IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
    HII ni makala maalum ya historia ya Ikulu ya Dar es saalam na Chamwino...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 54

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +2

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @LusekeloMwailafu
    @LusekeloMwailafu 7 днів тому

    It's so interesting story

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 4 місяці тому +1

    Kwahio ikulu ya Dar bandari ya dar imejengwa na mtawala wa Zanzibar 😊

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 місяці тому +3

      HUO NI UTHIBITISHO KUWA ZANZIBAR NA TANGANYIKA ILIKUWA MOJA, LEO TUNABAGUANA KWA SABABU YA MIPAKA TULIYOWEKEWA NA WAZUNGU.

  • @AkswaZo
    @AkswaZo Рік тому +1

    Yes

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 4 місяці тому

    Huyo Zuhura cjui hajui kwamba hapa duniani c kwetu! Tupo safarini tu!! Tujitahidi kutenda haki kwa kila mmoja!!!

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 3 місяці тому

    Haya mali ya waisilamu irudi kwa wenyewe wajerumani wahuni waliwadanganya watu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Рік тому

    ❤️❤️❤️😍

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 6 місяців тому +1

    Waarabu Waingie Tu;Lakini Iko Siku!!!!!!!

  • @abdallahalbakri2561
    @abdallahalbakri2561 Рік тому +1

    Jamani ndugu zangu kuna mtu anaijuwa email ya Bi Zuhura wa BBC nitashukuru sana manake nasikiya bado yupo single kama ni kweli yupo single nataka kupeleka posa kumchumbiya

  • @yusuphmtipa1478
    @yusuphmtipa1478 5 місяців тому

    8:54

  • @GeorgeNkhambi-gp6hh
    @GeorgeNkhambi-gp6hh 4 місяці тому

    😅

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 6 місяців тому

    Kwa Nini Sasa???????

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 6 місяців тому

    Uache uchawa wakati huo rais alikuwa mmoja tu naye Magu Sasa ya mama yameingiaje

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Рік тому +5

    Hivi kumtaja Magufuli kuwa mjenzi wa Ikulu mpya shida ninini? Zuhura huyo tangu BBC

    • @smartmusic9893
      @smartmusic9893 Рік тому

      Hii ndiyo Tanzania 🎉

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 Рік тому

      Watu wote wanajua shda nini sasa.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Рік тому +2

      Hujakatazwa kumtaja wewe
      Unaweza kumtaja asubuhi mchana na jioni ruksa

    • @yusufudongote6440
      @yusufudongote6440 Рік тому +2

      Magufuri kumamake tu

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Рік тому +2

      Mbona hamukumtaja kikwete kama kajenga daraja la kigambon na barbara za kuunganisha mikoa

  • @helper1099
    @helper1099 5 місяців тому

    Sasa Washomvi walikuja tu na hawakukuta wenyeji? Kwanini historia ya mwafika ianzie pale wageni walipofika. Acha zako....

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 місяці тому

      Walichanganyikana na wenyeji wa pwani na wao baada ya kuoleana nao na kuishi hapa pamoja nao kwa karne kadhaa wakawa sehemu ya jamii hiyo. Hawa wote kwa sasa ni sehemu ya wazaramo.

  • @mhagamachas8974
    @mhagamachas8974 Рік тому +2

    Zuhura acha roho mbaya kwa Magufuli yaani unafahamika waziwazi toka ukiwa BBC

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 6 місяців тому +1

    Mali za waislamu zirudishwe

  • @alalawiymuhammad446
    @alalawiymuhammad446 Рік тому

    Kabla ya ushomvi kulikuwa na kabila ushomvi baada uhamiaj wa kabila mbili wabarawa na wazaramo ndio ukazaliwa ushomvi lkn kabla wabarawa kulikuwa na kabila likiitwa wamwambao

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 6 місяців тому

      Shomvi na pazi ndio walioanzshisha mji waliuita mzizima kwa kizaramo mji wenye afya

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 6 місяців тому

      Hakukua na kabila la ushomvi kk, shomvi na pazi walikuwa wakuu wa makabila y kizaramo na kikwelie basi, na hao shomvi na pazi ndio waliingiza choo cha kike wazaramo na wakwele kwa kuwapokea waarabu na kuukubali uislamu pia, wazaramo ndio waliowaonyesha njia waarabu kuingia bara hii ndio sababu wasukuma na wanyamwezi watani wa wazaramo

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 4 місяці тому

      ​@@MamuduAziz-h1zAcha uongo mpumbavu wewe, tulia na usikilize history ya ukweli.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 місяці тому

      ​@@MamuduAziz-h1zacha uongo na nyinyi kuukubali mfumo wa dini inayotambua ushoga na ndoa za jinsia moja kawaingiza nani cha kike?!

  • @hamynas
    @hamynas Рік тому +9

    kama ikulu ni jasho na nguvu ya waislamu na ilikua ni kituo chao cha DINI mpaka pale wakoloni wa kijerumani walivyoliteka na SASA wameshapata jengo mbadala DODOMA ni wakati mwafaka kulirejesha kwa WAISLAMU MALI YAO...FAIR DEAL

    • @fadhilisecha4268
      @fadhilisecha4268 Рік тому +1

      Udini

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Рік тому

      Yani waislam Kwa udini hadi wanakela 😂😂😂

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 Рік тому +5

      Inawauma sana, ni haki yao waislam si udini.., futa basi anachoongea huyu mzee, au aje mwingine akanushe

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Рік тому

      Jamaa amechanganyikiwa huyu

    • @hamynas
      @hamynas Рік тому +5

      @@fadhilisecha4268 ukidai haki unakua mdini?
      pumbavu saana