#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 бер 2023
  • #EXCLUSIVE: MO DEWJI AVUNJA UKIMYA wa HAJI MANARA, AFUNGUKA MENGI - ''SINA KINYONGO NAYE''...
    Mwandishi mahiri wa habari za michezo, @salehjembefacts amefanya mahojiano 'exclusive' na Rais wa Heshima wa Simba na mfanyabiashara mkubwa wa Kitanzania, Mohamed Dewji 'Mo' ambapo amefunguka mambo mengi ambayo ulikuwa huyajui.
    Saleh amemuuliza Mo kwamba licha ya kufanya kazi kwa muda mrefu na Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Simba, alipohamia Yanga alikuwa akimtukana kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari, je, ikitokea amemuombamsamaha yupo tayari kumsamehe? Mo amelijibu swali hilo.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 251

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому +6

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @masoudalriyamy6298
      @masoudalriyamy6298 Рік тому

      Mungu akuzidishie imani na pale unapokosea akuongoze na akulinde na maadui wandani nawanjee

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 Рік тому +46

    Tajiri huwa habishani na masikini big up tajiri wa East Africa nzima MO Dewji one love from Kenya

    • @tengarashid4703
      @tengarashid4703 Рік тому +1

      Hahahahaha chawa kwenye ubora wako kusifia wanaume wenzio tafta pesa

    • @niyakhalid5650
      @niyakhalid5650 Рік тому

      @@tengarashid4703 najua uchawa ni tabia yenu Watanzania mimi sio mtanzania mimi ni mwanaume najituma kwa kazi zangu ila ukweli lazima usemwe tajiri hashindani na masikini

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Рік тому

      ​@@tengarashid4703 Wewe una pesa?

    • @user-vr5bi8rb8y
      @user-vr5bi8rb8y 7 місяців тому

      ​@@tengarashid4703Roho imekuuma😂

  • @stephentossi2626
    @stephentossi2626 Рік тому +20

    Hongera sana MO kwa hekima yako ndiyo maana unafanikiwa Mungu amekunyoshea Heri kutokana na moyo wako wa ibada

  • @mercymariki2148
    @mercymariki2148 Рік тому +17

    Frankly speaking with wise words ☑️ Mo ....God bless you moreeeee

  • @faisaloaljabry6400
    @faisaloaljabry6400 Рік тому +29

    Vizuri sana Dewji, yule kijana si sawa yako, haina maana kujibizana na mtu safihi kama huyo. Matusi yake hayakupi hata kipele.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +7

    Huyu bro yuko tofauti sana hongera umejaaliwa busara 👏👏👏👍💪🙏🇹🇿

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Рік тому +9

    Hongera Sana mo kwa kumsamehe manara na yeye ana mapumgufu yake na tunayaona watanzania.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Рік тому +25

    Kipenzi cha Wana simba❤️

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Рік тому +2

    Mo eti kafanya jambo baya alafu anamuuliza mtangazaji umenielewa jambo baya big boss ❤

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Рік тому +11

    Mwandishi umetimia neno ,kutukana ungesema akawa anakusema VIBAYA kwenye mitandao ya kijamii au ndio umeandaliwa 😂😂😂😂

    • @omarycheyo5534
      @omarycheyo5534 Рік тому

      Kwani hakumtukana?acha upumbavu HIVI angetukanwa baba yako ungejisikiaje

    • @Kimweri_tz
      @Kimweri_tz Рік тому

      Ila kweli mwandishi kachochea moto

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Рік тому +11

    Busara nzuri sana

    • @jamesandrew7482
      @jamesandrew7482 Рік тому

      Huyo mwandishi ni mchonganishi anaushahidi na matusi ya haji manara

  • @reimushi1185
    @reimushi1185 Рік тому +11

    Duh!!!! Nyinyi ni chombo kikubwa buana. Haiwezekani intro inaanza hovyo namna hii.

