Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2015
  • Mkasi | S13E16 with Mohammed Dewji Extended version
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 583

  • @justinsamwel4946
    @justinsamwel4946 3 місяці тому +13

    Tujuane ambao tunaangalia leo 2024

  • @MussaSanare
    @MussaSanare 4 місяці тому +43

    Nani anaangalia 2024?!!

  • @shantaaswad9523
    @shantaaswad9523 5 років тому +8

    I love this man for free, open heart, down to earth, very composed, he loves God, humble the list continue, l prayed to God for his safe return, faithful God his back in one piece, a country needs people like him, may God protect him always.

  • @ramadhanali2548
    @ramadhanali2548 8 років тому +25

    The BEST interview ever, Mo is wonderful, Salama tuletee watu kama hawa wenye muelekeo.

    • @Bbwaoy
      @Bbwaoy 8 років тому +5

      napenda sana kuangalia interviews za watu walio fanikiwa kimaisha au matajiri au the most successful individuals kwa lugha ya wenzetu... kitu ambacho nime jifunza toka nianze hii hurka ya kufatilia interviews za style hio.. ni kwamba "the most successful people think, act, speak, behave, almost 99% different from low life individuals" kitu kingine success needs TIME am gonna put that in capital letters... jamaa alianza 1998 kutafuta utajiri / biashara tuseme lakin its upto this moment ndio tumsikia sasa kua ana pesa according to FORBES, so take lets say 2013-1998= 15 years, so guy roughly ali hangaika for 15 Years kuweza kufika kwenye pick aliyopo sasa which shows a degree of patience and determination he has. Congratulations! at some point am inspired.

  • @mercy8543
    @mercy8543 8 років тому +11

    Kwakeli Mo Dewji anasema ukweli ...I give you lots of respect!!even in UK your dad help lots of Tanzanians. Please keep doing what your doing. And mkasi producer you have one of the best program in tanzania.

  • @jackart3739
    @jackart3739 4 роки тому +21

    Kama bado unaangalia hi 2020march gonga like hapa

  • @salmaqueen4382
    @salmaqueen4382 5 років тому +9

    Mwenyezi mungu akulinde urudi salama kaka yetu na hao waliokuteka walaanike laana zote mbaya Amen..

  • @nuruaud8271
    @nuruaud8271 8 років тому +15

    Such an inspiration

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 6 років тому +13

    Love the interview

  • @bettykibale4449
    @bettykibale4449 8 років тому +9

    That's very great and inspiring !!

  • @malkiawarda8303
    @malkiawarda8303 8 років тому +11

    very inspiring interview

  • @isayawilsonabongo4866
    @isayawilsonabongo4866 8 років тому +1

    very inspiring...ni mfano mzuri kwa vijana wengine...kwa kweli tunatakiwa tuamke tukafanye kazi hasaaaaa....biashara.
    I salute you Mr. Mo....endelea kupambana ukawe mwanga kwa wengine....

  • @soloelly2957
    @soloelly2957 2 місяці тому

    Kati ya interview bora Tanzania, stay blessed for doing this.

  • @husnatgamaah1335
    @husnatgamaah1335 5 років тому +2

    Yaa Allah kama ulivyomvusha nabii yunnus kwenye tumbo la samaki, ya Allah kama ambavyo uliufanya moto kwa Nabii Ibrahim ukawa barid, Allah tunakuomba na huyu mja wako mo popote alipo umrudishe salama Yaa Rabb😢😢😢

  • @dennie3000
    @dennie3000 8 років тому +64

    This was the best interview since nimeanza kuangalia mkasi.

  • @imanimatabula3109
    @imanimatabula3109 6 років тому

    Wow thanks Mohammed Dewj. Dah you have inspired me a lot.

  • @ahmedalwy
    @ahmedalwy 8 років тому +10

    this is my favourite episode of mkasi,like that man,God bless u.got inspired by this man,need more interview like this.

