YAFAHAMU MAJENGO MAREFU ZAIDI BARANI AFRIKA,TANZANIA YASHIKA NAMBA 10

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 151

  • @iddninga
    @iddninga Рік тому +8

    Mbona hesabu katika hii makala haipo sawa kabisa
    ,Mwalimu wa Mathematic anahitajika huku

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Рік тому +7

    Majengo marefu ni mazuri kupendeza macho, ila tujue kuwa hayo hayo yanaweza yakatumika kuleta maafa makubwa kwenye dunia hii ya matetemeko. Adui yetu anajua hivyo, na anatutazamisha kwa fahari na maendeleo kiasi kwamba hatuwazii hatari yake. Ni mtazamo wangu, japo ni reality.

  • @Markhomestz
    @Markhomestz Рік тому +13

    Mdada anasimulia vizuri ila kachoma vitu vingi sanaa😂😂😂😂

  • @princek047
    @princek047 Рік тому +15

    😂😂😂😂 tembea huku kwetu Kenya upatane na GTC yenye iko Westland na utajua britam sio njengo refu Kenya. Wachana na Google madam tembea uhakikishe

  • @shafarh.
    @shafarh. Рік тому +4

    Alafu Tanzania wanafananisha dar salaam na Nairobi

  • @abdirahmanabby761
    @abdirahmanabby761 Рік тому +5

    @1:43 ETI MSIKITI MKUU NCHINI MISRI IPO ALGERIA? NIKAMA KUSEMA MSIKITI MKUU WA DAR IPO NAIROBI 😮😅😅😅

  • @kingfuture7147
    @kingfuture7147 Рік тому +4

    Namba mbili kwa uref zaidi Tanzania. na namba mbili kwa urefu zaidi dar es salaam 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Samwelsamwelmera
    @Samwelsamwelmera 11 місяців тому +1

    Watanzania tunaongopewa sana iweje namba 10 africa alafu namba 2 tx hironamba moja likowap

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 5 місяців тому +1

    We Dada mnara na jengo ni vitu viwili tofauti la sivyo esabu na minara ya TTCL

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Рік тому +4

    Endeleen na habar za kina giggy money na babalevo iz habar hamziwez mtaonekana tu matapeli😂

  • @kassimayoubmohd6313
    @kassimayoubmohd6313 Рік тому +40

    😂😂😂😂 Jengo namba 10 kwa urefu Africa lkn ni namba 2 kwa Tz😂😂😂sasa hilo namba 1 kw tz linashika namb ngp kw Africa???😂😂😂

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Рік тому +1

    La pili lipo misri or Algeria?

  • @VictorJofrey-t5b
    @VictorJofrey-t5b 9 днів тому

    Hata tanzania tutakuwepo tu miaka miwili mbele

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg Рік тому +1

    Sasahivi Millard Ayo taarifa zake azinaga usahihi ilimladi kapost tu hazina mvuto tena!.

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Рік тому +1

    Fanya tafiti vizuri sky kwapa

  • @zombazezu
    @zombazezu Рік тому +3

    Eti urefu mita 15 😀😀😀

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Рік тому +4

    Aliyeelewa kuhusu hilo jengo la Tanzania anieleweshe😮

  • @alipetrelis7109
    @alipetrelis7109 Рік тому +1

    Jengo namba 10 Africa , alafu namba2 tz😂😂😂

  • @ayubusanga4997
    @ayubusanga4997 Рік тому +2

    Vp like la ubungo kak 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Dunia129
    @Dunia129 10 місяців тому +1

    lililoko misri nchini Algeria nan ameskia hii😂😂😂

  • @madrassatqadriyapalma
    @madrassatqadriyapalma Рік тому +2

    Tembeyeni muone sababu Tanzania akuna jengo lefu kushinda Mozambique. Uoo ni uongo tembeyeni

  • @abdallahkisuda4859
    @abdallahkisuda4859 Рік тому +3

    huyu muangaaji ni muongo sana! millard media imekua sasa ajiri mhariri!

