Miji 9 iliyoendelea zaidi Afrika Mashariki 2024|9 East Africa most developed cities 2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • Bara la Afrika limeendelea sana baada ya enzi za ukoloni na ushahidi mmoja wa hili ni kuangalia jinsi Miji katika Bara hilo inavyoendelezwa.
    Miji mingi kwa sasa ina Maajabu ya Usanifu wa Towering juu ya anga na barabara na mifumo ya usafiri iliyoendelezwa vizuri.
    Hii ni miji 9 mikubwa Afrika mashariki 2024

КОМЕНТАРІ • 209

  • @MgeniHaji
    @MgeniHaji 16 днів тому +1

    Kumbe tuko namba moja ❤

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 7 місяців тому +8

    Je suis à Kinshasa 🇨🇩 mais je regrétte d'être surpasser par le Rwanda vraiment c choquant incroyable aussi Kinshasa es très Salle mais es très construite les humbles existe Chez nous.

  • @lebahatilemali
    @lebahatilemali 6 місяців тому +6

    Kwangu MMI nimetembelea Nyegezi na Nyamogolo Mwanza Ukweli hapo Mipango ya Magu ilikuwa sahihi kabisa nimeipenda Sana Nitamkumbuka Magu Daima

  • @MussaJacob-n7r
    @MussaJacob-n7r 7 місяців тому +16

    Nimeishi Nairobi, sijaona maajabu ya Jiji, Dar Bado iko juu.

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому +1

      😄

    • @omaryally2048
      @omaryally2048 6 місяців тому

      Hivi ww ni kichaa au unakifonda kwenye ulimi? Hamna nchi inaitwa lwanda,aflika,bala,uchafu huo toaaaa

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 5 місяців тому

      Mimi ni Mtanzania huiju vizuri Nairobi na wala huijui vizuri Dar es Salaam. Nairobi iko vizuri mno.

    • @jumaatsuma2316
      @jumaatsuma2316 Місяць тому

      Wewe uliisha kibera😂😂

    • @ProsperUlungi-p3t
      @ProsperUlungi-p3t Місяць тому

      Labda wewe hujui Nairobi kama umetembea hakuna maajabu yoyote labda kama ulienda kama kifulushi​@@NtamamiloGibson

  • @erickmapunda4874
    @erickmapunda4874 3 місяці тому +3

    Uko sahihi

  • @LeboossYoms
    @LeboossYoms 2 місяці тому +2

    Très cool ala première place

  • @User-xl1ul4fp9b
    @User-xl1ul4fp9b 6 місяців тому +5

    Kweli wambie🇹🇿🇹🇿👍👍👍

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 7 місяців тому +3

    Napenda sana Africa yetu ❤❤

  • @JonathanAshraf
    @JonathanAshraf 5 місяців тому +5

    Good job

  • @PaulNdeto-s7g
    @PaulNdeto-s7g 3 місяці тому +3

    Enkale nairobi...green City ❤❤

  • @PapaaMasauti-q7o
    @PapaaMasauti-q7o 3 місяці тому +3

    Hongereni sana NAIROBI kuwa capital city in East Africa na kati

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 8 місяців тому +26

    Wewe ni Mtanzania umefanya kazi yako kwa kuzingatia weledi hongera sana, kuna mkenya alituwekea top ten ya reli ya standard gage akajari ukenya wake kwa kuudanganya umma kuwa SGR ya Kenya ni bora kuliko ya Senegal, Ethiopia na Tanzania

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      Shukrani

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 6 місяців тому +1

      Wakenya ni tribalist sana

    • @puritdana
      @puritdana 6 місяців тому

      Nani alikwambie ni mkenyaa mnatupendaa nyie alafu tukawa number ngapi kwa relief🤣🤣🤣🤣🫵

