I love this man for free, open heart, down to earth, very composed, he loves God, humble the list continue, l prayed to God for his safe return, faithful God his back in one piece, a country needs people like him, may God protect him always.
napenda sana kuangalia interviews za watu walio fanikiwa kimaisha au matajiri au the most successful individuals kwa lugha ya wenzetu... kitu ambacho nime jifunza toka nianze hii hurka ya kufatilia interviews za style hio.. ni kwamba "the most successful people think, act, speak, behave, almost 99% different from low life individuals" kitu kingine success needs TIME am gonna put that in capital letters... jamaa alianza 1998 kutafuta utajiri / biashara tuseme lakin its upto this moment ndio tumsikia sasa kua ana pesa according to FORBES, so take lets say 2013-1998= 15 years, so guy roughly ali hangaika for 15 Years kuweza kufika kwenye pick aliyopo sasa which shows a degree of patience and determination he has. Congratulations! at some point am inspired.
Kwakeli Mo Dewji anasema ukweli ...I give you lots of respect!!even in UK your dad help lots of Tanzanians. Please keep doing what your doing. And mkasi producer you have one of the best program in tanzania.
very inspiring...ni mfano mzuri kwa vijana wengine...kwa kweli tunatakiwa tuamke tukafanye kazi hasaaaaa....biashara. I salute you Mr. Mo....endelea kupambana ukawe mwanga kwa wengine....
Yaa Allah kama ulivyomvusha nabii yunnus kwenye tumbo la samaki, ya Allah kama ambavyo uliufanya moto kwa Nabii Ibrahim ukawa barid, Allah tunakuomba na huyu mja wako mo popote alipo umrudishe salama Yaa Rabb😢😢😢
this is epic and inspiring.salama next time invite abubakar bahressa(son of said salim bahressa) for interview.I hear he is the master mind behind bahressa's success in business. we would like to hear something from him.
+Steven Mamba "The society prepares the crime..the criminal commits it" Ndo maana hata leo hii watu wameekewa sehemu za kuvukia barabara salama mfano "zebra cross" lakini hawazitumii badala yake wanajivukia ovyo sehem wanazotaka. *Maana ya mfano hapo juu ni kua Matatizo ya Tanzania yanatokana na mfumo ulioandaliwa au kutengenezwa na Taifa (Tanzania) ndio maana unakuta makosa hayo.
Hii ni interview nzuri Sana na pia nimejifunza mengi kupitia Mohamed Dewji. Natamani sana siku moja kufanya mambo kama haya aliohadisia... Ntajitaidi kutimiza aliyotushauri Mo. *Mungu nisaidie katika hili.Amen!
tangia moo atekwe sina raha katika nafs yang na namuomba ALLAH amlinde huko aliko na inshaallah atapatikana akiwa salama. 2gther from soni lushoto tanga tanzania
Jamani nye mliomteka turusishieni mo wetu salama maana ni mtu muhimu sana kwa nchi hii leo ndo nimesikiliza intavyu yake maashaallah ni mwanaume wa maaana sana
Honesty is an expensive thing don't expect it from cheap people! I love this😘💕💕..........Jaman mrudisheni mo wetu ! Mungu simamia maisha ya mtu huyu Amen. Soon Mo atarudi akiwa salama naamini Mungu anaona hili kwani hawezi ruhusu mwenye haki wake ateseke kiasi hiki....
Daaagh yani brother wangu umeniamsha akili yangu sanna na hadi sasa sijui upo wapi Umeniwachia Majiraha makubwa sanna na Namuomba mungu Akulinde na kila sharii By Salim Mohammed Awamy from znz
Kaka mo nnakuombeaa duwaa kwa mungu yaaraby akulinde na akutowe kwenye makucha ya mayahudi haoo yaaraby akufanyiee kila la wepesi yaaraby mmungu awatiee imaani na huruma haoo walio kutekaa YAARABY mmungu watiee imaani kwakilaa aliee shiriki kwa kudhulumiwa kakayetu mo kama walivyo amrisha atekwee basi mmungu watiee imaani na uwafanyiee moyo mwepesi wakutowa ambri arejeshwe kwa usalama na afya yake YAARABY jaaliyaa mo wamrejeshe akiwa yuhaii AMEENA YAARABY 🙏🙏🙏🙏🤝🤝
Pongezi zangu kwa Team "MkasiTv".. Ongezeni interview na watu tofauti kama hii hapa. sio star wa muvi na miziki tu. nice job. Salama is an amazimg person
dewji kasema anataka kufungua "benki zitazotoa mikopo midogo kwa riba nafuu" alafu salama akasema "in shaa allah mungu atakusaidia", ajui maskini kwamba Allah kwenye quran katangaza vita na wala riba
I really enjoyed this episode... ilikuwa very entertaining and nimejifunza a lot this is the only episode i have ever watched from mkasi, get more inspirational people like MO and youll get tons of more views... but i want to suggest that you should get rid of the blackboard and chalks and get a white board for it will make you look more professional.
