TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 тра 2019
  • Imepita miaka 107 lakini dunia imeshindwa kuhusahau usiku wa umauti, Ulikuwa usiku wa kiza kinene kwenye bahari yenye kina kirefu, bahari ya Atlantic, Ilikuwa Aprili 14 mwaka 1912 Usiku ambao meli kubwa zaidi kwenye historia ya Dunia ilizama, Meli ya Titanic
    .
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 1,6 тис.

  • @user-tu2rc8pq2n
    @user-tu2rc8pq2n 3 місяці тому +103

    Kama tumetazama 2024 😁😁😁😁😁tujuane 👋

  • @user-zy5ml8bh3j
    @user-zy5ml8bh3j 5 місяців тому +14

    Nani anaangalia 2024 like hapa🤔

  • @martinmuruo
    @martinmuruo 11 місяців тому +139

    Nani anatizama 2023? Like tafadhali..

  • @wardamogan440
    @wardamogan440 4 роки тому +34

    Km unamini mungu yupo na Kila lenye kutokea ni kwa rehma zake bc Seema inalilahii wa Inna ilaihi ranjiun 😭😭😭 manaaa si jambo dogo mungu tupe mwisho mwema😢😢

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 5 років тому +283

    Huyu jamaa anajua kusimulia aysee,,hii ajali itabaki kumbukwa saana,kama unamuelewa huyu msimuliaji like basi twende sawa@@@

  • @ashney847
    @ashney847 5 років тому +36

    SubhanaAllah ndo mipango yake Allah anakuepusha na jambo lkn bado unalazimisha....
    Mpk watu wanakufa wakati wanaitengeneza manake wanapewa ishara wasifanye jambo lile.Ndo siku zote tukiepushwa na jambo lina kheri ndani yake, mfano mzuri huo hapo....
    Ya rabb tuongoze waja wako. Amiin

  • @shabanishabani2453
    @shabanishabani2453 4 роки тому +11

    Dah iko Njema sana story jopo kwa upande mwingine ni taku sktisha. Mungu awa pumzishe kwa aman (Amen)

  • @dulertech6284
    @dulertech6284 2 роки тому +12

    Mungu akupe umri mrefu professor Jamal uendelee kutoa vumbi akili zetu

  • @dekingsforealdee9147
    @dekingsforealdee9147 11 місяців тому +75

    Imebidi nirudi kusikiliza tena!
    Nipee like ili niendelee kurudi

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 роки тому +16

    Hii sauti amazing tumeimiss hadi nimetafuata story ya mda kidogo ili nisikilize, we miss you mtiga, mlejesheni jamaa huyu,

  • @eliasleonard9212
    @eliasleonard9212 3 роки тому +150

    Anaetizama 2021 anipe like zangu

  • @zanabphilip8347
    @zanabphilip8347 3 роки тому +16

    Waaaw simulizi nzuri,sauti tamuuuu,,niachieni like akii

  • @set-px8un
    @set-px8un 5 років тому +83

    Daaah!Nilikuwa cjui story ila nmeipata😍@The story book imetisha👌embu like hapa kama unakubali💪💪

  • @deebrown7908
    @deebrown7908 5 років тому +88

    Vizuri sana kweli
    Kwa story hiyo
    Kujuwa ilivyo tengenezwa
    Kamanawew humemuelewa weka like ilitwende

  • @jahonetz3580
    @jahonetz3580 4 роки тому +159

    Kama unaamin JAMAA anafaa kuwa mwalimu wa history like apa

  • @marrytandu5033
    @marrytandu5033 4 роки тому +8

    Malaika alijitengenezea CV nzuri Sana daaah .. Nimecheka

  • @gaudencemaumba7594
    @gaudencemaumba7594 3 роки тому +7

    What a story!!.. jamaa anasimulia hadi raha aseee.... SIMBA KUNA CROWN ATHLETE INATAKIWA ITOLEWE KWA BRO MTIGA!!! BIG UP MWAMBA UNAWEZA SANA.. BOOM 2021

