HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 424

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 4 роки тому +51

    Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli

  • @josephatmwambega2874
    @josephatmwambega2874 4 роки тому +23

    Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili
    Tunashukuru kwa maono yako
    Mungu akubariki sana

  • @simonmuhoja149
    @simonmuhoja149 4 роки тому +11

    Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 4 роки тому +17

    Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu

  • @maryammohammed5309
    @maryammohammed5309 4 роки тому +31

    Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania

  • @makaveliomari7211
    @makaveliomari7211 4 роки тому +21

    Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 4 роки тому +16

    Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 4 роки тому +5

    Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.

  • @sunyareh
    @sunyareh 4 роки тому +19

    Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.

  • @allystideforever6594
    @allystideforever6594 4 роки тому +37

    Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 4 роки тому +97

    Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪

    • @bojopa7
      @bojopa7 4 роки тому +5

      Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana

    • @jumachilundajr4853
      @jumachilundajr4853 4 роки тому +6

      @@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba

    • @hashimabdallah673
      @hashimabdallah673 4 роки тому +3

      Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 4 роки тому +4

      Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 4 роки тому

      Ingekuwa inawezekana tungebadilisha

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 4 роки тому +62

    Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania

  • @um_185
    @um_185 4 роки тому +21

    Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.

  • @petermanda4241
    @petermanda4241 4 роки тому +16

    Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako

  • @j_gh812
    @j_gh812 4 роки тому +21

    Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....

  • @zenj1986
    @zenj1986 4 роки тому +30

    Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 4 роки тому +38

    A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.

  • @mussajohn8182
    @mussajohn8182 4 роки тому +1

    Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 4 роки тому +42

    Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane

    • @pci_tanzania
      @pci_tanzania 3 роки тому

      🤣

    • @Jamesmwakisambwe
      @Jamesmwakisambwe 3 місяці тому

      Walau angetoka madarakani tu sio duniani inauma sana naangalia sasa 2024

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 4 роки тому +1

    Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏

  • @elishamkasu5191
    @elishamkasu5191 4 роки тому +28

    Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)

  • @mrigojohn7326
    @mrigojohn7326 4 роки тому +46

    Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 роки тому +10

    Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 роки тому +62

    THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔

  • @bchikop
    @bchikop 4 роки тому +30

    My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝

  • @ashaimohammedi6754
    @ashaimohammedi6754 4 роки тому +5

    Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 4 роки тому +53

    Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 4 роки тому +37

    Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.

    • @hermanshingisha8471
      @hermanshingisha8471 4 роки тому +3

      MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 4 роки тому

      @@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi

  • @dominicikuja7392
    @dominicikuja7392 4 роки тому +30

    Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao

  • @ipyanaamos5105
    @ipyanaamos5105 4 роки тому +45

    Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿

  • @batatukatotolabikay5296
    @batatukatotolabikay5296 4 роки тому +1

    Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja.
    May Allah protect you all the time our hero.

  • @marthaleonard2444
    @marthaleonard2444 4 роки тому +3

    Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !

  • @enockoward2656
    @enockoward2656 4 роки тому +10

    Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee
    Kama na wewe unawaza kama mm gonga like

  • @gloriakiria6096
    @gloriakiria6096 4 роки тому +14

    Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele

  • @gwajiboiboi8664
    @gwajiboiboi8664 4 роки тому +3

    Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 4 роки тому +1

    Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze

  • @fatmamatola393
    @fatmamatola393 4 роки тому +1

    Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia3312 4 роки тому +20

    Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali

    • @jacobmakono6983
      @jacobmakono6983 4 роки тому +1

      Hahahaahaha!

    • @bojopa7
      @bojopa7 4 роки тому +3

      Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje

    • @bojopa7
      @bojopa7 4 роки тому +3

      Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura

    • @hashimabdallah673
      @hashimabdallah673 4 роки тому +4

      Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 4 роки тому +27

    Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM

  • @simonjoseph1775
    @simonjoseph1775 4 роки тому +17

    Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.

  • @faraolion6822
    @faraolion6822 4 роки тому +38

    Hongera rais wetu

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna8110 4 роки тому +15

    Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 4 роки тому +3

    Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 4 роки тому +30

    Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm7876 4 роки тому +18

    Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 4 роки тому +2

      Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 4 роки тому

      Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI

  • @angelqwaray9174
    @angelqwaray9174 4 роки тому

    Nakupenda sana mh rais wetu Mungu akupe maisha marefu baba nasisi tutaenda one day kutalii huko

  • @matukionavichekesho4678
    @matukionavichekesho4678 4 роки тому +9

    Dah mungu akulinde mzee

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 4 роки тому +8

    Asante sana mheshimiwa

  • @omarymasalu5072
    @omarymasalu5072 4 роки тому +13

    Raisi wetu mpendwa❤

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 4 роки тому +22

    Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️

  • @raymond_anthony95
    @raymond_anthony95 4 роки тому +27

    Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 4 роки тому +13

    Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 роки тому +7

    Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa

  • @exaudvahaye8873
    @exaudvahaye8873 4 роки тому +1

    Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli
    we love u

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 4 роки тому +11

    Mbeba maono hafiiiiii,.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 4 роки тому +3

    "Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.