  • @maxwellsanga3662
    @maxwellsanga3662 Рік тому +6

    Tembea Kenya dada😂 britam sio jengo kubwa kenya

  • @mikelokamba1202
    @mikelokamba1202 Рік тому +1

    Mwanamke huyu mwehu kumbe yani jengo namba 10 africa ndio namba 2 tanzania

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 Рік тому +1

    Huyu hajielewi britam Kenya sio refu na hata maelezo Yako sio kweli mengi uwongo

  • @berusarga2897
    @berusarga2897 11 місяців тому +1

    Leo nimeharibu mb zangu pumbavu

  • @Pharadge
    @Pharadge Рік тому +1

    Angalau TZ hatujaachwa

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 Рік тому +1

    La pili ndiyo la kwanza khaaa cjaelewa

  • @DM_15
    @DM_15 Рік тому +1

    Jengo namba moja na nambambili sijaelewq vizur yoteyapo taifamoja au😂

    • @hamisichande4231
      @hamisichande4231 Рік тому

      Namb moja n rozar rotana ambalo bado halijaingia kwny orodga hii

  • @williammashauri272
    @williammashauri272 3 місяці тому

    Millard Ayo aturudishie mabando yetu, kibaya zaidi nilikuwa nimeweka High picture quality nikajua ni ripoti ya maana😂

  • @gregorybakuza5796
    @gregorybakuza5796 3 місяці тому

    Hiyo mita 15 ni jengo au kitambaa!?

  • @SakinaSadiki-tw2qt
    @SakinaSadiki-tw2qt 11 місяців тому

    Hahahahahaha daaah nimecheka sana jengo namba kumi Lina urefu wa mita 15 namba mbili kwa ukubwa Tanzania lakini ilo namba moja kwenye majengo marefu alijawekwa

  • @kenedykimulika2224
    @kenedykimulika2224 Рік тому +2

    msikiti upo algiers mara nchini misri mara upo Algeria

  • @kingfuture7147
    @kingfuture7147 Рік тому

    Habari za kikuma tu

  • @jibrilmohammed3698
    @jibrilmohammed3698 Рік тому

    Nigeria iko wap umekosea saaana

  • @PaurothyAcademy
    @PaurothyAcademy Місяць тому

    hapo sijaelewa amesema TPA ni jengo la pili Kwa urefu Dar alafu ndo limeingia kwenye majengo marefu Afrika.. ina maana jengo refu Dar wameliskip au..??

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 Рік тому +1

    Mita 15!!

  • @parabinamu55
    @parabinamu55 Рік тому +1

    Naona Millard Ayo ulikuwa unatupima kama tupo makini habari itolewayo au tunatizamaga tyu ili tumalze mabando yetu 😂😂😂

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 7 місяців тому

    Hapa waje engineer waliojenga hayo majengo kila MTU aesme la nchini kwake lina mita za mraba ngapi ndo tutaenea humu,

  • @djsunextv
    @djsunextv 11 місяців тому

    Sijakubaliana na nyingi kabisaa GTC Towers ina urefu zaidi ya Britam towers

  • @stivertz7014
    @stivertz7014 Рік тому +2

    Hasa hilo jengo la Tanzania si wangeweka linaloongoza ambalo lipo pale Njia ya kwenda Mwenge PSPF tower

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Рік тому +1

    Jengo la Tz lina mita 15?😅

  • @hassaniddrismwamba
    @hassaniddrismwamba Рік тому +1

    Kenya kuna mijengo mirefu kuliko hio britam

  • @amazi6796
    @amazi6796 Рік тому +1

    Mita 15???

  • @keteargaszpubg2672
    @keteargaszpubg2672 11 місяців тому +1

    Hizi ni stori za jaba😂

  • @sofiaabdirahman7838
    @sofiaabdirahman7838 Рік тому

    Jengo ndefu kenya ni Times towers. Acheni hizo

  • @babasandra638
    @babasandra638 Рік тому +1

    Kwan mwana habari ni Samia suluhu

  • @LupakisyoEdward
    @LupakisyoEdward Рік тому

    Hilo la namba Moja la mwenge hawaja update taarifa likaingizwa Kwa kuwa jengo halinamdamrefu ,mupo hapo

    • @djkikombe
      @djkikombe 11 місяців тому

      Sasa kwann lijulikane namba mbili wasingesema kuwa ninamba mbili wangeachatu mpaka lingeingizwa kwelist ndo waseme kuwa ninamba mbili

  • @GodfreyLutumo-hi4bd
    @GodfreyLutumo-hi4bd Місяць тому

    Uongoooooo😂😂😢

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 Рік тому +4

    Hapo kweny tower la kibongo hapaelewek vizur 😂😅
    -Mita 15 😂
    -Nr 2 nchini 😂

