Miji 9 iliyoendelea zaidi Afrika Mashariki 2024|9 East Africa most developed cities 2024
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- Bara la Afrika limeendelea sana baada ya enzi za ukoloni na ushahidi mmoja wa hili ni kuangalia jinsi Miji katika Bara hilo inavyoendelezwa.
Miji mingi kwa sasa ina Maajabu ya Usanifu wa Towering juu ya anga na barabara na mifumo ya usafiri iliyoendelezwa vizuri.
Hii ni miji 9 mikubwa Afrika mashariki 2024
Kumbe tuko namba moja ❤
🙏
Je suis à Kinshasa 🇨🇩 mais je regrétte d'être surpasser par le Rwanda vraiment c choquant incroyable aussi Kinshasa es très Salle mais es très construite les humbles existe Chez nous.
Kwangu MMI nimetembelea Nyegezi na Nyamogolo Mwanza Ukweli hapo Mipango ya Magu ilikuwa sahihi kabisa nimeipenda Sana Nitamkumbuka Magu Daima
🙏
Nimeishi Nairobi, sijaona maajabu ya Jiji, Dar Bado iko juu.
😄
Hivi ww ni kichaa au unakifonda kwenye ulimi? Hamna nchi inaitwa lwanda,aflika,bala,uchafu huo toaaaa
Mimi ni Mtanzania huiju vizuri Nairobi na wala huijui vizuri Dar es Salaam. Nairobi iko vizuri mno.
Wewe uliisha kibera😂😂
Labda wewe hujui Nairobi kama umetembea hakuna maajabu yoyote labda kama ulienda kama kifulushi@@NtamamiloGibson
Uko sahihi
Shukrani
Très cool ala première place
🙏
Kweli wambie🇹🇿🇹🇿👍👍👍
👍
Napenda sana Africa yetu ❤❤
👍
Good job
🙏
Enkale nairobi...green City ❤❤
👍
Hongereni sana NAIROBI kuwa capital city in East Africa na kati
🙏
Wewe ni Mtanzania umefanya kazi yako kwa kuzingatia weledi hongera sana, kuna mkenya alituwekea top ten ya reli ya standard gage akajari ukenya wake kwa kuudanganya umma kuwa SGR ya Kenya ni bora kuliko ya Senegal, Ethiopia na Tanzania
Shukrani
Wakenya ni tribalist sana
Nani alikwambie ni mkenyaa mnatupendaa nyie alafu tukawa number ngapi kwa relief🤣🤣🤣🤣🫵
Safi sana
Ahsante sana
Naishi Nairobi lakini Addis Ababa🔥✍️
😄
Uongo bwana namba moja ni adis abba ❤ is the best
Kwa mujibu wa takwimu zako
mombasa n kubwa kushida asmara bujumbura na mogadshu hii utafiti c sawa
Sawa
Shukrani muana inchi
🙏
Safi
Ahsante endelea kutufuatilia uweze kuelimika, kuhabarika na kuburudika
Is very good
😄
Good job 🎉🎉❤❤
Thanks
Ethiopia inashida Kenya Kwa Utajiri Ila Kwa ujuzi Na ujaja wa maendeleo ya kujenga haiifiki Kenya ata Kwa Dawa chenzea Kenya shillings wewe huogopi🇰🇪💃👌❣️💪🔥🧨🎇🎆
😄
My CONGO DRC
👍
Kenya Hard nature builty
👍
You're right bro
🙏
KWA IYO ETHIOPIA IPO AFRICA MASH
Ndio
Ila Africa hujaimaliza bado kuna ichi kwenye umackini hakuna wala kwenye maendeleo hukuztaja
Sawa pamoja
Big up bro
Ahsante sana
Kinshasa ni kubwA piya inajengwa kupita Kigali
Iyo list Yako aiko sawa
🙏
My city my town,,,, Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
👍
Nimeishi Nairobi, sijaona maajabu ya Jiji, Dar Bado iko juu. 8:01 8:01
😄
Tanzania imazidi kupendeza siku hadi siku
👍
Addis Ababa has surpassed Nairobi, as at now it's the leading city in East Africa
🙏
Adis ababa no1 EA
🙏
Born in Nairobi stupit people waching how the City is being destroyed
😄
Naijua tanzania vizuri sana.bado miaka 30 mf8ke tulipo na hapo tutakua mbali sana.anyway,mnajaribu lakini bado.ukeli ni kwam a ufisadi hamna tanzania.