  • @deusrobert1343
    @deusrobert1343 4 роки тому +1

    Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 роки тому +1

    Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.

  • @mushtaqdada9804
    @mushtaqdada9804 4 роки тому +5

    Tanzania first magufuli beloved President

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 3 роки тому

    Mungu airehemu roho yake hayati Rais John Pombe Magufuli Kwa maono mema Kwa wananchi wa Tanzania.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 роки тому +2

    Mungu akutunze Mh Rais 🙏

  • @leebronkasianlh3102
    @leebronkasianlh3102 4 роки тому

    Hongera sana JPM tunakukubali sana.kigongo busisi nakumbuka nimewahi kuvuka kwa pantoni nikielekea sengerema,Leo daraja !! Mungu akulinde mkuu.

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 4 роки тому +2

    Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.

  • @simonntibaziyaremye5607
    @simonntibaziyaremye5607 4 роки тому +7

    Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 4 роки тому +4

    MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 4 роки тому +2

    Nimependa sana hii hongera mzee

  • @josephramsonmtukufu3149
    @josephramsonmtukufu3149 4 роки тому +8

    I'm proud of you mr president

  • @eliufoowiliam8882
    @eliufoowiliam8882 4 роки тому +1

    Mungu akubariki sana na akulinde.

  • @zaharaniiddy5572
    @zaharaniiddy5572 4 роки тому +1

    Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM

  • @methuselayusto9708
    @methuselayusto9708 4 роки тому +3

    Mungu akulinde rais wetu

  • @jpintrospection1315
    @jpintrospection1315 4 роки тому +1

    Mungu ibark Tz kw kupta kiongz mweny maon Kam huy

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 4 роки тому +7

    Pamoja Ako Magu. Tunakuombea

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 4 роки тому +1

    🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu

  • @dicksoncario3365
    @dicksoncario3365 4 роки тому +4

    indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa

  • @mchwikesenior4221
    @mchwikesenior4221 3 роки тому +1

    Tujuane kama bado unaangalia baada ya kifo chake. RIP JPM

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka2824 4 роки тому +18

    Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?

  • @chuwafamily496
    @chuwafamily496 4 роки тому +4

    Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 4 роки тому

      Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.

  • @kakaziller
    @kakaziller 4 роки тому +13

    nakubali

  • @gladynicolaus956
    @gladynicolaus956 4 роки тому +1

    Mungu akubariki na akulinde raisi wetu

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 4 роки тому +37

    Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 4 роки тому +31

    We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 4 роки тому +4

      Aaah mzee huyu hashindwi.

    • @stevenfabian2208
      @stevenfabian2208 4 роки тому +5

      Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 4 роки тому +6

      Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin

    • @bojopa7
      @bojopa7 4 роки тому +1

      Kabisa bro tuko pa1

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 4 роки тому +2

      @@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja

  • @filbertodilo8035
    @filbertodilo8035 4 роки тому +2

    😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 4 роки тому +2

    Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.

  • @williamlucas238
    @williamlucas238 4 роки тому +3

    ",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"

  • @jastinekanjost8073
    @jastinekanjost8073 4 роки тому +15

    Dream became true 🙏

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 4 роки тому +18

    Mzee baba oyee

  • @rubenisaitoti3612
    @rubenisaitoti3612 4 роки тому +1

    Hongera san mungu akulinde

  • @saiddhore7976
    @saiddhore7976 4 роки тому

    Kusbabu mimi ni musomali wa mwanza makufuli hongera good bless you

  • @ayoubsuleiman2581
    @ayoubsuleiman2581 4 роки тому

    Duuuh Mungu anamakusudi yake kwakwel huwa anamwandaa MTU na kumepusha na mabalaaaa kwa njia anazo zijuwa mwenyewe Mungu ni Mungu kwakwel akurinde daima inshallah.

  • @jacksonpeter3840
    @jacksonpeter3840 4 роки тому +14

    Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga

  • @julianacharles6014
    @julianacharles6014 4 роки тому +1

    Mungu akubariki Rais wangu 😢

  • @dullasalim8603
    @dullasalim8603 4 роки тому +15

    Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe

  • @rogatiusscarion726
    @rogatiusscarion726 4 роки тому +5

    Man of the people ✊

  • @vivianusrwezaura3555
    @vivianusrwezaura3555 4 роки тому +1

    Love you Mr. President. Our visionary leader

  • @herbertluoga5160
    @herbertluoga5160 4 роки тому +1

    We mheshimiwa mungu akulinde

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 роки тому +1

    Mashaallah mungu akuongoze baba etu magufuli

  • @mohamedindalo2663
    @mohamedindalo2663 4 роки тому +3

    TANZANIA RAHA SANA

  • @johnfrancisbahati4320
    @johnfrancisbahati4320 4 роки тому

    Mungu akubaloki Sana rais wetu umeokoa weng sana mungu akuzishie balaka

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 4 роки тому +1

    Mwenyezi MUNGU akusimamie utuongoze vyema mzee wetu

  • @kassimm.kassin5472
    @kassimm.kassin5472 4 роки тому +3

    Hongera Magu