  • @deonatusmnaku148
    @deonatusmnaku148 10 місяців тому +3

    Safi sana

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  10 місяців тому

      Ahsante sana

  • @LeinahPeter
    @LeinahPeter 7 місяців тому +7

    Naishi Nairobi lakini Addis Ababa🔥✍️

  • @MeuraMoses
    @MeuraMoses 7 місяців тому +2

    Uongo bwana namba moja ni adis abba ❤ is the best

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому +3

      Kwa mujibu wa takwimu zako

  • @DenisAduvaga-k2q
    @DenisAduvaga-k2q 24 дні тому +1

    mombasa n kubwa kushida asmara bujumbura na mogadshu hii utafiti c sawa

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 7 місяців тому +1

    Shukrani muana inchi

  • @ZenaKayamba
    @ZenaKayamba 11 місяців тому +2

    Safi

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  11 місяців тому

      Ahsante endelea kutufuatilia uweze kuelimika, kuhabarika na kuburudika

  • @imanikiza
    @imanikiza 7 місяців тому +1

    Is very good

  • @janecharo1196
    @janecharo1196 6 місяців тому +1

    Good job 🎉🎉❤❤

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 Місяць тому +1

    Ethiopia inashida Kenya Kwa Utajiri Ila Kwa ujuzi Na ujaja wa maendeleo ya kujenga haiifiki Kenya ata Kwa Dawa chenzea Kenya shillings wewe huogopi🇰🇪💃👌❣️💪🔥🧨🎇🎆

  • @Fabricemukaba
    @Fabricemukaba 2 місяці тому +1

    My CONGO DRC

  • @CeciliaOberhoff
    @CeciliaOberhoff 3 місяці тому +2

    Kenya Hard nature builty

  • @JacksonGresmo-d1b
    @JacksonGresmo-d1b 7 місяців тому +2

    You're right bro

  • @franktibikunda5717
    @franktibikunda5717 26 днів тому +1

    KWA IYO ETHIOPIA IPO AFRICA MASH

  • @MgeniHaji
    @MgeniHaji 16 днів тому +1

    Ila Africa hujaimaliza bado kuna ichi kwenye umackini hakuna wala kwenye maendeleo hukuztaja

  • @samlb_ngika
    @samlb_ngika 10 місяців тому +1

    Big up bro

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  10 місяців тому

      Ahsante sana

  • @ElianoEly-v6v
    @ElianoEly-v6v 20 днів тому +1

    Kinshasa ni kubwA piya inajengwa kupita Kigali
    Iyo list Yako aiko sawa

  • @rodgerswafula4318
    @rodgerswafula4318 6 місяців тому +4

    My city my town,,,, Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MussaJacob-n7r
    @MussaJacob-n7r 7 місяців тому +1

    Nimeishi Nairobi, sijaona maajabu ya Jiji, Dar Bado iko juu. 8:01 8:01

  • @AnelikaMajaliwa-z1h
    @AnelikaMajaliwa-z1h 4 місяці тому +2

    Tanzania imazidi kupendeza siku hadi siku

  • @4806lency
    @4806lency Місяць тому +1

    Addis Ababa has surpassed Nairobi, as at now it's the leading city in East Africa

  • @AugustinPhilbert
    @AugustinPhilbert 6 місяців тому +1

    Adis ababa no1 EA

  • @CeciliaOberhoff
    @CeciliaOberhoff 3 місяці тому +2

    Born in Nairobi stupit people waching how the City is being destroyed

  • @abooaboo-rs4uw
    @abooaboo-rs4uw 7 місяців тому +2

    Naijua tanzania vizuri sana.bado miaka 30 mf8ke tulipo na hapo tutakua mbali sana.anyway,mnajaribu lakini bado.ukeli ni kwam a ufisadi hamna tanzania.

    • @omarjumaan3061
      @omarjumaan3061 7 місяців тому

      Hamna nnchi haina ufisadi duniyani ela ni kuzidiana kenya yakiulayaulaya ndio mana ufisadi ni kwa jumlah ndio kusema Amakwakweli