Hamna nnchi haina ufisadi duniyani ela ni kuzidiana kenya yakiulayaulaya ndio mana ufisadi ni kwa jumlah ndio kusema Amakwakweli
😃
Mutaangukiwa na hio manyu aerthquick Okinawa
🙏
Wewe muongo bwana mmmmm
😃
Kwani Bara la Africa lipo Na inji ngapi juju inafaa iwe 12
😃
Wew ni manzanita sauti ni wenyewe
😃
Were is the nature Reserve loketed
Hicho Kiswahili Chako Kinachefua Kwa Kweli
Kwani hujui Kutofautisha R na L?
DLC ZAILE,🤔😭
🙏
Sasa mbona Nairobi watu ni Milion 4 wakat Dare es salaam ni milio 8 au hamwangalii uzito wa Idadi ya watu
Sio idadi ya watu
Dar kuna slums bana ,millioni 8 ,mrundiko kweli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakenya hacheni midomo😂😂😂😂😂
🤣
Tatizo wakenya mnataka Kila kitu muwe wakwanza wakati majengo yenu ni ya kizamani sana
😄
Jenga yko mpya
Mwenye ameandika hii ata ni mtanzania😂😂
Hivo kaka umefika Nairobi mwisho lini?! Majengo mapya yanakuja kila siku ila mji mchafu na miundo msingi imeharibika Sana. Usafiri pia shida.
Mbona Eritria imezidi Burundi
Ndio hivyo
Uko sio afica
😃
😮
👍
Our Kenya has GDP of 171 billion why our city can't be beafully 😂😂😂❤❤ my Nastion
😃
Kinshasa ni muji mkuu kuzidi Kigali na Lubumbashi 🇨🇩 ni muji mkuu mbele ya Bujumbura
🙏
ADIS ABABA NDO IPO JUUU BRO
🙏
Mimi ni Martin tuko mjini RDC
👍
Bro kazi yako ni nzuri ila soma lugha kiasi unatuangusha🙏
Shukrani
Ni Asmara sio Asmala sawazisha R na L zako please
Nimekupata
Wkakenya wakitoka zao ushgoo Kuja Nairobi wanajiona wameshaijua Dunia nzima😂😂
🤣
So beautiful Kenya ❤️❤️❤️👌👌👌
🙏
Kesho majengo yenu ya enzi ya ukoloni hapa Tz ya kisasa
👍
Unashindwa kutamka kutofautisha R na L
Ndio,siwezi
Mwandishi umechemka East Africa ama Afrika?
👍
Kampala cannot beat Mombasa
🙏
Yani povu linawatoka jamani 😂😂😂😂
😄
Upuzu utaisha lini.hakuna miji endelezi kama nairobi mombasa kisumu eldoret thika kakamega nyingi kenya
Acha bangi hiyo n miji iloyoendelea kwenu huko Kenya asee
shida kutoelewa jiji ( capital city) lini Mombasa, Kisumu... ilikuwa capital city??? Utachekwaaaaaa
Bora umemsaidia kuelewa, kwahiyo alitaka miji yote aliyoitaja ya kenya iwe miji mikuu? ingekuwa nihivyo Chicago, Newyork city, ingekuwa miji mikuu ya Marekani! lakini mji mkuu wa nchi huwa nimmoja tu! hiyo mingine inabaki kuwa miji mashuhuri.