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Рік тому +2

    Hekma nyingi mno yani daah safi sana muheshimiwa Allah azidi kukuneemeshea maisha yako nakukjbali sana

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Рік тому +4

    Mashallah ww ni mwanaume nanusu hupaswi kumjibu mtu mpuuz unamengi yakufanya.

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Рік тому +17

    SubhanaAllah...Daima Allah huwa khafuru Rahmu. Allah atujaaliye tupate Makhafra yake Allah kabla ya kurejea kwake Yaarab Ameen.Jamani tuwe na tahadhari Sana na midomo yetu tuogope isije kutuponza na tunapo koseana tuweze kusameheana na Tusiwe na viburi na kujifanya wakamilifu kwani hatujijuwi mwisho wetu binaadamu kwani hatuja kamilika na hatuja kamilika kuubwa..Yaarab tujaaliye tukirejea kwako tuwe tumepata Ridhaa zako na Radhi zako Yaarab Ameen.

  • @yessemwakibete2458
    @yessemwakibete2458 Рік тому +4

    Daaaa Saafi sana Bosi Mo Mungu akujalie Maisha marefu.

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 Рік тому +1

    MaashaAllah alhamdulillaahi, hapo kwenye wivu upo vizuri sana rais wa heshima, umejipanga vema sana.

  • @minahaminahaochu255
    @minahaminahaochu255 Рік тому +4

    Allah akulinde broo uko safi mashallah❤

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 Рік тому +6

    Haji manara Watching

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Рік тому +1

    Daaah aisee Mo Mungu akubariki kwa hilo, ni wachache sana wenye moyo kama huo, emdelea na moyo huo utapata thawabu

  • @denismvula300
    @denismvula300 Рік тому +2

    Kwa kingereza wanasema "wewe unakunywa sumu lakini unamtakia mwenzako afe, huo pia ni wivu mbaya" boss hapo umetupiga 😂😂😂

  • @seifjuma8422
    @seifjuma8422 Рік тому +2

    Safi sana mo ujumbe mzuri

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 Рік тому +4

    Anayemuhoji MO anaonekana kama mwandishi aliyepevuka lakini maswali anayouliza hayana tija kabisa, yakitoto! Namshauri MO ajibu tu, maswali ya msingi kulingana na heshima yake.

    • @kombokassim9591
      @kombokassim9591 Рік тому +1

      Anauliza maswali kichawa atume video au clip haji aliyo tukana

  • @victorkiiru1237
    @victorkiiru1237 Рік тому +2

    Asante sana boss

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr Рік тому +7

    Hongera mungu akubariki akulinde akuepushe na mabaya yote

  • @kitukizito9178
    @kitukizito9178 Рік тому +1

    Hivi ni tusi gani haji alimtukana Mo😃😃.Bado nalitafuta Hilo tusi silioni..
    Nyie waandishi wa habari hamna weledi na kazi zenu aseee khaaaaaaaah

  • @jumachidi3567
    @jumachidi3567 Рік тому +1

    mungu akupe maishamarefu mo

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 Рік тому +1

    Hongera sana ndugu,stay safe and be blessed.

  • @geraldkbona5595
    @geraldkbona5595 Рік тому +7

    tajiri ana busara

  • @saadysaidzahaze5980
    @saadysaidzahaze5980 Рік тому +2

    Allah akupe zaidi duniani na kesho akhera unamoyo msafi sana na wapekee mo dewji Maashaallah ❤

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 Рік тому +2

    Jembe kumbe naww unapenda majungu ila ulichokitaka hujakipata MO, kakujibu kikubwa Sana. Muulize MO maswali yenyemantik sio majungu.