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      😃

  • @CeciliaOberhoff
    @CeciliaOberhoff 3 місяці тому +2

    Mutaangukiwa na hio manyu aerthquick Okinawa

  • @ArianaVaiy
    @ArianaVaiy Місяць тому +1

    Wewe muongo bwana mmmmm

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 Місяць тому +1

    Kwani Bara la Africa lipo Na inji ngapi juju inafaa iwe 12

  • @BarakaSeki
    @BarakaSeki 29 днів тому +1

    Wew ni manzanita sauti ni wenyewe

  • @CeciliaOberhoff
    @CeciliaOberhoff 3 місяці тому +2

    Were is the nature Reserve loketed

  • @AtwifMabrouk
    @AtwifMabrouk 2 місяці тому +2

    Hicho Kiswahili Chako Kinachefua Kwa Kweli
    Kwani hujui Kutofautisha R na L?
    DLC ZAILE,🤔😭

  • @nozesybafikege8417
    @nozesybafikege8417 6 місяців тому +6

    Sasa mbona Nairobi watu ni Milion 4 wakat Dare es salaam ni milio 8 au hamwangalii uzito wa Idadi ya watu

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  6 місяців тому

      Sio idadi ya watu

    • @Jayjones2005
      @Jayjones2005 5 місяців тому

      Dar kuna slums bana ,millioni 8 ,mrundiko kweli🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jojosky337
    @jojosky337 6 місяців тому +1

    Wakenya hacheni midomo😂😂😂😂😂

  • @SwammaduAlly
    @SwammaduAlly 7 місяців тому +8

    Tatizo wakenya mnataka Kila kitu muwe wakwanza wakati majengo yenu ni ya kizamani sana

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      😄

    • @PaulNdeto-s7g
      @PaulNdeto-s7g 3 місяці тому +1

      Jenga yko mpya

    • @jumaatsuma2316
      @jumaatsuma2316 Місяць тому

      Mwenye ameandika hii ata ni mtanzania😂😂

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 Місяць тому

      Hivo kaka umefika Nairobi mwisho lini?! Majengo mapya yanakuja kila siku ila mji mchafu na miundo msingi imeharibika Sana. Usafiri pia shida.

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e 6 місяців тому +1

    Mbona Eritria imezidi Burundi

  • @CeciliaOberhoff
    @CeciliaOberhoff 3 місяці тому +1

    Uko sio afica

  • @StephenKabalisa
    @StephenKabalisa 10 місяців тому +1

    😮

  • @judithogaya9730
    @judithogaya9730 Місяць тому +1

    Our Kenya has GDP of 171 billion why our city can't be beafully 😂😂😂❤❤ my Nastion

  • @BashulileKangere
    @BashulileKangere Місяць тому +1

    Kinshasa ni muji mkuu kuzidi Kigali na Lubumbashi 🇨🇩 ni muji mkuu mbele ya Bujumbura

  • @EdigivaKacheina
    @EdigivaKacheina 5 місяців тому +3

    ADIS ABABA NDO IPO JUUU BRO

  • @kapafulemartin5164
    @kapafulemartin5164 7 місяців тому +1

    Mimi ni Martin tuko mjini RDC

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 7 місяців тому +1

    Bro kazi yako ni nzuri ila soma lugha kiasi unatuangusha🙏

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 6 місяців тому +1

    Ni Asmara sio Asmala sawazisha R na L zako please

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 7 місяців тому +2

    Wkakenya wakitoka zao ushgoo Kuja Nairobi wanajiona wameshaijua Dunia nzima😂😂

  • @SheliamJuneIamfine-ji6yw
    @SheliamJuneIamfine-ji6yw 5 місяців тому +1

    So beautiful Kenya ❤️❤️❤️👌👌👌

  • @barakateacher3225
    @barakateacher3225 3 місяці тому +1

    Kesho majengo yenu ya enzi ya ukoloni hapa Tz ya kisasa

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 6 місяців тому +2

    Unashindwa kutamka kutofautisha R na L

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 6 місяців тому +1

    Mwandishi umechemka East Africa ama Afrika?