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 5 років тому +13

    Mtangazaji ukae ukijua unapendwa na kula MTU chakufanya ungeza mautamu baba Ahsante kwa simulizi nzuri japo inackitisha bwana alitoa na bwana ametwa jina lake libarikiwe Amina

  • @ramadhankijana9442
    @ramadhankijana9442 4 роки тому +56

    Dah mtangazaji umenifuraisha.
    Malaika alijitengeneza CV siku hiyo.
    Twende sawa like hapa

  • @sheilanafulak6081
    @sheilanafulak6081 4 роки тому +6

    Asante Sana kwa mwandishi na msimulizi... At least I have apiece of history this night

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 5 років тому +80

    Nimekubali! Umeenda deep sana! Kuna vitu ndio nimevisikia hapa kuhusu hii ajali!! Big up! Kazi nzuri!!

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 років тому +22

    Wasafi mko juu mtangazaji nimekuelewa

  • @hellyally4395
    @hellyally4395 4 роки тому +5

    1M mungu akubariki mtiga abdallah uzidi kutuletea more story

  • @bravoh2542
    @bravoh2542 2 роки тому +20

    Eeeeish🔥🔥🔥
    #Mtigaaaaa💯💯
    Big Love from Kenya❤️

  • @fidboeogtheprince4766
    @fidboeogtheprince4766 4 роки тому +14

    Big up abdalla! Uko vizuri kwny usimulizi...
    Kama umemkubali jmaa gonga likee apo Chin!

  • @zakiamusa88
    @zakiamusa88 5 років тому +100

    kama umependa utangazaji wake huyu mtangazaji gonga like

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester Рік тому +2

    Walimdhihaki Mungu kwa kusema haiwez. Kuzama na wakati Mungu ndie mwenye kumiliki Kila kitu na Mungu hadhihakiwi kamwe maana haonekan Wala hachunguziki

  • @johnstoneemitundo7589
    @johnstoneemitundo7589 4 роки тому +2

    Mtiga Abdallah na Jamal Mustafa nafurahia kazi yenu kutokea Kenya Mombasa magongo 💯

  • @hamiswawa5872
    @hamiswawa5872 5 років тому +11

    story tamu sana , umetisha kamanda 💣💣💣

  • @lucasjoseph7522
    @lucasjoseph7522 5 років тому +33

    Daaah the story waz so hot.....but alie fnya iwe hot ni msimuliajii..kaka safi snaaaaa...

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 роки тому +27

    Msimulizi uko vzuri kama vile ulishuhudia tukio zima.ahsante sana.

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 11 місяців тому

      😅😅😅😅😂😂 hapo sasa

    • @DBrownstain
      @DBrownstain 10 місяців тому

      Acha tu, yaani nimemuelewa kuliko ata ile muvi yenyewe 😃😃

  • @mst1studio270
    @mst1studio270 4 роки тому +26

    Ooooooyes Good! I congratulating who documented this story. I give you 100%.

  • @tonythadei9608
    @tonythadei9608 5 років тому +27

    Yani huyu jamaa anae tuadisia anajua kweri tena sana bigap brother

  • @raxhidymono9258
    @raxhidymono9258 5 років тому +22

    Asante mtangazaj mana ndio nimejuwa Leo kama kapten alienda kulala alafu meli inaenda yenyewe si kwa uzembe huu meli ya kifahali walishindwa darubini kuangalia mbele kama salama kapoteza funguo sikunakuwaga nafunguo za akiba mtangazaji apo umeongeza chumvi bwana yani darubini iwe moja tu meli lote ilo umenichekesha mtangazaji kwakweli