  • @teamjesuschrist2919
    @teamjesuschrist2919 Рік тому +4

    kwamba global mmeshindwa kuweka hata introduction ya maana kuweni kidogo professional angalien bas hata introduction za wenzetu

  • @mendoza.hill1
    @mendoza.hill1 Рік тому +1

    4:50 nilikufuata mpaka ofisini

  • @paaboytzmedia2571
    @paaboytzmedia2571 Рік тому +1

    Safi Sanaa mo dewj na global tv

  • @richardboniface9280
    @richardboniface9280 Рік тому +4

    👂

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Рік тому +1

    Safi

  • @almasially6509
    @almasially6509 Рік тому +3

    subirini majibu ya hovyo ya haji manara, mtasikia anasema mo anatafuta kiki kupitia yeye

  • @youngchuda1568
    @youngchuda1568 Рік тому +1

    Ambao hamjaelewa hadithi tujuane hapa😮😮😮

  • @aprow2059
    @aprow2059 Рік тому

    Hongera kwa saprize kwa ssc suports hasa wachezaji jumamosi

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Рік тому

    Ashura cheupe anamatatizo mengi.uzuri Mo dewj anaakiri nyingi sana.harafu nitajiri sana.kwahiyo hawezi kushindana na Ashura cheupe.anamchukulia jinsi alivyo.nakupenda Sana Mo.unahekima,busara,nvumilivu,una utu,Mungu akubariki na kukulinda.Ameeeni

  • @radynnyagaly3692
    @radynnyagaly3692 Рік тому +4

    Saleh umeacha kuuliza maswali juu ya maendeleo ya udhamin wake ndani ya simba na maendeleo ya soka ya Tanzania unauliza mambo ya Haji kama siyo ochonganisho. Unaushahidi wowote juu ya hayo matusi ambayo direct yalirushwa kwake?. Very stupid questions

  • @manmgomi3042
    @manmgomi3042 Рік тому +2

    Boss aangaikii na maskini ambae mbaka atukane watu ndio apate chakupeleka tumboni ivyoo boss ni boss tuu

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 6 місяців тому

    MO HONGERA SANA NIMEKUSIKIA VIZURI NA KUJIFUNZA KUSAMEHE NI KUTAMU MNO NA WIVU PIA NI MBAYA

  • @riwayazakiswahilitv4635
    @riwayazakiswahilitv4635 Рік тому +3

    Mo Dewje 🔥🔥🔥

  • @masolavachui1728
    @masolavachui1728 Рік тому +2

    Boss kavaa kipesi mbele ya kamela 😂😂sasa vaa ww mwenzang na mm kama utaruhsiwa kwehojiwa😂😂😂

  • @emanuelygavile
    @emanuelygavile Рік тому

    big boss

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 7 місяців тому

    Moo uko vizuri sana sikutegemea kama unaroho ya hekima kiasi hicho manara anatabia za kihuni hatakama mlitofaitiana asingekua na maneno ya vijembe na kejeli kiasi hicho katoka simba kwa hila naatakua alipwa hela nyingi na maadui wa simba ili aendelee kutukana nakuijeli simba kila mala sio moo tu anatukana nakukejeli wanasimba wote

  • @fatmamusa1119
    @fatmamusa1119 Рік тому +2

    Allah akbar

  • @lizzybby2392
    @lizzybby2392 Рік тому +1

    ❤❤❤❤

  • @ephrahimjoel6406
    @ephrahimjoel6406 Рік тому

    Mumgu akubariki sana mo msamehe kwa maana ajitambui

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Рік тому +2

    Ujui lakesho Yake More Ni kweli kabisa kausalem samehehe Mara 100

  • @cottamanywele1396
    @cottamanywele1396 Рік тому +1

    Usiwagombanishe watu huo c uandishi wapi haji manara amewahi kumtukana mo? Wewe salehe ni mshenzi wa tabia au unajpendekeza kwa boss upate kibarua?

  • @ModoDodo-nr6ok
    @ModoDodo-nr6ok Рік тому +8

    Mo safi sana, ila nawe tanguliza kumuomba msamaha kama kuna kosa lolote ulo mkosea. SADAKTA maisha haya mafupi.