  • @bensonkitilit8067
    @bensonkitilit8067 2 місяці тому +1

    Kampala cannot beat Mombasa

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 5 місяців тому +1

    Yani povu linawatoka jamani 😂😂😂😂

  • @abooaboo-rs4uw
    @abooaboo-rs4uw 7 місяців тому +3

    Upuzu utaisha lini.hakuna miji endelezi kama nairobi mombasa kisumu eldoret thika kakamega nyingi kenya

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 7 місяців тому

      Acha bangi hiyo n miji iloyoendelea kwenu huko Kenya asee

    • @Wastara001
      @Wastara001 7 місяців тому

      shida kutoelewa jiji ( capital city) lini Mombasa, Kisumu... ilikuwa capital city??? Utachekwaaaaaa

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 7 місяців тому

      Bora umemsaidia kuelewa, kwahiyo alitaka miji yote aliyoitaja ya kenya iwe miji mikuu? ingekuwa nihivyo Chicago, Newyork city, ingekuwa miji mikuu ya Marekani! lakini mji mkuu wa nchi huwa nimmoja tu! hiyo mingine inabaki kuwa miji mashuhuri.

    • @Wastara001
      @Wastara001 7 місяців тому

      @@steveanthon5523 Baadhi ya wakenya hujiona wamesoma kwa kuzungumza kiingereza kingi kumbe hawajaelimika

    • @blackmonkey4606
      @blackmonkey4606 7 місяців тому

      Kumanyoko wewe mpumbavu mkubwa akili huna nini ama fyetu from Mombasa apa nakutusi ata kama we mkenya mwnzangu

  • @imaniLameck-fd4eb
    @imaniLameck-fd4eb 7 місяців тому +8

    Watanzania tunakuja juu na kwamijengo kenya hamtufikii yenu mijengo yakizamani sisi Tz ya kisasa tunawapa miezi 6 tutawazidi

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      👍

    • @alliancemugane1589
      @alliancemugane1589 6 місяців тому +1

      Nairobi itakuwa haikui itakuwa imesimama? Hawa jamaa wametuzidi kila kitu kasoro sisi tumewazidi uongo ,chakula na Ardhi nzuri

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 5 місяців тому +1

      Kwa haya yanayoendelea TZ. Mtasubiri sana mrudisheni Magufuri.

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 2 місяці тому

      Ni wewe binafsi uliyewazidi Kenya uongo​. SIYO Tanzania wala Watanzania!! @@alliancemugane1589

    • @MANYAMABAHATI
      @MANYAMABAHATI 2 місяці тому

      Adis ababa is first city and second is kishasa ,dar is third one and forth one is nairob

  • @fredykaiza2416
    @fredykaiza2416 7 місяців тому +1

    Jifunze kutamka R. Kwenye R unaweka L unakosea.

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      Uwezi kuwa mkamilifu kwa kila kitu ikiwa umeweza kufahamu matamshi hayo yana kasoro inatosha

  • @LeylaLeylachuga
    @LeylaLeylachuga 5 місяців тому +1

    Nairobi sio number one bro

  • @CeciliaOberhoff
    @CeciliaOberhoff 3 місяці тому +1

    Lama aerthqeark Malzkaffee isoliert na sitima imepotea

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 5 місяців тому

    Nilijua tu kama Tanzania utaiweka 😬😁😁😁🚶🚶

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  5 місяців тому

      😄

    • @jaymapepefatma5936
      @jaymapepefatma5936 5 місяців тому

      Tanzania nyinyi waongo sana 😂😂💔🚶

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 2 місяці тому

      ​​​@@jaymapepefatma5936😮😮😮😮😮. Nyiye Wakenya wakabila sana. Pia ni watumwa sana wa nchi za magharibi. Hujikwezesha uzungu bandia mkidhani kweli mtabadilika kuwa wazungu! Hebu acheni hizo zenu za ajabu... Jikubalini kwa rangi ya asili yenu. Khaa!!