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 5 років тому +2

    Usijali kaka wanaosema umerithi,..u my champion bro..u so humble and mostly i like from u u so humble

  • @freedom-ui2et
    @freedom-ui2et 8 років тому +43

    this is epic and inspiring.salama next time invite abubakar bahressa(son of said salim bahressa) for interview.I hear he is the master mind behind bahressa's success in business. we would like to hear something from him.

    • @stevenmamba2464
      @stevenmamba2464 8 років тому +3

      +joseph mabrouk Bahressa yupi ? Anaemiliki bandari kavu iliopitisha containers 320 bila kulipa ushuru ?

    • @rashidayoub2131
      @rashidayoub2131 8 років тому +1

      +Steven Mamba sio kila kosa linalofanywa na mtoto ndio kusema katumwa na mzazi wake

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 8 років тому +2

      +Steven Mamba but i think of you complain it wont change anything

    • @TheNdaki
      @TheNdaki 8 років тому +3

      +Steven Mamba "The society prepares the crime..the criminal commits it"
      Ndo maana hata leo hii watu wameekewa sehemu za kuvukia barabara salama mfano "zebra cross" lakini hawazitumii badala yake wanajivukia ovyo sehem wanazotaka.
      *Maana ya mfano hapo juu ni kua Matatizo ya Tanzania yanatokana na mfumo ulioandaliwa au kutengenezwa na Taifa (Tanzania) ndio maana unakuta makosa hayo.

    • @jumamchina2698
      @jumamchina2698 5 років тому

      poln

  • @Elly_corner
    @Elly_corner 8 років тому +1

    very inspiring....thanks for the show

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral 5 років тому +2

    One of the greatest Gift from God is that kuwa huyu #MoDewji anayo hekima na always GOD WILL BE ON HIS SIDE ALL THE WAYS UP.. 🗽🌍🌟👌🙏😢

  • @komododrag5232
    @komododrag5232 4 роки тому +2

    U are an inspiration👋

  • @frankbunini9898
    @frankbunini9898 2 роки тому +3

    It was a fantastic interview

  • @godfreydionis5656
    @godfreydionis5656 8 років тому +10

    I appreciate u guy!

  • @luise-lottefidan5786
    @luise-lottefidan5786 5 років тому +3

    Sad that he is gone...poleni from Kenya living in Germany. Have learnt a lot from him Dankeschön

  • @mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76
    @mtoto_wa_kiba79mo_fayatz76 6 років тому +17

    ..Riba {Dhambi ya Riba ni Zaidi ya MTU aliyefanya mapenzi na Mama yake Mzazi}😊😊😊Tupige kazi,Pepo ni yetu sote

  • @TheNdaki
    @TheNdaki 8 років тому +6

    Hii ni interview nzuri Sana na pia nimejifunza mengi kupitia Mohamed Dewji. Natamani sana siku moja kufanya mambo kama haya aliohadisia... Ntajitaidi kutimiza aliyotushauri Mo.
    *Mungu nisaidie katika hili.Amen!

  • @K-STARGLOBALTRADERSCOLTD
    @K-STARGLOBALTRADERSCOLTD 7 років тому +12

    Salama please interview more great people like MO instead of bongo flavor artists only
    But so far it's the best show I've ever watched.big up

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy846 5 років тому +3

    Allah atamsaidia mja wake,vile vile serikali yetu imara inafanya kazi usiku na mchana,hivo kila kitu kitaenda sawa.Mungu Ibariki Tanzania

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 5 років тому +56

    tangia moo atekwe sina raha katika nafs yang na namuomba ALLAH amlinde huko aliko na inshaallah atapatikana akiwa salama. 2gther from soni lushoto tanga tanzania

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 5 років тому +2

      Emed Ibrahim sio ww tu brother laiti tungekuwa nauwz wakujua awa wachawi walipo asee kaka wangenda kututeka wote

    • @mohamedpius1459
      @mohamedpius1459 5 років тому +1

      Yaani tupo wengi roho inaniuma sana sina raha natamani hata nitambue alipo wapi ila naamini yupo salama Nina imani hyo mungu amsaidie