Mungu nakuomba mlinde huko alipo arudi salama na watekaji Mungu husika kikamilifu najua ww wajua kila kitu kuhusu mor ww ulie mlizi wa kila kiumbe Mungu wa mbingu na ardhi wafedheheshe hawa waliomteka huyu kijana
To be rich isnt capital, it's the power of subconscious mind, MO mindset for a loan of 800,000,000 was just small money... Through the law of attraction he believed he will get what he wanted. I love that... What's your mindset???
Alhamdulillah Mohamed has been found safe and sound. I have been praying Allah to spare his life. We have to learn from experience, InshaAllah he will review the way he moves around the country. Soooooooo happy he’s ok alhamdulillah
Tujuane ambao tunaangalia leo 2024
🏃
Nani anaangalia 2024?!!
pamoja 2024
Only future young Billionaires @modewij
Mimi
Mimi
Ok
I love this man for free, open heart, down to earth, very composed, he loves God, humble the list continue, l prayed to God for his safe return, faithful God his back in one piece, a country needs people like him, may God protect him always.
The BEST interview ever, Mo is wonderful, Salama tuletee watu kama hawa wenye muelekeo.
napenda sana kuangalia interviews za watu walio fanikiwa kimaisha au matajiri au the most successful individuals kwa lugha ya wenzetu... kitu ambacho nime jifunza toka nianze hii hurka ya kufatilia interviews za style hio.. ni kwamba "the most successful people think, act, speak, behave, almost 99% different from low life individuals" kitu kingine success needs TIME am gonna put that in capital letters... jamaa alianza 1998 kutafuta utajiri / biashara tuseme lakin its upto this moment ndio tumsikia sasa kua ana pesa according to FORBES, so take lets say 2013-1998= 15 years, so guy roughly ali hangaika for 15 Years kuweza kufika kwenye pick aliyopo sasa which shows a degree of patience and determination he has. Congratulations! at some point am inspired.
Kwakeli Mo Dewji anasema ukweli ...I give you lots of respect!!even in UK your dad help lots of Tanzanians. Please keep doing what your doing. And mkasi producer you have one of the best program in tanzania.
Kama bado unaangalia hi 2020march gonga like hapa
Mwenyezi mungu akulinde urudi salama kaka yetu na hao waliokuteka walaanike laana zote mbaya Amen..
Such an inspiration
Love the interview
That's very great and inspiring !!
very inspiring interview
very inspiring...ni mfano mzuri kwa vijana wengine...kwa kweli tunatakiwa tuamke tukafanye kazi hasaaaaa....biashara.
I salute you Mr. Mo....endelea kupambana ukawe mwanga kwa wengine....
Kati ya interview bora Tanzania, stay blessed for doing this.
Yaa Allah kama ulivyomvusha nabii yunnus kwenye tumbo la samaki, ya Allah kama ambavyo uliufanya moto kwa Nabii Ibrahim ukawa barid, Allah tunakuomba na huyu mja wako mo popote alipo umrudishe salama Yaa Rabb😢😢😢
This was the best interview since nimeanza kuangalia mkasi.
+denis ildephonce with influential person
denis ildephonce
Mashaallah nakuomba uje kuwekeza na zanzibar ili tufarijike na sisi
exactly
kabisa
Wow thanks Mohammed Dewj. Dah you have inspired me a lot.
this is my favourite episode of mkasi,like that man,God bless u.got inspired by this man,need more interview like this.
Zombi
@@mzamiloothman6359 zombie not zombi 🤣 mad man 🤣
Usijali kaka wanaosema umerithi,..u my champion bro..u so humble and mostly i like from u u so humble
this is epic and inspiring.salama next time invite abubakar bahressa(son of said salim bahressa) for interview.I hear he is the master mind behind bahressa's success in business. we would like to hear something from him.
+joseph mabrouk Bahressa yupi ? Anaemiliki bandari kavu iliopitisha containers 320 bila kulipa ushuru ?
+Steven Mamba sio kila kosa linalofanywa na mtoto ndio kusema katumwa na mzazi wake
+Steven Mamba but i think of you complain it wont change anything
+Steven Mamba "The society prepares the crime..the criminal commits it"
Ndo maana hata leo hii watu wameekewa sehemu za kuvukia barabara salama mfano "zebra cross" lakini hawazitumii badala yake wanajivukia ovyo sehem wanazotaka.
