MIAKA 10 YA AZAM TV | Abubakar Bakhresa afunguka usiyoyajua
Вставка
- Опубліковано 17 тра 2023
- Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media LTD, Abubakar Bakhresa amefanya mazungumzo rasmi na Mtangazaji wa Azam TV, Faraja Sendegea kuhusu miaka 10 ya tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo mwaka 2013.
Mko vizuri Sana Azam media mungu awabless
Visionary Leader .. Inspiration
Hongereni kwa miaka 10 ya burudani kwa wote!🎉🎉🎉
Azam TV the biggest tv company in East Africa tunawakubali sana! Ila tunaomba mnunue rights za kurusha EPL ili tuachane na hivi ving'amuzi vingine tubaki na azam
Naomba elimu ya huduma zinazotolewa na Azam pesa
Very smart.
Please fanyeni mpango wa EPL na UEFA
Sasa mapinduzi zaidi kwenye filamu Tanzania.
Ma Sha Allah
ONGEREN SANA AZAM mmeleta mapinduzi makubwa sana
Mnastshili kupewa maua yenu kwani mme transform mpira wetu leo ni ligi ya 5 Afrika na ya kwanza CECAFA Mungu azidi kuwawezesha zaidi mfanye zaidi na zaidi awali hata ligi ya Kenya ilikuwa inatuzidi mnooooooooo
Mmejitahidi sana kuibrand ligi yetu na kutanuka baadhi ya nchi kilichobaki ni kununua haki ya matangazo ya ligi ya uingereza ili vingamuzi vingine tuchome moto tumiliki azam tu
naam
Umenena
Business have to be scalable all the time
Hakika ligi yetu ilivotoka na Sasa Azam inastahili pongezi na kuungwa mkono
Azam tv burudani kwa wote Haina mpinzani
Azam mnastahili tuzo hakika ni burudani kwa wote
Kuna mutu anarucha marudiyo ya week nzima
Azam media inakufa kwani mnatukamua mno
Nenda DStv rahisi utafufuka
@@abdallahally842 😂😂😂umeua
Huyu mzee anamadini sana
Huyu ndio mwanawe wa kwanza Bakhresaa anaitwa Abubakari Bakhresaa ofisi yake ipo Mzizima banda la ngozi