    • @gladnessmahimbo3779
      @gladnessmahimbo3779 5 років тому

      Emed Ibrahim m

    • @bushiliapollo5790
      @bushiliapollo5790 5 років тому

      Mungu akupe maisha marefu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 років тому +7

    Jamani nye mliomteka turusishieni mo wetu salama maana ni mtu muhimu sana kwa nchi hii leo ndo nimesikiliza intavyu yake maashaallah ni mwanaume wa maaana sana

  • @karthala6676
    @karthala6676 5 років тому +6

    I feel for him and his family. Pray for him to be found safe and sound InshaAllah

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 4 роки тому +19

    Nani bado anaangalia November 2019

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 5 років тому +1

    MO.. u r nice boy.! Mungu akulinde huko waliko kupeleka' maskiin kijana wewe wamekudhulumu.! subra kwa family na wazee wako.!

  • @princelee2264
    @princelee2264 5 років тому

    Honesty is an expensive thing don't expect it from cheap people! I love this😘💕💕..........Jaman mrudisheni mo wetu ! Mungu simamia maisha ya mtu huyu Amen. Soon Mo atarudi akiwa salama naamini Mungu anaona hili kwani hawezi ruhusu mwenye haki wake ateseke kiasi hiki....

  • @mankawilliam5813
    @mankawilliam5813 8 років тому +8

    Best interview so far for me

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 5 років тому +9

    Sijawahi kumsikia mo ata ugomvi na mtu yeyot, MUNGU MSAIDIE HUKO ALIKO AWE SALAMA, AMIN

  • @salimhullk4134
    @salimhullk4134 5 років тому +5

    Daaagh yani brother wangu umeniamsha akili yangu sanna na hadi sasa sijui upo wapi Umeniwachia Majiraha makubwa sanna na Namuomba mungu Akulinde na kila sharii By Salim Mohammed Awamy from znz

  • @annastazyahemed1018
    @annastazyahemed1018 8 років тому +2

    interview bomba kuliko zoteeeee....dah!inatia moyo sana

  • @hopemandelae
    @hopemandelae 4 роки тому +4

    Hii ni mojawepo wa shoo za mkasi zilizonipendeza sana....vijana tujitume na tuweke Mungu mbele.

  • @elizachota6361
    @elizachota6361 6 років тому +3

    🤗🤗jaman maneno yapo good san mmenifungua tumacho thanks mkasi na mo😗

  • @gerraldbukelebe1578
    @gerraldbukelebe1578 5 років тому +3

    Good inspiration MO well done we'll still love you too

  • @scorbernassoro4043
    @scorbernassoro4043 8 років тому +15

    Mchz anaongea lugha ya kupata pesa tu safi sana afu anasema pesa ipo kwenye kilimo na kwenye biashara let me deal with kilimo ooh my God

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 4 роки тому

    I love it thank you

  • @florenceholmen8304
    @florenceholmen8304 8 років тому +9

    Duh! Learned a lot!!!! Bonge moja la interview👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @nebatmwangomba8427
    @nebatmwangomba8427 6 років тому +1

    Dah mo hongera sana Mungu wako akutie nguvu sana kwa elimu hii nimejifunza kitu kikubwa. Nataman sana kufikia malengo hayo

  • @lovenesskaziyao8181
    @lovenesskaziyao8181 3 місяці тому

    A creativity man

  • @shadrackjackson8737
    @shadrackjackson8737 8 років тому +1

    I never comment before but this am so motivated

  • @LuganoSovile
    @LuganoSovile 8 років тому +2

    I think,..this inspires me.

  • @parfaitkalemela7150
    @parfaitkalemela7150 5 років тому +4

    Naipenda interview hii 👍🏾✅

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 5 років тому

    Kaka mo nnakuombeaa duwaa kwa mungu yaaraby akulinde na akutowe kwenye makucha ya mayahudi haoo yaaraby akufanyiee kila la wepesi yaaraby mmungu awatiee imaani na huruma haoo walio kutekaa YAARABY mmungu watiee imaani kwakilaa aliee shiriki kwa kudhulumiwa kakayetu mo kama walivyo amrisha atekwee basi mmungu watiee imaani na uwafanyiee moyo mwepesi wakutowa ambri arejeshwe kwa usalama na afya yake YAARABY jaaliyaa mo wamrejeshe akiwa yuhaii
    AMEENA YAARABY 🙏🙏🙏🙏🤝🤝

  • @salmaaman2813
    @salmaaman2813 5 років тому +1

    Your my inspiration guys.