  • @florencembithe2244
    @florencembithe2244 3 роки тому +40

    Am here 2021 anyone else..... Continue resting in peace 😢😢

  • @evancemwaijulu9117
    @evancemwaijulu9117 3 роки тому +1

    Asanteni wasafi kwa ubunifu wa kuleta THE STORY BOOK

  • @lucalmodric6685
    @lucalmodric6685 5 років тому +55

    Asante xana nlikuwa natitaka hii Muwe mnaweka huku wengne 2po nje ya nch tunafuatilia xana

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 5 років тому +1

      mm naona wanao watch n watu w nje maana kila mtu nipo nje

    • @ramlazuber6038
      @ramlazuber6038 4 роки тому

      @@pendosammy5984 ukiwa njee ya nchi yako unataman hata upate maneno ya lugha yako. Tupo wengi nje

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 4 роки тому

      @@ramlazuber6038 sanaa

  • @monday1278
    @monday1278 4 роки тому +35

    Hongera sana mtambaji.. unasimulia kwa ufasaha na ufanisi wa hali ya juu kabisa.. Hongera kaka.

  • @faithmwongeli5086
    @faithmwongeli5086 3 роки тому +39

    I really empower this story ...nairudia mara ya kumi😍 thumbs up to the writer

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 4 роки тому +5

    Daah thank you sana! Nilikuwa naisikia tuu hii story!

  • @ramaabuu1958
    @ramaabuu1958 5 років тому +19

    Stori nzuri sana hongereni wasafi!!!

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu7478 5 років тому +8

    Dah wasafi hambahatishi,,bonge la sauti

  • @jescajosephat3364
    @jescajosephat3364 4 роки тому +79

    Kam umependa sauti ya mtangazaji gonga like hapa

  • @mahirmustafa4439
    @mahirmustafa4439 2 роки тому +18

    Nimeipenda sana jinsi ilivyoelezewa hii story ya titanic simple and clear as well as understandable. Thank you WASAFI TV for bringing the story book show. May God bless you all.

  • @naomykibona4706
    @naomykibona4706 5 років тому +11

    mtangazaji hakika upo vzr.RIP wote kwenye hiyo ajali

  • @NajimOne12
    @NajimOne12 5 років тому +665

    Kama Umemueelewa Mtangazaji Gonga like hapa

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 роки тому +19

    Halafu nimesikia mmiliki wa meli hii alipouliulizwa kuhusu usalama wa meli yake alijibu kua hiyo meli hata mungu hawezi kuizamisha 😄😄 angalia kilichotokea sasa

  • @alvisprincetz1120
    @alvisprincetz1120 4 роки тому +6

    Mtangazaji nakwamini sana bro nice voice 🥰🥰

  • @elraysugarboymasb9535
    @elraysugarboymasb9535 5 років тому +103

    ahsante sana ndugu mtangazaji , r.i.p ndugu zetu

  • @focustz4408
    @focustz4408 5 років тому +19

    .nimekukubali sana kwa kusimulia uko vizur sana agiza soda apo nalipa

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 4 роки тому +3

    Unajua mwanzoni nilkua napotezea stori zako ila nakufatilia sana mkuu saiv big up

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 роки тому +16

    Jamaa unakipaji sana cha kusimulia sauti nzuri, matamshi fasaha, unajiamini yaani raha ndani ya utamu.

  • @jairosmnahi1218
    @jairosmnahi1218 5 років тому +38

    Noma saana mtangazaji uko juu

  • @patrickmalyampa9093
    @patrickmalyampa9093 5 років тому +202

    wasaf mko vzr mb zangu zinaenda kihalali

  • @piusundisputed
    @piusundisputed 19 днів тому

    Leo nimepata lesson,huko nyumba nlkuw napata ukakasi Sana,thanks Jamal

  • @chekatv780
    @chekatv780 3 роки тому +17

    aliyeitazama 2021 tujuane hapa😁😁

  • @dogoplatinumz3672
    @dogoplatinumz3672 5 років тому +38

    Viva wfm. Wtv the story book safi sana

  • @richardlugano8709
    @richardlugano8709 5 років тому +53

    Team kiba hii ni story book sio nyimbo ko mapovu noooo kama umekubalian na mim gonga like