  • @davidmsele9908
    @davidmsele9908 24 дні тому

    Umetumalizia bando letu nakushtaki walai

  • @brianmasiga9748
    @brianmasiga9748 11 місяців тому

    Wewe hujui kitu unasema😂😂😂

  • @Daidizz01chinga
    @Daidizz01chinga Місяць тому

    Tanzânia kuna baaz ya watu waongo

  • @mosepaul3886
    @mosepaul3886 Рік тому

    Yan humu ndani mmechoma atarii

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 Рік тому +1

    Linakuwaje jengo refu na unasema lina mita 15??

  • @t1910j
    @t1910j 9 місяців тому

    TRA tower la Tanzania lina urefu wa mita 15?😳 huyu dada hayupo makini 🤷🏾‍♂️

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Рік тому

    Hata kitega buchumi ni jengo refu sana dar, 😂

  • @EsauNaboth-yn2fl
    @EsauNaboth-yn2fl Рік тому +1

    Tanzania na majengo marefu wap na wap 😂

  • @samkimweri5893
    @samkimweri5893 Місяць тому

    Uongo huu😅😅😅😅

  • @MuhidinMangu
    @MuhidinMangu Рік тому

    Mmepigwa

  • @StanleyFuchaka
    @StanleyFuchaka 10 місяців тому

    We ni fala tu

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 Рік тому +3

    Msikiti mkuu uliopo miasri, aljers algeria
    Nd nin sasa

  • @michaelfrenkline3429
    @michaelfrenkline3429 Рік тому +2

    Mmetuokota.
    Sasa ni namba mbili Tanzania inakuaje namba Kumi afrika.
    Iyo namba moja Tanzania je

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 Рік тому

    Hovyoooo

  • @kingbeetimoo
    @kingbeetimoo Рік тому

    GTC iko wapi,from 254

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Рік тому +1

    Jengo lefu Tanzania si lile pspf tower pale mwenge?

    • @abdulmruke2246
      @abdulmruke2246 Рік тому

      Hapana lile ni la tano ni kwa vile liko peke yake Ndo maana unaona vile

  • @GeorgeEbake
    @GeorgeEbake Рік тому

    Ivi mnajua mnara ulioko congo wa Mitac 212 au mnabuni tu

  • @officialstar_walker
    @officialstar_walker Рік тому +2

    Sasa kama hilo ni namba mbili tanzania kwanini msingelieka namba moja tulijue ,alaf kutuambia hilo mita 15 ni uongo

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce Рік тому

      Sasa sindo nashangaa linashikilia nafasi ya pili kwa urefu Tanzania na nafasi ya pili kwa majengo marefu Dareslaam asa jengo namba Moja Tanzania na Dareslaam si ndo ulitaje Hilo kuliko kututajia namba mbili

    • @officialstar_walker
      @officialstar_walker Рік тому

      @@EzzyEddy-il3ce kabisa yani kwanza apo mambo mengi kaongea ya uongo

    • @hamisichande4231
      @hamisichande4231 Рік тому

      Ypo sahih dada,namb moja linaitw rozar rotana ambalo bdo wakt orodh hii inatok lilikuw bdo halijaingia kwny orodha

  • @fireworks574
    @fireworks574 Рік тому

    Dada, simulia ulale

  • @josemedia6661
    @josemedia6661 11 місяців тому

    sasa kama linashika namba 10 na wakati huo ni jengo namba 2 tz mh cjaelewa hapo 😂😂😂😂

  • @Reece-qk9ji
    @Reece-qk9ji 11 місяців тому +1

    Tembea Nairobi ujue britam sio refund tena

    • @BobErick-er6qm
      @BobErick-er6qm 15 годин тому

      Ww mimi ni mkenya kenya hakuna kitu uchafu bure na ufisidi ndio uko kenya.