  • @innovibes418
    @innovibes418 6 років тому +1

    the best interview

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 6 років тому +12

    Salama na Team yako....Uwelewa wenu wa mambo ya biashara ni mdogo sana kuweza kum-interview MO ila hongereni kwa kujaribu na kupata opportunity hiyo.

  • @karimkarachiwalla7073
    @karimkarachiwalla7073 3 місяці тому

    Very inspiring story from a fellow African.

  • @jamaliyuda8802
    @jamaliyuda8802 8 років тому

    more dewj lov u and keep it up.... binadam tumezoea kukosoa ucjal ndyo chachu ya maendeleo yako na kwetu sote hakuna aliyekamilika..........

  • @seifsharyan2558
    @seifsharyan2558 8 років тому +2

    yah i lov it

  • @kiluviasamia6328
    @kiluviasamia6328 5 років тому +31

    yarabi mfanyie wepec Mo hao waliomteka wamuachie akiwa salama.

  • @evammile7876
    @evammile7876 5 років тому +2

    Eeh M/Mungu Naomba umlinde Huko aliko na utusaidie Apatikane Inshallah

  • @godlucksamwel7560
    @godlucksamwel7560 8 років тому +1

    nice and educative interview.. thank you guys

  • @emmanuelzakayo996
    @emmanuelzakayo996 5 років тому +2

    Very educational interview

  • @yahyashaaban1881
    @yahyashaaban1881 4 роки тому

    Mita ya nguo milion 100 duh ! Kwa siku/mwezi/mwaka br ? Wonderful hongera sana

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 5 років тому +1

    Masha Allah

  • @kaygrekogreko8149
    @kaygrekogreko8149 6 років тому +7

    Mimi ndiyo leo nimepita kibahati tu na nimependa sana maelezo yake na hasa ukizingatia body language unakuja kuta anachokisema KINAMTOKA MOYONI

  • @marycelineevergreen9257
    @marycelineevergreen9257 8 років тому +3

    yahhhh nasonga mbele tu safi sana MO ni dawa ni hiyo!!

  • @labanbishirabandi3740
    @labanbishirabandi3740 5 років тому +1

    Excellent mr mo

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 5 років тому +1

    I like this guy,

  • @wolfugangtesha5724
    @wolfugangtesha5724 5 років тому

    Best interview ever

  • @nassorm5634
    @nassorm5634 8 років тому +3

    Pongezi zangu kwa Team "MkasiTv".. Ongezeni interview na watu tofauti kama hii hapa. sio star wa muvi na miziki tu. nice job. Salama is an amazimg person

  • @almericksakafu5023
    @almericksakafu5023 23 дні тому

    Aisee watu wapo smart naangalia sana clips za hii interview sikuwaza kama aliongea 9 years ago mwamba ni inspirational🏌️‍♂️

  • @fahdijabir1270
    @fahdijabir1270 Рік тому +1

    Salute kwako Dada Salama 🙋‍♂️🙋‍♂️🙋‍♂️

  • @rebeccacheyo
    @rebeccacheyo 3 роки тому

    So good, Who’s watching in 2021?

