Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- Je kuna nyakati huwa huyaelewielewi mahusiano yako? Je unahisi mpenzi wako ni mtu wa kubadilikabadilika? Unagunduaje kama uko kwenye mahusiano feki? Kumbuka mahusiano feki hayakupeleki sehemu, yanakupotezea muda tu. Ungana nami nikusaidie kufahamu dalili 5 za kukuonyesha kuwa upo kwenye mahusiano feki.
#DrChrisMauki#Dalili#Mahusiano
Through your channel nimeweza kufanya maamuzi magumu ya kumove on baada ya kupoteza miaka 8 kasoro pasipo ndoa , hii channel imeniwezesha kujitambua na kutambua hali halisi ya mahusiano niliyokuwa nayo, barikiwa sana Dr. Endelea kuwasaidia wengine
The same here
Miaka nane n mm naona tano kaa mingi
Mm miaka9 looh🙄
Mimi mwaka na nusu ila nilikoma
😢😢😢😢
Aki nilkua na stress ya mausiano yangu lkin after kuskiza haya maubili am okay and I know what to do now thank you so much God bless you
Daah kwa mara ya kwanza leo nimepata nafasi ya kusikiliza somo lako hakika kuna vitu nimejifunza 🙏🙏 barikiwa sana asilimia 90 ya maneno yako ndio tunayoyaishi kwenye mahusiano lkn wengi tunaishi kwa dhana potofu yakusema #ATABADILIKA pasipo kufaham kipindi unachosubiri mabadiliko yake ndo kipindi ambacho yey anakupotezea muda na njia ya maisha yako.
😭😭😭true
Sana kupoteza muda atabadilika wapi mpk unazeeka ndoa unakumbuka kama hiki choo sicho
I am seeing this after a year but am not regretting at all,be health,stay blessed THANK YOU SO MUCH🤝
Aki nimepitia kila kitu 😢😢I date for 4yeras na tukawachana
Asante sana kaka CRIS kwakweli unatuelimisha saana ,Mungu akubarik naomba taaratibu za kukuona live kiushaur Nasaha.
Hapa ni msumari lakini nimepata jibu yaani shindano inadunga kwa mfupa direct ♡
Asante sana
@@ChrisMauki1 kaka na utajuaje kama uko mkwenye mhusiano sa hii
@@elizabethmwabaya6905vise versa ya hizo dalili fek ndio...dall sahh
Asante sana ubarikiwe na Mungu mapenzi yametup shida kwa kweli
Barikiwa sana doct chris nimejifunza kitu kupitia mafundisho yako mazuri
Makanisa yanajitahidi sana kulea watu wake Mungu azidi kuwapa mafunuo.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Shukran Shukran Shukran Shukran sna Allah akulipe kheir
Asante sana Dr. Chriss umeniongezea maarifa...Mungu akubariki sana
Daah! Doctor Chris kiukweli somo la leo limenigusa Sana dah Kila kitu kipo hivyo barikiwa Sana Kaka angu
asante sana
Asante sana
@@ChrisMauki1 daaah! Mch kiukweri haya yapo baba nimetendwa Sana mpaka nikakoswa mwelekeo.
Nikweli vijana tunapaswa tujitambue ili tufikie malengo
Doctor Chris nimependa somo lako ingawa nimechelewa kupata mwanga tokea mwanzo ,,,niko kwenye mahusiano ambayo siyaelewi tuna miaka miwili lkn niko na mwanaume ambae simjui rafiki ake hata mmoja na always he says he misses me lkn am the only one paying him a visit nikimuuliza anasema someday atafanya something big ,,I just don't feel love and trust to him ,when am with him its only a sexual way
Amen, amen and amen.
You opened my eyes.
This is my message Man of God.
May God bless you
Asantee saana Dr umenifungua kwel mungu akubariki
Daaaah!!! Shukrani sana kwa somo zuri mno. Nimejifunza mengi na dalili zote zilikuwepo kwenye mahusiano yangu yaliyopita ila ninamshukuru Mungu nimejitoa mapema japo ilikuwa ni ngumu kwangu kijitoa. Barikiwa mno dr.chris🙏🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Ndio, nimeshafanya hivyo ondoa hofu. Nafurahi kwa masomo yako ni imani yangu tukisikiliza na kuzingatia kwa vitendo hakika maisha yatakwenda vizuri kuliko tunavyotarajia. Barikiwa mno kiongozi wetu kwa jamii nzima.
Kazi kweli
Ebu nambiee vip ulifanya
Naam Dr nathibitisha sasa kwa somo lako hili kuwa nipo na mtu sahihi kwa ndani ys miaka 37 ya ndoa..shukran saaana Dr
It's first time but I understand alot but be blessed man of God
Wow! Wow! Wow! Asante sana Doc,... Hakika Mb zangu hazijaenda Bure.
Mwenye sikio na asikie.
God bless you sir.
Wow I get dhis link today...thankyou Jesus kwa kupatana na mutumish wako anayefuza watoto wako maneno matamu hivi🙏🙏🙏God bless u mutumishi.....