    • @abdallahally421
      @abdallahally421 Рік тому

      Manala ajawai kktukana acha uwongo usiludi kwastaili iyo we njoo kwa madunduka uchukue pesa zao za lobo wajinga ndio waliwao

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 Рік тому +4

    Wenye pesa niwepesi sana kuaminisha watu kua wao hawana makosa hivi unakumbuka manara aliwekwa ndani kisa kupaza sauti kisa wewe?

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage Рік тому

      Manara hata akiwa sahihi ni ngumu kumuamini hana stara na busara

    • @salomedeus4165
      @salomedeus4165 Рік тому

      @@iamdivineimage kweli aisee tunamuona kama mropokaji tu yeye mwenyewe hajiheshimu

  • @narrissajackson3869
    @narrissajackson3869 Рік тому +1

    Manara siyo kijana wa Mo

  • @danielsebastian3352
    @danielsebastian3352 Рік тому

    Tajiri maneno ya dhahabu... Achana na manara mtaji wake mdomo wenye maneno machafu, Simba nguvu moja

  • @abushirhaji9474
    @abushirhaji9474 Рік тому +2

    Hapo alikutukana sana ulikuwa uweke neno njengine Hilo neno linaukakasi sana ila ndo hivo

  • @allydingi9736
    @allydingi9736 Рік тому +3

    Salehe jembe ndiyo maana huna fansi wengi kwasababu unaunafki mkubwa sana

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Рік тому +3

    Mbona hujahoji kisa cha ku gombana

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Рік тому +1

    Waandishi wengi wa kibongo sijui kwa nini wanapenda mambo ya kinafiki ambayo hayatusaidii sisi wala yeye!! Muulize maswali ya msingi ya kuhusu simba! Huyo ni bilionea hafananishwi na wewe wala manala.

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Рік тому

    Mo Ana kinyongo na mtu simliona mw.kigwangala ya liisha uslam uikristo ndio inayotakiwa Moore Salute 🙏🙏🙏🙏🙏🙏simba simba oyeee

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Рік тому +5

    Interview nzima kuhusu Manara duh bongo nyoso kudadadeki

  • @stellakagemlo8095
    @stellakagemlo8095 Рік тому +2

    Nimejifunza kusamehe

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 Рік тому +2

    Tuma hizo clip za Haji alizokua akimtukana MO

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage Рік тому

      Wewe uko mtandao gani? au unaleta ushabiki hapa?

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Рік тому +1

    Good interview 👏👏👏

  • @lesterchristopher9838
    @lesterchristopher9838 Рік тому +1

    Presenter wa hovyo kbx .. kuanzia introo n mbaya.. hajui

  • @khalifamilulu9109
    @khalifamilulu9109 Рік тому

    Huyu jamaa kuzaliwa tanzania kote huku. Lakini bado hajui kiswahili. Ety wivu ya pili.

  • @ernestsereli8559
    @ernestsereli8559 Рік тому

    Tajirii la afrika Hilo"yaan wew una pesa nyingi af una busara nyingi!sasa manara kichwa kimejaa matopee na pesa Hana ndo maana kila cku anakimbiwa na wanawakee

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 Рік тому +5

    Broo nakukubali sana ila ipo siku tutakutana

  • @MagaliKiswili-bj6yz
    @MagaliKiswili-bj6yz Рік тому

    Manala anawaumiza sana kichwa bugati hatari sana

  • @robertdominiko2667
    @robertdominiko2667 Рік тому +2

    Nini alitukanwa huyu??? Mbona hivi tena

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Рік тому +2

    Jembe mbona unagombanisha

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Рік тому

    Jembe unashangaza hivi kwanini unaanzisha topic inayomhusu huyu zimwi. Kwanini unampa milage. Tulishamsahau sasa mnampatia kisingizio cha yeye kuanza kuzungumza. Hebu uwe unatafuta topic nzuri za kujadili.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Рік тому

    Kwani Hadji alimtukana Mo Dewj? Au Mo Dewj amesahau kumuuliza Mwandishi ametukanwaje na Hadji? Mimi mwenyewe Hadji sina kinyongo naye toka alipohamia yanga lkn kiukweli sijawah kumsikia akimtukana Mo Dewj

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 Рік тому +5

    Tunasubiri balance ya hii stori!