*Maana ya mfano hapo juu ni kua Matatizo ya Tanzania yanatokana na mfumo ulioandaliwa au kutengenezwa na Taifa (Tanzania) ndio maana unakuta makosa hayo.
poln
very inspiring....thanks for the show
One of the greatest Gift from God is that kuwa huyu #MoDewji anayo hekima na always GOD WILL BE ON HIS SIDE ALL THE WAYS UP.. 🗽🌍🌟👌🙏😢
U are an inspiration👋
It was a fantastic interview
I appreciate u guy!
Sad that he is gone...poleni from Kenya living in Germany. Have learnt a lot from him Dankeschön
luise-lotte Fidan gone???
What! Mo alifariki
..Riba {Dhambi ya Riba ni Zaidi ya MTU aliyefanya mapenzi na Mama yake Mzazi}😊😊😊Tupige kazi,Pepo ni yetu sote
Kweli kaka
Hii ni interview nzuri Sana na pia nimejifunza mengi kupitia Mohamed Dewji. Natamani sana siku moja kufanya mambo kama haya aliohadisia... Ntajitaidi kutimiza aliyotushauri Mo.
*Mungu nisaidie katika hili.Amen!
AMIIN
Salama please interview more great people like MO instead of bongo flavor artists only
But so far it's the best show I've ever watched.big up
M
Allah atamsaidia mja wake,vile vile serikali yetu imara inafanya kazi usiku na mchana,hivo kila kitu kitaenda sawa.Mungu Ibariki Tanzania
tangia moo atekwe sina raha katika nafs yang na namuomba ALLAH amlinde huko aliko na inshaallah atapatikana akiwa salama. 2gther from soni lushoto tanga tanzania
Emed Ibrahim sio ww tu brother laiti tungekuwa nauwz wakujua awa wachawi walipo asee kaka wangenda kututeka wote
Yaani tupo wengi roho inaniuma sana sina raha natamani hata nitambue alipo wapi ila naamini yupo salama Nina imani hyo mungu amsaidie
Emed Ibrahim m
Mungu akupe maisha marefu
Jamani nye mliomteka turusishieni mo wetu salama maana ni mtu muhimu sana kwa nchi hii leo ndo nimesikiliza intavyu yake maashaallah ni mwanaume wa maaana sana
Hamida Hamdani
I feel for him and his family. Pray for him to be found safe and sound InshaAllah
Nani bado anaangalia November 2019
Mimi nipo nawe
Na mm
MO.. u r nice boy.! Mungu akulinde huko waliko kupeleka' maskiin kijana wewe wamekudhulumu.! subra kwa family na wazee wako.!
Honesty is an expensive thing don't expect it from cheap people! I love this😘💕💕..........Jaman mrudisheni mo wetu ! Mungu simamia maisha ya mtu huyu Amen. Soon Mo atarudi akiwa salama naamini Mungu anaona hili kwani hawezi ruhusu mwenye haki wake ateseke kiasi hiki....
Best interview so far for me
Sijawahi kumsikia mo ata ugomvi na mtu yeyot, MUNGU MSAIDIE HUKO ALIKO AWE SALAMA, AMIN
ameen
HADI SASA???
MANARA WALIKOSAN
Daaagh yani brother wangu umeniamsha akili yangu sanna na hadi sasa sijui upo wapi Umeniwachia Majiraha makubwa sanna na Namuomba mungu Akulinde na kila sharii By Salim Mohammed Awamy from znz
interview bomba kuliko zoteeeee....dah!inatia moyo sana
Hii ni mojawepo wa shoo za mkasi zilizonipendeza sana....vijana tujitume na tuweke Mungu mbele.
🤗🤗jaman maneno yapo good san mmenifungua tumacho thanks mkasi na mo😗
Good inspiration MO well done we'll still love you too
Mchz anaongea lugha ya kupata pesa tu safi sana afu anasema pesa ipo kwenye kilimo na kwenye biashara let me deal with kilimo ooh my God
set
on
mo nikichwa chakuingwa
I love it thank you
Duh! Learned a lot!!!! Bonge moja la interview👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Dah mo hongera sana Mungu wako akutie nguvu sana kwa elimu hii nimejifunza kitu kikubwa. Nataman sana kufikia malengo hayo
A creativity man
I never comment before but this am so motivated
I think,..this inspires me.
Naipenda interview hii 👍🏾✅
Kaka mo nnakuombeaa duwaa kwa mungu yaaraby akulinde na akutowe kwenye makucha ya mayahudi haoo yaaraby akufanyiee kila la wepesi yaaraby mmungu awatiee imaani na huruma haoo walio kutekaa YAARABY mmungu watiee imaani kwakilaa aliee shiriki kwa kudhulumiwa kakayetu mo kama walivyo amrisha atekwee basi mmungu watiee imaani na uwafanyiee moyo mwepesi wakutowa ambri arejeshwe kwa usalama na afya yake YAARABY jaaliyaa mo wamrejeshe akiwa yuhaii
AMEENA YAARABY 🙏🙏🙏🙏🤝🤝
Your my inspiration guys.
the best interview
Salama na Team yako....Uwelewa wenu wa mambo ya biashara ni mdogo sana kuweza kum-interview MO ila hongereni kwa kujaribu na kupata opportunity hiyo.
pumbavu ww kamu interview ww
@@adamrafikimwambuluma3288 In true broo
Very inspiring story from a fellow African.
more dewj lov u and keep it up.... binadam tumezoea kukosoa ucjal ndyo chachu ya maendeleo yako na kwetu sote hakuna aliyekamilika..........
yah i lov it
yarabi mfanyie wepec Mo hao waliomteka wamuachie akiwa salama.