  • @biffonmoogi6710
    @biffonmoogi6710 2 роки тому +11

    i really like your stories as you come up with them bro

  • @dadawataifa3169
    @dadawataifa3169 4 роки тому +84

    Kama uko in love na sauti ya mtigaabdallah kama mm gonga like twende pamoja

  • @priscakihaga3242
    @priscakihaga3242 5 років тому +5

    mtangazaji upo bomba sana anaekataa agonge like hapa

  • @zuu__95
    @zuu__95 3 роки тому +6

    duh elfu 1912 ata babu wa babu yangu babu yake na alomzaa babu yake hajazaliwa 😢😢😢😢 rest in peace wote.

  • @rogerfederer3436
    @rogerfederer3436 3 роки тому +14

    My best story book ever titanic 🤩

    • @zubedasultan9585
      @zubedasultan9585 2 роки тому

      🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇
      ua-cam.com/video/m7FXfhJotT0/v-deo.html

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 5 років тому +3

    kaka uko vizuri kwenye kusimlia

  • @majaliwapili2928
    @majaliwapili2928 5 років тому +23

    Wasafi FM juu sana ama kweli kila binadamu ana nafasi yake katika dunia bila diamond platnumz tusingekuwa na wasafi

  • @MartineShija
    @MartineShija 21 день тому

    Ujeutusimulie na Manisha yaviongozi wetu waliotangulia mbeleza mwenyez Mungu unajua Sana kusimulia ndugu

  • @ceciliakaari782
    @ceciliakaari782 4 роки тому +48

    Likes za mtangazaji in 2019 ziko wapi wenzangu? Usimulizi wake unavutia si haba.

  • @mussaayubuayubu6888
    @mussaayubuayubu6888 5 років тому +15

    Uko vizuri mtangazaji

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 5 років тому +4

    Guuuud wasaaaafiiii

  • @Learning_Fora
    @Learning_Fora 4 роки тому +4

    Mie mkenya and really like this guy he his my swahili morgan freeman

  • @whizzkidmaate9575
    @whizzkidmaate9575 2 роки тому +27

    Thanks wasafi,rip beautiful souls!

  • @gerrykate
    @gerrykate 5 років тому +628

    Kama unakubali the story book dondosha like hapa

  • @mg.general7710
    @mg.general7710 5 років тому +20

    Mtangazaji ukovyema sana

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 2 роки тому +2

    Asante kaka kweli we ni mtu mwenye akili zaidi

  • @muthoka6628
    @muthoka6628 2 роки тому +29

    "Even God couldn't sink it," Now people can understand How God is never Mocked

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 років тому +5

    Dah msimulizi unaniteka juzi Remmy Ongala leo Titanic! Big up bro

  • @misswamboh9585
    @misswamboh9585 5 років тому +22

    Woow,napenda unavosimulia una sauti nzuri pia

  • @nunumohamed1105
    @nunumohamed1105 4 роки тому +1

    Ww ni mtangazaji mziri sana poleni sana wenzetu

  • @christinajacob9301
    @christinajacob9301 3 роки тому +4

    Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amen

  • @mbarakamlawa7249
    @mbarakamlawa7249 5 років тому +3

    Msimuliaji na muhandishi wameitendea haki story safi sna

  • @maguoshao1300
    @maguoshao1300 5 років тому +174

    Huyu jamaa wa #wcb anatishaaaaa
    Goodvoice
    Wangap Wana amini Izo video alizotumia zinatokana na muviii ila wakatii asiliaa wenyewe haupo
    Yule aliyeenda kulala ndo aliyeandika kitabu cha maut ya titac lazimaa wafeee Tu lazimaaaaa
    #wcb
    #for life

  • @andrewchanuo2269
    @andrewchanuo2269 3 роки тому +14

    Historia tatanic inatisha sana kila siku kabla safari tumkabidhi safari muumba wetu atuongoze

  • @brayanluswe5194
    @brayanluswe5194 4 роки тому +54

    A talent guy may God add you more years so that we enjoy your stories

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 5 років тому +43

    Mtiga Abdalah uko vzr wasafi wakikukosa wametukosa wengi.