    • @gibsonkabusola6923
      @gibsonkabusola6923 Рік тому +6

      Hiyo ndio balance kwa sababu manara ashapewa Sana platform ya kuliongelea hili na kashaongea Sana kwaiyo Nae mo kapewa nafasi

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 Рік тому +2

      Kwani manara sialiongea yote akamaliza,mlimsikia mo akiongea?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому +1

      @@ikramalmas7039 halafu tujue kitu mo ni tajiri muda wa kumzungumzia manara anaweza asiwe nao , manara chawa mtu wakujipendekeza kwa matajiri alipotolewa simba lazma ilikua atafute pakujikomba ili aishi vizuri

    • @aisharajimbo6784
      @aisharajimbo6784 Рік тому

      ​@@fahadfaraj6474 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому +2

      @@aisharajimbo6784 kwani uongo, kina manara ujanja ujanja kukaa karibu na watu wenye hela siku ziende, kujipendekeza sana kwa matajiri , we safari na wakeze wote wawili kipindi kile kapelekwa na watu

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 Рік тому +3

    Hivi wewe unaehoji unafikiri mo mjinga akwambie kuwa simpendi haji kwenye vyombo vya habari..??? Kumbuka mo ni mfanya biashara ...atasemaje simpendi biashara zake atanujua nani..Huna hoja mchungu hapo alipo..unamkumbusha maumivu tu

  • @barakaayubu6126
    @barakaayubu6126 Рік тому +1

    MO kajaliwa busara na ni mtu wa Imani.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Рік тому +1

    Hakupunguzii wala hakuzidishii 😂

  • @naldclever
    @naldclever Рік тому

    Boss ana story za uongo ivyo.... waiii

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Рік тому

    HONGERA SANA MO MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU. WEWE NI TOFAUTI NA WATU WENGINE. MTU UKISHAMJUA HAINA HAJA YAKUJIBISHANA NAYE. TUNAKUPENDA WANA SIMBA. ENDELEA KUCHAPA KAZI SIMBA. ILA USAJILI ULIO BORA USISAHAU. WACHEZAJI WANAJITUMA SANA.

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Рік тому

    WANA SIMBA NI WAJINGA SANA MNAPENDA MOO KWENYE USHINDI MKIPIGWA SASA UTASIKIA ATUACHIE TIMU YETU 🤭🤭🤭

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Рік тому

    Wewe muandishi wa h abari ni mchonganishi sana una maswali yak umchonganisha mana ra na moo sio vizuri w ewe muandishi huna maswali mengine

  • @abdallahchingua1630
    @abdallahchingua1630 6 місяців тому

    yeye anasema akulipwa muda wote aliyekuwa simba wew unasemaje hilo?

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 7 місяців тому

    Eti Manara anataka kushindana na Mo. Hon Mo please don’t even mention Manara, he has narcissistic personality disorder and I doubt if he is a human being. Can Muhimbili do a blood test. Ni mwizi, mwongo, mchafu na Ananuka mavi.

  • @kombokassim9591
    @kombokassim9591 Рік тому +1

    Wapi amemtukana mbona wewe mwanahabari umeuliza swali kipambe na kichawa

  • @PiliIdd-iz7jm
    @PiliIdd-iz7jm Рік тому +3

    Acha chuki acha ugombanishi katika watu nilikuwa nakuamini sana ila leo nimekuvuwa vyeo vyote