Kiluvia Samia
Amin yarabi ishalla kwani wangelimwambia awape pesa siangeliwapa tu lkn wametaka tu kumfanyishia
Good guy
Nimekuelewa sana Boss
Eeh M/Mungu Naomba umlinde Huko aliko na utusaidie Apatikane Inshallah
nice and educative interview.. thank you guys
Very educational interview
Mita ya nguo milion 100 duh ! Kwa siku/mwezi/mwaka br ? Wonderful hongera sana
Masha Allah
Mimi ndiyo leo nimepita kibahati tu na nimependa sana maelezo yake na hasa ukizingatia body language unakuja kuta anachokisema KINAMTOKA MOYONI
yahhhh nasonga mbele tu safi sana MO ni dawa ni hiyo!!
Excellent mr mo
I like this guy,
Best interview ever
Pongezi zangu kwa Team "MkasiTv".. Ongezeni interview na watu tofauti kama hii hapa. sio star wa muvi na miziki tu. nice job. Salama is an amazimg person
Aisee watu wapo smart naangalia sana clips za hii interview sikuwaza kama aliongea 9 years ago mwamba ni inspirational🏌️♂️
Salute kwako Dada Salama 🙋♂️🙋♂️🙋♂️
So good, Who’s watching in 2021?
Mashallah tabarakallah mungu akubarikii akuepushe na hasad☝Baraka allah fikk❤
Jaman Masha Allah Mungu atamrudisha huyu kaka Wallah anahekima Sana Allah atamfanyia wepes arud salama
Yaaa Allah mfanyie wepesi Mo Dewji arudi salama yaliyompata huyu ndio yalimpata Dr Shika. Najisikia vibaya sana
Eeweeeeeh_🤔
You are the best in the world
thanks mkasi kutuletea huyu jamaa
mo amenifunza mengi yenye faida
BIG up
Ndoto yangu ni kufungua kampuni kubwa ipo siku mungu atanifanyia wepesi ndoto yangu itakuwa Kweli ❣️❣️
Allahum amina Mungu atajalia inshallah🙏🏼
😂
Kua na ndoto shida
Je mpango wa company unao?
am really inspired
thanks Salama kwa hakika nimepata faida kubwa leo
Maa Shaa Allah ❤
Very inspiring, god bless you
dewji kasema anataka kufungua "benki zitazotoa mikopo midogo kwa riba nafuu" alafu salama akasema "in shaa allah mungu atakusaidia", ajui maskini kwamba Allah kwenye quran katangaza vita na wala riba
That"s interview is very encourage me,
ameajiri zaidi ya watu 28,000 Tz. big up sana.
Allah akupe uzima uko uliko wakuachie ukiwa salama, najikuta nalia kwa mtihani huu uliokukumba, Allah mfanyie wepec mja wako aachiwe akiwa salama.
its very inspiring
The Guy is Brave.............Big Up Sana
I really enjoyed this episode... ilikuwa very entertaining and nimejifunza a lot this is the only episode i have ever watched from mkasi, get more inspirational people like MO and youll get tons of more views... but i want to suggest that you should get rid of the blackboard and chalks and get a white board for it will make you look more professional.
Mungu nakuomba mlinde huko alipo arudi salama na watekaji Mungu husika kikamilifu najua ww wajua kila kitu kuhusu mor ww ulie mlizi wa kila kiumbe Mungu wa mbingu na ardhi wafedheheshe hawa waliomteka huyu kijana
verry humble maskin, blessed Mo
Neema Mpanuka
If you can dream it
You can have it .
Inspired
Mashaalwaa unamaona mungu akulinde boss umenipa mwangaza❤️❤️❤️
Mohammad you are the man of people
wow, inspiring
Moooo.. 🔥🔥🌹2020
To be rich isnt capital, it's the power of subconscious mind, MO mindset for a loan of 800,000,000 was just small money... Through the law of attraction he believed he will get what he wanted. I love that... What's your mindset???
This man is so genius in business
Alhamdulillah Mohamed has been found safe and sound. I have been praying Allah to spare his life.
We have to learn from experience, InshaAllah he will review the way he moves around the country. Soooooooo happy he’s ok alhamdulillah