Asante Sana Dr nmeelewaa Asante mungu Asante kwa Somo zurii kabisa 🙏🙏🙏 tuokoe vijana
Shukran Kaka kwa somo lako maan umeniondoa kwenye kiza nilichofichwaa
Ndoa yangu ulikuwa ya kukatisha tamaa nilimpenda Sana mme wangu,niliposikia haha nilichukua hatua! Pole pole,nilimtoa moyoni na kuendelea na Maisha,Asante Sana,
Uliwezaje dadaang maana dah
Mungu akubariki sana Doctor kwakutufumbua masikio ya ndani na yainje naakilizetu pia barikiwa sana , mdau mpya
You have touched my heart Dr i feel so pain in my life🙏
True that man of God you have helped me a lot, am leaning more 🙏🙌
Nmependa somo lako pastor barikiwa xana
Very true Dr .chris God bless you
Amen ubarikiwe Sana brother hakika nimejifunza kitu kwenye somo lako🙌🙏🙏
@Aiseee kumbe nilikua kwenye giza nene sana and sometimes naona dalili zote lkn sikuwahi kujidadavua,nadhani this time ntaweza na kulea watoto wangu,Nimekusikiliza vizuri sana Dr shukrani
Mungu akubariki sana Dr Chris, japo nimechelewa kuliona hili somo ila nimejifunza, nimetoka kuachana na mtu wa hivo yan kilakitu ulichosema alikuwa ivo,
God bless you 🙏🏼
Asante Dr umenifungua
That's why you talk true dr.balikiwa kwa ushauli wako mzuli🙏🙏🙏
duuuuh dalili zote zipo kwenye mahusiano yangu. duuuuuuh mungu asante kwa kunionyesha mapem
Hahahaaaa hahaa
Ubarikiwe kwa somo lako nimejifunza niliko na nitakapoelekea Kama kijana
Asante Dr ...somo zuri sana,Nazidi kujifunza,Ubarikiwe sana.
Ahsant San kak crs
Asante mutumish kwa neno lako umenisaidia San umenifungua akil yang kwasabab mtu niliy nay nimeshoka na mambo yake tukigombana tu ana niambiy nenda Sina shida na wew ulizani upo wew tu kiukweli ana maneno ya Kashif mba San
😭😭😭 upo upo tu ucdhan km ucpokuwepo mambo yng hayataenda. Cna aman hebu tafuta pahala uwende nipumzishe akili yangu ni lashfa juu ya kashfa ndugu tunateseka sana ndugu tunaish na watu ambao hawaon thaman zetu
DO NOT IGNORE RED FLAGS.
This is so true ni vile huwa tunakaza ubongo
Woow thank you Dr. Nmejifunza mnoo,,action zifate sasa
Asante sana sana. Pls usisahau kusubscribe
Asante kwa kunifungua akili yangu...... ubarikiwe sanaaaaaaa....
Uishi miaka mingi ukomboe nafs za watu #Smart mind✍️🙏🙏🙏🙏🙏
Nimekupata vyema mtumishi, Barikiwa.
Exactly Dr I feel so tired in my life so longtym,,,,,good point lkn mwisho nilijiondoa kwenye usiano huo Dr it's true be blessed keep it up ur lesson teaching
Kwa Sasa nipo kwenye mahusiano sahiuo😍 thank God .naomba Mungu isibadilike
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 mtumishi umenikosha mno na kunifumbua macho
Imenigusa sana somo zuri muno kwakwel ubarikiwe mutumishi
????
Asante kwa ushaur mzur nime upenda
Asanty sana kwa haya mafunzo,,,nimejifunza mengi sana haya matano yote yako kwenye mahusiano yangu,,,nashindwa chakunya,,lakini kupitia haya mafunzo itabidi nijitoe mapema kuliko ningoje when it's too late...be blessed...
Nimejifuza kitu na kuazia leo mausiano hayo ninayo ila inabidi niachanenayo
Dalili za mahusiano feki
1.don't waist ur time
2.toxic relationship
3.mahusiano yoyote yanawagarimu wote wawili
1)shida kwenye mawasiliano yenu
2)anaonyesha kukupenda mbele za watu kuliko mkiwa wenyewe
3)unahisi ubutu wa mahusiano yenu hakuna amazing feeling
4)mahusiano yako yanakufanya confused and frustrated bora uwe na dilemma kwenye vyote si mahusiano yako
5.hakuna mazungumzo ya kawaida unaogopa kuongea lolote
6.ushindani mwingi mnashindana zaidi ya kuendana
See humans before marriage you want pole approval or ur safety
5)
4)
Nashukuru sana dr Chris
Asante sana pastor MUNGU akubaliki
Asante mtumishi kila atua unayo pig unaenda kujenga mwenyez mungu akubalik
Asante sana nimejifunza ya hayo ndo maisha yangu niyoishi jaman
Huo ni ukweli kabisa kakaangu ubarikiwe sana
Sir thank you so much, nimetoka kilia dk chache nyuma baada ya apo nikaingia apa.