    • @MONEY_CHANNEL.
      @MONEY_CHANNEL. Рік тому

      Uandishi huo siyo Chuki

    • @zainakassim6618
      @zainakassim6618 Рік тому

      Hadithi haiendani na uhalisia wa tatizo lililotokea,kikubwa hapo ni kuufungua moyo wake Kwa umma ili umma ujuwe kuwa yeye Hana kinyongo na Manara!!! Je Kama kweli ni hivyo mbona muda umekuwa NI mrefu Sana toka Hilo tukio litokee?Au alikuwa anasubiri hao wachonganishi wafanye naye interview ndiyo atowe huo msamaha!!! Au alikuwa anamsubiri huyo maskini jeuri Kwa upande wake kutokana na kauli yake ampigiye magoti ili msamaha ukamilike!! Hayo yote yanaletwa na hao waandishi hao ndiyo wachochezi na wageuza maneno wakilitaka liwe vita,Shari ama misamaha wao ndiyo watekelezaji WA yote hayoo!! Wao ndiyo wasababishi wakubwa WA migogolo Kati ya MTU na MTU ,nchi na nchi vyama vya siasa n,k Wakiona Hamna anayewatilia uzito wao wenyewe wanatafuta Kiki ya kusuluhisha na Kwa kuzingatia Hilo kwenye chombo kikubwa maswali anayoanza kumuuliza huyo mteja wao ni la ugomvi au usuluhishi WA Manara na bosi wao mteja wao Mo,Ila pongezi Kama amefunguka kidhati kutoka moyoni au Kwa ajili ya kukalilishwa funga yake inayikuja basi Inshallah!! Tunawatakia kila la heri na nyie watia chachandu katika interview maana mmechachuwa sasa mnayaweka vizuri hongereni lengo ni kujenga nchi yenye Amani na si kubomoa nchi kazi kwenu Ila zingatieni maadili ya kazi yenu na siyo kuchochea au kuchonganisha kutokana na maswali yenu tungo tata

  • @alexmmbaga441
    @alexmmbaga441 Рік тому

    Mtangazaji hajui kuuliza maswali

  • @shabanisheka5973
    @shabanisheka5973 Рік тому

    Tajiri hanuniwi kabisaa.. Huyo Zeruzeru ni jinga tu

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Рік тому

    Ndio maana unafanikiwa Kaka yangu

  • @gaudeniciaemmanuel4245
    @gaudeniciaemmanuel4245 Рік тому

    Huyu mtangazaji ndo mchochezi yeye hayo matusi aliyaona wapi?

  • @hamisikanyama984
    @hamisikanyama984 Рік тому

    Ungeuliza b20 zipo benkigani na sawadogo Nani Alie msajili ndiotunahitaji kusikia

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Рік тому

    More hatakubali tuu msamaha amna shida kashasema

  • @nyamshertvonline3831
    @nyamshertvonline3831 Рік тому

    Huyu mtangazaji nae anataka kutoka nje ya ethics za wanahabari,sasa alimtukanaje,akiulizwa ni tusi gan ataweza kutaja...?amefel namna ya kuuliza ilo swali

  • @ericron6115
    @ericron6115 Рік тому +1

    Hizi hadithi Inabidi uwe na akili nzuri,utulie, usiwe na haraka ndio waweza zielewa.

  • @msabimarwa9994
    @msabimarwa9994 Рік тому

    Tuletee Louis mickison boss

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Рік тому

    Sasa hadithi ya kubaka maiti imehusianaje na haji?

  • @hussainmaulatz6758
    @hussainmaulatz6758 Рік тому

    Kutokujibu tu ni ngao kubwa ya muumini na mtu muumini huuchunga sana ulimi wake.

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Рік тому +1

    Mtangazaji huyu ni mnafki na muongo,mgombanishi na mpuuzi pia….. Wapi Haji alimtukana Mudy??!

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Рік тому +1

      Wameendaaanaaa awaaaa 😂 manara amuonee wivu kisaa pesa za urithi😂😂

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Рік тому

    Mkumbuke ni sehemu ya kwanza ngoja tuone ndio tukosoe

  • @kisarikaassey-cb7jk
    @kisarikaassey-cb7jk Рік тому +3

    Wenye ajili ndogo kama haji ni Wengi Wala hawaishi Cha msingi ni kuwapuuza na kusonga mbele