
    @annajaydenjayden3517 2 роки тому +1

    Asante kwa kufumbua ufahaham Wang kwa SoMo zuri...ningependa kupata no yako

  • @FaresterGaspary
    @FaresterGaspary 5 місяців тому

    😢 ubarikiwe Dr chris ❤🎉

  • @queenbundala6188
    @queenbundala6188 3 роки тому +3

    Thank you dr, MUNGU akubariki sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @noramosha4138
    @noramosha4138 3 роки тому +4

    Blessings brother

  • @user-gr1oz5pg9z
    @user-gr1oz5pg9z 6 місяців тому

    Ubarikiwe sanaaa mtumishi

  • @jacintachari6064
    @jacintachari6064 3 роки тому +2

    Nmebarikiwa

  • @floridanyabikwi9304
    @floridanyabikwi9304 2 місяці тому

    Ubarikiwe sana mtumishi nimeelewa niko upande upi leo

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 роки тому +6

    Ndo yanayonikuta nilimtegemea kuwa baba wa watoto wangu lakini kwa Sasa yameshapoteza muelekeo,tunaweza kaa miezi kadhaaa bila mawasiliano .unafiwa ajali hata chembe,Mungu tusaidie nyakati ngumu hizi kumpenda mtu usiyeuona moyo wake

    • @lizzybahati9833
      @lizzybahati9833 3 роки тому

      Kwa kweli hili ni changamoto sana sjui tunaelekea wap mambo ya dgtal yameharibu sana kwa upande mwingine bas tu

    • @apoloniaalex2825
      @apoloniaalex2825 3 роки тому

      Pole sana tedy

    • @YASINTAVICENT
      @YASINTAVICENT Рік тому

      Shukuru Mungu