  • @kilistonechami519
    @kilistonechami519 5 років тому +6

    Uko vzur broooo

  • @SuzyMatemu
    @SuzyMatemu 6 днів тому

    The problem of this guy's they are not believe that have a God but jamaa unajua mpk unajua Tena nilihadithiw kipnd Niko form 3nikaon teacher n mwongo but is true ...... Niko apa wanaoitazam hii story mwanzon mwa mwz wa sita nipen likes zangu bas❤❤❤

  • @sapnaabdallah1084
    @sapnaabdallah1084 3 роки тому +56

    Anaetizama 2020 anipe
    Like 😁😁

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 5 років тому +11

    kwa sasa ndonimeelewa kuhusu titanic nlkuaga naxkia xkia tyu wngp ndo tumefaham mwanzo mpk mwisho kuhusu titanic gonga like apa tujuaje arif

  • @maryamammar1488
    @maryamammar1488 5 років тому +52

    Mtangazaji napenda sauti yko🤣🤣🤣🤣✨💖😍

    • @saidibambo4339
      @saidibambo4339 5 років тому +5

      Ichukue iwe ringtone 😂 😂 kwenye cmu yko

    • @maryamammar1488
      @maryamammar1488 5 років тому

      @@saidibambo4339 🤣🤣🤣🤣Umenishinda tabia😅😅😅😅

    • @aishahindoabdallah3122
      @aishahindoabdallah3122 5 років тому

      @@saidibambo4339 toba roho yangu 😂😂😂

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 4 роки тому

      Aisha Hindo Abdallah imekuwaje

  • @mussamussa9174
    @mussamussa9174 4 роки тому +5

    1.5M views hongera mtiga Abdallah

  • @piusundisputed
    @piusundisputed 19 днів тому

    Just realised Jamal is a good author,while Mtiga Abdullah is a good storyteller

  • @reggie868
    @reggie868 5 років тому +20

    A Superb narration, not boring at all, fascinating..

  • @estonmartin8269
    @estonmartin8269 5 років тому +45

    Doooh.....faida za gambe gonga like kama mdau wa gambe....💪

    • @drdioclespr6722
      @drdioclespr6722 5 років тому

      Eston martin aaaaah, nimekusoma

    • @estonmartin8269
      @estonmartin8269 5 років тому

      Dioo😅😅

    • @daudijohn609
      @daudijohn609 4 роки тому

      Sema pombe kali za kule ziko na alcohol ya kutosha sio km izi konyagi zenu utapiga unadanja ✌️✌️

  • @RaseduOfficial
    @RaseduOfficial 14 днів тому +1

    Mimi ni shabiki mwanaziki UA-cam Ras edu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🚴🚴🚴🚴🚴

  • @janetwambua5277
    @janetwambua5277 2 роки тому +6

    Well narrated,thankyou 👏👏👏

  • @bonnybernad
    @bonnybernad 4 роки тому +6

    Brother.. Sifa ziende kwako! hubaatishi hata kidogo!! bali you certainly know what you doing kwanye hii tasnia. "'am intrigued"

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa418 5 років тому +656

    km unasikiliza huku unasoma comment gonga like hapa

  • @judithenock8137
    @judithenock8137 3 роки тому +5

    Bado naipenda Sana hii story big up Sana kwa kusimulia

  • @sniper93999
    @sniper93999 3 роки тому +3

    Kama unaangalia hii halaf unakumbuka MV SPAIC ya zanzibar na chozi linakutoka gonga like , 😭😭

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 років тому +17

    STORY NZUR SANAA r.i.p