  • @SabunNgalaba-oi6ml
    @SabunNgalaba-oi6ml 5 місяців тому +1

    Wewe naona hujla wakati unaandaa video hii

  • @MubayaSelemani
    @MubayaSelemani 7 місяців тому +2

    Hiyo mimi siikubali hata kidogo

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      Unapopinga ni vizuri kuleta hoja ili wanaosoma maoni waelewe tatizo lilipo

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 6 місяців тому +1

    Ni DRC sio DLC

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  6 місяців тому

      🙏

    • @dollardavid955
      @dollardavid955 6 місяців тому

      😂😅 hayo ndo matamshi ya watanzania wengi

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 6 місяців тому +1

    Nairobi is the best one

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 4 місяці тому +1

    Hujui kutofautisha "R" na "L"
    BiashaRa unasema BiashaLa 😂😂😂😂

  • @carolinemuli1862
    @carolinemuli1862 6 місяців тому +1

    Kenya tuko juu Tanzania akuna siku mutatushinda

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  6 місяців тому

      😄

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 2 місяці тому

      Ndiyo! Nakubaliana na wewe kwamba Kenya mko juu kwa ukabila na fujo za kisiasa... Sisi Tanzania tuko chini yenu kwa hayo mambo tajwa! Asante kwa huo ung'amuzi wako ee!

  • @ScholasticmboranoScholastic
    @ScholasticmboranoScholastic 7 місяців тому +1

    kigali nimuizi

  • @DorcasHeritier
    @DorcasHeritier 5 місяців тому +1

    Kinshasa ina pita Kigali na dar salaam saana wewe ni muongo

  • @CosmasSengenge
    @CosmasSengenge 7 місяців тому +1

    Kumbe Ethiopia ni Eac membership?

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 6 місяців тому +1

    Ni Ruwanda sio Luwanda

  • @MichaelLambeti
    @MichaelLambeti 6 місяців тому +1

    Ni Rwanda na cy Ruwanda

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  6 місяців тому

      Umesikia wapi neno Ruwanda?

  • @EmmanuelMalando
    @EmmanuelMalando 9 місяців тому +1

    Burundi unafanyaje huko

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 4 місяці тому +1

    Shida kiswahili chako kama hukuenda shule😂😂😂😂

  • @puritdana
    @puritdana 6 місяців тому +1

    Tanzania wanapendaa kenyaa ngalia comment section ukipata mtu hawesi sema kenyaa anyway majirani

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  6 місяців тому

      👍

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 2 місяці тому

      Mh! Hebu tujuane ambao hatujaielewa andishi ya huyu jamaa.😂😂😂😂😂!!

  • @AliBakariAli
    @AliBakariAli 6 місяців тому +1

    ASMARA sio ASMALA

  • @alliancemugane1589
    @alliancemugane1589 6 місяців тому +1

    😅Acha unachanganya mambo wewe unaijua Kinshasa? Ni bonge la Jiji

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  6 місяців тому

      Inaweza kuwa kubwa lakini hapa hatuangalii ukubwa

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 7 місяців тому +1

    😅😅😅

  • @KevinSteven-w1e
    @KevinSteven-w1e 2 місяці тому +2

    😂

  • @AlexMwas-m1x
    @AlexMwas-m1x 7 місяців тому +1

    Post facts acha ujinga, Nairobi is the most developed city in east and central Africa

    • @Fmbtv255
      @Fmbtv255  7 місяців тому

      Unaweza kutoa takwimu zako

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 2 місяці тому

      Khaa! Mbona unalazimisha mambo? Anzisha video yako, ukaiweke Nairobi yako kuwa bora zaidi ya miji yote ya east & central Africa kama yalivyo madai yako!!

    • @AlexMwas-m1x
      @AlexMwas-m1x 2 місяці тому

      @stanleybupambambogo3334 Endelea kuumia mtanzamavi, lakini huwezi badilisha facts

  • @josephochwaya
    @josephochwaya 5 місяців тому +1

    Ni the green city under the sun bt not in the sun, wewe nimsaliwa sawapi😂😂😂😂

  • @mohdmansur4845
    @mohdmansur4845 4 місяці тому +1

    East Africa huijuw ??? 😅😅😅

  • @MussaRamadhan-p1e
    @MussaRamadhan-p1e 3 місяці тому

    Safi

  • @MussaJacob-n7r
    @MussaJacob-n7r 7 місяців тому +1

    Nimeishi Nairobi, sijaona maajabu ya Jiji, Dar Bado iko juu. 8:01 8:01

  • @AugustinPhilbert
    @AugustinPhilbert 6 місяців тому +1

    Adis ababa no1 EA