Abubakar Bakhresa ataja kisa cha kuanzishwa kwa Azam TV
Вставка
- Опубліковано 17 тра 2023
- MIAKA 10 YA AZAM TV: "Tulianza kama mzaha mzaha hivi" - Kauli ya Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media LTD, Abubakar Bakhresa akieleza chimbuko la kuzaliwa kwa kituo bora cha televisheni Afrika Mashariki na Kati chenye kubeba nembo ya #AzamTV
#AzamTV10Damdam #AzamTVDaimaDamdam #AzamMedia #BakhresaGroup
AZAM IMEKUZA SOKA LA TANZANIA....... LIGI YA TANZANIA SASA INATIZAMWA AFRICA ALMOST......CONGRATULATIONS BAKHRESA GROUP OF COMPANY....
Mpo vzriii sana mmeifanya ligi kuu ya Mpira hapa Tz kukua zaidi
Bakhiresa
Big up sana.
Safi sana bakhersa kakuttoa usngizin
BOSS❤❤❤❤❤
Karibuni Kenya
🙏
Tunahitaji hii shule..Hope mtatuwekea extended version ya haya mahojiano adimu.
Nilichokuja kuelewa nikuwa kumbe Star TV ndio ilikuwa TV station iliyoendelea sana kwa kipindi kile.
Big up sana TV yetu wasukuma.
Mwanza kwanza mengine baadaye.
Midia nyingi ziliteteleka kipindi cha mwendazake aliyekuwa akiminya uhuru wa habari ilimradi tu yeye aendelee kutawala.
Kuyumba kwa Media ni Matatizo ya Uendeshaji. Media nyingi hazina Dynamic Business Model...too traditional
Mpaka sasa Kampuni ya startv ndo wana uwezo mkibwa mitambo yao sematu wasimamizi