@@steveanthon5523 Baadhi ya wakenya hujiona wamesoma kwa kuzungumza kiingereza kingi kumbe hawajaelimika
Kumanyoko wewe mpumbavu mkubwa akili huna nini ama fyetu from Mombasa apa nakutusi ata kama we mkenya mwnzangu
Watanzania tunakuja juu na kwamijengo kenya hamtufikii yenu mijengo yakizamani sisi Tz ya kisasa tunawapa miezi 6 tutawazidi
👍
Nairobi itakuwa haikui itakuwa imesimama? Hawa jamaa wametuzidi kila kitu kasoro sisi tumewazidi uongo ,chakula na Ardhi nzuri
Kwa haya yanayoendelea TZ. Mtasubiri sana mrudisheni Magufuri.
Ni wewe binafsi uliyewazidi Kenya uongo. SIYO Tanzania wala Watanzania!! @@alliancemugane1589
Adis ababa is first city and second is kishasa ,dar is third one and forth one is nairob
Jifunze kutamka R. Kwenye R unaweka L unakosea.
Uwezi kuwa mkamilifu kwa kila kitu ikiwa umeweza kufahamu matamshi hayo yana kasoro inatosha
Nairobi sio number one bro
Kwanini?
Lama aerthqeark Malzkaffee isoliert na sitima imepotea
🙏
Nilijua tu kama Tanzania utaiweka 😬😁😁😁🚶🚶
😄
Tanzania nyinyi waongo sana 😂😂💔🚶
@@jaymapepefatma5936😮😮😮😮😮. Nyiye Wakenya wakabila sana. Pia ni watumwa sana wa nchi za magharibi. Hujikwezesha uzungu bandia mkidhani kweli mtabadilika kuwa wazungu! Hebu acheni hizo zenu za ajabu... Jikubalini kwa rangi ya asili yenu. Khaa!!
Wewe naona hujla wakati unaandaa video hii
🙏
Hiyo mimi siikubali hata kidogo
Unapopinga ni vizuri kuleta hoja ili wanaosoma maoni waelewe tatizo lilipo
Ni DRC sio DLC
🙏
😂😅 hayo ndo matamshi ya watanzania wengi
Nairobi is the best one
🙏
Hujui kutofautisha "R" na "L"
BiashaRa unasema BiashaLa 😂😂😂😂
👍
Kenya tuko juu Tanzania akuna siku mutatushinda
😄
Ndiyo! Nakubaliana na wewe kwamba Kenya mko juu kwa ukabila na fujo za kisiasa... Sisi Tanzania tuko chini yenu kwa hayo mambo tajwa! Asante kwa huo ung'amuzi wako ee!
kigali nimuizi
👍
Kinshasa ina pita Kigali na dar salaam saana wewe ni muongo
😄
Kumbe Ethiopia ni Eac membership?
Ndio
Kwa mujibu wa watakwimu
Xawa, ckuwa najua
Ni Ruwanda sio Luwanda
🙏
Ni Rwanda na cy Ruwanda
Umesikia wapi neno Ruwanda?
Burundi unafanyaje huko
😃
Shida kiswahili chako kama hukuenda shule😂😂😂😂
😄
Tanzania wanapendaa kenyaa ngalia comment section ukipata mtu hawesi sema kenyaa anyway majirani
👍
Mh! Hebu tujuane ambao hatujaielewa andishi ya huyu jamaa.😂😂😂😂😂!!
ASMARA sio ASMALA
🙏
😅Acha unachanganya mambo wewe unaijua Kinshasa? Ni bonge la Jiji
Inaweza kuwa kubwa lakini hapa hatuangalii ukubwa
😅😅😅
😄
😂
🙏
Post facts acha ujinga, Nairobi is the most developed city in east and central Africa
Unaweza kutoa takwimu zako
Khaa! Mbona unalazimisha mambo? Anzisha video yako, ukaiweke Nairobi yako kuwa bora zaidi ya miji yote ya east & central Africa kama yalivyo madai yako!!
@stanleybupambambogo3334 Endelea kuumia mtanzamavi, lakini huwezi badilisha facts
Ni the green city under the sun bt not in the sun, wewe nimsaliwa sawapi😂😂😂😂
👍
East Africa huijuw ??? 😅😅😅
😄
Safi
🙏
Nimeishi Nairobi, sijaona maajabu ya Jiji, Dar Bado iko juu. 8:01 8:01
😄
Adis ababa no1 EA
👍