  • @MwaniJohn
    @MwaniJohn Рік тому

    Nikwakuwa lile la mwenge liko mbali lingewekwa posta lingezidi kupendezesha mji na aliyeshauri jengo lile kujengwa mwenge hakuwa na akili sawa sawa muwe mnaangalia hata ushauri

    • @abdulmruke2246
      @abdulmruke2246 Рік тому

      Ila lile jengo linamuonekano nzuri tena sana kuliko hata lile la bandari pale posta

  • @Abdallahmosha35
    @Abdallahmosha35 11 місяців тому

    Msameheni ameteleza

    • @ygggggg9762
      @ygggggg9762 10 місяців тому +1

      Ameanguka kabisa huyu hata haja teleza 😂😂😂😂

  • @leuyaxt5382
    @leuyaxt5382 Рік тому

    Djamaa el Djazaïr msikiti mkuu nchini misri uliopo Algiers, Algeria. Yoo ni nini unaongea au Algeria sio nchi😂😂😂

  • @abdalahfundi7936
    @abdalahfundi7936 Рік тому

    Huyu dada anaitwa nan

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Рік тому +1

    Kwanini hilo lililo shika namba ya kwanza Tanzania lisiwe la 10 Africa 😂😂😂😂

  • @saudaramadhan5855
    @saudaramadhan5855 Рік тому +1

    Mnatupotezea bando

  • @rogasianshayo3740
    @rogasianshayo3740 Рік тому

    Mnatubeba ujinga

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 Рік тому

    Hamjaedit makala yenu kabla ya ku upload ghorofa 35 na mita 15
    Hamna hata aibu kula mabando yetu kwa uongo
    Wasting floor ya ghorofa n mita 4 mpaka 4.5 so chukua 35×4 kisha mjicheke wenyewe

  • @mwakyusamwakyusa686
    @mwakyusamwakyusa686 Рік тому

    Haka kadada kujinga sana

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 Рік тому

    Mita 15😂

  • @kennar012
    @kennar012 11 місяців тому

    GTC towers is way too tall than BRITAM. stop lying. Kenyans we know that.

  • @stanleyjohn1361
    @stanleyjohn1361 Рік тому

    Hilo la bandari ni uwongo

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Рік тому

      hizo ni research zinafanyika sio ati mtu anakurupuka

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому

      Unabisha simulia wewe basi

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Рік тому

      @@fahadfaraj6474 si ndio, mtu anabisha bila fact

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому

      @@johnmlay4759 kashashiba chapati zake na njegere kaweka kibando chake cha mia tano anatafuta wakumtolea hasira zake za maisha

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Рік тому

      Atuletee yaliyo ya kweli kama kaona haya ni oungo

  • @williamkirema6254
    @williamkirema6254 Рік тому

    Fanya uchunguzi vizuri wewe

  • @JacksonDominicko-st2qy
    @JacksonDominicko-st2qy Рік тому +1

    bwana ww 😂😂😂 MITA 15

  • @MrGoatAi
    @MrGoatAi 11 місяців тому

    Sky krapa wewe kuwa makini

  • @AlfeliKyando
    @AlfeliKyando Рік тому +1

    Mtawekaje number 2 wakati number1 ipo

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Рік тому

    Hahahahaahhaha hiyo post atakuwa amefanya MTU tofauti na Mkenya

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Рік тому +5

    Como é possível nessa lista constar Tanzania e não Mocambique uma vez que Tanzania não tem nenhum prédio que supera o de maputo de 33 andares?

    • @allyhumoud
      @allyhumoud Рік тому

      Esse de Tanzânia tem 35

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 Рік тому

      Hata mimi sijaelewa inawezekana vipi kama sio kutuongopea

    • @lazzR1935
      @lazzR1935 Рік тому

      Além disso, a analista é tanzaniana, isso não pode te machucar

    • @samuelnjau1600
      @samuelnjau1600 Рік тому

      😊

    • @LeonardSwai-y1q
      @LeonardSwai-y1q 10 місяців тому

      Sasa jengo n la pili kwa urefu Tanzania na la kwanza halipo top ten

  • @faustinaurio3703
    @faustinaurio3703 Рік тому

    Mnatulazimisha kukanyaga tope siyo? eti Mita 15 na la pili tz hakiki habari vizuri ala!

  • @zashayrasaid8950
    @zashayrasaid8950 Рік тому

    Khaaaah mfyuuuuuuuh 🤣😂🤣😂🤣 Tanzania tena

  • @frankshindano4620
    @frankshindano4620 Рік тому

    😂

  • @ayubusanga4997
    @ayubusanga4997 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KisofaOg-wv8ex
    @KisofaOg-wv8ex Рік тому

    ua-cam.com/video/aVaia6YaW-Y/v-deo.htmlsi=x58znitIflbBNC3N tweni tukatizame