Kwakweli nimepata jibu I need to move on, may God continue to bless you sir. 🙏
Thanks Dr🙏🙏🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Wonderful teachings .GOD BLESS you.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Am marione am whoching from kenya 🇰🇪 fosure napenda your advice,,, may God bless your work 💪
Thank you for this lesson aky 😢😢😢 kutoka leo nimeacha mtoto wa wenyewe .11/2 yrs cjapelekwa introduction have turn 31 yrs.tukimet hakuna kitu huwa nambiiwa about marriage has not put things in order ni complain za doh kila saa no kasonge kasonge God bless me with another man plz 🙏
Amiiiin dr. Umetufungua wengi
Thanks for the teachings you have helped me so much
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Naomba namba plz
Nikweli kabia atamm yakwangu feki nifanifanje iri nitoke .kwenye mausiana feki
Ubarkiwe sana krish mwenyezi Mungu akuzidishie zaid na zaid katika mafundisho Amina
Barikiwa zaidi tena Sana mtumshi wa MUNGU,am blessed n nimejifunza mengi mno,🙏🙏🙏
Mafundisho mazuri Dr Chris God bless you ❤so much
Allahamdulilah na kushukuru sana MUNGU akuzidishie🤲🤲🤲🤲
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kw mafunzo mazuri
Nakupenda bur Baba nipo kwenye mausiano bora💕💕💕💕💕
I don't know what I was exactly looking for when this was recommended to me, but I'm sincerely grateful that I am helped, very insightful and educative. There's a very difficult decision I'm about to make😢😮
Dr Chris thank you for your knowledge 🙏
I wish if we can talk
Duuuu aiseee Mungu akubaliki sana sana somo nzuri
My first time to watch ,Thankyou Dr .Chris ,am more educated than before🇰🇪🇰🇪🔥🔥🙏🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Mungu akubariki Sana kwa hii elimu ya mahusiano 👏👏🙏
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,tunajengeka kiroho na kimwili🙏🙏🙏🙏🙏😍
Barikiwa na mafundsho
Ahsanteh Sana Engineer mauki
Sijui nisemeje Ila umenisaidia Sana Mungu akubariki
Ubarikiwe sana mtumishi
Ni kama umenigusa,sana umenifundisha jambo nzuri sana ,for thanks for good advice
Ubarikiwe mno mtumishi wa mungu
Hii nzuri sana kwa vijana, big up Dr
Mafundisho yako mazuri nilikua najua mwanaume wangu sio MTU sahihi kumbe nilikua tofauti umenisaidia sana anasifa zote japo ana hasira sana ilanimwepesi sana kuomba msamaha hata kama kosa nilangu anapenda sana suluhu
Ongera sana
Mshukuru Mungu
Asante sana umenijenga Mungu akubariki mm nlikuwa vitim wa love fake sasa nimefunguka macho...
Mimi huwa naanza mahusiano, lakn nikiumizwa au kukumbushwa aisee huwa piga chini, lakni kwa hii somo I have to change na sasa namwomba Mungu anijalie wa ubavu wangu.
Wow Ni Mara ya kwanza kuskiza clip zako Na nimefundishika sana sana
Watching from Kenya 🇰🇪keep it up good work👌
Mungu akubarik
Duh! Kwa dalili mbili nimegundua niliwah ishi kwenye mahusiano miaka 10 lkn namshukuru Mungu hatupo pamoja tena
Before anything ask God he will bring right person to you
Ubarikiwee sana doctor nimejifunza sanaa
Asante doctor nimejifunza.nimejigundua nipo wap
Ahsante Dr. duuh !!!
This is True God bless you
Woow hayo mafundisho ni matamu sana, I love it
Barikiwa sna
Nakusikilizaga mara nyingi nakuelewa sana ila Huwa sicomment , but for today let me say Thanks for the lesson unaongea fact
Asante sana somo zur
Dr.You make me happy.Do you?Keep it up.Am not belonging to your church.
Asante kwa kufumbua ufahaham Wang kwa SoMo zuri...ningependa kupata no yako
😢 ubarikiwe Dr chris ❤🎉
Thank you dr, MUNGU akubariki sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Blessings brother
Adorable 🥰
Ubarikiwe sanaaa mtumishi
Nmebarikiwa
Ubarikiwe sana mtumishi nimeelewa niko upande upi leo
Ndo yanayonikuta nilimtegemea kuwa baba wa watoto wangu lakini kwa Sasa yameshapoteza muelekeo,tunaweza kaa miezi kadhaaa bila mawasiliano .unafiwa ajali hata chembe,Mungu tusaidie nyakati ngumu hizi kumpenda mtu usiyeuona moyo wake
Kwa kweli hili ni changamoto sana sjui tunaelekea wap mambo ya dgtal yameharibu sana kwa upande mwingine bas tu
Pole sana tedy
Shukuru Mungu