  • @muneramuhammad1134
    @muneramuhammad1134 5 років тому

    Mashallah tabarakallah mungu akubarikii akuepushe na hasad☝Baraka allah fikk❤

  • @anatymatiath4517
    @anatymatiath4517 5 років тому

    Jaman Masha Allah Mungu atamrudisha huyu kaka Wallah anahekima Sana Allah atamfanyia wepes arud salama

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому +1

    Yaaa Allah mfanyie wepesi Mo Dewji arudi salama yaliyompata huyu ndio yalimpata Dr Shika. Najisikia vibaya sana

  • @hafidhsaid7283
    @hafidhsaid7283 6 років тому +1

    You are the best in the world

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah1571 8 років тому +1

    thanks mkasi kutuletea huyu jamaa
    mo amenifunza mengi yenye faida

  • @itungi
    @itungi 6 років тому +2

    BIG up

  • @fraitmgala5966
    @fraitmgala5966 Рік тому +2

    Ndoto yangu ni kufungua kampuni kubwa ipo siku mungu atanifanyia wepesi ndoto yangu itakuwa Kweli ❣️❣️

  • @aquilinemakoi7849
    @aquilinemakoi7849 7 років тому +1

    am really inspired

  • @ospesa5
    @ospesa5 8 років тому +1

    thanks Salama kwa hakika nimepata faida kubwa leo

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 4 місяці тому

    Maa Shaa Allah ❤

  • @nasmasaid517
    @nasmasaid517 8 років тому +2

    Very inspiring, god bless you

  • @ibnhassan2003
    @ibnhassan2003 3 роки тому

    dewji kasema anataka kufungua "benki zitazotoa mikopo midogo kwa riba nafuu" alafu salama akasema "in shaa allah mungu atakusaidia", ajui maskini kwamba Allah kwenye quran katangaza vita na wala riba

  • @hassankaapu8904
    @hassankaapu8904 5 років тому

    That"s interview is very encourage me,

  • @nicksonjk8479
    @nicksonjk8479 7 років тому +10

    ameajiri zaidi ya watu 28,000 Tz. big up sana.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому

    Allah akupe uzima uko uliko wakuachie ukiwa salama, najikuta nalia kwa mtihani huu uliokukumba, Allah mfanyie wepec mja wako aachiwe akiwa salama.

  • @MasterRegan
    @MasterRegan 7 років тому

    its very inspiring

  • @freshgang2559
    @freshgang2559 7 років тому +2

    The Guy is Brave.............Big Up Sana

  • @malickshillah
    @malickshillah 8 років тому +3

    I really enjoyed this episode... ilikuwa very entertaining and nimejifunza a lot this is the only episode i have ever watched from mkasi, get more inspirational people like MO and youll get tons of more views... but i want to suggest that you should get rid of the blackboard and chalks and get a white board for it will make you look more professional.

  • @surayammanga8190
    @surayammanga8190 5 років тому

    Mungu nakuomba mlinde huko alipo arudi salama na watekaji Mungu husika kikamilifu najua ww wajua kila kitu kuhusu mor ww ulie mlizi wa kila kiumbe Mungu wa mbingu na ardhi wafedheheshe hawa waliomteka huyu kijana

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 7 років тому +2

    verry humble maskin, blessed Mo

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 3 роки тому +2

    If you can dream it
    You can have it .

  • @mariammahonge2922
    @mariammahonge2922 8 років тому +2

    Inspired

  • @user-gf6fp5cg8o
    @user-gf6fp5cg8o 3 місяці тому

    Mashaalwaa unamaona mungu akulinde boss umenipa mwangaza❤️❤️❤️

  • @ngwandedumange6543
    @ngwandedumange6543 2 роки тому

    Mohammad you are the man of people

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 6 років тому

    wow, inspiring

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому +1

    Moooo.. 🔥🔥🌹2020

  • @Rugarabam
    @Rugarabam 5 років тому +7

    To be rich isnt capital, it's the power of subconscious mind, MO mindset for a loan of 800,000,000 was just small money... Through the law of attraction he believed he will get what he wanted. I love that... What's your mindset???

    • @mbossochisoso
      @mbossochisoso 3 місяці тому

      This man is so genius in business

  • @karthala6676
    @karthala6676 5 років тому +2

    Alhamdulillah Mohamed has been found safe and sound. I have been praying Allah to spare his life.
    We have to learn from experience, InshaAllah he will review the way he moves around the country. Soooooooo happy he’s ok alhamdulillah